Online judges be quick to pass judgement.if ur boyfriend was cheating some women here would react more violently than wambo,she didn't know it was prank
Kioko ajana na hizo pranks zitaruin your relationship!!!! U know unafake vitu kaa hizo Hadi siku Moja inakuwa real! Na Dem ni muhumble, me si ati ntakuangushia hizo camera zako, dakika hiyohiyo na kupiga nayo na nicrash hiyo simu! Hiyo kichwa Yako ingekuuma Sasa Kwa karibu!!!!
Vile watu huku ni judgemental utafikiria huwa hawakasiriki na wengine wenu mkijam mnaweza ata dunga mtu kisu,, shame on you..... Sasa hapa mnaona kama wambo amereact vibaya, meet some of us in our marriages unawezashangaa vile huwa tunapendana after a quarrel.
Saw that too. Jamaa hajui how to act and make it look real. Pia ana overdo vitu inakaa weird. Either way, I know kikuyu ladies, his character will not sustain this rship.
Wee! That looks like a line of weakness created right there.....akableach on trust... that's why she had to ask"hiyo Dean ni nani?...you better introduce them to each other to clear her doubt...but prank imeweza
Ama kweli kila mtu Ana siku yake ya kufanikiwa...Ashley you have made it almost 20k💝💝💝💝💝....si mnifikishie ata 1k subs wakuu🙏🙏🙏🙏am struggling lakini wapi
Hahahaha that was a good one @Kioko ,,,,Wambui loves you that's why she was mad
Online judges be quick to pass judgement.if ur boyfriend was cheating some women here would react more violently than wambo,she didn't know it was prank
Sure 💯💯💯 Mm kingewaka sana..ata wambo is patient aki
Hiyo ni tabia ya wakenya wako haraka sana
Wenye mnasena Ashley hapendi kioko juu ya kumtemea mate amefanya kadogo mie hiyo phone ingekua kitui river Kuna pranks zingine irritating
hapo kwa kutemewa mate,, surely 😢😢😢😢
Can't wait to subscribe where Nicholas is....new here...much love❣️❣️
Let's all embrace peace and appreciate the beautiful talents our East Africa Community has💜💜
Enyewe ata Mimi siwezi entertain prank weuuuuuh roho ni kidogo me naelewa wambo
Kioko ajana na hizo pranks zitaruin your relationship!!!! U know unafake vitu kaa hizo Hadi siku Moja inakuwa real! Na Dem ni muhumble, me si ati ntakuangushia hizo camera zako, dakika hiyohiyo na kupiga nayo na nicrash hiyo simu! Hiyo kichwa Yako ingekuuma Sasa Kwa karibu!!!!
Watu wameharibiwa akili na kibe😂😂...Am sure wengi wenu wenye wanacomplain wange react hivi bado
Wow so amazing my pple keep going babygirl love you to the moon and back😚😚😚😚
Im Loving this ...more of this please nic and ashly
Vile watu huku ni judgemental utafikiria huwa hawakasiriki na wengine wenu mkijam mnaweza ata dunga mtu kisu,, shame on you..... Sasa hapa mnaona kama wambo amereact vibaya, meet some of us in our marriages unawezashangaa vile huwa tunapendana after a quarrel.
woiye ashley pole next tyme mprank too
This is the second time unakunywa dawa wueh! Ile ingine na Denny C ulikua unaumwa maybe check up would do.
6:52,and 7:59speak volume....yaan kuumwa na kutemewa mate...aii.weeh....reke nemwoo🤣
Woooyiii 😂😂Wambo umepatikana 😂😂mm uluya yng haingeruhusu amalizane na Tumbili😂😂
Me listening to background music ,,,kativui my guy
Kioko anacheka na mafinyo aki mtu anaeza lia 🤣🤣🤣🤣💔💔.....it's a banger btw......team wambo tafuta comeback
Wah! This is the best of all,,,,mungu awajalie muishi pmoja milele daima
Wambo keep it up your going far ..kazi yako ni smart ...👍❤🔥💗💖
This is one pranks I love watching in the kiokos family 💞 💞 💞 I don't know why ❤❤I'm ❤
Nawapenda sana guys
Kioko please stop those pranks ,orelse they'll ruine your relationship
Saw that too. Jamaa hajui how to act and make it look real. Pia ana overdo vitu inakaa weird. Either way, I know kikuyu ladies, his character will not sustain this rship.
Mob love wambuu🥰
The tone from this girl sio me a ubaya .
truth b told dame anakutemea mate surely 🤷♀️🤷♀️there is a red flag 🚩 in this relationship!!!
Uyu Dem hampendi
True
@@cramlisketv7029
Kibe alisema hapo hakuna future
Walai tena underated comment.
@@lilianatwoli3231 hakukosea..
That's Great Wambo ,she respects you kioko juu kuliko kelele alitoka
Uuuuuiiiiii , this gal is not violent , kitambo useme ni prank ningekua kumewaka
Wee! That looks like a line of weakness created right there.....akableach on trust... that's why she had to ask"hiyo Dean ni nani?...you better introduce them to each other to clear her doubt...but prank imeweza
Mkamba wetu chunga hio Kikuyu....unatumiwa bro hakuna mapezi hapo
Kioko kuna kibarua hapa you people need to learn each other I feel bado Ashly is too explosive eeh dem ako shy and naive towards forming relationships
Noma Sana prank 🤣🤣🤣🤣🥺🥺🥺🙆🙊 wacha kutesa wambo 🤣🤣🤣🤣🤣🥺
Wambo wow Inlove with you ❤️
Kiokos laughter is everything 🙈😂
that was 🔥
Ashley he got you
Apo comment section naona makasiriko acheni wivu akuna red falgs wala blue
Ufanye hivo vyote halafu uniambie ni prank 😅😅🤣🤣nakupiga mapanga za shingo
Ak wakamba na kucheka, I love u guys
Best prank guys♥️
2mbili understood the assignment very well😂😂
Pamela understood the assignment 😹😹kwanza aty adi pesa hazikutosha
This is not a boyfriend uyu ni kasee 🤣🤣🤣🤣
Uyu dem anabehave aje ...akona utoto sana ,Kioko do something have someone mature kiasi
Woooi wambo hau maa niwangenia anyway good job kioki 🥰🥰🥰
Hahaaaaa weeeeh hio prank.....mimi ningelipuka tu
😂😂😂😂 TUHESHIMU NDOA
Uyu dem uko sure anakupenda
Waiting for someone to sing ...`wakatimba Kumbafu.`....as predicted by Kibe...
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣💪
sasa enda uccoment huko now they are pregnant 🤣🤣🤣🤣🤣
@Nicholas Kioko thunderstorm inakuchill Iko petrol station
hapa hakuna doa..its a matter of time .
Walai wambo ebu lipisha aki😭😭😭😭😭
😂😂😂😂kioko achana na wambo akasusu.😂😂woiye umepatikana leo
Atakama ni prank heri iishe kama ni mm na Park and go😏 kesi badae ...nkt
Prank tuwa achie wazungu jamn utauwa mtu ufungwe
🇹🇿WCB4LIFE BABE
Kifeeeee will decide
😂😂😂😂mnajifanya hamsikii kicheko ya kioko!!kwanza akuchekee kwa uso
NicAshley Reloaded.... loving this
Hahaha...aki wewe Kioko. Mungu anakuona tu
this was bad🥲😂💔
Ama kweli kila mtu Ana siku yake ya kufanikiwa...Ashley you have made it almost 20k💝💝💝💝💝....si mnifikishie ata 1k subs wakuu🙏🙏🙏🙏am struggling lakini wapi
mko wapi mahaters wenye mlikuwa mnasema wataachana cjui kibe alisema hakuna future where are you ,,,
Mimi ningelamba hiyo mate. Otherwise ingekuwa kiss ungekunywa mingi sana. Hii prank ni super. Wakenya wafanye kama hizi watu wataumia
Kioko unatuenjoy but we are getting entertained🤣one hakuna vile utapick call ya mpango , mbele yake tena on loudspeaker.🤭. anyway good job ashley
Ety mara anakwambia ugoje afunge trouser😂😂😂
10 /10 kioko hapo sasa,ingine ikuje
Kioko uko na kazi ngumu wambu bado ni mtoi
If u don't mind plz don't chew in front of the camera,,,it shows lack of etiquette and also it produces a funny sound...
Wambaire next time don’t do that by kurusha mate ok
Hii nayo iliweza 🔥
The guy who said. Nambona hi simu yako mbona inanisumbua hivi.??? Kioko
You r building ua relationship in shaky ground.
Do something mrembo
Dem ako n maringo mob ata Kama aaaish
Uyo Dem akona sauti joh🤣
Followed u after u had kids now can see how it started
Waah Kioko aki wacha hizo, 😪😪😂
Huyu dem anabooooo tu sana
Wewe patia Kifee content 👌
Uyo msichana anaeza someka tabia kisirani..kioko anajaribu kutoa kitu..
kifee told you this is agwaz....
Hapo hakuna love
Kioko huyo Dem hakupendi
Aky hadi apo kwa gai unanitemea mate nimerudisha mara tatu nione kama ni ukwely waaah
Kíúra rúúúga..twí hamwee?😂😂😂kioko toka teke😂
J would give it a 10 best prank l have watched soo far...
Is Kiokos loughs for me🤣🤣🤣🤣
Mkamba na Mkikuyu ia a No,nditonya
I don't see love hear ni kupush tu content anyway ainihusu🤷
Ni Mimi naskia kativui kwa background ama niko zangu😅 Team Ashley tunangoja come back aki🥰
🤣🤣
Ti kativui ni kithungo😂😂
Kioko unaomba na hupewi pole..
Io ngoma ya kativui ongeza sauti next tym
Mate waa huyu ni zero akuna love hapo
Uwweehh mapranks Kali Kali
😂😂😂🤣🤣 naona red flag 🚩 walai
kioko kasee..hapa unforce issues man.
Big up sana kaka kmg Gtv
steady pictures please.... Cameraman, how many times have i called you?
Wambo anajam haraka sana 😂😂😂
Sitaki kucomment...
Background ni Kativui