Rahisisheni upatikaji wa vibali kwaajili ya ujenzi wa Minara | Waziri Nape

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye, amemuomba Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye, Wakurugenzi na Wakuu wa Wilaya kuwa wepesi wa kusaidia upatikanaji wa ardhi na kuidhinisha vibali kwa ajili ya ujenzi wa minara kwa wakati ili wananchi waweze kupata huduma za mawasiliano.Tafadhali Endelea Ku- Subscribe akaunti hii na bonyeza alama ya Kengele ili kupata taarifa zetu kwa wakati sahihi.

Komentáře •