#snakeboy #clamvevo Sungwi Ni Movie Inayo Muelezea Kiongozi Ambaye Anawetesa Na Kuwa Nyanyasa Wananchi Wake Na Anatokea Kijana Mgeni Ambae Anakuja Kuwa Msaada Kwenye Kijiji Hicho
We chifu yanamwisho hayo, Nina Imani hipo siku atakuwa mkombozi kwenye imaya sungwi huyo kijana mgeni, na wewe unapenda kunyonya maziwa ya wamama Yana mwisho hayo
Budu umefeli wap jaman pole San akika ww ndyo chifuu wetu jaman nimatamu 😂 ndege wa 🔥🔥🔥🔥 utakuwa ndege wa barid muda sio mrefu wallah Kiapara nikikuamby ww utaupoza kula chuma hchoo ndege wa barid kazikwa nasuti zake 😂😂😂 za kazi
Bibi ya dubu hakuna mwenye anajua mahali alipo😅 kama unatambua atakuja na nguvuvu mpya lete likes..my country 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nawapenda sana dubu team
Next movie naomba kuwajoin tafadhali🙏🙏🙏🇰🇪
@@marymuli-cu6dqkjiiiiljjii8
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💌💌💌💌💌💌💌💌💌💌💌💃💃💃💃 3:08 💃💃💃💃💃🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wow eko sawa sana tunangoja nomber 7 etakuja lini kweli❤❤❤❤
Nzuri ajabu🎉❤big up Dubu na waigizaji wenzako❤️🇰🇪🇰🇪
Kenya twawapenda sana...🇰🇪
Wakwanza from kenya 🇰🇪 much love ❤️
💪
Unaililia yako we uogopi 😅 much l0ve ❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥dubu atatoka ndo mukombozi wenu musijali wana imaya uyo nae amekua sutwa bala he amekua mbeya wa cifu pole yako
Movie nzuri, movie inavutia na nikaili sana dubu mambo ni kama haya mazuri
Aki nyie mmenifurahisha mwisho mwisho kumbe ndio mnafanyaga duuuh nimechekaa ka chizi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hongera sn muigizaji bora Dubu
Unaweza kuwasiliana na mm samahani
😂😂😂😂😂😂😂 ep yakufata tafadhali 😂😂😂😂😂😂😂😂 nayipenda saaana
❤❤❤❤ sungwi nizuli Sana 🎉🎉🎉🎉 Yako Dubu
Ila huyo wa kunyonya watu si ni mshenzi😂😂😂 sasa tangu lini matiti ya mwanaume yakatoa maziwa jaman😮# sungwi hoyeee team dubu mpo vizuri kama kawa🎉🎉🎉
Hapo chief umepatikana hadi unanyonywa maziwa duuh! Aisee!
Ndege wa 🔥🔥🔥 .sio Kwa pozi hilo hatariii😂😂nimependa hyooo
Good work dubu❤❤❤😮🎉
Niwewahi dubu kuwasapoti💪💪
Appreciate dubu you're the best really like from saudia Arabia ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Chief na kipara ngoto mlijua kunichekesha 😅much love from 🇺🇸 ongereni kwa kazi nzr ❤️
Vip unayaonaje maziwa ya mkewang nimatak kesho ntarudi tena 😂😂😂😂🙌🏻
Good job Dubu❤️❤️❤️❤️🎉
We chifu yanamwisho hayo, Nina Imani hipo siku atakuwa mkombozi kwenye imaya sungwi huyo kijana mgeni, na wewe unapenda kunyonya maziwa ya wamama Yana mwisho hayo
Wakenya🇰🇪 tupo wengi hapa❤❤❤dubu mwamba
Tuache ni nasiara dubu kuna mtu umetunyima leo nyani ngwengwe yuko wapi au ndio anajiandaa na ndoa,🤣🤣😂😂😂
😁😁😁🤣kandege yamoto wanakahuwa na wanakazika🇧🇮🌹
good job next ep
Love you team dubu❤❤❤❤
Kazi nzuri team sungwi ❤❤
Very good team DUBU TZ kwa kazi nzur sisi ni watu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Turabakunda sana
Naipenda sana kazi yan Mungu azidy kuwatunza,pia naombeni msichelewsh bas ,alafu weweee MBN sijamwona Chuchu konzi😂😂
Dubu hajawai kufeli❤🎉
🎉🎉🎉 kwenu ni wabunifu more than talent like zenu naxubiria leo zifike hta 1000❤❤❤
Tunawapenda ❤❤❤😊
Tamu sana ila mnachelewa kidogo,lakini muamshe mwezetu kwasababu anasaidiya wegine
Mimi aka kamjomba ake mmfalme nakapenda ana figa mzuri sanaa
Wa kwanza leooooooooo sijawah kuw wa kwanza ndo kwanz Leo alhamdulillah 🙏 naomben like
Much love from Kenya
❤❤❤❤❤❤❤kutoka kenya 🇰🇪
Like zangu mim wa kwanza 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kila mtu wa kwanz mbona sielew
Kaz nzur sana dubu
Chif umenyonywa maziwa😅😅😅😅😊
Cheaf wamemnyonyaaa😅
Jamani nimekuwa katika mmoja alie wahii naomba like zenu❤❤❤
Mhh mbona maziwa haya tok 😂😂😂😂🙌🏻❤🎉
Muko vizuri sn ila munachelewa sn
Mombasa tko pamoja nanyi🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hi k2 n tamu bana❤😂
Nawakubal mko vizul❤❤❤❤
Kaz nzur kijana
Weweeeeeee piga kelele kwa Dubu akeeeeee
Kaz mzuli bro 🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana dubu tz ongera sana kwa kutuletea kazi nzuri kama hizi salute kwako kaka.
Budu umefeli wap jaman pole San akika ww ndyo chifuu wetu jaman nimatamu 😂 ndege wa 🔥🔥🔥🔥 utakuwa ndege wa barid muda sio mrefu wallah Kiapara nikikuamby ww utaupoza kula chuma hchoo ndege wa barid kazikwa nasuti zake 😂😂😂 za kazi
Daaah Big Up
Dubu nakukubali mwamba unatiaha na timu yako
Ukiandika tuliza akili hebu soma vizuri ulicho andika
@@saumbliz8983🤣🤣🤣
Mbna mnatucheweleshea burudan 😅😅😅
Jaman hizi movie za uchifu na uchawi zinatosha embu tungeni movie ya uhalisia ya maisha ya watanzania
Nakukubal dubu
Kazi nzuri sana dubu ❤❤❤❤
Wa kwanza Leo🙏
🎉🎉🎉🎉❤❤mko vzr
Ohya wakwanza Leo toka pande za mpakani
mm ni wapri naomba like zangu
Kaz nzur sana hongeren 💪🔥
Kazi nzuri❤❤❤
Dubu simama udeal na chief😢 please❤❤❤
Kazi nzur pamoja sana
Tunaokubali serious ya sungwi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 TUJUANE KWA LIKE ZA KUTOSHA😂😂😂😂
Movie nzur ❤❤❤
❤️
Well done guys kwa kazi nzuri sana big up dubu
Tenge anakunywa maziwa😁😁😁
😆😆😆
Maziwa ya chifu😂😂😂🙌🙌🙌
Hii ngoma inazid kua ya motooooo
Oya dubu konde. Wakwanza wa nyoko acheni ure kazeni nyoro
Jamani mkombozi😢😢😢
Jamani nipeni liki wa kwanza ku toka congo
Naomba like zangu jamn japo nimechelw nipeni hata 20 likes 😅😅😅😅
❤❤❤kama kawaida huwa amtuangushi kazi nzuri na kwa wakati yani natamani na mimi niwe mwanafamilia niigize na nyie🙏
Best actor
Wapili mm naomba like zangu😂
Hyoo kk anayecheka kwa tdharu simpendi mm San mbeya mbeya hili jichifu jisenge nn kutiana nyenge tu mwisho wake mgeuzana hatariiii san
vitu vingi najifunza kwako 🎉🎉🎉🎉
💪🙏💪
Jaman kambale na dada bonge sijawaona🥹
Kwhy tenge kazi yke yeye kunywa maziwa 😂😂😂😂😂😂oy hii noma
Mwendeleo basi kwa wingi
Pongez kwa dubu
Oya kazi nzuri team sungwi
Kipara ngoto kamnyonya chifu naziwa😂😂😂😂
Wakwaza Mimi 🎉
Jamani kazi.nzr ilamnachelewesha sana 😢
Jamani mi Niko mozambiki nipeni mauwa yangu maana nimekuwa mfwatiliaje
Very nice
Leo nimewai🎉🎉 nipeni like nyingi
Tenge tenge tengele😂😂😂😂 Udugu wangu Dubu ❤❤ na Hajrah
Mashaallah kila kukicha mambo yanazdi kunoga😋😋😋 ila unachelew san kkngu 🇰🇪🇸🇦
🙏❤️
nataka maziwa😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Kazi nzuri sana
dubu tz jicunge sana kwenye Kambi huyo Ndege wamwoto naye pia chifu ETI Ni tifu nataka maziwa awo Basi Maji bigap babu Ndege wetu
Fanya haraka na episode 7 please 🙏
Nimewahi jamani nipeni liké zangu tafadhali