KUHANI BAKALEMWA AFUNDISHA JUU YA KUWAELEKEZA WENGINE KWA YESU KRISTO
Vložit
- čas přidán 4. 06. 2024
- IBADA TAKATIFU YA JUMATANO JIONI YA TR 05 JUNE 2024
SOMO:- KUWAELEKEZA WENGINE KWA YESU
Matendo ya Mitume 19:3-4
[3]Akawauliza, Basi mlibatizwa kwa ubatizo gani? Wakasema, Kwa ubatizo wa Yohana.
[4]Paulo akasema, Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba, akiwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja nyuma yake, yaani, Yesu.
Mhubili
Kuhani Milembe Bakalemwa
Kuhani Harrison Humphrey
Ibada imefanyika kusanyiko la Kayanga lililopo wilaya ya Karagwe Mkoa wa Kagera
©05.06.2024