I don't understand kiswahili too much but with my little understanding this guy killing me i am addicted to he's commedy staff hhhhhh Love for tanzaniya from ethiopia
Hii kiboko sanar...chukua buku basi steve 😂 nawapenda sana tokea N A I R O B I K E N Y A....VPN balaa!....hilo tabasamu la steve baada ya kuambiwa vitu kama hizi ni la kitani sana 😂😂
Kiukweli watu wenye vipaji duani wapo, Steve mweusi ni kanumba wapili watanzania.❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪likes za steve from kenya
Pasua watu steve
Steve wambie jangamoto za shule pro unanikumbusha mbali sana
Kaka uko vizuriii hongera pia kwa kuwashika mkono na wengine watimize malengo Yao 🙏
Niko wakaribu leo kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮stive namukubali sana kama na wew wamukubali gonga hicho kidude cha ma like tumanyane.
Hii n country gn
@@delvinsalah7494 acha zarau ni burundi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kidude gani wew muburundi mwenzangu🤣🤣🤣🤣🤣
@@myqween3538 kicheki hapo chini ya hilo lioni langu upande wakushoto ndo kipo vip sasa wakaa wapi wewe?
Nakubal xana Steve hongera bana ama kwl mungu kakujalia kpaji
Eti nyi mwabaki mmelala me tu ndo naenda shule.........Steve twapenda kazi yako toka Kenya
Nmecheka
Sio poa
Nimecheka sana
Steve hii umeweza nipeeni like za steve
Naomba subscription yako tafadhali
czcams.com/video/9VDzAn5GEDA/video.html
Steve yani mi ukucheki sana Big up from Germany
I don't understand kiswahili too much but with my little understanding this guy killing me i am addicted to he's commedy staff hhhhhh
Love for tanzaniya from ethiopia
I love you
@@obedubaid7618 mxzm"mzzz
@@raheljaphet7918bbb b bbbBbbbb
Aaaaah Steve kweli wewe uta tumaliza siku izi mbavu zetu jamani
🤣🤣🤣 🤣🤣🤣🤣steve ukute ata chai hamjanitunzia🤣🤣🤣🤣 we noma sana
Wee mweusi Rwanda🇷🇼🇷🇼 unadufuraisha Sana aa!!!😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Stive hpo uko chonjo
Ahaaa nmekkumbuka nipe like za Steve
Hongera sana kaka kazi nzuri
🤣🤣🤣🤣🤣 Jamani Steve hahaaaa Kenyans mko wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😃😃🇰🇪
Tupo
Semaje
Tupoo
Tupo nampenda Sana Steve
Yaani Steve unakataa mia🤣🤣🤣
Hahahha ety ghalama gan kwa hiki kishing mia
my best comedy ever when I'm down i run here
😂😂😂dogo nisaidie kuletea kiatu kimoja ndan
Hawa. Hawa . 1 day. ago
@@dominicoichoe7987 😄
Hivi hivi nilivo eti nikoje😂😂😂😂😂
Anganile habari.za Sikh.nyingi huko.igurusi mkoa was mbeya
Nipo Tunduma mpakani na Zambia we wapi ndugu igurusi wapo ndugu zangu na chmala
Mia mia,steve mweusi we kiboko,big up keep it up brother u can nakubali
Steve akijitahidi kila siku kama hivi atakuwa King
We kasome Steve🙄🙄🙄
Steve acha kutuumiza mbavu 😝😝😝😝 had napaliwa haki 😀😀😀😀😀
Jaman duuu steve nomaa sana et nikamalizie mihogo ndan🤣🤣🤣
Tunaoangalia kwa kusoma comment tuko wap jmn Ila hapo jamaa katisha laaa et shule ya msing
M
Jaman da katisha
😁😂🤣Stevo, you are the world number one. Respect from Nigeria.
Ndio Steven ww ni mkali kuzidi mkubwa wako 😁😁
Eti acha ujinga🤣🤣🤣😂😂
😂😂😂🤣🤣
Angalia ninavyo bukua 😂😂🤣😃
😂😂😂😂😂
Hakika huyu Stive atakuwa tishio hapa bongo kama omond wa kenya
Tafadhali naomba unisupport na subscription yak ndugu
czcams.com/video/9VDzAn5GEDA/video.html
Huyu ni moto wa kuotea mbali
Yan steve unanivunjaga mbavu yan kwauzezeta tu 😁😁😁😁😁
Napenda shule ila haziingii 😂😂😂
Amejisema ukwer
😂😂
Pole saana Kaka
@@tripplejaytz3934 is gg
Steve uko juu kama mfuko wa shart 😃
Nimecheka mno jmn et nyie mnalala mie ndio naenda shule kila siku mie sipendi duh🤣🤣🤣🤣🤣
Miakaiyo dah mafutayakula sana2🤣🤣🤣
Steve jmn we noma
❤❤❤❤❤❤❤
Mnatisha dogo dele❤️❤️🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Steve nimecheka noma sana.
Mkoba tu mm hoiiii😅😅😅😅🤣🤣🤣anavobukua sasa Steve
Am In Kenya Bt I Like Watching Bongo Movie Sana
Ahaa kumbe steven ndo alisema akisoma haviingii nilijuwa wee
Da wamenikumbusha uwo usemi Zaman
😂😂😂😂😂😂VPN noumaaa
Hahahahaha Kaz nzur Steve🥰
Ww Steve chizi kweli😂😂😂😂😂
Mdada mzur maa shaa allh
Steve 😁😁😁 haya bhana 🌷🌹
Steve and sele continue to perform 😃😃😃
Sana wakubwa zangu i like it
Hahahahahahaha stev staili yako ya uwigizaji ya kipekee
Anajua sana😂
@@saidjuma2605 sana
Nyinyi mnakaa ndani mnalala Mimi naenda shuleni🤣🤣🤣🤣
Steve unakataa 💯 enzi zetu ukipewa unarudisha na cheji😜🤪😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅
Hiii nimeipenda sana huyu jamaaa anafaaa kuendelea na stivu
Huyu jamaa anaweza sana
Ila Stive unakipaji 🤣🤣🤣🤣 unauvaa uhusika kweli Congrats
😅😅😅 Watu labda hawana akili ndo waje wapasuliwe na mimi😅😅
🤣😂😂
Respect Steve in USA
Eti miguhi ina kahuka kama yatima😃😃😃😃 stive eti nyinyi njo wa ganga zangu😂😂😂 like zetu jamani
Hahaha kaka nayeye hajui Kusoma🤣🤣🤣
😂😂😂😂daftari la sele
Steve mweusi kazi nzuri ,
Kazi poa shule 😃😃
Stev mweusi umenikumbusha mbali sana haha haha haha haha
😅😅😅😅😅😅😅yani wewe stive umejua kunichekesha
Nikamalizie Miogo yangu ndani si eti 😁
Sele ame haribu steve 😂😂😂
Kali sana man
Kama umekubali kazi hii bas like
Hii kiboko sanar...chukua buku basi steve 😂 nawapenda sana tokea N A I R O B I K E N Y A....VPN balaa!....hilo tabasamu la steve baada ya kuambiwa vitu kama hizi ni la kitani sana 😂😂
P
Steve wewe😂😂🔥🔥🔥🔥
Ila Stevn we nomaa. 😂😂😂😂😂
Hahaha 😂 😂 😂 😂 ela zngu
Hi I'
you have a blessed night and
Good morning and yes
Bav zangu stev mweee uwii nakufa jaman usijue hata hilo daftar silake
😂😂😂😂😂😂 sio kwa kumpaka huko mafuta mwanafuzi
Kama umeona mikono ya kamera man gonnga like
Eeeeh bwana mweusi nakukubalisana mwanangu
Wakenya AWAWEZ KUTUSHIKA kwa SPD iyooo tume sha waacha atua kama 1000
Sanaa awatufikii
True
Ahaaa aise we stiv unanifulaisha sana
Steve 🔥🔥🔥🤔🤔
Steve the big student. Wonderfull !!! 😁😄😆
Steve always you made it😂😂
Eeh kaimalizie mihogo 😂😂😂😂
Anae tamani huyo dada nguo idondoke aone ndani kuna nn agonge like zake hapa😂😂🤣
Nikianamutoto kamahuu Steve nitamuvunjavunja chingo Kbis 🤦🤦🤦🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
😀😀😀😀hii kiboko
stive wewe 😂😂😂😂😂😂❤️❤️❤️
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimekumbuka ezi zetu tulikuwa ukikosa rays 😂😂unapakwa kimbo Haha usiparare Haha Steve eti mnalala mwaniacha naendaa pekeyangu ulitaka uendee nanani🙄🙄🙄🙄
Hahahahaha Stive yan we ni shida
Niambie
Uncle usilete utani kwenye masihara mia hela hiyo ohooooooo
Ila Stev huwa anachekesha Sana 🤣🤣🤣🤣
Naomba subscription kwa channel yangu
czcams.com/video/9VDzAn5GEDA/video.html
Kelele yakwanza kwa Steve wake
Sti
😂😂
Safi kaka
Nawapenda sana❤❤❤❤❤
I love you my brother steve
Kazi nzur broo 👌👌
😂😂😂😂dadeeekiiiii, duuu noma sanaaaa
uyu steve anachekesh adi bala
Nimefurahia hii kitu. Hongereni
🤣🤣🤣 Steve jamani
Nomasana kazi iko powasana
Steve upo vzr kaka
Mnabaki mnalala mimi nakwenda shule
Niambie
Kwaiyo nikamarizie miogo au 😃😃😃😃😃
Wazee WA kuazima madaftari tujuane🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😆😆😆 we sio poa
Mmejua kunichekesha 😂😂😂😂
Mafuta ya kupikia ndiyo unapakazwa daah pole Steve😁😁