SHK OTHMAN MAALIM: INATISHA KWA WANAWAKE HAWA 10 TU WAOVU | TUTATESEKA BURE TUJIKAGUE NA TULIONAO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #Shkothmanmaalim

Komentáře • 39

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n Před 3 lety +6

    Rehma na Amani za MWENYEZI MUNGU zimshukie Mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu Alleyhi Wasallam Ahli zake na Maswahaba zake wote

  • @dieudonneshabani2587
    @dieudonneshabani2587 Před rokem

    nashukuru sana shk

  • @ibrahimdieumerci395
    @ibrahimdieumerci395 Před rokem

    Jazaka llahu fih

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 Před 3 lety

    Mashaaallah mawaidha ni mazuri ni meyapenda akulipe Allah lnshaalla ameen

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n Před 3 lety +1

    Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh ukty maasha Allah tabaraka Allah sheikh #othmanmaalim Mwenyezi Mungu akupe uzima na umri mrefu tuzidi kunufaika katika mambo ya Dini yetu shukraan jazzakah ALLAHU kheiran barakallahu feekum #riyadhtvonlineznz na team nzima

    • @ukhtyhumairah73
      @ukhtyhumairah73 Před 3 lety +1

      Waalaykumussalaam warahmatullahi wabarakaatuh

    • @user-ws9ek8dj5n
      @user-ws9ek8dj5n Před 3 lety

      @@ukhtyhumairah73 maasha Allah tabaraka Allah vipi hali yako habibty

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 Před 3 lety

    Sheikh shukran kwa mawaidha mungu akupe umri mrefu

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 Před 3 lety

    JAZAKALLAH SHEIKH MANENO YAKO SAFI SANA MASHALLAH🙌👏

  • @mwanaramadhan7059
    @mwanaramadhan7059 Před 3 lety

    MashaaAllah jazakAllah ukheri sheikh

  • @ukhtyhumairah73
    @ukhtyhumairah73 Před 3 lety +1

    Shukuran kwa ukumbusho ya sheikh Othman maalim mswiba ya subhannallah

    • @user-ws9ek8dj5n
      @user-ws9ek8dj5n Před 3 lety

      SUBHANALLAH kweli kabisa mswiba mkubwa MWENYEZI MUNGU atustiri 🤲🏽💖💖💖

    • @ukhtyhumairah73
      @ukhtyhumairah73 Před 3 lety +1

      @@user-ws9ek8dj5n Allahumma amiin ya rabbi habibaty 😘😘😘😘

    • @user-ws9ek8dj5n
      @user-ws9ek8dj5n Před 3 lety

      @@ukhtyhumairah73 Amiin ya RABB ya habibty 💞💞💞😍😍😍

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n Před 3 lety +1

    Shukraan na sifa zote zimuendee Muumba mbingu,ardhi na vote vilivomo ndani yake ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA

  • @hamizaramadhan1275
    @hamizaramadhan1275 Před 3 lety

    Masha ALLAH ❤❤

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 Před 3 lety

    Shehe Allah akupe pepo ameen

  • @sayleewaprocess5641
    @sayleewaprocess5641 Před 3 lety

    Mashallah mashallah say good

  • @alhajnamkopa4597
    @alhajnamkopa4597 Před 3 lety

    Mwenyezi akupe umri mrefu amini

  • @sadhiyaiman6038
    @sadhiyaiman6038 Před 3 lety

    Kweli sheikh na kuna wengine Wana sifa zote subhanaAllah....Ila sheikh kuna waume wenye hizi sifa inakuwaje

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Před 3 lety +2

    Ukitaka kuchagua mke mzuri hakikisha kwanza na ww mume uwe mzuri. Si unataka mke mzuri halafu ww mwenyewe si mzuri hata ukachukue shamba ipo siku atakuchoka. Na wanaume wengi wa siku hzi sihao wakulisha na kuvisha kwa hio hata km huiba, huiba kwa maslahi/matamanio yao wenyewe natamaa zao za maisha na ufakhari lkn si kwa ajili ya kumtimizia mke. Sheikh siku hzi w'ke wengi sana wanafanya majukumu ya wanaume na wametwikwa na waume zao ima 100% au 50%. W'me pesa zao wanaficha wakaongeze wake.

  • @sabilibrahim2457
    @sabilibrahim2457 Před 2 lety

    Kweli kabisa

  • @sm8836
    @sm8836 Před 3 lety +1

    Wanaume pia wanawavunja wake zao moyo pia, wanajiona wanyonge mbele ya waume zao.

  • @ummua5006
    @ummua5006 Před 3 lety +1

    Kwanza wafindisheni hao wanaume kujali majukumu na masuulia yao. wawache uzinifu, ubakhili, ubaridi,madharau na kibri.
    Wanawake hawana shida ndio maana hata katika wazazi mama anakua karibu zaidi na watoto kuliko baba.
    Wanawake shida kubwa ni mapenzi. Wakipata wakuwajali na kuwapenda, wanajitolea muhanga.
    Mwanamke ndio mama anaelea vizazi.

    • @abaafarhat9191
      @abaafarhat9191 Před 3 lety

      We ni moja wapo usiyefaa na umelengwa safi sana othuman maalim

    • @talibmuhsin5221
      @talibmuhsin5221 Před 2 lety

      Cc Kwan wanawak hawazin ? Tena ndo wachochez haswa

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Před 3 lety +1

    Lkn sheikh siku hzi uzazi wa mpangilio umevuruga wanawake. Wengi wamejichokea na wabovu tofauti na nyie wanaume. Inabidi uridhie kumsaidia. Ukitaka m'ke yule wa kukaa jikoni kila siku... sijui naona utapita ukioa na kuacha mpaka. Halafu wanaume nao mridhike siku hzi hakuna w'ke 100% mzuri kwa kila kitu. Shukuru huyo mvivu unauezo utamtafutia mtu wa kumsaidia au utamsaidia ww kuliko kupata wambea, wagombanishi, wahuni, wasioridhika na wanaokulinganisha na waliopita.

  • @sm8836
    @sm8836 Před 3 lety +3

    Sheikh ni kweli maneno yako kabisa kuhusu Wanawake hao, lakini naomba ulete video za kuhusu wanaume pia ambao wanapata wanawake wazuri wenye kufanya wajibu wao kwa waume zao lakini wanaume wakawa wanawasumbua wake zao mpaka wakachoka pia. Kwa mfano mke anakaa nyumbani peke yake mchana mzima ana hakikisha nyumba ni swafi, ana pika kila kitu, jioni ana jipamba kumngoja mume kwa hamu na furaha, lakini utakuta mume akiingia yuko serious ata ku smile na mke wake anaona tabu, na isitoshe akiguswa pia balaa anakwambia nimechoka wewe wataka kila siku haya, na isitoshe hakupi pesa pia zakutumia, usiku ana lala fofofo ata hana wakati na mke, hivi ni sawa? Mke anabaki na kufikiria mawazo mabaya kwa nini mume yuko hivi, mpaka mke anachoka pia kufanya wajibu wake kama mke. Hivi ni sawa wanaume hawa wafanyao hivi? Na mke akisema inakuwa balaa analeta vita ama atakunyamazia kimya kisha hajirekebishi, hukumu yao ni nini wanaume hawa? Naomba majibu please. Shukran. Nimeshaona haya yanatokea sana.

  • @salummzee8908
    @salummzee8908 Před 3 lety

    wapo hao walio laaanika Allah atuepushe fitina za wake wa baya

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před 3 lety

      Wapo wengi sana lkn wengi wao unakuta vyanzo ni nyie wanaume. Wanaume wengi siku hzi hamtimizi majukumu yenu na hamjui thamani za wake zenu/thamani za wanawake na ndio ttzo kubwa hilo.

    • @salummzee8908
      @salummzee8908 Před 3 lety

      @@alhamdulillah5796 hakuna sifa zote shekheir amezitoa sio km amekuoneeni zito sifa zinatoka moyo na malezi waliyokulia wanawake ,istoshe Dini tumei weka nyuma tuna ipenda dunia km utasoma Qur-an na dhikri kumtaja Allah hutowez kumzarau mume ila rudini kwa Allah

    • @ftimaramadan4748
      @ftimaramadan4748 Před 2 lety

      Amini ya Rabby

  • @ukhtyhumairah73
    @ukhtyhumairah73 Před 3 lety +1

    Ya subhannallah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Před 2 lety

    Waifu ama naifu 😀😀😀

  • @claudettezainabu2162
    @claudettezainabu2162 Před 3 lety

    Hakuna kitu kibaa kama kuzini.ndoa zaisiku mungu tu

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před 3 lety

      Na hio zinaa siku hzi ndio inachochewa direct na indirect. Unakuta masheikh wengi wanahimiza w'me kuoa wake kuanzia 2 bila ya kutaka kujua kwanza huyo m'me anamtimizia mmoja aliyenaye na wtto? Na unakuta w'ke wengi hawataki waume waoe kwa sabbu akijitizama yupo mmoja na anajiona kishaingia maradhi kwa kutupiwa au kugaiwa majukumu ya nyumba na wtto kulisha na kuvisha. Kila vibiashara kishauza mume hana uwezo anataka kusaidiwa...leo akatafute wa pili mpaka 4 hali itakuaje? Matokeo yake unakuta wanaume wanapita wakizini tu.

    • @husseinjuma9384
      @husseinjuma9384 Před rokem

      ​@@alhamdulillah5796Mwenyez mungu hajalazimish kuoa mwanamke Zaid ya mmoj Ila kasem km una uwezo. Sasa akitokea mtu anaoa na Hana uwezo yeye ndo mweny matatizo sio mungu Wala shekhe