Inshallah nyota yako izidi kupasua mawingu napenda nimbo zako zanikumbusha nikiwa Kenya kandoyangu radio yangu station kaya na presenter rasmangale,peter kutoka Kuwait 👏👏👏👏🎉🎉🎉
@@tumujabir1370 kuna nyimbo yako Da Tumu lakini siijui jina lakini naitafuta sana ila sijaipata..ulipoimba imba hivi...NATESEKA MIMI SIKOSA LAANGUU..SABABA YA MAPENZI YANAADAA
Inshallah nyota yako izidi kupasua mawingu napenda nimbo zako zanikumbusha nikiwa Kenya kandoyangu radio yangu station kaya na presenter rasmangale,peter kutoka Kuwait 👏👏👏👏🎉🎉🎉
Kweli kabisa nyimbo tamu kutoka Mombasa naisikizia nikiwa saudia arabia barikiwa sana dadangu
Asante mpenz
Wale wa Msambweni Gonga like hapa
Mm hapa na ww jee
Kaya ni kaya hasikwambie mtu
My favourite msanii Mombasa, have been listening to her songs since then,alikuwa client wangu ukunda,nikirudi diani namtafuta
Nani alisema wadigo hatuweziii😂😂pharairaaa weee ano mayo pharaaraaaa💃💃💃💃
Nakwambira watutoa stress za waarabu daa tumu
Wako wapi wale wa Kona ya musa, tukiwa ndani ya Qatari, home sweet home
Tupoo
Tupo ndani ya saudi
😘😘Hom swty tukiwa mbali
Tupo
Tupoooo....twaipatata tukiwa nyumbani Dubai
Dah dada tumu watuburudisha sana ndani ya saudia home sweet home jamoniii
Usijali nakuletea mazuri zaidi ya hayo..
Nakwambia watutoa strese za warabu
Hapo ss maisha ya ,ijea ya ,dhiki
Tupo
Narudi nyumbani nami pia
Mashallah Dada tumu, napenda Sana nyimbo zako👌👌👌👌
tumu uko na sauti tamu mashallah.................jaribu kuboresha iyo vedio kiasi tafadhali
Mbona sawa huko ndio kayaa
Home sweet home,acha ni buridike nikiwa ndani ya saudia penda sana tumu
Mbona nyimbo zake n nzuri......mbona sponsor asifanye mpango akatoa ngoma na msanii wa bongo
Hata mm nimemiss home bwana weeeeeee acha tu 😘
Mama umepewa talanta hio sauti yako$$$
Nyumbani ni nyumbani kweli kabisa
MashaAllah Tumu upo juu ...ntakualika harusi yangu InshaAllah
InshaaAllah
Nimeshkuru hom sweet home
Wayawaya hme swt hme penda ww ma tumu 😍😍😍😍😍😍zidi kutupunga😍😍😍😍😍
❤❤❤❤thx so much more inspirational
Home sweet home😍😍
Da tumu nakualika Oman njoo nakusubiri
Awesome qwedhbmqwedhbm ❤💓💖❤️
Really like you song sister be blessed
Naja nyumbani pia mm😂😂😂❤❤
Mashaallah daa tumu nyimbo tamu sana
Maskini mtu kwao
Ama vipi dada?..ahaha
Nilijua tu utafika 😁😁😁😁😁
Nyumbani nyumbani eeh nimelelewa toka nyumbani halo ndani ya perani wizi wakorosho kama kawa home sweeet home hatakama kichakani much love daa tumu
Coast taarab nimeipenda kazi nzuri @tumu jabbir
Sauti nayo 🔥ujumbe nimeupata nimeupokea.. Ata Nami narudi home 🏡 🌋
Dada tumu Masha Allah nimependa sana.nakutakia mafaniko makubwa na heri ameen
Kaya kaya kaya kisite kwao hoyeee
Tumu nawambiya mubaini
🔥🔥🔥 Tumu Jabir. Malkia 👑 Wa Taarab Mombasa.
Wko wpi wale wa saudia...home sweet home full tumu yani pamoja 🤝🥰
Home sweet home, ht km kichakani. 🥰🥰Bigup cn da tumu, nakupenda bure
Mtu kwao home sweet home,2021 l'm still watching God is greater.🤲
nyumbani ni nyumbani tu dada tumu👍👍👍👍
Nkeli da zuhura
Kabisaaa dadangu..
@@tumujabir1370 kuna nyimbo yako Da Tumu lakini siijui jina lakini naitafuta sana ila sijaipata..ulipoimba imba hivi...NATESEKA MIMI SIKOSA LAANGUU..SABABA YA MAPENZI YANAADAA
@@diniyawasaniiremmy1919 😂😂😂wasema wateswa na mapenzi
The only song i love so much for Tumu jabir😍😍😍
Sweet hom 💥💥💥💥🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Nimerudi nyumbanieee
Keeeeeeeeeeeh jamani siponi mie wanikosha ujue
Masikin mtu kwao sana tu
Masha Allah da Tumu uko juu moto
Sauti kinanda MashaAllah
you are rocking our hearts and souls. proud of you guys. be blessed
mashaallah da tumu naburudika nikiwa saudia.
Nafurahi kusikia hivyo dadangu,ndio furaha yangu ukiburudika...
mie nikiskiza nazidi kufuraika dadangu mungu akuzidishe kipaji inshaallah.
Nakwambia minnaraha zote stress zawaarabu zote sina
Karibukwetu Congo Lubumbashi tunakumic sana
Asante
Kwel nyumbani ni nyumbani sster umeweza
Asntee
napendaa..hiyoo.nyimboo.dha
Asante Dadangu..
Mashala
Nyumbni patamu asikuambie m2 👍
Nyumbani ni nyumbani duuu safi sana.
Hapo umenena dada..
Nimeobdoka tena nyumbani..ndio mkali nautaka ntaupata Vipi Tumu otherwise uko juu sana
Asantaaaaaaa
Kaya nkaya takama nmavuweni , asante habipty kwa kuduburudisha
Saut ako Zur Sana
Nakupendaa daaa pamojaa sana
Back home soon inshallah
Niya 🔥🔥🔥🔥
Wakiteje mko wap
Tupo..tupo wakiteje
Naburudika nkiwa qatar nko karbu kurud om 🥰
Karibu nyumbani kaya nkayaa
MashaaAllah tumu
Mashallah
Twangoja binadamu mzigo
Isubirie tu mda si mrefu..
Binadamu mzigo
Jameni Dada tumu wewe penda sana wewe
Maisha ya nje ya dhiki.nikiwa Qatar
Wow sauti tamu big up
Twatak kuona umetok nyumbn umerud mjini tumu
Madilu.riko makenzi
Mashallah😍😍
Home sweety home
🤟🤟🤟🤟🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Je mupoo au munlala,uku kwetu raha tu twakesha mpaka kieleweke.2021 bado tuna kula bata.
Jamani nitarudi home mda sio mrefu
Home sweet home ♥️ sauti bomba
Tumu Uko Juu Sanaa
Home sweet home
Kama wajua title ya hizi songs naambie please,siku ukienda ooh kamwambie kuwa nampenda.2 ingine ni hata Kula sitamani
Mashaallah tumu mungu kakupa sauti zuri da
Asante dadangu..
MashaAllah daa
Hangera dd HAPO sisemi
Wow big up
Tupeni hzo mpya jmni
Ntaka nmetoka nyumbani
mungu amekupa kipaji cha sauti nakusikuzea ni kiwa ndani ya saudia
Asante Ahmed..
Mwanatumu nkali xn
Home sweet Home!
Home sweet home 🥰😘
nyumbani ni nyumbani
Waya waya
jamani nyumbani raha
Sema pole pole..ahaha..
Tumu l like ur music to much nisambazie zingine please
Kaa hapa hapa mkao wa kula..Naendelea kukupakulia dadangu..
Namkubal tumu
Nice song
nawajua kuburuga kumbe
😍
twataka nyingi zaidi za videos
Zipo njiani kwa fujo..
@@tumujabir1370
Bona azija fika tupe vibao vipya
🇰🇪🇸🇦
Mashallah mumeendeleya mashallah mashallah
Ngoma nzuri ela imekosa matingatinga!
Matingatinga yavipi tena mbonawanifuraisha
@@mohameeddoaan2296 magari makubwa yalopakia yakapakika
@@rashidhusain2958 Nyumbani kwema ata kama kichakani😂
@@keykariabu701 tena sanaa, cc Wenye tuko diaspora ndio twajuwa thamani ya nyumbani.
daa tumu nkiwa nakupata clear nkiwa Dubai ntaipataje audio ya hii nyumba plizz naiomba
Hujambo nitumie hii nyimbo na namba ya Huyu mtu 0774086029
Nawaona
Dada endelea uko SawA tuh
Home sweet home 💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃Dani ya Saudi Arabia
Cute