Fundiii Fred una office Zanzibar? Yaana Nimehamasiswa na Kazi zakooo Nimezizimiaa Mnoooo💥 Fundi Asiye na Tamaa na Mshaaurii ktk kazi.Nimefurahishwaa Hasa uliposema kuhusu (Open house) kitchen, leaving Room and bathroom on One spot ndio Number one Consideration on my Dream house 🥰 Dah Ahsante Basillisa huyu kaka Fundi Muashiii Bora kabisaa TZ.
Nyumba nzuri zana! Ningependa kujua architect wa nyumba hii.
Fundiii Fred una office Zanzibar?
Yaana Nimehamasiswa na Kazi zakooo Nimezizimiaa Mnoooo💥
Fundi Asiye na Tamaa na Mshaaurii ktk kazi.Nimefurahishwaa Hasa uliposema kuhusu (Open house) kitchen, leaving Room and bathroom on One spot ndio Number one Consideration on my Dream house 🥰
Dah Ahsante Basillisa huyu kaka Fundi Muashiii Bora kabisaa TZ.
Nauliza watu wa Zanzibar unafanya pia
Bon travail vraiment.
Veranda za nyumba
Camera man hatendei haki kipindi
my ni mpenzi Sana wa kipindi iki najifunza cna
ASANTE SANA
Garama ya hio nyumba mpaka kuingia ni sh ngapi ??
MUULIZE FUNDI TAFADHALI, NUMBER YAKE IKO HAPO
Tuweke namba sm tumeipenda sana nyu
Mba nzurii
ANGALIA KIPINDI MPAKA MWISHO KINA NUMBER YA SIMU YA FUNDI
No y’a simu tafadhari
NUMBER YA FUNDI IKO MWISHONI MWA KIPINDI
Napatikana whatsapp
kamera man 00000
badooo sana
Napatikana whatsapp tafadhari