NGUVU YA UPENDO By Dr.Kelvin Bongole (Official Video):Kwaya Ya Mt.Yosefu Mfanyakazi-UDOM (WAEFESO).
Vložit
- čas přidán 29. 06. 2024
- Karibu kutazama wimbo maalum kwa kumbukizi ya wahitimu wa mwaka 2024 kutoka kwaya ya @Mt.YosefuMfanyakaziUDOM
#trending #catholic #kwayakatoliki #travel #udom #diamond #harmonize #clouds #alikiba #aleluyah #amazon #funny #sports #simba #yanga #azamgarh #africa #tanzania #easter ##comedy - Hudba
Here we gooo...✊✊✊
Karibuni sana
Mungu mwema sana kazi njema mno Mungu azidi kunyoosha njia kwaajili ya familia hii izidi kuwa na utume mwema na yeye aliye juu azidi kubariki kazi na majitoleo♥️💕💕
Amina sanaaa🖐🙏
Waooh fantastic sana ,kazi nzur sana majirani .Mungu azidi kuwapa nguvu za kumtumikia yeye
Amina sanaa naona mnalitimiza andiko la wimbo🖐🖐.
Asanteni Majirani na ............🎉
Waoooooo so amazing and good ,, ujumbe mzr sanaa marafik zetu God bless you 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mungu awe pamoja nanyi nyoteeee❤
A great work✊With all the vitamins🧁.
Karibuni nyote tutazame kazi yenye utukufu🖐🖐🖐.
Kazi iendelee🖐🖐.Karibuniii
Hongereni Kwa utume majirani
Asante sana jiraniiiiiii🙏🙏
❤❤❤❤❤❤ Kazi nzuri Sanaa
🎉🎉🎉
Wewe tu ulikosekana🎉
Sifa heshima na utukufu kwa Mungu. Mtunzi hajawahi kuniangusha....
🔥🔥🔥
Kazi nzuri nimebarikiwa , MUNGU awabariki
Amina sana tunabarikiwa pia kwa ushiriki wako katika kutufuatilia🙏
Mpo vzuri🎉🎉
Chand naona umemaintain😂😂
😂😂😂Tupo nae
Nipo liveeeee kabisa
Kazi nzuri hongereni katika kazi ya bwana
Asante sana ✊
kazi nzuri my family mumgu atusaidie tuimbee katika roho na kweli
Amina sana wilfrida
Kaz nzuri sana wana udom
🔥🔥
Mungu awalinde na kuwasimamia katika shughuli zenu zote wapendwa
Amina sanaa..Akulinde pia
Kazi nzuri, hongereni ✊
Mungu ni mkubwa
HAKIKA NGUVU YA UPENDO. Hongereni sana kwa kazi nzuri ,, Mwenyezi Mungu azidi kungarisha vipawa vyenu ili mzidi kumtumikia daima.
Amina sana karibu Udom mama yetu🙏🙏
Kazi mzuri sana iliyotukaka, hongera sana master Fey, Sarvio
Kazi iendelee🖐🖐
Nmependa sana huu wimbo... Be blessed st Joseph
Karibu sanaaaaa🎉🎉
@@Mt.YosefuMfanyakaziUDOM Asante
Kweli Mungu ni Upendo ❤❤❤
Kabisaaaa🎉
Hongereni sana🎉
Thanks alot🙏🙏
Mzidi kubarikiwa sana ujumbe mzuri video kali location imetulia inshort imeupiga mwingi mzidi kuinjilisha. Bigup organist
Asante sanaa🙏
Kelvin Bongole pokea maua Yako🌹🌹🌹🌹🌹
Unataka upewe Nini Tena na Mungu Kama uko kwenye kwaya Kama hiii!!!
Wajulishe habari🖐🤗
Fortunatus napita na fire ❤️🔥❤️🔥❤️🔥
🔥🔥🔥🔥
Mbarikiwe 🥰🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri. Hongereni sana Mungu azidi kuwapa nguvu zaidi na zaidi 🙏 🙏 🙏
🎉🎉🎉
kazi nzuri endeleeni kumwimbia mungu kwa sauti nzuri
Amina sanaa
asantee saana kwa kutufuatilia tunaomba support yenuu zaid ya kufuatilia kila tunachowekaa bila kusahau kusubscribe comments na ku share
Mbarikiwe sana Mungu awabariki kwa kazi njema
Asante sana 🙏
Hongereni Sana kazi nzuri sana Mungu awabariki.
Amina sanaa sister despina🙏
Asante dada D🙏🥰
Asante sana Despina Mdende ,karibu ufanye kazi Dorothea❤❤🎉
Hakika munaifanya kazi ya Mungu hongereno sana
Karibu sanaa🖐
Amazing song god bless to all upendo udumu kwa wote❤❤
Amina sana🙏
Waoow 💝🙏🙏 nguvu ya upendo🎉
🔥🔥🔥🔥🔥
❤
Amina Saàn Mungu awabariki saàn St.joseph
🙏🙏🙏🙏
Yan mnanikosha saaana mm nilieondoka hapo udom
Karibu tena
Aminaa tutende kwamatendo piah
Kabisa🙏
Kazi Nzuri Sanaa wapendwa Mungu azidi kubariki majitoleo yenu Kwa utume huu wa UIMBAJI❤️❤️❤️🎹🎹🎹
Asante sana mhasibu wetu
Asante sana dada yetu Maggy🌹
Kazi nzuri wapendwa mbarikiwe sana huu unyama ni hatar aise
Mungu atubariki sote, nawapenda familia yangu ❤️🎉tusichoke kumwimbia mungu siku zote 🙏🙏
❤❤
Mungu awabariki sana familia yangu🙏🥰🥰
Asante sana Mary Daudi , Hongera na wewe Miss M.D
Kazi nzuri....bravooo
Amen✊✊
Hongerenii sana kazii nzuriii
Aminaaaa🙏
Tumuimbie Bwana!
HOngereni kwa kazi nzuri
🙏🙏🖐
Safi sana more than blessings 🙏
😂😂It'll be a miracle🖐Thanks alot
Kervin mziki wako unanichanganya sana kaka ulisomea Germany? Ukwel unamziki wakikatholiki Vatican lakn wimbaji pia mmetenda haki ukweli ndimi Mwl Festor Romanus
Amina sanaaa mkuu kwa ufuatiliaj...
Kutoka wap please ?
Nguvu ya upendo daima idumu ndani mwetu,hongereni familia❤🎉🙏
Tunakutakia maisha mema Dada etu🖐
Asante Mungu awatunze nawapenda sana familia❤@@Mt.YosefuMfanyakaziUDOM
Hongera sanaaaaa Kwa utume
Hongera Mwampamba kwa kuimba kwa hisia kali
Mungu awape nguvu Na matumaini🎉🎉🎉
Amina🙏
Good work watu wa maana kabisa 🔥💞💕
Mtu wa maana kabisa pia ester Ndimbo🖐🙏
Hongeren sana ❤
Asante na karibu sanaaa🙏✊
🔥 fantastic work ,big creativity 👏, kazi nzuri sana
🔥🔥🔥🖐
Kazi nzuri watumishi wa Mungu
Mungu ni mwema🙏
Kazi nzuri wapendwa nmebarikiwa sana
Asante,,karibu sanaa
Upendo
Wa kweliiiii🖐🖐
Wow st Joseph mnaendelea kuupiga mwingi,nawamisi Sana
Karibu sana,tupo kabisaa🙏
Hongerenii Sana kwaya yetu mt Yusuf
Karibia mkuu🖐
Fam Forever🙏❤️🔥❤️🔥❤️🔥
And everrr
Mmeupiga mwingi😍🌹 kaz nzur sanaas
Karibu sanaa🖐🙏
Kazi nzuri ❤
Naaaam!!!✊✊
Kazi nzuri ujumbe mzuri, hongereni sana 🙏
🙏
🎉🎉🎉🙏🙏🙏🖐
Mungu awabariki sana,,wimbo mzuri🔥
Amina na akubariki pia kwa utazamaji...
Usichoke kutufuatilia
Hii kwaya nilijiunga mwaka 2019, kutoka moyoni niliogopa nikajitoa baada ya wiki niliogopa sitoendana na kasi Yao vijana wanaimba na kiukweli kbs kwa ajili ya mwenyezi kiasi kwamba Mimi mwnyw nikajuta kujiondoa, na ninacho furahi spirit Yao Bado ni Ile Ile, always stay blessed Wanayosefu
Tunashukuru san natamn siku Moja uje utusalimie tena
Ujeeeeeeeee
tunashukuruu saana kwa kuendelea kutufuatiliaa bado ni kwaya yakoo pamoja na kuwa uko mbalii nasi kimwlii lkn tuko pmja kirohoo....
zaidi endeleaa kusalia nasii kwa mazuri mengi yatakayofuataa
Hongereni sana kwa uinjilishaji ❤ Mungu awe nanyi awabariki kwa hili.
@@gracelynferdnand5582 Asante sana na Karibu tenaa🙏🖐🖐
🎉🎉Upendo utawale daima❤
Mioyoni mwetu🖐🖐..
Bila kusahau jirani
❤🎉🎉🎉
🙏🙏
whaoooo!!🎉 Wimbo mzuri sana ..
Karibu sanaaa..
Usisahau kushare na kwa marafiki🖐
Dada Love 😘💕
Umemuonaaa😂😂
Kazi nzuri Utume uendelee mataifani kote❤
Aminaaaa
nice work my family❤
Thanks fridaa🙏🙏
hongereni sana
Asante sanaaaa
Love lead❤
🙏🙏🎉
Hakika Mungu ni mwema katika kila jambo ❤❤❤ congole my lovely family,,, najixkia Raha na furaha nikiwa ndani ya st Joseph kwaya
Mungu azidi kutuweka katika upendo🖐🙏
Mungu abariki kaz y mikono yenu🙏
Amina
More Kudo's,❤
🎉🎉
Hongereni kwa kazi nzuri KIMSINGI
Asante sana na karibu tena🙏🙏
🎉🎉hongera sana
Asante sanaa🙏Karibu
Mzungu unasifika huku
Pande zipi Mkuu?
Tumlete
🎉🎉🎉
🔥🔥🌹
Familia yangu pendwa sana Mungu AWABARIKI
Amina,Mungu akubariki pia kwa majitoleo yako🙏
Amina
Hongereni
Asante
Kazi nzur🎉🎉🎉🎉
Amina sanaaa🙏🙏
Nmejikuta nmeingia uweponi baada ya kuusikiliza kazi hii, it's🔥
asantee endeleaa kutufuatilia ilii upate mengi zaidi kutoka kwaya ya mt yosefu udom
Nmependa bure had raha yan
Waaaooo burudikaaa
Tupendane
Karibu tena Broh 🎉
Mkuu tunakushukuru sana kwa sauti nzuri Mungu akubariki sana na karibu tena tufanyeje kazi pamoja
"Kwa moyo wetu woteee"🙏🙏..
Kazi nzuri Mr.Savio
Kazi nzuri. Hongereni sana Mungu azidi kuwapa nguvu zaidi na zaidi,,,,,
Asante na karibu tena
Ni nzuri sanaaa hongereni🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Asante na karibu tenaaa
Good job
Once again,you're welcome🖐🙏
Bravo 👏👏🎉🎉
🙏🙏🙏
I wish ningekuwepo na mimi😢 hongereni sana ❤
Karibu mamaa❤
Rudi tu agathaaa😂
Asante @dorothydeclan6995
@Mt.YosefuMfanyakaziUDOM 😭
Bongole❤
🥰🖐
Amina sana MUNGU azidi kuwazidishia mlipopunguza barikiwa sanaa 🙏 🙏 ❤
Amina sanaa...Akubariki pia
Doctor bana
Anaupiga mwingi🖐
Nice
🎉
My family you did the best❤
Thanks our audience🙏🙏
Wanajua saaaanaaaa🎙️🎙️🎤🎤
🙏🙏🙏
Mungu ni pendo nasi yatupasa kupendana
Tunashukuru sanaa mkuu kazi yako na ibarikiwe🙏🙏
Dr.Bongole shukran nyingi kwako kwa utunzi bora
Hongera. Mungu aendelee kukutumia vyema na ukatumike vizuri
We appreciate your work ❤
Asante sana Dr.Bongole , tunasubiri wimbo mwingine tufanye booking mapema
Amazing❤❤
Woooooow!🔥🔥
Yoseph viva
Vivaaaaa✊✊
ZMungu aibariki Kaz ya mikon yenu
Amina sana ndugu katika kristo🙏
Savio never disappoints 🙏🏼
😂
Kazi nzuri wandugu katika kristu❤🎉
Amina
🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️❤️
❤❤❤❤❤🎉🎉
❤
❤❤🎉🎉