Kwa hapa Bongo ataenda wapi KIBU yanga washaanza mgogoro na Gamondi keshasema kwenye kikosi chake haitaji winger kwa hiyo yy sio mjinga aende Yanga akae benchi labda kama aende Singida Black Stars
Usisaini mpaka wakulipe elazako utaongeza Deni juu ya Deni kazi watu wasimba kukalia yawezao tu kumbe kwao kunamengi wapeni wachezaji pesazao mtawafanya wengine wasicheze kwa moyo mnajizalilisha kazi kuonayawezenu tu Hilo Sasa limewaganda
Atajua yeye mbona mie namwona mngese tu.lakini hata nyie watangazaji je? Mna uhakika hajalipwa? Acheni ushoga
Kibu ondoka mfuate chama huko utapata shida acha kusani
Kibu atauzwa marekani nyie mnahangaika kujua ia mtaona
Kwa hapa Bongo ataenda wapi KIBU yanga washaanza mgogoro na Gamondi keshasema kwenye kikosi chake haitaji winger kwa hiyo yy sio mjinga aende Yanga akae benchi labda kama aende Singida Black Stars
Tatizo simba ni wasabi
Usisaini mpaka wakulipe elazako utaongeza Deni juu ya Deni kazi watu wasimba kukalia yawezao tu kumbe kwao kunamengi wapeni wachezaji pesazao mtawafanya wengine wasicheze kwa moyo mnajizalilisha kazi kuonayawezenu tu Hilo Sasa limewaganda
Kibu ashasaini mkataba hata kama akiuzwa atauzwa na Simba
Acha ujinga saloum usichanganye uana simba wako na kazi
Kibu mzee bhn aende yanga, hizo ndo za madunduka, hata baleke mzee, aende yanga bn.
Mwacheni aende anakotaka sisi simba atutaki kusumbuliwa
viongozi was Sumba ni wajinga Kama. wajinga wengine ,,
Nalizenu yenu na Mzee Magoma achaneni na mambo ya Simba@@Dotosad
🤣 Nyie MAGOMA FC MLIPENI KIBU PESA YAKE ATI OOO TAJIRI KARUDI MNAMSHINDWA LAMEKI LAWI. ITAKUA KIBU 😅KIBU NJOOO YANGA 😅ACHANA NA HAO MAGOMA FC.
Kwan nyie watangazaji wa Wasafi mlickia lini Kibu amesema hajalipwa stahiki zako mbna mnakua wachambuzi msikua na uweledi
Wanatabiri
Viongozi wetu hili la Kibu denis limalizeni haraka.
Msijidhalilishe hayo ni mambo madogo sana tu.
Fanyeni arudi kibu atapotea na msimu unaanza huo