Support ya kutukana wa tz taften content zenu nyie watoto wa kiume acheni uboya kwenu kuna changa moto kibao mgeanzia hapo kwenye nyumba za mabati na maandamano yasio kikomo tz atutaki shobo
Watanzania jamani punguzeni heshima muhimu tangulini kenya tukawa discriminate mtanzania mimi mtu wa mombasa tuko na watanzania wengi wamekuja fanya kazi huku tunaishi nao vizuri wengine hata wamekuja kinyume cha sheria wametumia vichochoro lakini tuko nao kama ndugu zetu lakini siku jua kua mna tu dhania hivyo
Wivu gani sasa Tanzania tuwaonee wakenya nyie mmesema ukweli na sisi tumesema ukweli mnataka kusifiwa tuuu.lazima mna roho mbaya Kenya. Alafu hiyo magufuli kasema nn sijui hiyo ni politics
Keep resting well Magufuli but Tanzanians never understood what you ever meant ,hao wanachuki na wamejaa hapo kikombe kama nyuki and Kenyans never attack them,wako ungrateful sana
Kufahamu kiingereza kuna faida sana, manaake unaeza ukafanya kazi mahali popote dunia mzima. Hii stupid swahili wanashidanga wakitulazimisha inaeza kufaidi na nini?
@@user-mc6um1it1r but the evidence in video is clear. Watanzania wameulizwa maoni yao kuhusu Kenya Waka sema Nini? Wakenya wameulizwa vile vile and they have nothing but love and praise for Tanzanians. Muwache hii chuki ya ndugu zenu wakenya isiyo na msingi.
Kaka kuongeza kizungu sio ufahari au ndio una ajili sana but huo ni utumwa ongea lugha Yako kama mototo wa Africa, tunacho waambia badilikeni mnajifanya mko serious but chamaana hamna sisi tuko palee tuna waangalia 😂😂😂
I think that the person who owns this you tube account is wrong in perspective. Among those interviewed, not a single one said that they don't like Kenyans or that they don't like Kenya. This is your peopaganda, you want us to see how much we hate each other. They have expressed their thoughts and understanding of how they were treated when they were in Kenya or what they witnessed when they were in Kenya or when they mingled with Kenyans in the street. Not every Kenyan was treated the same when he was in Tanzania or a Tanzanian was treated badly when he was in Kenya. if you were lucky enough to be caught by something bad then, know this is a part of life for both and it might be possible that there is a mistake committed somewhere and you should fix it intelligently But there is no problem living in Tanzania and living in Kenya. WELCOME TO TANZANIA GOD BLESS YOU ALL
Ukitaka kujua inchi gani inalisha ingine enda kwa border, Tanzania wanaleta chakula mingi sana ,malori ya kenya yanahesabika yanayoingia tanzania ,ya Tanzania yanayoingia keny hayahesabiki,
Nimeishi Tanzania na najua sababu kubwa ilioko kati ya raia wa hizi nchi mbili,kwanza,Tanzania ni communist country ilhali Kenya ni capitalist,the structure of these two systems are different,when your neighbor sees you with a good thing that they cannot easily get for free,they tend to invoke the usual natural response and that is jealousy
Skia mjinga hapa anafikiria hizo lori zinaingia bure Kenya, bro tukiacha kununua chakula huko uchumi wenu unarudi chini. Kenya ni ya matajiri hatupendi kulima. Nyinyi tuliwaachia kazi za mashamba.
Anyway Cha msingi ni watu wapendane beef ni kawaida sisi sote ni kitu kimoja Mmassai wa Kenya na wabongo tofauti Iko wapi Mluo wa Kenya na wabongo tofauti Iko wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo mtzd wa kwanza amegonga kiingereza duh😂😂😂😂😂 You can't compare gold and zinc we're far away from your zone. From education, economy ,military state and even in sports. Tukigusia music hapo msipime we are on the map world wide mnatuzidi na UCHAWI NA USHOGA PEKEAKE.
Sasa kingereza ndio nini unaweza ukajuwa kingereza usifanikiwe kimaisha mpo wengi mnaojuwa kingereza lakini wamejazana nchi za Kiarabu wanafua chupi za waarabu mtu na elim yako mwingine kwenda zako
Na vile Watanzania apa Ferry wapo wengi kuombaomba wakidaisha n vipofu na viwete afu mnaringa nn na mmetelekeza hadi wazazi wenu kwa kuwafanya mataira????? Mikundutheeeee😅😅😅😅
Mie ni Mtanzania Lakini najiuliza why Kenyans are always talking about Tanzania what's wrong with u guys we can't be the same we are in SADEC 😅😅 90% Of Tanzanians don't even care about East African countries 😅😅
@@moshireacts Yaani kiukweli watanzania wamefocus na nchi za kusini sio izo nchi za kijinga kila kukicha tunasikia upuuzi tu kiukweli watanzania hatuna muda na huu upuuzi kenya ni nchi masikinj sana Tanzania can't be inspired by kenya at all
Tanzania Kiingereza ni shida kweli lakini huyo Mzungu Kiingereza chake ni shida pia.. As a Tanzanian English langauge is not our mother tongue so it’s normal for people not to be fluent in English language like some developed countries and it’s not a big deal(it is okay) Tanzania inachukulia Kiingereza kama Lugha ya pili/tatu kama ambavyo nyie mnachukulia kiswahili .. Lakini pia sio sawa kujibu vibaya kuhusu nchi jirani.. I met some Kenyans , they were my teachers and some were good.. Nadhani mzungu alikutana na wrong people cause huwezi kujibu negativity about your neighbours especially to a foreigner who is white.. But kwa ww sijui mtangazaji au youtuber unaonekana kama unatafuta mabifu na you are a hater.. Nadhani ungefanya vizuri kuspread positivity na sio kukuza ugomvi…
I'm from TANZANIA but I love Kenyan girls
Hey brother can we just exchange girls coz I myself love Tanzanian girls😂
We Love Tanzania....Spread Love!
From your 🇰🇪brothers and sisters!
Weeeeee kizazaaa hapa duuh😂😂😂😂😂😂
wawawa hapo sasa tumefocus na kazi zetu bana kenya oooyee
Tanzanians give us your girls thats what we will love you for...
Sisi wakenya huwa tunawapenda ndugu zetu waTZ but wao hudhani kila kitu mbaya ni ya wakenya...
Let's support this kijana
I'd appreciate it very much thank you 🙏
Support ya kutukana wa tz taften content zenu nyie watoto wa kiume acheni uboya kwenu kuna changa moto kibao mgeanzia hapo kwenye nyumba za mabati na maandamano yasio kikomo tz atutaki shobo
@@Maryam-qu8bv😂😂 what's ur point dude 😜
Ukweli ni kuwa wakenya hawana shida au chuki na waTZ, Lakini watanzania ni wanafiki, wanachuki na hasira na Kenya bila sababu.
umegonga ndipo
Umejuaje??❤
@@naturelle1097 Maskio yako kwani yamejaa matope? Umeskiza hizo interview ama utafsiriwe kwa lugha ya mama?
@@jeffchurum1431 ni komee na ushindwe na ulegee
waa huyo mwombaji ni pastor
Watanzania jamani punguzeni heshima muhimu tangulini kenya tukawa discriminate mtanzania mimi mtu wa mombasa tuko na watanzania wengi wamekuja fanya kazi huku tunaishi nao vizuri wengine hata wamekuja kinyume cha sheria wametumia vichochoro lakini tuko nao kama ndugu zetu lakini siku jua kua mna tu dhania hivyo
Kenya been discriminating somalia 🇸🇴
Kenya 🇰🇪 is like Germany 🇩🇪
Tanzania 🇹🇿 is like Austria 🇦🇹
*One people but different*
Kama kenya tunajifanya basi watazania wrote wako Kenya waludi kwao na wakenya wako Tanzania waludi Kenya
Wivu gani sasa Tanzania tuwaonee wakenya nyie mmesema ukweli na sisi tumesema ukweli mnataka kusifiwa tuuu.lazima mna roho mbaya Kenya. Alafu hiyo magufuli kasema nn sijui hiyo ni politics
Big up bro
😂😂😂hio maombi imeweza
Shukurn maqu🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbona nipo Tanzania na napenda wakenya na nna rafiki zangu Kenya ?sio wote wanachukia Kenya Wacha uongo
Those who hate each ni wenye akili pumbafu,,sasa wanachukia watu hawajuani
😅😅😅😅hii maombi ni kali
Kwani akuna vitu vingine vya kuwapa content wakenya kila cku tz tz bila tz amtoboi embu tuacheni bhana
Kuniá ulale
😂😂😂😂😂
Wewe wakenya sisi tunatomba tu hatuna time na wazungu weusi😂😂
We n mbwa tuh mjane😂😂😂
Maombi inaniuwa 😂😂😂😂😂😂😂
Bro kazi yako ni safi, watanzania ni watu wa wivu sana nimewai kosana nao kwa biashara juu ya wivu.
Nikuulize kitu hapoulipo wewe mwenyewe unawivu na jilani yako na ndiyo maana unaamka kutafuta sasa bilawivu unge kaa nyumbani
Uonewe wivu kwa sura gani bro 😂 embu kakojoe ukalale
@@Maryam-qu8bv😂ajaongelea sura ameongelea kazi, muumba ni m.mungu wala sio wewe...❤❤❤KENYA to the Top❤🙏👌👏👏👏👏🇰🇪🇰🇪
@@ashamjeni292 top ya vuzi na njaa zenu zina wapa hasira kwendaa uarabuni kaoshe vyoo ukoo tuachieni tz yetu kwa raha zetu
@@Maryam-qu8bv😂😂is this 😅 how you people are ignorant 😂😂
Mwenye amemalizia na maombi 🤣🤣🤣 weee hii imeenda 😂😂😂
Kizaza jamani kazi ipo hapo 😂😂😂😂😂😂😂
Keep resting well Magufuli but Tanzanians never understood what you ever meant ,hao wanachuki na wamejaa hapo kikombe kama nyuki and Kenyans never attack them,wako ungrateful sana
Kenya iko juu kimaendeleo sio kiingereza pekee
Maendeleo Ya wapi wakati Kenya ni ya wasomali na Wagunya + washwahili Mmewaachia Magorofa nyie mmehamia kibera na Rabai kaloleni huko..
@@stevenlugojeremia2323 Ukabila utakumaliza
Aty mpango wa kando🤣🤣🤣🤣
Endelea kuleta kweli bro, watanzania wanatuoneanga wivu sana, wajamaa wenyewe hawajawai fika Kenya.
Sisi wakenya tulifundishwa kuwapenda adui.
Acha zako wew your very harshly Kenyan
Kujua kingereza haimaanishi kuwa ww ni msomi hiyo ni lugha kama lugha zingine
make them understand
Sio hoja bora najua itanifikisha mbali kuliko ile kiswahili na jua
Kufahamu kiingereza kuna faida sana, manaake unaeza ukafanya kazi mahali popote dunia mzima. Hii stupid swahili wanashidanga wakitulazimisha inaeza kufaidi na nini?
maskini akipata matako hulia mbwata. after kuwasaidia wameturuka.wajifunze english ndo tubishane
Well said
Jaman acheni kuongeani vibsya sote ni ndng
Ati acheni kuongeani vibaya??...sio wakenya ndio wanaoongea vibaya kuhusu watanzania ni watanzania ndio wanaotuchukia bure tu!!
Hamna wa tanzania ni watu waupondo xna hatuwezi uwaongelea vibaya
@@user-mc6um1it1r but the evidence in video is clear. Watanzania wameulizwa maoni yao kuhusu Kenya Waka sema Nini? Wakenya wameulizwa vile vile and they have nothing but love and praise for Tanzanians. Muwache hii chuki ya ndugu zenu wakenya isiyo na msingi.
Kenya Wana Roho mbaya kama sura zao.Weusi teeeee.Sisi tuna maisha yetu hatuishi maisha ya Watu
Abdul ntakupiga vibaya
Umeanza kuturingia na mkorogo na hizo bleach zenu za mchina
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😫😫😫😫😫😂😂😂😂😂😂😫 Ety tanzania n sidechick wetu
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 smarter than him na kizungu ni ya kukopa ni kama ako na rickets kwa 👅
I love Tanzania not only just loving but some of things we share in common
Tatzo waknya mnajproud kwa kzungu hadi ushoga,, mrume anamrumewe iko beach,,
Kaka kuongeza kizungu sio ufahari au ndio una ajili sana but huo ni utumwa ongea lugha Yako kama mototo wa Africa, tunacho waambia badilikeni mnajifanya mko serious but chamaana hamna sisi tuko palee tuna waangalia 😂😂😂
Ama tutume dersert hoppers huko bongo mtajua hamjui🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unga na mkate sheda Kenya
kwa iyo mwijaku tu ndio mnayemfahamu? 😂
Za ndaaani shekhee😂😂😂
😂😂😂😂
Watazania wanakuaga na wivusana. Uwa waoneya wakenya kijicho sana😢
Yaani Kenya mie nifuate mademu tu😂
Watazania wana asati ata mathalau tu wako nayo sana
😂😂😂 noma
We have Mt neru in tanzania and that
I think that the person who owns this you tube account is wrong in perspective. Among those interviewed, not a single one said that they don't like Kenyans or that they don't like Kenya. This is your peopaganda, you want us to see how much we hate each other. They have expressed their thoughts and understanding of how they were treated when they were in Kenya or what they witnessed when they were in Kenya or when they mingled with Kenyans in the street.
Not every Kenyan was treated the same when he was in Tanzania or a Tanzanian was treated badly when he was in Kenya.
if you were lucky enough to be caught by something bad then, know this is a part of life for both and it might be possible that there is a mistake committed somewhere and you should fix it intelligently
But there is no problem living in Tanzania and living in Kenya.
WELCOME TO TANZANIA
GOD BLESS YOU ALL
tz mbachwe
Tanzanians should speak facts😅😅😅wut they know about 🇰🇪
😂😂😂zanzibar in Kenya what is he saying 😮
Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Kiingereza hawajui mfumo wa Elimu ni wa kipuuzi,kiswahili mingi.
Kiingereza si mali yako mbwa wee. Huo ni utumwa kujivunia cha wenzio.
😢😢😢 may God respond to what you're speaking about. Pray for yourself
Ukitaka kujua inchi gani inalisha ingine enda kwa border, Tanzania wanaleta chakula mingi sana ,malori ya kenya yanahesabika yanayoingia tanzania ,ya Tanzania yanayoingia keny hayahesabiki,
Tukona pesa mkona chakula simple economics bro hizi ni jokes bro in reality we depend on each other to survive
Nimeishi Tanzania na najua sababu kubwa ilioko kati ya raia wa hizi nchi mbili,kwanza,Tanzania ni communist country ilhali Kenya ni capitalist,the structure of these two systems are different,when your neighbor sees you with a good thing that they cannot easily get for free,they tend to invoke the usual natural response and that is jealousy
Skia mjinga hapa anafikiria hizo lori zinaingia bure Kenya, bro tukiacha kununua chakula huko uchumi wenu unarudi chini. Kenya ni ya matajiri hatupendi kulima. Nyinyi tuliwaachia kazi za mashamba.
Mm kama mkenya naweza sema hawatuwzi upande wa rapping 😅
Madem watanzania wako wakiachwa wanadai taraka 😂😂😂😂
Hii ndio content sasa 😂😂😂
Shukran🙏
Anyway Cha msingi ni watu wapendane beef ni kawaida sisi sote ni kitu kimoja
Mmassai wa Kenya na wabongo tofauti Iko wapi
Mluo wa Kenya na wabongo tofauti Iko wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo mtzd wa kwanza amegonga kiingereza duh😂😂😂😂😂
You can't compare gold and zinc we're far away from your zone. From education, economy ,military state and even in sports. Tukigusia music hapo msipime we are on the map world wide mnatuzidi na UCHAWI NA USHOGA PEKEAKE.
😂😂😂
Za ndani shekeee
😂😂😂😂😂noma😂😂😂😂😂
Ata mkiwa nayo kubwa ukifa watangalia tu uso si matako
Wee makubwa hayo
Congratulations kenya
Apo bradhe
Tanzanian men were suppose to be girls and their girls boys apart from the late President Magufuli- my guy.
Sasa kingereza ndio nini unaweza ukajuwa kingereza usifanikiwe kimaisha mpo wengi mnaojuwa kingereza lakini wamejazana nchi za Kiarabu wanafua chupi za waarabu mtu na elim yako mwingine kwenda zako
Wa Tanzania wako na utajiri wa kisirikina kikiwaramba wanakimbia kenya kwa maombi
@@veronicahnakhumicha370kwa uyo mchungaji wenu muuaji wa shakahoro au 😂 kajambe uko
@@Maryam-qu8bv Kenyans we believe in God not in illuminate
@@veronicahnakhumicha370 kwakua atuwajui au me nipo Canada naishi na wakenya wenu kitu kdg cm kwa waganga unge nyamaza tu ujui kitu
Eeeh .Nini ni lugha bana anyway uzuri mmeombewa
Rest in peace magufuli
😂
🇰🇪💪
i love kenya
There's is a Kenyan girl came here asking for a job, nikamkatalia maana alikuwa mweusi mithili ya charcoal, nikahisi naongea na shetani 😃😃😃😃
😂😂😂Wow kukua mweusi ni kukua shetani yani ww ni mwafrika mjinga saana
Sana tu. Now you see Tz reasoning capacity hata nyau ana akili. By the way shetani sio mweusi..alikua malaika mzuri kuliko wote..
Na vile Watanzania apa Ferry wapo wengi kuombaomba wakidaisha n vipofu na viwete afu mnaringa nn na mmetelekeza hadi wazazi wenu kwa kuwafanya mataira????? Mikundutheeeee😅😅😅😅
Mie ni Mtanzania Lakini najiuliza why Kenyans are always talking about Tanzania what's wrong with u guys we can't be the same we are in SADEC 😅😅 90% Of Tanzanians don't even care about East African countries 😅😅
Hii ni utani tu no one gives a fvck vitu mnafanya TZ 😂
@@moshireacts Yaani kiukweli watanzania wamefocus na nchi za kusini sio izo nchi za kijinga kila kukicha tunasikia upuuzi tu kiukweli watanzania hatuna muda na huu upuuzi kenya ni nchi masikinj sana Tanzania can't be inspired by kenya at all
@@davidanselmo4041 na ndio nakushow we don't give a fvck bro ama hunielewi mzee😂
@@moshireacts Keep Tanzania out of ur mouth you son of bitchhh😁
@@moshireacts You are broke a$$ mothefckrs stay away from us
Kuma ww ni Shoga una Tumia Snapchat ww shoga
😂😂😂 sawa bro
Wakenya si wavumilivu wanabebaga masufuria vichwani kudai unga bei juu si mkalime ?
I hate this battle ,This is stupid
Sir No one Cares about what you love or hate and it's not serious relax😂
Tanzania Kiingereza ni shida kweli lakini huyo Mzungu Kiingereza chake ni shida pia.. As a Tanzanian English langauge is not our mother tongue so it’s normal for people not to be fluent in English language like some developed countries and it’s not a big deal(it is okay) Tanzania inachukulia Kiingereza kama Lugha ya pili/tatu kama ambavyo nyie mnachukulia kiswahili .. Lakini pia sio sawa kujibu vibaya kuhusu nchi jirani.. I met some Kenyans , they were my teachers and some were good.. Nadhani mzungu alikutana na wrong people cause huwezi kujibu negativity about your neighbours especially to a foreigner who is white..
But kwa ww sijui mtangazaji au youtuber unaonekana kama unatafuta mabifu na you are a hater.. Nadhani ungefanya vizuri kuspread positivity na sio kukuza ugomvi…
Kenya ni chawa wa Tanzania
Kafiraneni mbele😏😏
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Big up bro
Big up