RAIS MWINYI ATOBOA SIRI KUHUSU "TAXI BOAT" ANAZOTAKA KUZILETA ZANZIBAR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 01. 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 717 619 834
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Omar (OJ)
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Komentáře • 77

  • @alibhaindaro9187
    @alibhaindaro9187 Před 6 měsíci +4

    Maashallah muheshimiwa, Allah akulinde uzidi kuihimarisha zanzibar. ❤❤❤

  • @othmanawadh3964
    @othmanawadh3964 Před 6 měsíci +8

    Amin . ALLAH azidi kutupa afya njema ili tuijenge nchi yetu

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 Před 6 měsíci +1

    Baraka Shamte salamu zimefikia omva radhi kwa Mhe Rais

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před 6 měsíci +3

    DR MWINYI IKIWA UTALETA MAMLAKA YA NCHI ZANZIBAR TU BASI ITAKUWA UMEFANYA MAENDELEO MAKUBWA SANA ILA HAYO NI MAMBO YA KAWAIDA YENYE MASLAH YAKO BINAFASI TU TUNAKUELEWA MOYO WAKO UKOJE

  • @duniamapitosotewamungu3467
    @duniamapitosotewamungu3467 Před 6 měsíci +4

    nakubali uko kibiashara zaid wazanzibar wenye vigari vyenu vya Abiria ambavyo ndio vinakupatieni riks jipangeni na kulima

  • @jumamambo7471
    @jumamambo7471 Před 6 měsíci +2

    Masha-alah alah akulinde kipenz cha wazanzbar

  • @khalidibrahim4579
    @khalidibrahim4579 Před 6 měsíci +2

    Hongera kwa maendeleo
    Ahsante kwa maendeleo
    Zanzibar iwe dubai

  • @AbdulRahimhoward
    @AbdulRahimhoward Před 6 měsíci +3

    Allah Akubariki Mimi sijawahi kukupinga ulichofanya sasa ivi wengine hawajafanya mpaka sasa ivi

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 5 měsíci +1

    Mungu akusaidie

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 Před 6 měsíci +2

    Safi sana rais mwinyi nakukubali sana nani kama wewe ubarikiwe sana mungu akuweke

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 Před 6 měsíci +2

    Rais wa future huna mbaya endelea kuleta maendeleo ya Zanzibar

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y Před 6 měsíci +2

    MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hamadabdullahkhamis977
    @hamadabdullahkhamis977 Před 6 měsíci +2

    Yote tuletee lakini ujue muheshimiwa... Juzi Kiwengwa tulikosa umeme masaa mengi sana... Umeme umeme nguzo zimechoka tunadilishe kila siku nguzo zinanguka.. yaani rais wetu anataka mengi mazuri lakini kuna wachache wanatuharibia... Hongera sana..

  • @salehjuma935
    @salehjuma935 Před 6 měsíci +2

    Mitano tena kwako raisi wetu mpendwa hayo ndio mambo tunayoyataka In Shaa Allah

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 6 měsíci +3

    Safi sana mzee vijana tupo pamoja na wewe

  • @hmedoggftherljih199
    @hmedoggftherljih199 Před 6 měsíci +2

    Zanzibar ❤️💛💚

  • @hijahamadi5793
    @hijahamadi5793 Před 6 měsíci +4

    Hongera kwa juhudi zako lakini mbona Zanzibar hatuhitaji usafiri wa treni kwa wala taxi boat, Zanzibar hali ya wananchi kiuchumi ni mbaya na sidhani kwamba hiyo treni na kituo cha boat kitasaidia lolote katika kuinua uchumi wao, Tunachojotaji Zanzibar ni Network nzuri ya barabara za kisasa zinazopitika mwaka mzima tu, Na hizo fedha Nyengine zipelekwe katika kero zilizoko katika Afya, maji , kilimo nk.

    • @mnahakikibwenihaji9563
      @mnahakikibwenihaji9563 Před 6 měsíci +2

      hizo pesa za tax bot zikibaki njoni mutusaidie sare za watoto wetu huko skuli wanawazuiwa wasiende

  • @EvaristoMlowe-yp3pu
    @EvaristoMlowe-yp3pu Před 6 měsíci +3

    BIGUP SANA

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 Před 6 měsíci +4

    Rais chonde chonde mm naamini unaweza na mungu atakujalia in shaa Allah. Ila nakuomba usishindane nao hawa mwisho utatukomoa sisi wanamchi wanyonge.maana ukieka hvo vitaxi utatuumiza sisi wenye vitaxi vyetu vya vi alphard maana wageni itakua hawapandi tena. Tunakuomba utuekee tu hvyo trein na tena uweke moja yakuzunguka mji mkongwe Allah akujalie wepesi na uongoze tena ikibidi tubalishe katiba uchukue 10 tena.

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Před 6 měsíci

      😂

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před 6 měsíci

      Hao Wageni pia tuna mpango wa kutembezwa kwa Mabus ya serikali mabus ya Garofa Moja ambayo juu yapo wazi ila msijali Serikali itaajiri madereva

    • @yasminjuma9146
      @yasminjuma9146 Před 6 měsíci

      😂😂😂​@@rajabmsinzia1715

  • @bakarikombo6279
    @bakarikombo6279 Před 6 měsíci +2

    Mitano x4 itafaa akipewa huyu mzee baba Zanzibar kama dubai

  • @mohddelo
    @mohddelo Před 6 měsíci +3

    Hawana sera hao

  • @kahilissa1862
    @kahilissa1862 Před 6 měsíci +1

    In sha Allah kheri

  • @nafisahalai5536
    @nafisahalai5536 Před 6 měsíci +1

    God bless you President Mwinyi. We love you

  • @user-dd3db5qb9s
    @user-dd3db5qb9s Před 6 měsíci +1

    Allah Akupe wepesi kwa hayo

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před 6 měsíci +3

    Umeme bado kero zito

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 Před 6 měsíci +2

    Na veep muheshimiwa kuhusu MV MAPINDUZI

    • @Asilimedia
      @Asilimedia Před 6 měsíci

      Ipo katika Hatua za mwisho kwenye matengenezo (ukarabati) unaofanyika.

    • @salehkaroa2366
      @salehkaroa2366 Před 6 měsíci

      Nitaileta mpya msijali

  • @allyvuai9762
    @allyvuai9762 Před 6 měsíci +1

    Mitano tena dkt Mwinyi

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 Před 6 měsíci +2

    Ndo walivo kila kitu wanasema hatuwezi Sasa wataona

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 Před 6 měsíci +1

    Asa treni mzee iende wapi wkt saiv suala la usafiri binafsi kila mtu anao.
    Nahc mabasi yanatosha km ulivyo ahidi.
    Lkn suala la water tax ni km vle boti ya bagamoyo ilioishia kupewa jeshi.
    Ivi niache kupanda basi mpk nungwi nipande boti mpk nungwi iyo nauli kiasi gani mpk ilipe gharama za uendeshaji na abiria wenyew mpk tupande na matenga yetu ya samaki.
    Suala muhim muheshimiwa tujengee bandari ya meli za kontena itakayo egesha angalau meli 3 kwa wkt mmoja angalau yenye ukubwa wa mita elfu moja.

  • @asmasalummohamed5564
    @asmasalummohamed5564 Před 4 měsíci

    Let's go Mr president

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 Před 6 měsíci +2

    Pesa imetumika kuhamisha taka so mchezo

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Před 6 měsíci +2

    Maendeleo ya zanzibar yaendane na umaarufu wa zanzibar duniani,ni aibu nchi ndogo kua maarufu halafu maendeleo ziro,wakati umefika tuunge mkono kwa maslahi ya vizazi vyetu

  • @alihaji215
    @alihaji215 Před 6 měsíci +2

    Tutajitawala wenye msitutowe kwenyenjia ya reli

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan89 Před 6 měsíci +6

    Hakika wewe ndio rais tulokuwa tunakutaka Allah atuweke inshallah tiweze kuja kuona Zanzibar yetu mpya inshallah Ameen 🤲🤲🤲

  • @abdul-halimhafidh642
    @abdul-halimhafidh642 Před 6 měsíci +5

    Namkubali RAIS MWINYI, fanya kila unalohisi lina maslahi kwenye nchi yetu na mengine pia tuletee yaliyokuwa mazuri, ipo siku tutaona na kukumbuka juhudi zako kwa nchi yetu, Allah atuwezeshe kuyaona mapinduzi ya kimaendeleo kwa Zanzibar

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7ww Před 6 měsíci +1

    Napia huku shumba mjini hii bandari bado imeganda hatujuwi lini itakwamuka

  • @zainarashid1024
    @zainarashid1024 Před 6 měsíci +2

    Wambie hao wapinga maendeleo wapuuzi wengine walikuwemo serikalini hawakufanya lolote

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Před 6 měsíci +1

    Hatufamu hayo ss tutaka zanzibar yenye malaka kamili bila ya kungiliwa na wabara

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u Před 6 měsíci +1

    Mipasho ila mda ndio jaji mkuu.

  • @zaexplore
    @zaexplore Před 6 měsíci +1

    oyaaa mwinyi mitano tenaaaa

  • @salehkaroa2366
    @salehkaroa2366 Před 6 měsíci

    Au sio Insha Allah kheri tupu

  • @yassirmabuku7832
    @yassirmabuku7832 Před 6 měsíci

    😂 mbali na mipango ya dr Mwinyi kunikosa na Dj nae kanikosha

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 6 měsíci +6

    Tunataka kila kitu kiwepo lakini, Maendeleo ya vitu yaende sanjali na maendeleo ya watu. Hali za wananchi kiuchumi ni mbaya sana, hiyo miradi ina dalili za kuongeza umasikini kuliko tija. Nakupongeza sana kwa maono lakini fanya moja moja tafadhali.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 6 měsíci +1

      Maendeleo ni sacrifice lazma kuna upande uumie kwa muda ili badae vitu vikae sawa

  • @saidyussufmzee4548
    @saidyussufmzee4548 Před 6 měsíci +2

    😂😂 Mzee..

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma1421 Před 5 měsíci

    Haya sasa

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 6 měsíci

    Mwinyi ushashiba aloooo

  • @mahamoudduchi3318
    @mahamoudduchi3318 Před 6 měsíci +1

    Ndugu Rais hatupingi juhudi zako ila Hawa ndugu zetu wenye Gari za kubeba wageni vipi ushawatizama kwa jicho la Tatu kbl uwo mradi kuufanyia kazi chochonde utawaua na njaa sifikirii km mgeni atataka Gari ya taxi kupelekwa hotelini

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi Před 26 dny

    Raisi mwinyi tunakupenda sana lakini mkuu wa wilaya wa kati sadifa anatunyanyasa anatutukana tumemchoka please hatumtak

  • @user-qm9qw8et9v
    @user-qm9qw8et9v Před měsícem

    Water tax

  • @user-hn7uv4yg2q
    @user-hn7uv4yg2q Před 2 měsíci

    mwinyi namkubali sana hapepesi maneno

  • @yassirmabuku7832
    @yassirmabuku7832 Před 6 měsíci

    Dr Mwinyi tumuongezee miaka kama wenzetu wa china tumpe miaka 20 hadi 30

  • @amirmohamed2729
    @amirmohamed2729 Před 5 měsíci

    Sasa wataka kuzamisha watu

  • @salehkaroa2366
    @salehkaroa2366 Před 6 měsíci

    Kisima watu M2 hawafiki kila kitu aaah haiwezekani Siasa za Chuki na ujinga zimeekwa mbele ilikua ujinga mtupu

  • @Asilimedia
    @Asilimedia Před 6 měsíci +3

    Huyu Raisi mitano tena Ikiwezekana tena na Tena

  • @user-vx5gz3yt9c
    @user-vx5gz3yt9c Před 6 měsíci

    Mihezo

  • @user-jx2jl8ii2w
    @user-jx2jl8ii2w Před 2 měsíci

    Mh Mwinyi jenga nchi tunakukubali

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 6 měsíci +2

    Na walodhumiwa vi inua mgongo wasaidia 😢

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t Před 6 měsíci

    Tnataka maendeleo Yazidi kuongezeka na Pemba uijenge iwe na maendeleo Hususan Bandari ya Wete Pemba

  • @htx1873
    @htx1873 Před 6 měsíci +4

    The MWINYI’S Never disappoint.❤

  • @abdallahkassim8600
    @abdallahkassim8600 Před 6 měsíci

    Ss tupunguzie makodi kwni ss wnanchi tuna hali ngumu na maji bado hatupati hio tax bot kwnza mm nakushaur utufanye hayo kwnza ss mwngine bahari twaiogopa mambo mengi yapo yatuliwe tuhoi

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Před 6 měsíci +1

    Huyu jamaa Ana uwa kazi za wananchi ma beachBoy wakae juu anapiga deal

  • @user-sl2hk8wp1p
    @user-sl2hk8wp1p Před 6 měsíci +2

    Kushinda kuchukua tu umeshinda wapi sema ukweli punzi isikuhadae amani yuko wapi sefu ali iddi yuko wapi salimini yuko wapi

    • @TahilaRamadhan-hz3pd
      @TahilaRamadhan-hz3pd Před 6 měsíci

      Na sefsharif yukowapii

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 6 měsíci

      Wahakutokea wa kumkamata ndio kushinda huko huko.

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p Před 6 měsíci

      @@TahilaRamadhan-hz3pd sefu ametanguli mbele yy muliokuwa hamutokufa mutakaa duniani milele endeleeni kuzulumu tu

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p Před 6 měsíci

      @@TahilaRamadhan-hz3pd na sefu ni mtu 1 tu lkn mumewazulumu wanzanzibari wengi yy hamufi muungu anawaanza kuwahukumu hapa hapa dunia kwanza alikuwepo salimini amuri jeee yuko wapi sefu ali idi jee yuko wapi amani kabakia kichwa tu

    • @allyvuai9762
      @allyvuai9762 Před 6 měsíci +1

      Wacha ufala kaka mwacheni Rais afanye kwa maslahi mapana ya taifa letu