Vijana mtaani Old Town watumia ubunifu wa nyimbo kuuza vyakula

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • Tangu kutolewa kwa amri ya kutotoka na kuingia eneo la Old Town mjini Mombasa, eneo hilo limehusishwa na visa vya wakaazi kukaidi mikakati inayowekwa na serikali na hata maambukizi zaidi kila siku. Lakini kwa vijana sita wa mtaa huo, hali hii iliwafanya kuwa wabunifu na kuanzisha biashara ya kuuza vyakula kwa wakaazi wakitumia ubunifu wa kisanii.

Komentáře • 45

  • @zueahmed2184
    @zueahmed2184 Před 4 lety +8

    I cried watching this...InshaAllah mungu ataleta kheri yake

  • @sanjookhan2120
    @sanjookhan2120 Před 4 lety +9

    Big up vijana wangu old town sai tunasifiwa kwa sifa nzuri mashaallah Allah atawasimamia in shaa Allah.

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Před 4 lety +10

    Mashaa llah mungu awasaidie inshaa llah nimefurai kuona vijana kufanya kazi kma hii am so happy

  • @naomiwhite3832
    @naomiwhite3832 Před 4 lety +4

    Wow I love this 😂😂hiyo sauti utabuy evn if ya didn't intend to, God bless n extend ya territories young guy's hamkufikilia kupiga ngeta wakaazi

  • @RK-xv1si
    @RK-xv1si Před 4 lety +12

    We need to help this young guys

  • @mariamhassan1723
    @mariamhassan1723 Před 4 lety +11

    😁😁mashallah akili nywele

  • @khaledjaber8207
    @khaledjaber8207 Před 4 lety +4

    Ni bora sana kujishulisha kwa kutafuta riziki ya halali
    halali, kuliko kufanya vikundi na kupora watu na kuwapiga mapanga.

  • @innocentjay5844
    @innocentjay5844 Před 4 lety +3

    I support this people. Allah awafanyie wepesi

  • @taherajamal2134
    @taherajamal2134 Před 4 lety +2

    God Bless you Old Town n Kenya 🇰🇪 lnshallah Amen 🙏 Good Work Guys 👍👍🌺🌺

  • @sleimanwtwaha9983
    @sleimanwtwaha9983 Před 4 lety +1

    Yaani hi Mombasa haina tofauti na nyumbani zanzibar

  • @abdyaly2413
    @abdyaly2413 Před 4 lety +3

    *Masha Allah Kazi Nzuri*

  • @fauziasitara5059
    @fauziasitara5059 Před 4 lety +4

    Mashallah nice

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 Před 4 lety +4

    Masha Allah

  • @hassanimakame8375
    @hassanimakame8375 Před 4 lety +2

    Unaongea sana mtangazaji ungetakiwa uache nafasi ya sisi kusikiliza burudani kidogo ii unaongea ka chiriku

  • @taherajamal2134
    @taherajamal2134 Před 4 lety +1

    Never give up guys lnshallah Allah will help you n give you Good Health n be more Strong 💪 lnshallah Amen 🙏 🙏🙏👍👍👍😂😂🌺😂😂👍👍

  • @aishakiamba199
    @aishakiamba199 Před 4 lety +4

    Mashaallah

  • @nancynaipanoi4866
    @nancynaipanoi4866 Před 4 lety

    Mungu awasaidie my brothers watching from+61 hope askari hawatahangaisha hawa

  • @omarjeylani9144
    @omarjeylani9144 Před 4 lety

    Kenyans need to get rid of all the politicians, kenyans we need to elect leaders like John Pombe Magufuli who will bring changes, am talking from MCA to President, don't take any bribe to vote for greedy politicians.

  • @salmaibrahim1574
    @salmaibrahim1574 Před 4 lety

    Mashallah, may Allah bless u n guide u to the right path.

  • @aminasaid7657
    @aminasaid7657 Před 4 lety +2

    Mashaallah tabaraka Allah

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 Před 4 lety +1

    Wow mashallah 👍

  • @lovvy854
    @lovvy854 Před 4 lety +4

    Vijana lazma wajitume mume ni Kazii

  • @HsHs-kr7si
    @HsHs-kr7si Před 4 lety

    Good job well done

  • @janesabore2965
    @janesabore2965 Před 4 lety

    God bless their hustle

  • @loreleylady3371
    @loreleylady3371 Před 4 lety +1

    Vizuri sana vijana wetu

  • @ifadatifa0077
    @ifadatifa0077 Před 4 lety +1

    MashaAllah

  • @stoppersamba795
    @stoppersamba795 Před 4 lety

    keep it up brothers...👊👊👊

  • @fatumalockwood8989
    @fatumalockwood8989 Před 4 lety

    Mashaa Allah very impressed need your number keep it up and bless you all thanks.

  • @taherajamal2134
    @taherajamal2134 Před 4 lety

    Mashallah Mashallah 👍👍

  • @shiphrahblessing284
    @shiphrahblessing284 Před 4 lety

    Hongera kwao

  • @fatmakhalid9176
    @fatmakhalid9176 Před 4 lety +1

    Mashallah

  • @jabriilomar3635
    @jabriilomar3635 Před 4 lety

    mashaa Allah Allahu Akbar

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 Před 4 lety

    Zaman ulikua ukitk ujulikane mpka ufunge kanga zikazane siku hiz raha sana

  • @zaharunhaitham7203
    @zaharunhaitham7203 Před 4 lety

    Good job😅😅😅

  • @neemapeter2615
    @neemapeter2615 Před 4 lety

    Wow so nice😅😅😅😅

  • @salmadzame3465
    @salmadzame3465 Před 4 lety

    mashallah

  • @abdulbabalao3160
    @abdulbabalao3160 Před 4 lety

    Usiseme maambukizi kila siku , maambukizi ya nini?? Wanahabari mwajisemea mutakalo tu kuleta fitna..not fair

  • @hanifaali9526
    @hanifaali9526 Před 4 lety

    Hiyo sauti hata kama Nina mboga nanunua tu.

  • @lovelynaynay2316
    @lovelynaynay2316 Před 4 lety

    Nice 😂

  • @mustaqimaofficialofficial9956

    Mashallah