Video není dostupné.
Omlouváme se.

BABA LEVO amvaa ALIKIBA mpe mke wako talaka unamtesa bora angeolewa na DIAMOND, HARMONIZE hajielewi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2024

Komentáře • 93

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Před rokem +8

    Fundi majumba b baba revo❤❤❤❤❤❤

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 Před rokem +2

    Huyu mwamba free mason bhna km anajiamin angejibu pale pale

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Před rokem +2

    ukweli vizazi vpya vy usanii msiji gambe snaa wte wanfek maisha hao

  • @wakandatyganelsonofficiall6395

    Kigoma Burundi Bana❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest255 Před rokem +2

    Huyu nani jamani hata kiswahili hajui

  • @lilchampion1960
    @lilchampion1960 Před rokem +2

    Huyo msanii wa mwisho n leopard poemz tajiri chui hatariii mwamba

  • @Parttz
    @Parttz Před rokem +1

    Pua ya Baba levo muda wote anaifikicha😂😂

  • @zuberikupaza1184
    @zuberikupaza1184 Před rokem +4

    Mtoto wa Bakhressa ana Ferari, gari ghali zaidi duniani.

    • @linnusaloyce6559
      @linnusaloyce6559 Před rokem

      Wewe umetoa wapi iyo neno Google kwanza ndg yngu usipende kukurupuka

    • @zuberikupaza1184
      @zuberikupaza1184 Před rokem

      @@linnusaloyce6559 Mmhh, basi wewe ndio unajua zaidi.

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před rokem

      Ka kuambia nani ferrari ndio ghali zaidi duniani?

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Před rokem +3

    Nanyinyi muachege kuhoji matahila babu

  • @user-wz5hd4rb3u
    @user-wz5hd4rb3u Před rokem

    Sana mkuu

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Před rokem +2

    Chawa original

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 Před rokem +3

    Hujamuona mjukuu WA bhakresa juzi au unajizima data

  • @jameskishamawe7256
    @jameskishamawe7256 Před rokem +1

    Naombeni jina la uyu kenge alie ongea hapo mwisho

  • @user-pz3cy1sh5f
    @user-pz3cy1sh5f Před rokem +2

    Mshamba tuwache team kiba kama tulivo

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Před rokem +2

    Father levocatus chipanda, sio kumsingizia diamond kulewa ni kweli alilewa bhana usituletee mazingaombwe mzee

  • @erickmillanei4346
    @erickmillanei4346 Před rokem +2

    Yaani Hamko na contents Kabsa

  • @Hashdough
    @Hashdough Před rokem +1

    THE LAST GUY MBONA NI KITUKO KABISA?

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk Před rokem +3

    Jaman njia ya kutokea nd hii

  • @fatimaterkelsen657
    @fatimaterkelsen657 Před rokem +6

    Now I know that, school is very important 😂😂

    • @TheBassGuy7
      @TheBassGuy7 Před rokem +1

      School is very important 😂🤝🙌

  • @mubuyafrancis3979
    @mubuyafrancis3979 Před rokem +3

    😂😂😂😂😂❤❤❤ Bi level ba

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 Před rokem

    Milion 60

  • @Zenji_znz
    @Zenji_znz Před rokem +1

    Eti saa milioni 60 😅😅😅ukurutu wako wa matako huo

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Před rokem +1

    walkuwa matajir akna Mr Nice kwhio sio wa kwnza yye

  • @machintangachibwena5922

    Wangeanguka wa Rusia basi huko Bongo manake Rusia kuna Baridi kushinda hiyo Ac ijekuwa huyo Aliye zaliwa Tandale

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 Před rokem

    Hicho ki Jordan chako hapa barcelona ni euro 80,,, hicho kikoti chako euro 20,,, hio kofta gucci fake inaonekana kabisa,,, Anglia kofia gucci original anayovaa GSM, au professor Nabi na mwanae,,, hizo ni feki za uturuki inakuwa quality nzuri kidogo asiejua anaziona original kumbe njanja za grade

  • @ummusalma7618
    @ummusalma7618 Před rokem +3

    Mamae zenu sasa alikiba katajwa wapi 😅 mnatombw

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 Před rokem +1

    Huyu mond bhana hichi ni kivuli cha mtu mwenye pesa hasa katulia kmya anaendeshewa biashara zke kuptia mond mwenye Hela hajitangazii kbsa

  • @FurahaEliya-df5fo
    @FurahaEliya-df5fo Před rokem +3

    Kiswahili chenyewe ni manati "HUKIJUI" kajifunze lugha kwanza halafu ndio uje hapa utafute kiki kwa Harmo.

    • @AmiBoy-vs2td
      @AmiBoy-vs2td Před rokem

      Wewe unaekifahamu kiswahili nini maana ya "utafite"

    • @FurahaEliya-df5fo
      @FurahaEliya-df5fo Před rokem

      @@AmiBoy-vs2td hiyo ni error typing matako nini na wewe! Si utafakari kwanza kabla ya kuongea utumbo wako.

    • @AmiBoy-vs2td
      @AmiBoy-vs2td Před rokem

      @@FurahaEliya-df5fo shida nikwamba una jazba kubwa. You have to relax, hatusemi "error typing" tunasema "typing error"

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 Před rokem

      Una yako

  • @davidkg2909
    @davidkg2909 Před rokem +1

    Machawa mnapaswa kujitasmini kunasiku mtakuja kumiminwa pumbavui😢😢😢

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Před rokem +1

    Sasa kama jua haliwezi kwani amezaliwa ulaya kwenye baridi😅😅

  • @pantaleomcha1795
    @pantaleomcha1795 Před rokem

    Baba levo anachomoza pua tu lifti haifungi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Před rokem +1

    Huyu mpumbavu wa mwisho anayejilinganisha na 🐘 ni wawapi uyu UMBWAAAA

  • @user-qy9qb9ul9z
    @user-qy9qb9ul9z Před rokem +1

    Blue chawa

  • @hassanosman3824
    @hassanosman3824 Před rokem

    Hayo magari ni second hand wewe baba levo huja soma ka pembeni

  • @yusuphnguhwachi8030
    @yusuphnguhwachi8030 Před rokem +3

    Hicho cha mwisho mlicho kihoji ni nini????

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před rokem +1

    Kweli ampe mkewe taraka sio kumtesa mdada wawatu

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 Před rokem +1

      Unataka akuoe wewe au acha kuingilia mapenzi ya watu Kama kweli hamtaki si aondoke mahakani akadai taraka

    • @jamilajamila4572
      @jamilajamila4572 Před rokem

      @@rashidyally8715 wee fara kweli mie wala sifikirii ivo unavyowaza wewe ila najua maumivu anayopitia mwanamke mwenza acha kuropoka wee chizi

  • @sabinashabani1165
    @sabinashabani1165 Před rokem +1

    Wakati wanakutana ulikuwepo? Waache watamalizana wenyewe na yeye hahusiki na chochote

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Před rokem +1

    Huu nao uchafu gani unaotafuta kiki kwa hamonize

  • @aliseif564
    @aliseif564 Před rokem +1

    Chief Godlove ana Rolls Royce 😅

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Před rokem +1

    Hawezi jua... Hahahahajaja

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Před rokem +1

    Sasa mwandishi jinoe zaidi unauliza maswali ambayo hayana uzito kwa mtu mzito.

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 Před rokem +2

    Mas é quem esse jovem que está falando mal de harmonize mesmo?

  • @user-xz2bb9nl8x
    @user-xz2bb9nl8x Před rokem +1

    Usimshauri alikiba kumpa talaka mkewe cz hujuwi why au ana7bu gan za kuto mpa talaka alikiba anajielewa na kujiheshim usijaribu kumfananisha na diamond

  • @geraldnjau7186
    @geraldnjau7186 Před rokem +2

    Huyo neye anamtajataja Harmonize Ni nani?😹😹

  • @allyboka4264
    @allyboka4264 Před rokem

    Mknd wak atuangalii origino tunaangalia umestil mwili

  • @massudbiz9828
    @massudbiz9828 Před rokem

    Kwann caption yauwongo

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Před rokem +1

    alfu kla mtu ananunua ancho kpenda sio lzma akinunua hyo diamond ndio wsanii wte wnunue au raia yyte anunue wtu wanauwzo kliko yye bos wngu

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 Před rokem

    Huyu mwamba wa mwsho nnawas was nae akapimww akili kbsa ety saa aliyovaa tu ya million 60 au kakusudia elf6 uyo

  • @launeyfx8340
    @launeyfx8340 Před rokem +1

    Title mbona ni tofaut na video, hizi account za kisenge kweli.

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Před rokem

    bos usipnde kuiga. ushaur wngu kusma atkpo kwnda diamond unmfta akifa mfte kaburini

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Před rokem

    Pakulala papo sio mavazi alafu akifa anazikwa nguluka uko hata pakujificha jua hamna

  • @YasiniHasani-og4hc
    @YasiniHasani-og4hc Před rokem

    Obidi na gazi , gazi yuko wapi babu

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Před rokem

    vtu vyngne uwe una fkria akina bahresa na mo sio wkinunua gari lzma wajionsh matjiri hawjionsh bos

  • @erickmillanei4346
    @erickmillanei4346 Před rokem +1

    Sasa hapo wap alipomuongelea Alikiba na Mkewe wapi na wapi

  • @samuelmwangu3301
    @samuelmwangu3301 Před rokem +1

    Huyu siku akikombana na Diamond sijui itakuaje 😂

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Před rokem

    ndgu yngu kiatu cha lak 6 bongo 😂million 60 saa utawdangnya watto

  • @musiccaentertainment100k8

    Sasa mambo ya mtu mwingne..mnauliza watu wengine

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 Před rokem +1

    😂😂😂😂

  • @AmiBoy-vs2td
    @AmiBoy-vs2td Před rokem +3

    Hawajamaa wakitulia bila kufanya interview huwa CZcams sielew elewi Mimi."Ila kunahaka kajamaa wamekahoji mwisho nako nikasanii au vipi?'

  • @eliyanorobeth8567
    @eliyanorobeth8567 Před rokem

    Ba majumba

  • @alouisejohn7752
    @alouisejohn7752 Před rokem +4

    Baba mama mbona unaongea kama mtoto wakike stop stupid things bro

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Před rokem

    Huyo nani nae hata kuongea hajui?

  • @aikaM74
    @aikaM74 Před rokem

    Mhh kwani diamond ni wa kuoa??

  • @tyronemofekeng7152
    @tyronemofekeng7152 Před rokem

    Huyu nae nani tena. Anajilinganisha na harmo? Ana madanikio gani? Mbona hata kuongea hawezi

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz Před rokem +1

    czcams.com/video/_3GnLUSGZWA/video.html
    Duh kadada karembo kamelewa pombe kanatembea uchi vimatako sasa😂😂😂

  • @salehaljadidi8206
    @salehaljadidi8206 Před rokem

    Mpumbavu wewe, usiingilie ndoa za watu wasiokuhusu, angalia ya kwako na Familia yako. Funga mdomo wako.

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Před rokem

    hya uksema atnunua meli sio kla mtu anpenda ancho nunua yye unaksea usisema hkuna mwny uwezo w kununua Royce

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před rokem

    Uyu jamaa ni nani?

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 Před rokem

    HACHENI izo fake line

  • @momadesuales
    @momadesuales Před rokem

    Mjinga sana huyu

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před rokem +2

    Ile gari ya diamond ni ya mchongo replica, baba levo waambie wasiojua. Inauzwa pesa nyingi kama ni original na mpya. Tunajua mpaka sehemu ilipo nunuliwa dubai awil

    • @owenmutale8686
      @owenmutale8686 Před rokem

      Unateseka ukiwa wapi ile gari hakuna coppy

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 Před rokem

      😂😂😂 watu mnajitesa kweli kweli......Huna hata passo halafu unapuvuka😂😂😂 tu

    • @salehaljadidi8206
      @salehaljadidi8206 Před rokem

      Dubai zipo used old model zinafanyiwa modification na kuonekana new model

  • @sinyorithababy1764
    @sinyorithababy1764 Před rokem +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 baba levo anagombana na lift

  • @PriscaPhedrick-pl6ve
    @PriscaPhedrick-pl6ve Před rokem +2

    Nawaza siku diamond akifa hawa machawa watakuwaje!

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 Před rokem

    Leave Kiba Alone!! Hayakuhusu!!