😮miraji kwa hili la chama sikusapot chama ameihujumu simba mda mref anatumika GSM
Miraji acha maneno, unakumbuka wewe mwenyewe ulisema Simba kuna wachezaji maduka leo una sema Chama kuachwa wamekosea ..? Napingana na wewe acha aende tuanze upya ata km ata fanya vizuri sisi haituhusu tena. Issue na weza kukubaliana na wewe ni moja tu. Kitendo cha kuchelewa kutoa Thank You ya Chama mapema. Hapo viongoz wamebugi.. NINA HOFU TUNA KWENDA PRE SESSION MAKUNDI MAKUNDI KM MSIMU ULIYO PITA
Simba ya kusumbuliwa na mchezaji kwa Sasa haipo,na hatukutangaza thank u mapema kwa kumuheshimu lkn wote mnakula Kua Simba ilimuacha chama
Miraji mbona unampiga sana chagamba
Chagambaaaaa iyooo mikono ya mirajiiii kuwa nayooo makini kwani utaumia
Hamia Yanga bwana
Miraji sema nini kifanyike
Imeeeenda hy
Kaka miraji unaongea ukweliii kabisa maana ss mashabiki uwa atupendi ukweliiii
Miraji muongo usimtee chama ni msaliti kubwa hapo simba
Chama kama kutudi atarudi nyumbani kwako
Acha waende
Miraji anajua na haongei kishabiki ila simba na yanga usipoweka ushabiki hunogi
Miraji family nakubali
chagamba angalia mabega
Milaji leo umefeli chama anakibuli aondokeeeeeeeeeee
Hili halina akili
Miraji na chagamba familia moj like zao wapewe ❤❤❤
Miraji chama duka lile
We miraji acha maneno yako bana wewe huyo huyo ndo uliesema simba Kuna wachezaji hata wakifunga hutakaa ukawapigia makofi ndo kina chama haohao leo hii umeisha Anza kubwatuka chama chama.
Maaweeee
Acha tuanze umpya miraji hata messi aliondoka barcelona
SEMA Chagamba watakja kuku vunja bega uwe unasanuka
Sawaaa tuuuuuu utakufanae kwaniii, Kila jambo linaheli yakeee
Jamani chama kafanya mengi Sana Simba mpaka kaichoka, ndo maana hakutaka kusain Tena huko hata angepewa mamilioni ya kutosha, mwache akafanye kz Kwa jirani sio mbaya 😅😅
Miraja mnafiki tu wewe ulisema kwamba chama goli tano kakupigiaha shoti wewe muongo na mnafiki
Wewe nae
Kuna muda ukifika ukubali chama awezi kucheza milele simbachama awezi kurudi Simba Tena morison alirudi yanga yuko wapi
We miraji acha maneno, we mwenyewe ulisema wachezaji 5 walituhujumu na Chama akiwemo, sasa unataka tuendelee kuhujumiwa? Kagere alitoka yanga kwanza? Acha aende maana hawezi kuizidi club. Na hizo pesa ungemlipa wewe sijui dola 9000 kwa umri ule?
Acha kuongea kiunazi wewe hamna mtu mkubwa kuliko Klabu. Chama alikuja alikuwa hajulikani vivyo hivyo kwa wachezaji wapya watakuja kupata umaarufu kuliko huyo chama wako . Hamia Yanga basi unatupigia kelele wewe chawa wa GSM
Acha ushamba ww chamachama lijinga hili
Sio lazima chama afie Simba ashaondoka Sasa Kuna wengine.
Kama unapesa yako mlipe arudi .
Mwanzo wewe ni utopolo unajifichia kwa simba
MIRAJI tunamwondoa chama kwakuwa hatutaki tengeneza movie yenye star mmoja..tunatengeneza timu