#live

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 29

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt Před 2 měsíci +6

    😂😂eti chama ashakua mweupe.

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 2 měsíci +8

    Hamna kitu hapa, Gamond ni professional.

    • @brightmichael2846
      @brightmichael2846 Před 2 měsíci +2

      Mtawakata watyu siku moja

    • @minazsaid2470
      @minazsaid2470 Před 2 měsíci +1

      Kwani hawa wachambuzi huwa mnawatoa watu no professional yeyote

    • @johnnyambuya8671
      @johnnyambuya8671 Před 2 měsíci +1

      Kwani umemsikiliza kweli au umeangalia tu Title.

  • @emanuelpetro9591
    @emanuelpetro9591 Před 2 měsíci +2

    Mnateseka hapa woooote ni Makolo, subirini ni suala la muda tu 10-1 mlivyosajili wanafunzi wa msingi mtaendelea kujitafuta sana

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Před 2 měsíci +3

    Hata kizungu chake kibovu kinanuka!!accerate maana yake!

  • @FadhilSuleiman-e8b
    @FadhilSuleiman-e8b Před 2 měsíci +7

    Ujui mambo ya mpira wewe gamondi bonge la kocha alafu uliwaza na real Madrid ingeweza kuimprove na wale mastaa na Kila mtu alipaform kwa wakati wake uliwaza hayo tafuta Jambo la kufanya kaka

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo Před 2 měsíci +3

    wao makolo wanaumia

  • @paulmwandambo7799
    @paulmwandambo7799 Před 2 měsíci +4

    Mi huyu kenge simuangaliagi ananimalizia mb TU msomali fala huyu

  • @Yangadamu
    @Yangadamu Před 2 měsíci +3

    Muangalie watu wakuwahoji

  • @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
    @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts Před 2 měsíci +5

    David utakuja kujishusha wewe mwenyew kwasasa uko hovyo

    • @johnnyambuya8671
      @johnnyambuya8671 Před 2 měsíci +2

      Akishushe kwa lipi sasa wakati hujamsikiliza zaidi ya kuangalia tu Title.

    • @barakawabuge5285
      @barakawabuge5285 Před 2 měsíci +1

      Kosa lake lipi..kuisifia Yanga mabingwa wa muda wote wa tanzania??😂😂

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Před 2 měsíci +2

    Jinga ameulizwa nani hayo? Mara hii ameshaanza kuwa Gamondi?

  • @Jobiso
    @Jobiso Před 2 měsíci +3

    Tena hyu ndio hovyo kabisa

  • @user-sz6ht5wm2g
    @user-sz6ht5wm2g Před 2 měsíci +1

    Wewe unamuonaje Gamond au unamchukiliaje kwenye kikosi chake! subirini

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před 2 měsíci +2

    MICHAMBUZI YA MICHONGO KAMA HII AMBAYO HAINA ELIMU YYTE YA UKOCHA MBALI NA KUCHAMBUA MPIRA KWA KUANGALIA KWENYE TV....INAJIFANYA KUUJUA MPIRA

  • @carolinambalamwezi4216
    @carolinambalamwezi4216 Před měsícem

    Leo friji bovu wape ukweli

  • @MasanjaMasanja-mz3ll
    @MasanjaMasanja-mz3ll Před 2 měsíci +1

    Kila siku kuiponda Yanga tu,,

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Před 2 měsíci +1

    Nani analita hilo friji bovu?huyu jamaa anajivisha mambo ambayo ni usiku wa giza kwake! Akauze mbolea ya kinyesi!!! Hebu muulize alisema Azizi Ki habaki Yanga!!

  • @allysinde6208
    @allysinde6208 Před měsícem

    Good

  • @johndavid1593
    @johndavid1593 Před 2 měsíci +1

    Makolo acheni makasiriko

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 2 měsíci +2

    Sooo stupid,kocha yoyote anapenda kuwa na DEEP SQUAD! Yanga ina mashindano kibao,ana choices!

  • @JumaJuma-g5e
    @JumaJuma-g5e Před měsícem

    Wakati. Mkumu. Unao. Wewe. Mpuuuzi. Usiojuwa. Kitu. Tokazakoh

  • @collectionline6055
    @collectionline6055 Před měsícem

    Kwa kikosi hicho hawachomoki

  • @user-nh5wn4dj1b
    @user-nh5wn4dj1b Před měsícem

    Unampelekea Nani ww fala

  • @khmissalum3881
    @khmissalum3881 Před 2 měsíci +1

    Huna unalolijua wewe nenda kajambe