#LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
    Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
    Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
    Star TV Brightens Your Day !

Komentáře • 52

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo Před 29 dny +4

    hapo mhe mpina tunakukubali kanda ya kaskazini kwa kazi nzuri sana unayoifanya ya kupambana na mabedui. kwapamoja tunakuunga mkono mhe mpina usiogope mungu atakutia nguvu upya. barikiwa sana mhe.

  • @jamesmhangwa9672
    @jamesmhangwa9672 Před 20 dny

    Hongera Nyanda O Kisukuma
    Piga kazi Mungu Yupo na wewe

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 Před 29 dny +5

    Next president 2030 achana na mambo ya CCM

  • @KanikiIkinda
    @KanikiIkinda Před 29 dny +2

    Hongera Luhaga Mpina,,,

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 29 dny +3

    Imba sana Mpina mteteso wa Wanyonge Wasukuma mko juu zaidi hamtaki longolongo yombaga mwanawane

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i Před 29 dny +3

    Mbunge wangu. ❤❤❤❤

    • @nomoboy152
      @nomoboy152 Před 29 dny

      Saivi me nachukua Mbunge yoyote hata kama hayupo Jimbo LANGU maana Hawa wanasiasa wengi ni miyeyusho kwaiyo nasema Rasmi Mpina ni Mbunge wangu pia

  • @PhilipoAmosi-v2x
    @PhilipoAmosi-v2x Před 20 dny

    Mpina unavijua!!!

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 29 dny +4

    Mpina uko vizuri mungu akulinde.

  • @mashalacharles2384
    @mashalacharles2384 Před 29 dny +1

    Be blessed mpina

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 Před 29 dny +2

    Jaman huyu mama si atoke daah nae ana roho ngumu ivi ajui anaumiza watu bac. Mungu atatenda makuu

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 Před 29 dny +2

    Independent Candidate...... Hongera Mpina Luhaga.

    • @kiatu
      @kiatu Před 29 dny

      CCM wanaogopa mambo hayo

  • @user-cs2fn2qw9j
    @user-cs2fn2qw9j Před 29 dny

    Hahahhahah noma sana

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o Před 29 dny +1

    Kweli kabisa ndugu yangu japo maisha yako yapo mashakani .hakuna atakae ishi milele tupambanie kaka

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 Před 29 dny +1

    Niko na mpina

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 29 dny

    Mpina ndio aina ya wabunge tunaowahitaji Tanzania

  • @tandesanga4195
    @tandesanga4195 Před 29 dny +1

    Piga kazi watu wa kweli wanapitia magumu sana but ucjali

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Před 29 dny +1

    Duuuh

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o Před 29 dny +1

    Iyo suti mbona ni red kaka

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před 29 dny +2

    Wao wako wengi ww uko mmja tu ingawa una haki

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 Před 29 dny +1

    Mpina najua humpendi Samia Ila unashindwa tu ufanyeje make ma CCM mengi hayajielewi😂😂😂😂

  • @user-zc6og4wt7s
    @user-zc6og4wt7s Před 29 dny

    Yaani ni kituko tu

  • @mahengedaktari-ek8go
    @mahengedaktari-ek8go Před 28 dny

    Rais hana sauti ndo shida hii yote

  • @temangamasungandemela3820

    Tukimuogerea rc makonda wewe hatuwezi kukutoa mweshimiwa mungu awepamoja nawe ushindi juu yako naomba ukiona tatiz fumba macho malamoja na kufumbua hakika ushindi niwako akuna mende lazima watii

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Před 29 dny

    Hiyo sale ya julius malema inamaana sana

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před 29 dny +2

    Mpina mm najua una nini unachojivunia sio bure

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 29 dny +1

      Mungu Baba ndiyo tegemeò letu

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 29 dny +1

      Anajivunia Mungu wake aliye juu na alive mkuu kupita wote. Nani wa kumzidi Mungu? Walio upande wa Mungu huogopi.

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 Před 29 dny +1

    Haupiti 2025 chama kimeamua kutokupitisha!

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson Před 29 dny +1

      Mimi niko Kigoma kama kweli huyu jamaa watamzuia basi Chama Changu CCM kitakuwa hakijawatendea haki Wananchi wa Jimbo analoongoza huyu mwamba. Sio Mbunge wangu ila namfuatilia sana hasa hoja zake Bungeni.

    • @saidnoumani7244
      @saidnoumani7244 Před 29 dny

      @@NtamamiloGibson hoja zake hazina mashiko...lack of evidence and poor analytical ability.

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 29 dny +1

      Una uhakika gani? Acheni uchonganishi wenu

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 29 dny +1

      @@NtamamiloGibson yuko vizuri sana. Anamsaidia rais ipasavyo.
      Na wananchi wanampenda

    • @nestor384
      @nestor384 Před 29 dny

      @@saidnoumani7244unaumwa wewe mbuzi

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 Před 29 dny

    Luhaga, huwa nakukubali sana kwa akili, hekima, na busara zako. Samia angekuwa Rais wetu vizuri sana, kama Nchi hii ingekuwa na Amiri jeshi mkuu mmoja. Sasa yeye ni amirijeshi mkuu wa jeshi lipi, kama Tanganyika haipo na Tanzania ni nchi moja? Basi ni Amirijeshi Mkuu wa Tanganyika ambapo hastahili kabisa kwasababu yeye siyo Mtanganyika! Jeshi ni la Muungano, hako kaamirijeshi kengine kanatoka wapi? CCM tulidai, tumedai, tunadai na tutadai serekali ya Tanganyika mpaka kieleweke.

  • @JumaMgonja-x2j
    @JumaMgonja-x2j Před 29 dny

    Hivi mpina analeta ukabila kwani jimbo hilo la kisesa nikabila mojatu?malimu nyerere alitunganisha tunaongea luga moja leohii kiongozi ana anasimama jukwaani anaingiza ukabila hiyo nihatari sana

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 29 dny +1

      Mweshimiwa Rais amerudisha uchifu unashangaa nini? Mwalim Nyerere aliondoa uchifu ili kuvunja ukabila Sasa usimlaumu Mpina. Mzee warioba alisema mnarudisha uchifu ukabila utarudi.

    • @ZephaniaMashimba
      @ZephaniaMashimba Před 29 dny +1

      Haujuwi kisesa ni wasukuma?

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 29 dny +1

      Huna hoja

    • @kepharichard4183
      @kepharichard4183 Před 29 dny +2

      Wewe mavi kweli, nyerere alipokuwa akiende kwao anaongea kizanaki au anapoenda mkoa mwingine akiongea lugha ya kabila hilo anakuwa mkabila?? Kichwa mgando wewe kinyesi saana.

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 29 dny +1

      Ukabila gani? Mbona huwa anatetea taifa zima? Na hapo yuko jimboni kwake anateta na wananchi wake, shida yako iko wapi?