MRADI WA VIWANJA NZUGUNI DODOMA ( SQM 1 = 15,000/=)
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Karibu kwenye mradi wetu mpya wa viwanja uliopo Nzuguni Jijini Dodoma ambapo hapa tuna viwanja vyenye ukubwa tofauti tofauti kuanzia sqm 600 na kuendelea. Viwanja hivi viko very close na stendi na soko la Job Ndugai huku huduma za kijamii kama maji , umeme, barabara kiwango cha lami, shule za kimataifa, hospitali kubwa na makazi ya kisasa vikitawala eneo hili
Viwanja hivi ni vichache na viko sehemu nzuri iwe kwa kujenga au kuishi. Kwa kila SQM 1 inauzwa kwa shilingi 15,000/= na pindi ufanyapo malipo basi utapata hati ya jina lako.
Wasiliana nasi 0620 64 9030
#Dodoma
#viwanjaDodoma
❤mzuri saana jee eka mbili ni helangapii
Uhalali wa viwanja ndio tatizo
Bado vpo
vipo