RAIS MWINYI ATOBOA SIRI KUHUSU "TAXI BOAT" ANAZOTAKA KUZILETA ZANZIBAR
Vložit
- čas přidán 5. 01. 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 717 619 834
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Maashallah muheshimiwa, Allah akulinde uzidi kuihimarisha zanzibar. ❤❤❤
Amin . ALLAH azidi kutupa afya njema ili tuijenge nchi yetu
Mashaallah
Baraka Shamte salamu zimefikia omva radhi kwa Mhe Rais
DR MWINYI IKIWA UTALETA MAMLAKA YA NCHI ZANZIBAR TU BASI ITAKUWA UMEFANYA MAENDELEO MAKUBWA SANA ILA HAYO NI MAMBO YA KAWAIDA YENYE MASLAH YAKO BINAFASI TU TUNAKUELEWA MOYO WAKO UKOJE
nakubali uko kibiashara zaid wazanzibar wenye vigari vyenu vya Abiria ambavyo ndio vinakupatieni riks jipangeni na kulima
Masha-alah alah akulinde kipenz cha wazanzbar
Hongera kwa maendeleo
Ahsante kwa maendeleo
Zanzibar iwe dubai
Allah Akubariki Mimi sijawahi kukupinga ulichofanya sasa ivi wengine hawajafanya mpaka sasa ivi
Mungu akusaidie
Safi sana rais mwinyi nakukubali sana nani kama wewe ubarikiwe sana mungu akuweke
Rais wa future huna mbaya endelea kuleta maendeleo ya Zanzibar
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yote tuletee lakini ujue muheshimiwa... Juzi Kiwengwa tulikosa umeme masaa mengi sana... Umeme umeme nguzo zimechoka tunadilishe kila siku nguzo zinanguka.. yaani rais wetu anataka mengi mazuri lakini kuna wachache wanatuharibia... Hongera sana..
Mitano tena kwako raisi wetu mpendwa hayo ndio mambo tunayoyataka In Shaa Allah
Safi sana mzee vijana tupo pamoja na wewe
Jisemee ww
Zanzibar ❤️💛💚
Hongera kwa juhudi zako lakini mbona Zanzibar hatuhitaji usafiri wa treni kwa wala taxi boat, Zanzibar hali ya wananchi kiuchumi ni mbaya na sidhani kwamba hiyo treni na kituo cha boat kitasaidia lolote katika kuinua uchumi wao, Tunachojotaji Zanzibar ni Network nzuri ya barabara za kisasa zinazopitika mwaka mzima tu, Na hizo fedha Nyengine zipelekwe katika kero zilizoko katika Afya, maji , kilimo nk.
hizo pesa za tax bot zikibaki njoni mutusaidie sare za watoto wetu huko skuli wanawazuiwa wasiende
BIGUP SANA
Rais chonde chonde mm naamini unaweza na mungu atakujalia in shaa Allah. Ila nakuomba usishindane nao hawa mwisho utatukomoa sisi wanamchi wanyonge.maana ukieka hvo vitaxi utatuumiza sisi wenye vitaxi vyetu vya vi alphard maana wageni itakua hawapandi tena. Tunakuomba utuekee tu hvyo trein na tena uweke moja yakuzunguka mji mkongwe Allah akujalie wepesi na uongoze tena ikibidi tubalishe katiba uchukue 10 tena.
😂
Hao Wageni pia tuna mpango wa kutembezwa kwa Mabus ya serikali mabus ya Garofa Moja ambayo juu yapo wazi ila msijali Serikali itaajiri madereva
😂😂😂@@rajabmsinzia1715
Mitano x4 itafaa akipewa huyu mzee baba Zanzibar kama dubai
Hawana sera hao
In sha Allah kheri
God bless you President Mwinyi. We love you
Allah Akupe wepesi kwa hayo
Umeme bado kero zito
Na veep muheshimiwa kuhusu MV MAPINDUZI
Ipo katika Hatua za mwisho kwenye matengenezo (ukarabati) unaofanyika.
Nitaileta mpya msijali
Mitano tena dkt Mwinyi
Ndo walivo kila kitu wanasema hatuwezi Sasa wataona
Asa treni mzee iende wapi wkt saiv suala la usafiri binafsi kila mtu anao.
Nahc mabasi yanatosha km ulivyo ahidi.
Lkn suala la water tax ni km vle boti ya bagamoyo ilioishia kupewa jeshi.
Ivi niache kupanda basi mpk nungwi nipande boti mpk nungwi iyo nauli kiasi gani mpk ilipe gharama za uendeshaji na abiria wenyew mpk tupande na matenga yetu ya samaki.
Suala muhim muheshimiwa tujengee bandari ya meli za kontena itakayo egesha angalau meli 3 kwa wkt mmoja angalau yenye ukubwa wa mita elfu moja.
Let's go Mr president
Pesa imetumika kuhamisha taka so mchezo
Maendeleo ya zanzibar yaendane na umaarufu wa zanzibar duniani,ni aibu nchi ndogo kua maarufu halafu maendeleo ziro,wakati umefika tuunge mkono kwa maslahi ya vizazi vyetu
Tutajitawala wenye msitutowe kwenyenjia ya reli
Hakika wewe ndio rais tulokuwa tunakutaka Allah atuweke inshallah tiweze kuja kuona Zanzibar yetu mpya inshallah Ameen 🤲🤲🤲
Namkubali RAIS MWINYI, fanya kila unalohisi lina maslahi kwenye nchi yetu na mengine pia tuletee yaliyokuwa mazuri, ipo siku tutaona na kukumbuka juhudi zako kwa nchi yetu, Allah atuwezeshe kuyaona mapinduzi ya kimaendeleo kwa Zanzibar
Napia huku shumba mjini hii bandari bado imeganda hatujuwi lini itakwamuka
Wambie hao wapinga maendeleo wapuuzi wengine walikuwemo serikalini hawakufanya lolote
Hatufamu hayo ss tutaka zanzibar yenye malaka kamili bila ya kungiliwa na wabara
Mipasho ila mda ndio jaji mkuu.
oyaaa mwinyi mitano tenaaaa
Au sio Insha Allah kheri tupu
😂 mbali na mipango ya dr Mwinyi kunikosa na Dj nae kanikosha
Tunataka kila kitu kiwepo lakini, Maendeleo ya vitu yaende sanjali na maendeleo ya watu. Hali za wananchi kiuchumi ni mbaya sana, hiyo miradi ina dalili za kuongeza umasikini kuliko tija. Nakupongeza sana kwa maono lakini fanya moja moja tafadhali.
Maendeleo ni sacrifice lazma kuna upande uumie kwa muda ili badae vitu vikae sawa
😂😂 Mzee..
Haya sasa
Mwinyi ushashiba aloooo
Ndugu Rais hatupingi juhudi zako ila Hawa ndugu zetu wenye Gari za kubeba wageni vipi ushawatizama kwa jicho la Tatu kbl uwo mradi kuufanyia kazi chochonde utawaua na njaa sifikirii km mgeni atataka Gari ya taxi kupelekwa hotelini
Raisi mwinyi tunakupenda sana lakini mkuu wa wilaya wa kati sadifa anatunyanyasa anatutukana tumemchoka please hatumtak
Water tax
mwinyi namkubali sana hapepesi maneno
Dr Mwinyi tumuongezee miaka kama wenzetu wa china tumpe miaka 20 hadi 30
Sasa wataka kuzamisha watu
Kisima watu M2 hawafiki kila kitu aaah haiwezekani Siasa za Chuki na ujinga zimeekwa mbele ilikua ujinga mtupu
Huyu Raisi mitano tena Ikiwezekana tena na Tena
Mihezo
Mh Mwinyi jenga nchi tunakukubali
Na walodhumiwa vi inua mgongo wasaidia 😢
Tnataka maendeleo Yazidi kuongezeka na Pemba uijenge iwe na maendeleo Hususan Bandari ya Wete Pemba
The MWINYI’S Never disappoint.❤
Ss tupunguzie makodi kwni ss wnanchi tuna hali ngumu na maji bado hatupati hio tax bot kwnza mm nakushaur utufanye hayo kwnza ss mwngine bahari twaiogopa mambo mengi yapo yatuliwe tuhoi
Huyu jamaa Ana uwa kazi za wananchi ma beachBoy wakae juu anapiga deal
Unaharibu utatuharibia na Sisi brooo
Kushinda kuchukua tu umeshinda wapi sema ukweli punzi isikuhadae amani yuko wapi sefu ali iddi yuko wapi salimini yuko wapi
Na sefsharif yukowapii
Wahakutokea wa kumkamata ndio kushinda huko huko.
@@TahilaRamadhan-hz3pd sefu ametanguli mbele yy muliokuwa hamutokufa mutakaa duniani milele endeleeni kuzulumu tu
@@TahilaRamadhan-hz3pd na sefu ni mtu 1 tu lkn mumewazulumu wanzanzibari wengi yy hamufi muungu anawaanza kuwahukumu hapa hapa dunia kwanza alikuwepo salimini amuri jeee yuko wapi sefu ali idi jee yuko wapi amani kabakia kichwa tu
Wacha ufala kaka mwacheni Rais afanye kwa maslahi mapana ya taifa letu