KUHANI BAKALEMWA AFUNDISHA JUU YA KUWAELEKEZA WENGINE KWA YESU KRISTO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 06. 2024
  • IBADA TAKATIFU YA JUMATANO JIONI YA TR 05 JUNE 2024
    SOMO:- KUWAELEKEZA WENGINE KWA YESU
    Matendo ya Mitume 19:3-4
    [3]Akawauliza, Basi mlibatizwa kwa ubatizo gani? Wakasema, Kwa ubatizo wa Yohana.
    [4]Paulo akasema, Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba, akiwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja nyuma yake, yaani, Yesu.
    Mhubili
    Kuhani Milembe Bakalemwa
    Kuhani Harrison Humphrey
    Ibada imefanyika kusanyiko la Kayanga lililopo wilaya ya Karagwe Mkoa wa Kagera
    ©05.06.2024

Komentáře •