This girl will pay surely. AUNTY seems calm, but her words are very powerful. I wish she can apologize to aunty ,in uganda an aunty is some one one should never offend they curse badly
Jay umefanya vizuri uyu mama angeishi kukuliwa kwa mfuko kama njugu karanga ni mama mzuri mtulivu amelea uyu kama mamake iyo ndo malipa surely who does that
What the niece is saying is true i believe. Uncle alikua amuandama mtoto/niece. Na ni ngumu sana kumsema, cz chances are, hangeaminika. Nakama angeaminika, still, somehow *Angekwaruzika. But still, angesema tu. She was somehow caught between a rock and, a hard place.
Yes, mtoto/niece amekosa, but bado ni mtoto kwenu, tena sana. Wazazi wa young girl, handle hii issues pia with some degree of care and concern. Vikishinda mtokanwe kabisa. This girl amekua kiasi, she can handle herself duniani sasa. So, km haiwezekani, tokaneni sasa kwa vizuri, b4 it's too late.
Na mama aunty, uwache kupiga au kutishia watoto vibaya. Utajiletea Hasara Juu ya Hasara. Acha mediator mtaalamu afanye jambo hili. Tulia bila more hasara, wacha storm ipite. Nakama haipiti utakavyo, kubali tu. Wewe au sisi, sio msemi. Msemi mjua yote ni Mungu. Unaumia km watu wengine duniani (same or different pain), but, hii ni hali ya dunia. Since, Adamu na Eva. Hang in there, acha storm i calm. Tulia, and pole. NB. Achana na huyo bwanako alie piswa. Na ujue hana haya hata kidogo. Asiku enjoy akakuingiza box tena. Next time, u might not be able to rise again.
True K, usikakubali wanaopigana waendanishe na gari moja. Wakifariki or mmoja wao afariki frm accident suicide or kupigana or gari kugongana/kugonganishwa ... unaeza kuwa liable. Na pia utakua na maswali mengi ya kujibu. Utatokwa na *KIJASHO*. Job yako ni hazardous km ya polisi, firefighter etc. But, kazi ni lazima ifanywe. Good Luck. Nb. Hata kazi ya ofisini mtu anaeza jikuta taabani. Na wale wanaenda Saudia... pia ni kazi.
Na wewe utavunja familia za watu mpaka lini,laxima ujue wanaotangazea kuwa wamepotea halafu baafaye wanakuja patikana wameuwawa na kutupwa kwa msitu,huwa wanafanyia watu hivo,Sasa huyo msichana unakuwa chanzo Cha shida zake,laxima ujue Kuna Mungi mbinguni,
Kuna ukweli kiasi hapo. Ukweli ni kwamba kwa hi kazi yake ananasua wengi kwa mitego hatari sana na wakati huohuo kuwalisha wengine sumu ya kumaliza uhai. Sijui tufanye nini ila amevunja ndoa mngi mingi sana
Mama, la ajabu nikwamba, likely, mtoto wako mmoja or all, wanajua haya mambo.. Think, ikiwa kuna mmoja alikua anahongwa sana na babake or kupendelewa or... Ni mambo ngumu mom. Na all Ushago family itajua. And might split n take sides...
Lakini wewe dada unawezaje panuliya bwana ya aunt yako ule ukulisha miguu? Hapo umekosea na inaonekana nikitu unampanuliya very often. Advice usisaliti family. Sasa ona umeachwa solemba na aunty.
Ni kweli niece anakupenda. Na ni kweli pia she was btwn a rock n a hard place... Aunty hangeamini niece wake... either way. It would've taken long kumuamini, na niece hata angesema, aunt bado angemfurusha. Aunty, hata wewe si Bingwa wa haya maneno. Believe me. This played in our family, na si mara moja. Take it frm me (tho najua utasema; mimi ni nani). Nasema frm yale nilijionea na macho, growing up. And, it is ugly. But hivyo ndivyo ilivyo. NB. Haya mambo, si isolated, as U may think. Sad reality.
Baba Keith tumekujua. Tumeona picha yako wazi wazi. Thank you God. // Unaeza kujifanya sasa mu arrogant frm now on, but tumekujua. Meishowe utakufa na magonjwa ya huko* km kufura madende au saratani za huko or whatever. Wolololololoo !!!
Kuna story nilisoma nikiwa mdogo. Ilikua yasema kua kuna mtoto mmoja aliekutwa na mzee akitaka kuvuka mto, uliofurika. Kakaitisha mzee msaada, mzee akamuekelea mabegani across the neck. Karibu na katikati, mtoto akawa mzitooo Sana. But, mzee akang'ang'ana. Kumbe, huyo mzee alikua anasaidia Bw. Yesu. But alikua hajui. Kwa thiki na mashaka, akafaulu kuvuka huo mto. // Moral of the story ni?
Waaah saaa huyo mwanaume woote huwa analalia mtu size gani walai aki men,,,nitaishi kutolea my ex hubby kofia alikuwa kigongi but hakuwai gusa maids au my relatives 😢😢😢this is shameful akii😢😢
Rule number one, I never live with relatives in my house. Mtu akae na mama yake na kama nikumsaidia, nimsaidie akiwa mbali. 😢😢
True
😮😅😅😅😅😅😅
Afathali ifanyike hukobali na mimi
I always say that,,, kila mtu akae na mama yake ama bwanake
Hata Mimi niliamua
Wacha niitwe mbaya
Huyu ni mjinga sasa umesaidiwa na hauna shukrani
Congratulations Director J for a wonderful work. God protect you through this work . The Auntie is very humble and kind. This girl will pay back
Aki why do this to your aunt you have boy friend yet you spoil someone house
This girl will pay surely. AUNTY seems calm, but her words are very powerful. I wish she can apologize to aunty ,in uganda an aunty is some one one should never offend they curse badly
It's everywhere
Very true
Same here in kenya
@@NatashaLiam-cq2ew this days our girls take things lightly this is abomination this is your real aunt
Jay good job juu unasanitise wanawake msichana Hana haya after all that
Huyu Mzee n wale wakizeeka wanalala n watoto wake wakuzaa badae
Jay umefanya vizuri uyu mama angeishi kukuliwa kwa mfuko kama njugu karanga ni mama mzuri mtulivu amelea uyu kama mamake iyo ndo malipa surely who does that
The girl will live to regret. Kwani msichana wa form 4 hawezi jua akikosea aunty yake? She's gonna learn the hard way.
Kukaa na watu wenyu ni stress tupu
Ni laana actually
Jay Acha hypocracy.eti waelewane?lakini hata aunt nimcool sana.angekua amekula slaps kadhaa.
Kinuthia must see this 😅😅
Kwanini wewe mtoto unashinda ukisema hakuna kitu km hiyo. Wauthi Sana Sana Sana. Unamkasirisha aunt yako zaidi.
Hi ni Ghasia ya mwanaume. Ana muke mzuri kama huyu alafu anakimbilia kuma ya kitu hakuna
Imagine
Nitamaa tuu Ile iliuwa fisi imemfikia. Ona sasa msukosuku ule umemfikia
Walai isimame sasa, Director Jay😢
Huyo mzee anaweza kula mtoi wake aki
Tangu kinirambe na relative Mimi I trust no body walai 😢heli uchukiwe na uishi lyf Yako kivyako
Familia wakae mbali na ndoa yako
Hata Mimi kilinilamba ni kujifanya mzuri
huyu mama hata yeye mimi ningekua nimeua mtu mtoto wa sister yangu 😂😂😂 wacha tuu
There is nothing you can do...
Unawaachia MUNGU...WAH!
Mbona wanabeba huyu mama ufala,😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Fukuza hii takataka malayaa anakukula kisogo atakuvujia ndoa mama hakupendi hata kidogo
Sijui shinda yangu haki, shot moja tu na nkapata mimba😢😢😢😢😢😢😢😢
Hahaha 🤣😂😂😂 ati
🤣🤣🤣🤣🤣
What the niece is saying is true i believe. Uncle alikua amuandama mtoto/niece. Na ni ngumu sana kumsema, cz chances are, hangeaminika. Nakama angeaminika, still, somehow *Angekwaruzika. But still, angesema tu. She was somehow caught between a rock and, a hard place.
The aunt is very good,musichana ndio ako na kiburi
Si kiburi. Ni kutokomaa na ujinga. Hawaambiwangi siku hizi. Hao ndiyo wanajua kila kitu
You Auntie you are so good God will be with you always you have good heart 😊
His so painful yani huyu watoto wa sikuiz wana respect and your own family 😢😢, bona haki hata kama
Yes, mtoto/niece amekosa, but bado ni mtoto kwenu, tena sana. Wazazi wa young girl, handle hii issues pia with some degree of care and concern. Vikishinda mtokanwe kabisa. This girl amekua kiasi, she can handle herself duniani sasa.
So, km haiwezekani, tokaneni sasa kwa vizuri, b4 it's too late.
Na mama aunty, uwache kupiga au kutishia watoto vibaya. Utajiletea Hasara Juu ya Hasara. Acha mediator mtaalamu afanye jambo hili.
Tulia bila more hasara, wacha storm ipite. Nakama haipiti utakavyo, kubali tu. Wewe au sisi, sio msemi. Msemi mjua yote ni Mungu. Unaumia km watu wengine duniani (same or different pain), but, hii ni hali ya dunia. Since, Adamu na Eva. Hang in there, acha storm i calm. Tulia, and pole.
NB. Achana na huyo bwanako alie piswa. Na ujue hana haya hata kidogo. Asiku enjoy akakuingiza box tena.
Next time, u might not be able to rise again.
Kwanza huyu mschana ni falla dressing code ata her walking style …, some men can disgrace you pole mama
Dr jay💪💪💪💪💪
Ulikuwa huna Mtu mwingine kwa nini ulikubali babako
Ju. wewe hujaharibia aunt yako ?? Wewe enda kwa Kinuthia.
Imagine
Nikiwaabia muwache kuleta hao watu mnaitwa antie mnakataa ...kitazidi kuwaraba ..
Kinuthia should hear this 😂😂
Enda kwa kinunuthia ala 😳😳
The wife is so cute
Mm siwezi kaa na mtu kwangu
Lkn sio poa kweli
True K, usikakubali wanaopigana waendanishe na gari moja. Wakifariki or mmoja wao afariki frm accident suicide or kupigana or gari kugongana/kugonganishwa ... unaeza kuwa liable. Na pia utakua na maswali mengi ya kujibu. Utatokwa na *KIJASHO*.
Job yako ni hazardous km ya polisi, firefighter
etc.
But, kazi ni lazima ifanywe.
Good Luck.
Nb. Hata kazi ya ofisini mtu anaeza jikuta taabani. Na wale wanaenda Saudia... pia ni kazi.
Hizi ni aibu gani sasa
Huyu mwanaume macho yapo juu anamke mnzuri ila huyu mwanaume ni hatari😢😢😢
Na wewe utavunja familia za watu mpaka lini,laxima ujue wanaotangazea kuwa wamepotea halafu baafaye wanakuja patikana wameuwawa na kutupwa kwa msitu,huwa wanafanyia watu hivo,Sasa huyo msichana unakuwa chanzo Cha shida zake,laxima ujue Kuna Mungi mbinguni,
Kuna ukweli kiasi hapo. Ukweli ni kwamba kwa hi kazi yake ananasua wengi kwa mitego hatari sana na wakati huohuo kuwalisha wengine sumu ya kumaliza uhai. Sijui tufanye nini ila amevunja ndoa mngi mingi sana
Mimi nilikuwa naenda kwa auntie na bwanake alikuwa ananitaka ,hizi vitu hufanyika!
Nikibinadamu kuwa na tamaa. Tatizo nikuwacha tamaa zikutawale
Aki pole but auntie jay ame kusaidia tena uno mufukusa una ishima wewe naye
Mama, la ajabu nikwamba, likely, mtoto wako mmoja or all, wanajua haya mambo..
Think, ikiwa kuna mmoja alikua anahongwa sana na babake or kupendelewa or... Ni mambo ngumu mom. Na all Ushago family itajua. And might split n take sides...
N chungu jameni ak pole sana ak
Please fungueni temporarily shelters cz of issues km hizi. Though si physical violence, ni worse hata kushinda p. violence zengine.
Ukifanya njambo lolote lile n vizuri kuwa na second thought
huyu mama nimemuonea huluma kama ni mm angejua hajui
Mzee kwani uko na pepo wa ngono na watu hawajui? umekosa adabu,heshima na maadili sana. Nimekuogopa kama unaweza tenda hayo
Kinuthia must see this 😂😂😂😂
Huyu ni Malaya WA kawaida
Mr. P2 kwa watoto wa watu.
P2p2p2p2p2p2p2p2p2.Wololo yae !!!
So sad
Kila MTU akae kwake.
Hili libaba na sura fupi ni malayaaa lionee
Kujinga hata hana aibu
Anti aki yumrembo Ila wanaume
Wonders
Ati: "Kwenda akakue polygamous, wewe na uncle yako na Kinuthia wako, enda!!!"
Walai mnaonea True K Tv na mashida yenu.
Huyu Auntie hajapata kijiti mpaka sai sanitizing imeisha.
Sasa huyu mwanamume amerudia nini si alienda😂😂
Lakini wewe dada unawezaje panuliya bwana ya aunt yako ule ukulisha miguu? Hapo umekosea na inaonekana nikitu unampanuliya very often. Advice usisaliti family. Sasa ona umeachwa solemba na aunty.
Ni kweli niece anakupenda. Na ni kweli pia she was btwn a rock n a hard place...
Aunty hangeamini niece wake... either way.
It would've taken long kumuamini, na niece hata angesema, aunt bado angemfurusha.
Aunty, hata wewe si Bingwa wa haya maneno. Believe me.
This played in our family, na si mara moja.
Take it frm me (tho najua utasema; mimi ni nani). Nasema frm yale nilijionea na macho, growing up. And, it is ugly. But hivyo ndivyo ilivyo.
NB. Haya mambo, si isolated, as U may think. Sad reality.
The last part where the girl ask ni hivo?😂
It's a vry big curse if this girl can't appologize to her aunt she will regret 😢
Maid ama neace achs kutuchanganya
hiyo part ya mwisho anauliza niivo😃😃😃😃scripted
Huyu mama ana hata Mambo mingi
At kuvaa y bwana n hyu dem n sham😂😂😂bt ako n heshima n vyenye 2 hyu mubaba aĺimforce maybe 😢😢😢😢
So sad 😢
Aki niuchungu niaje woiyee
What goes around come's around young girl.. don't be happy for breaking your unties marriage.
The way the girl is breathing and holding her breath, she might be pregnant which would make matters worse.
Kila mtu akae kwao plz tuavoid such issues
Hakim huyu auntie ana roho Safi murembo Jambi Chunga Sana laana isikufwate utakataliwa mpaka mpaka mantii wabebaki watakukemea
Baba Keith tumekujua. Tumeona picha yako wazi wazi. Thank you God. // Unaeza kujifanya sasa mu arrogant frm now on, but tumekujua.
Meishowe utakufa na magonjwa ya huko* km kufura madende au saratani za huko or whatever.
Wolololololoo !!!
Kwani hata akisoma yeye ndio ameandika
Hii episode ikiisha mdem anauliza ni hivo halfu camera mana anambiwa akate mbio
Utspangiwa room mjinga
Stop acting, kwanini mchina anauliza direcor j kama amemaliza,watch still the end.
Another day to distance myself from in-laws 😂😂😂
Mtoi ni yule ananyonya i rest my case
Kuna story nilisoma nikiwa mdogo. Ilikua yasema kua kuna mtoto mmoja aliekutwa na mzee akitaka kuvuka mto, uliofurika. Kakaitisha mzee msaada, mzee akamuekelea mabegani across the neck. Karibu na katikati, mtoto akawa mzitooo Sana. But, mzee akang'ang'ana. Kumbe, huyo mzee alikua anasaidia Bw. Yesu. But alikua hajui.
Kwa thiki na mashaka, akafaulu kuvuka huo mto. // Moral of the story ni?
Kugi tetai je hana.adabu
Good one 😂😂😂DK
Waaah saaa huyo mwanaume woote huwa analalia mtu size gani walai aki men,,,nitaishi kutolea my ex hubby kofia alikuwa kigongi but hakuwai gusa maids au my relatives 😢😢😢this is shameful akii😢😢
The lady is not sorry at all,she is happy
Eti unaenda wapi kamaya hii
Mwathani 😱
Ata mtu hajamaliza masomo na ako na boyfriend ata hana haya
It's painful
Ni maid or niece,the title tells different things
Ni niece mtoto WA sister yke
😢😢😢😢😢mm nikuwapea sumu darect tena kwa food
Aisha! Na hiyo ni kali...... wacha tu aende kwa kinuthia na waendele kunyanduana na anko sasa bila wikwazo
Hamjaacha hii ufara😅
This young girl is too big headed and unwilling to accept responsibility. She has no real remorse. She will end up killing if she doesn't change.
Leta kinuthia on set
Hay Jay
Nenda kwa kinuthia
Auntie nimpoa ana defend Jay
Ehhh ucmdhali binadam cku zoote ana maudhi ,beta mnyama utamla nyama😒😒😒
Mschana wanajifanya atapiga simu amchukue
Aunt,aunt,aunt.
huyu mama hayuko serious 😂😂
Usimuhukumu. Mambo mengine nimagumu kuyaelewa na kupurupuka sio jibu
Tena sio niece
Ndio nashindwa
Ni mke mweza ukidhani ni mtoto wako unalea. Aishhh! Maajabu ya Musa haya tunayaona