JAMVI LA LUGHA :UFASAHA WA KISWAHILI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 10. 2011
  • GURU WALLAH BIN WALLAH NA KAKA JOYOOS

Komentáře • 55

  • @user-hu2uw9hy1f
    @user-hu2uw9hy1f Před měsícem +1

    Asiyejua ngeli hajui Kiswahili,heko sana Walla bin Wallah

  • @Mwituyi
    @Mwituyi Před 9 lety +7

    The best teacher in the country

  • @jibabealhadjy1637
    @jibabealhadjy1637 Před 7 lety +5

    Nafurahi ustadh guru wallah bin wallah kwa kusisitiza kwa kutunzwa kwa kiswahili kwani wengine huidharau hii lugha kwa kujiongelea mambo ya sio ongelewa

  • @ErimaEric
    @ErimaEric Před 5 lety +5

    Safi sana. Leo nime onja utamu wa Lugha fasaha

  • @swotchege3160
    @swotchege3160 Před 2 lety +1

    Makala mazuri sana...hiki kipenda kilikwenda wapi katika runinga?

  • @mshihirimweusi7986
    @mshihirimweusi7986 Před 5 lety +4

    Kiswahili hakina udhaifu wa maneno, tunapojaribu kutunga misamiati tuangalie zaidi lahaja za kiswahili.

  • @umbopaday
    @umbopaday Před 5 lety +2

    Guru Neno LA kihindi cha Punjabi maana yake mkuu WA dini ya masinga singa. Mfano guru Nana

  • @AllyHilal
    @AllyHilal Před 7 lety +7

    Bidii yako naikubali. Ahsante Ustadh Walla bin Walla

  • @cynthiaadika7981
    @cynthiaadika7981 Před 5 lety +4

    Hongera kwa kazi kuntu! Naomba Mola Akupe umri.

  • @icon761
    @icon761 Před 5 lety +3

    Mjuzi

  • @kipkuruinicholas7130
    @kipkuruinicholas7130 Před 7 lety +3

    kaka jos tafadhali tutangazie kambumbu banaaaaaa! mashabiki tunaumia

  • @simonphabiano9050
    @simonphabiano9050 Před 3 měsíci

    Safi sana Mwalimu

  • @mwanaahagostine2357
    @mwanaahagostine2357 Před 4 lety +2

    Nakubali kiswahili kitamu

  • @martowawesh1769
    @martowawesh1769 Před 8 lety +3

    hongera ustadhi walla

  • @melimeli9232
    @melimeli9232 Před 11 lety +3

    Kaka hujambo ,asante kwa kutufunza lugha hii ya kiswahili.Nikitafakari mwaka wa 2005 katika kipindi cha ukarabati wa lugha mafunzo yako pamoja na ya mwalimu Walla yalinifanya nielewe kiswahili sana, mungu awabariki na awapatie nguvu ya kuenedeleza kiswahili.

  • @vincentokiyah4806
    @vincentokiyah4806 Před 3 lety +1

    Hongera sana Guru.. mwanafunzi wako milele

  • @lobaalfred1220
    @lobaalfred1220 Před 4 lety +1

    Galacha wa kiswahili ambaye mimi hutamani kukutana naye ana mnato jinsi anavyozungumza na kuwastadiwa kiswahili.

  • @MwalimuRichardMwangi.7202

    Nimefurahi sana kwa ajili ya guru

  • @aggreyokulo1755
    @aggreyokulo1755 Před 8 lety +2

    Heko guru,nami nimemakinika vyema kutokana na kazi zako..

  • @festusmuia5006
    @festusmuia5006 Před 10 měsíci

    Mwandishi wa vitabu mufti,,,bwana ulinisaidia sana katika somo la kiswahili

  • @MwalimuRichardMwangi.7202

    Guru kongole .....Maaaasneeeno hayo

  • @leahmunji8781
    @leahmunji8781 Před 11 měsíci

    Kiswahili lugha tamu ikitumika kwa ufasaha ...kiswahili kitukuzwe.

  • @Blackisbuty5
    @Blackisbuty5 Před 11 lety +2

    Tafadhali KBC 'upload' video vya jamvi la lugha hasa natafuta ya mwaka uliyopita desemba wa wanaume wawili walimu, jina la mwisho nadhani lilikuwa ni Njoku

  • @AhmedOmar-no1ci
    @AhmedOmar-no1ci Před 3 lety +2

    Na ogopa kujikashifu nikiandika maoni yangu. Lugha ya mtaa haina thamani tunyamaze tu.

  • @jackowuor4016
    @jackowuor4016 Před 11 lety +3

    aise kaka mbona wakenya hawana hulka ya kusoma vitabu vya kiswahili

  • @evansodikor2343
    @evansodikor2343 Před 2 lety

    hongera zidi kutuelimisha

  • @MichaelTonga101
    @MichaelTonga101 Před 3 měsíci

  • @Okwash1
    @Okwash1 Před 9 lety +4

    Huyu Guru Wallah Bin Wallah ni mjaluo. Luos can speak swahili.

  • @jamboaerobicsandfitness2000

    Fasaha ni kiswahili? Kiswahili cha uguja kimetatiana na kiarabu..

  • @mugokiberenge8818
    @mugokiberenge8818 Před 3 lety

    Kipindi wapi tena?

  • @asilclub
    @asilclub Před 7 lety +2

    ASATE SANA MWALIM GURU NATAMANI UTUFAHAMISHE LUGHA YETU YA KISWAHILI INAYO TAFOUTI NA WASWAHILI WA WASOMALI NA WARABU WA OMANI (HAYO MANDISHI NI LUGHA GANI ???KISWAHILI AU KIARABU ???)KWA KIARABU ( احسنت صنيعا معلم جوروا أتمنى ان تفهمنا لغتنا لها من تفاوت من سواحلية الصومال و عرب عمان ) SASA NIMEANDIKA KWANZA KWA KISWAHILI NA NIMEDIKA KWA KIARABU NANI AL KUAWA AMEKUJA KWANZA QURAAN TUKUFU KWA KIARABU AU KISAWAHILI ?????? KISAWAHILI NI LUGHA IMEZALIWA KUTOKA KIARABU KWANI VIDEO HI YAKO ZAIDI YA NUSU MANEMO YAKO NI LUGHA YA KIARABU ASANTE SANA

  • @Mwituyi
    @Mwituyi Před 9 lety +8

    You are good for nothing brother. Wallah Bin Wallah ni mwalimu wa walimu na Tanzania hamna mwalimu kama yeye.

    • @maryanmahad6615
      @maryanmahad6615 Před 6 lety

      Ooh Stephen mukangai !

    • @hamadamaani2516
      @hamadamaani2516 Před 4 lety +2

      Je uchunguzi huo ulifanywa na nani huku ndo kumejaa ufanisi na utendeti Wa lugha

    • @ramyali6347
      @ramyali6347 Před 2 lety

      Unasema nini wewe na Wallah bin Wallah amesomea Tanzania?? Shukuru Tanzania imesomesha huyo hadi kuwa Gwiji.

  • @abubakarrahim8482
    @abubakarrahim8482 Před 7 lety +3

    sisi huku somalia tunawaangalia munavo kichafua lugha ya kiswahili lakini tunaomba ishuke amani somalia naona kutakuwa na mapambano na mijadala ya lugha hii ilivo chafuka kiwango hichi.

    • @davidngwesa
      @davidngwesa Před 4 lety +1

      Somalia Kiswahili kinazunguzwa wapi? Naomba kuelewa kama hautajali!!

    • @AhmedOmar-no1ci
      @AhmedOmar-no1ci Před 3 lety +2

      umewahi kusikia Galka’yo? Huko ndipo uvumbuzi mpya unaendelea hivi sasa.

    • @abubakarrahim8482
      @abubakarrahim8482 Před 3 lety +2

      @@davidngwesa suala lako nimeliona leo lakini huenda ukapata majibu yangu. Kiswahili chimbuko lake lilianzia huku kwetu somalia hadi sasa tupo hata kama ni minority tribes.kuanzia mogadisho,Barawa. kismaiyu, na visiwani- koyama, chula, chovae , mdowa, kudai, Burkavo, Raskiamboni mpakani baina ya somali na kenya hizi ni sehemu utapata kiswahili kiki zungumzwa hadi leo.

    • @abubakarrahim8482
      @abubakarrahim8482 Před 3 lety +1

      @ShutterDe DON hujakosea kuwa nimbajuni ama Wambalazi abao kwa jina lengine wanaitwa Wabarawa. Lakini wabantu wamepotza lugha yao ya kizugua wengi wanaongea kisomali japo kuna wengine kidogo wanaongea lugha ya kizuguwa. Huku somalia wanaitwa jareer ama wagosha a.k.a Bantu. Majina walio bandikizwa na wasomali.

    • @abubakarrahim8482
      @abubakarrahim8482 Před 3 lety +2

      @@davidngwesa kiswahili kinaongwa sehemu nyingi sana japo sisi somalia ni minorities lakini lugha yetu bado tumeidhabiti. Kuanzia mogadisho, Barawa, kismaiyu, na visiwani -mchooni, Koyama, Fuma, chula, mdowa, Chovaye, Burkavo, na Raskiamboni mpakani kenya na somalia.na ukija kwa nduguzetu wabajuni wa kenya kuanzia Ishakani Pate, chundwa, faza, na visiwa vengine mpaka lamu na wengine wanateremka mpaka mombasa ufuo mzima. hawa ni ndugu zetu tulogawanyika sababu ya mipaka waloweka wakoloni.