#live

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024

Komentáře • 16

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Před měsícem

    Atajua yeye mbona mie namwona mngese tu.lakini hata nyie watangazaji je? Mna uhakika hajalipwa? Acheni ushoga

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 Před měsícem

    Kibu ondoka mfuate chama huko utapata shida acha kusani

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d Před měsícem

    Kibu atauzwa marekani nyie mnahangaika kujua ia mtaona

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547 Před měsícem

    Kwa hapa Bongo ataenda wapi KIBU yanga washaanza mgogoro na Gamondi keshasema kwenye kikosi chake haitaji winger kwa hiyo yy sio mjinga aende Yanga akae benchi labda kama aende Singida Black Stars

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 Před měsícem

    Usisaini mpaka wakulipe elazako utaongeza Deni juu ya Deni kazi watu wasimba kukalia yawezao tu kumbe kwao kunamengi wapeni wachezaji pesazao mtawafanya wengine wasicheze kwa moyo mnajizalilisha kazi kuonayawezenu tu Hilo Sasa limewaganda

  • @MtapankunduLyowa
    @MtapankunduLyowa Před měsícem

    Acha ujinga saloum usichanganye uana simba wako na kazi

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem

    Kibu mzee bhn aende yanga, hizo ndo za madunduka, hata baleke mzee, aende yanga bn.

  • @JafetiKanyala
    @JafetiKanyala Před měsícem

    Mwacheni aende anakotaka sisi simba atutaki kusumbuliwa

    • @Dotosad
      @Dotosad Před měsícem

      viongozi was Sumba ni wajinga Kama. wajinga wengine ,,

    • @hassanabdala7383
      @hassanabdala7383 Před měsícem

      Nalizenu yenu na Mzee Magoma achaneni na mambo ya Simba​@@Dotosad

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Před měsícem

      🤣 Nyie MAGOMA FC MLIPENI KIBU PESA YAKE ATI OOO TAJIRI KARUDI MNAMSHINDWA LAMEKI LAWI. ITAKUA KIBU 😅KIBU NJOOO YANGA 😅ACHANA NA HAO MAGOMA FC.

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Před měsícem

    Kwan nyie watangazaji wa Wasafi mlickia lini Kibu amesema hajalipwa stahiki zako mbna mnakua wachambuzi msikua na uweledi

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo Před měsícem

    Viongozi wetu hili la Kibu denis limalizeni haraka.
    Msijidhalilishe hayo ni mambo madogo sana tu.
    Fanyeni arudi kibu atapotea na msimu unaanza huo