Usiku Huu: MO DEWJI AITISHA KIKAO CHA DHARULA NA BODI YA USHAURI YA SIMBA MAZITO MJUMBE AFICHUA YOTE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 08. 2024
  • #BATTLETV
  • Sport

Komentáře • 15

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem +2

    MAYELE NA FEI TOTO WAKIJA SIMBA BAAAASI

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem +2

    ASANTE SANA MO TUNAMWOMBA MAYELE NA FEI TOTO

  • @AwaziNuru
    @AwaziNuru Před měsícem

    Musajili wanao eleweka musilete madalasa watutie album

  • @benedictluena6507
    @benedictluena6507 Před měsícem

    Wasaliti bado wapo waondoeni

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před měsícem

    Towa mangungu ambaye anabagua matawi

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa Před měsícem

    Waambieni viongozi wa simba wasiishie kujipangana chupa zamaji kwenye vikao wachezaji walindea,wajezaji niwazuri

  • @mariamabdallah9847
    @mariamabdallah9847 Před měsícem

    Mangungu anausika kwenye msaliti mbona bado yupo

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 Před měsícem

    Huyo anae toa majini nikama hajiamini mbona sauti iko chini Sana. Narudia tena mashabiki wa Simba bado hatuna Imani na mangungu Kwa hiyo bado tuna mashaka na mangungu asihusishwe kwenye vikao vyetu atatoa sili zetu za maendeleo ya timu yetu nnje

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 Před měsícem

    Niwakumbishe Tu viongozi wangu mangungu sio mtu mzuri Sisi bado tunahedabu bado nikirusi ndani ya simba mangungu asihusishwe kwenye vikao vyetu vya maendeleo ya teamu yetu huyo ndo anatowa sili za Simba nnje mipango yote mlio panga itapelekwa Kwa mahasimu wetu nnje kuweni makini sana na mangugu

  • @noeljohn8694
    @noeljohn8694 Před měsícem

    Mimi niwakumbushe tu viongozi wetu usajili upo vizuri ila msijisahau mbinu potofu za nyuma mwiko mweke mikakati ya kupambana na marefa wakutumika na upande ule kule na waandishi na watafisili wamichezo wanao ponda mambo yetu na hao kina kisugu wengine sio wote wasimba wengine ni kina mchome

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s Před měsícem

    Tengenezeni mfumo wa kutoa motisha kwa wachezaji na sio kusajili tu

  • @mariamabdallah9847
    @mariamabdallah9847 Před měsícem

    Mangungu mtoeni hapo msaliti huyo

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s Před měsícem

    Hatumtaki uyo mbwa mangungu

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t Před měsícem

    Mangungu atupishe tafadhali, awafuate wauza mechi wenzie waliopewa senkiu

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s Před měsícem

    Mangungungu aondoke mshenzi