KINYAMKELA EP 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #Zuwena ‪@kobelochapombe‬ #kitale ‪@StanBakora‬

Komentáře • 395

  • @badaral6167
    @badaral6167 Před rokem +16

    Kinyakela mmenikumbusha mbali sana nyimbo za kinyumbani kizalam tupu shukran sana kitale kazi safi

  • @bugana3749
    @bugana3749 Před rokem +38

    Kazi nzuri sana...mwanzo mzuri sana tunaomba msituangushe kama kwa binadamu wabaya....much ❤️ 4rom 🇰🇪

    • @auliasultwan687
      @auliasultwan687 Před rokem +1

      Fanyeni mutumie vipande vyenye kueleweka mm nakubali sana mapigo yenu

    • @iddrisanyange8175
      @iddrisanyange8175 Před rokem

      tatizo munakuwa hamuna mwishoo mzurii

  • @agnesnandutu3877
    @agnesnandutu3877 Před rokem +21

    Wallah move zenu zote ni Kali sana mungu awaongoze na awafanikishe inshallah mufike munakotaka kwa uwezo wa mungu

  • @apewebakar8660
    @apewebakar8660 Před rokem +8

    Maneno yakuambiwa,binadamu na kinyamkela.💝❤️❤️❤️❤️

    • @estaraberd1245
      @estaraberd1245 Před rokem

      Hapo kwa maneno ya kuambiwa walitisha aisee, tuone na hii

  • @moneyfollowme737
    @moneyfollowme737 Před rokem +14

    Nzuri sana kaka kitale👏🔥

  • @vickymass8309
    @vickymass8309 Před rokem +12

    Nmefall in love na wimbo 😂😂😂😂😂

    • @Seven_Hit
      @Seven_Hit Před rokem

      Sio peke ako na naisaka Sana audio yake

  • @benjaminmike9778
    @benjaminmike9778 Před rokem +10

    Kibwana mwinyimkuu wa mara hii mtam🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Swafarsy
    @Swafarsy Před rokem +15

    Best song ever 😘😘😘😘👌👌👌

  • @safiyaramadhani3539
    @safiyaramadhani3539 Před rokem +2

    Anauliza alijuaje matatizo yangu wakat alishawaambia wasaidizi😂🤣🤣🤣

  • @NewPhone-oh7ge
    @NewPhone-oh7ge Před rokem +5

    Safi sana Kitale ila kajimbo kitamu pia 💃💃

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 Před rokem +52

    Team kitare tujuane hapa kwa like 🔥

  • @sarafinasaimon6348
    @sarafinasaimon6348 Před rokem +11

    Kumbe alikua anachelewa kupost binadamu coz ya kinyamkela haya hongera💔💔

  • @Rockstar_002
    @Rockstar_002 Před rokem +5

    Nawapenda nyote ...Yani mnaweza napeda Sana vipindi vyenu.......🔥 Director pongezi kwako💓🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @yasinomari6103
    @yasinomari6103 Před rokem +1

    Sema huyu bakari anajuwa mpaka anajuwa tena🙌🙌🙌

  • @mariamsaidi1681
    @mariamsaidi1681 Před rokem +8

    Woooyoooooo hii kali sana nzuri sana na ako ka nyimbo ka malitina kamenoga hahahaha ❤

  • @khadijaomar7529
    @khadijaomar7529 Před rokem +2

    masha Allah tume onyeshwa ma trela hatimae movie imekuja asanteni kwa kazi nzuri

  • @chizenboyka8976
    @chizenboyka8976 Před rokem +3

    Kutoka Kenya nakubal sana kazi zenu jamaa 💯✔

  • @complex7582
    @complex7582 Před rokem +5

    Napenda hio sound track ya malitina

  • @marwagabrielmwita4947
    @marwagabrielmwita4947 Před rokem +1

    Kitale awe main actor......hizi views ni kidogo mnapata kwa kazi nzuri na filamu ya kisasa

  • @Thaniamtengwa6296
    @Thaniamtengwa6296 Před rokem +2

    Hapo kwenye wimbo wallah umenikosha😁😁 waluguru tujuane hapa

  • @momapessa
    @momapessa Před rokem +3

    Wow mashallah movie ni nzur 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

    • @zulfamtumwa5301
      @zulfamtumwa5301 Před rokem

      Amaliz movie. Zenu binadamu wa baya mmiishia kat maneno ya kwambia mmeishia kat

  • @hanifamazinge-iy1mr
    @hanifamazinge-iy1mr Před rokem +1

    😄😄😄😄hatimae mwinyi mkuu kapata watu kazi

  • @ywydhhd7941
    @ywydhhd7941 Před rokem +8

    😂😂😂😂 uchafu sehemu za siri,unatakiwa utolewa, unaitika sawa 😂😂😂😂😂

  • @nurukajuna4805
    @nurukajuna4805 Před rokem +2

    Kazi nzuri sana manshallah 😍😍

  • @jailosibrahim88
    @jailosibrahim88 Před rokem +107

    Wanaotaka kitale afanye kwel si kama alivyofanya movie ya BINADAM tujuane?

  • @joancalling3837
    @joancalling3837 Před rokem +2

    Mnganga anakula mzingo wa mteja iyo ni 🔥🔥🔥🔥 one 💗💗💗💓💓

  • @sargentchibu1633
    @sargentchibu1633 Před rokem +3

    bakari mapepe sana mwanetu😂😂🙌

  • @ishakaali3673
    @ishakaali3673 Před rokem +8

    kinyamkela and binaadam wabaya back to back bigap

  • @umisidi1816
    @umisidi1816 Před rokem +2

    Mwinyi mkuu kalii hiii🤣🤣🤣

  • @shebyshisha8168
    @shebyshisha8168 Před rokem +1

    Mnazinguaaa binadamuu amjamalizaaa mnatuleteAa vinyaaa mnkelaaa

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 Před rokem +1

    Anaanza vizuri baadae anazingua

  • @mohani7390
    @mohani7390 Před rokem +2

    Napenda mdundo unaosikika huo katika kubadilika scene

  • @amirinjema
    @amirinjema Před rokem +4

    🔥 juu ya moto

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi4348 Před rokem +3

    Nimeipenda mara ya mwisho niliangalka maneno ya kuambiwa ndio niliona nzur hii nimeipenda ntaifatilia

  • @bravoabdul8201
    @bravoabdul8201 Před rokem +7

    Jaman kumeanz hukuu jmn njoeni nahuku tuend kuona kitale atakavotuhangaisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kaayainternet4516
    @kaayainternet4516 Před rokem +1

    kibwana mwenye mkuu leo amekuwa mganga wa mchongo 😄😄😀

  • @husheyninjaboy2087
    @husheyninjaboy2087 Před rokem +3

    Big up sana ila huwa mnacelewesha sana Sehem ya kufatia

  • @niyonkuruismail5288
    @niyonkuruismail5288 Před rokem

    Binadam yenyewe imeshindikana kumalizia mnaanza na hiiii.mnazingua

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi197 Před rokem +4

    Aloooow weee❤❤ hio nyimbo tu

  • @janethjoseph150
    @janethjoseph150 Před rokem +1

    Mwinyi mkuu umekuwa mganga njaa aiseee,duuh

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před rokem +1

    Wanaanza kwa mbwembwe baadae hawawek kama. Binadamu
    Mnazingua

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Před rokem +2

    Mashallah Mashallah ❤️ 😍 💖

  • @claudeezzojohnjonathanja-dd7xq

    Good job napenda kazi zenu kweli nyi vichwa na sio miguu tena

  • @yassinkimaka2
    @yassinkimaka2 Před rokem +1

    Sijui niwe mganga. Huyu manzi kaliwa kilaini 🤣🤣🤣

  • @ijabacarsumail8364
    @ijabacarsumail8364 Před rokem +3

    Bom trabalho 😂
    Kazi mzuri😂

  • @anifamohamedi835
    @anifamohamedi835 Před rokem

    Ni nzuri sana jamani

  • @DamarisDuuTausi
    @DamarisDuuTausi Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂haki muko funny mwanzo mzuri

  • @salliedama339
    @salliedama339 Před rokem

    Mngemaliza binadamu mwanzo... kitale unatuangusha

  • @zenahoka6265
    @zenahoka6265 Před rokem +2

    Kazi safi sana

  • @fatumaramadhani7715
    @fatumaramadhani7715 Před rokem +4

    Kweli kibwela kinyamkela🤣🤣

  • @asalafiyahhussein7767
    @asalafiyahhussein7767 Před rokem +6

    Nimependa sanaaaaa mwinyi mkuuu juu juu Kwa Sana like zije bt za warembo pekee😆😆😆😆

  • @goodlucky8532
    @goodlucky8532 Před rokem +1

    No mtawala no sobo 😂😂😂 hii haiwezi Kuwa nzuri

  • @francissimon3752
    @francissimon3752 Před rokem +1

    Nice work from Tz

  • @benardmukani902
    @benardmukani902 Před rokem +2

    Kitu mpya icho 😃👍👍🤟🇰🇪

  • @nzigiyimpainnocent8738
    @nzigiyimpainnocent8738 Před rokem +5

    Likes zangu nipeni. I am the first to watch it

  • @SeiphBoko-xh1zd
    @SeiphBoko-xh1zd Před rokem

    Nakubari sana kaka ira mama chobara mbona hatumuoni

  • @Bad_Og26
    @Bad_Og26 Před rokem +1

    mwinyi mkuu kaja kimaslahi zaidi

  • @OthumanHussein
    @OthumanHussein Před 2 měsíci

    Huyoo brother anajuwa san

  • @aishaomary-fv7ll
    @aishaomary-fv7ll Před 9 měsíci

    Sema umezingua xana kwa binadamu hujaimarizia kaka

  • @mimakanini3660
    @mimakanini3660 Před rokem +16

    Ngoma ndio imeingia uwanjani 🔥🔥🔥🔥

    • @Seven_Hit
      @Seven_Hit Před rokem

      😂😂😂iyo audio atuambie tunaipataje

  • @aishamohamed7655
    @aishamohamed7655 Před rokem

    Kama mayele🥰🥰

  • @hawasandale5936
    @hawasandale5936 Před rokem +1

    Kumbe idrisa mzuri mzuri 😀 kwenye binadamu nakuona m,baya sijui kwa vile umeenti na mambo ya ovyovyo ndio yamekufanya uonekane m.baya 🤣🤣🤣🤣

  • @nassorsalum
    @nassorsalum Před rokem

    hahaha mapema tu kama mayele yng like hapa

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Před rokem +2

    Hii tamthilia ni moto mabadiliko kwel nayaona nakubali Kitale na team yako amjawahi kutuangusha tangia maneno yakuambiwa..

  • @uuuuiiii3917
    @uuuuiiii3917 Před rokem +5

    Mambo 🔥🔥🔥

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 Před rokem +7

    MAPEMA TU KAMA MAYELE 🔥🔥🤣🤣🤣

  • @bintihassan6534
    @bintihassan6534 Před rokem +7

    Kumbe tunaingiliwa na waganga na hamsemi🤣🤣🤣🤣kinyamkelaaa cha ovyo sna😂😂😂😂😂

    • @Teddy-fq5oc
      @Teddy-fq5oc Před rokem

      Unaingiliwa wewe unae enda kwa vinyankela wenzio akuuuu

    • @Yusufu940
      @Yusufu940 Před rokem

      Wanganga wengi wana tamaa

  • @mugishasharmilla5874
    @mugishasharmilla5874 Před rokem +1

    Kitale plus tunakuomba binadamu wabaya tupe muendelezo maana huwa tunacoka kusubiri unajua fikra kama kila movie yako huwa tunaifatilia haijalishi usumbufu wa bando wala mda wetu 🙏

  • @remijangili
    @remijangili Před rokem

    Uwiiii mganga na vijakazi wake wote ovyo

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 Před rokem +2

    Bakari wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @twalib09
    @twalib09 Před rokem

    Mganga mwinyi mkuu Ana machawa pia

  • @maubreezy9378
    @maubreezy9378 Před rokem

    Kwenye BINADAMU kazingua sana kitale

  • @ashaha5002
    @ashaha5002 Před rokem +6

    nimepanda iki kikosi Cha wanganga Et🤣😂 big up

  • @aminajuma7158
    @aminajuma7158 Před rokem +2

    🤣🤣🤣hakuna mganga hapa eti weee unasema kweli😂

  • @hawahassani1629
    @hawahassani1629 Před rokem

    Haswaaa tupo wote aise

  • @AhmadRashey-oc1cx
    @AhmadRashey-oc1cx Před rokem

    Asaalm alykum Binadamu naona imetulia sana Mashallha ilikuwa movie safy sana

  • @nishimwejames83
    @nishimwejames83 Před rokem +1

    Mapema tu kama mayele🤣🤣

  • @aishadume4574
    @aishadume4574 Před rokem +3

    Nipo ndani 🔥🔥🔥

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před rokem

    Binaadamu hajesha sasa kinyamkera lakini hongereni mungu awabariki nyote

  • @vedojoash9693
    @vedojoash9693 Před rokem

    Atar sana hii Kaz aaaseeee

  • @emmilianstanley7614
    @emmilianstanley7614 Před rokem +3

    Nampenda bakari ananichekesha😂😂

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před rokem

    Naaza leo 1

  • @alikombo7360
    @alikombo7360 Před rokem

    Tatizo ni umaliziaji unakuwa sio nzuri katika tamthilia zote 2 zilizopita maneno ya kuambiwa na binadamu Kitale mwanzo mzuri wa kusisimua hatujui huko mbele changamoto ya umaliziaji wa tamthilia zako ongeza hitimisho litakalo tuweka roho juu na kutufunza kuhusu uganga na uganguzi. Tuko pamoja nakuangalia nikiwa UK hongera nazipenda kazi zako usituangushe.

  • @barackaezekieli3113
    @barackaezekieli3113 Před rokem +1

    Kwanini humarizi move kitale binadam vipi hijaisha

  • @kindagang1234
    @kindagang1234 Před rokem +1

    Movie mzuri sana

  • @mishiadams2508
    @mishiadams2508 Před rokem +2

    Good job 🥰🥰

  • @mwanahamishamis2711
    @mwanahamishamis2711 Před rokem +1

    Yaan jiran wengne bwana👐 kwann aseme ametoka tokea asubuhi🤣🤣

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 Před rokem +1

    Hio ngoma twaitaka kitale

  • @complex7582
    @complex7582 Před rokem

    Tunataka iwe nzuri kuliko binaadam wabaya

  • @mariamhamisi1058
    @mariamhamisi1058 Před rokem +1

    Kelele moja kwa kwa mganga wakeeeee

  • @chrisantraymond1185
    @chrisantraymond1185 Před rokem

    Wanawake mnapitia mengi aisee mmhh poleni

  • @innocentgeorge1117
    @innocentgeorge1117 Před rokem

    Mwinyi mkuuu kazingua maaana aliendana na uhalisia lkn sio mbaya uwigizaji unautofaut

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Před rokem +1

    Mwinyi mkuu umekuwa mganga tapeli au sikuelewi 😂😂 waganga sidhani kama Mungu atawaacha salama

  • @allymbuki3370
    @allymbuki3370 Před rokem +1

    Kitale shikamoooooo....🙏

  • @maulidkanemba-re5xt
    @maulidkanemba-re5xt Před rokem

    Du waganga noma .ila mwinyi mkuu kaokota dodo kwenye muarobaini

  • @hilalimohammed9396
    @hilalimohammed9396 Před rokem +1

    Filamu zenu huwa hazifikii mwisho. Mnashindwa njiani. (Maneno ya kuambiwa haikuisha)( Binaadamu wa baya sijaishuhudia mwisho wake) (Shobo dundo haikuisha). Afu munaketa filamu nyengine mpya. Hii sifatilii. Sipotezi bando langu.

  • @DulaPandu-cz4on
    @DulaPandu-cz4on Před rokem

    Mmetisha

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před rokem +1

    Hongereni cn❤❤❤❤❤

  • @abdyribe3002
    @abdyribe3002 Před rokem

    Nawakubal sana hahaha mganga

  • @abdallahmapila5982
    @abdallahmapila5982 Před rokem

    Mwinyi mkuu humu wamekujanjarua umekua muhuni