Nyimbo zenu hunibariki kweli, maneno yenye pumzi ya kimbingu na sauti zenye kumtoa nyoka pangoni. Kweli ni sauti kutoka jangwani. Asante mchungaji kwa ufunuo wa maneno ya utangulizi. Naitwa mwalimu Sammy Musau kutoka kenya.
Mungu ametupa vipaji na maisha yetu wanadamu ni kama umande liwakapo jua umande hutoweka,tujiweka tayari mda wote tuitwapo tusiwe na Shaka na Ufalme wa mungu mbinguni.20/4/2021
Bwana anatubariki wanadamu na kuongoa roho zetu kwa namna mbalimbali, hawa waimbaji wapo vizuri... Mwenye nyimbo zao zifuatazo anitumie kwa njia ya what's app~0684156572(audio zake tu); kila siku ipitayo, Bwana leta usikivu, elimu ya dunia, nyota ya asubuhi..nitashukuru mno
Amen Mungu awabariki sana
Nyimbo zenu hunibariki kweli, maneno yenye pumzi ya kimbingu na sauti zenye kumtoa nyoka pangoni. Kweli ni sauti kutoka jangwani. Asante mchungaji kwa ufunuo wa maneno ya utangulizi. Naitwa mwalimu Sammy Musau kutoka kenya.
Nimeguswa 🙏
Mwije
Vizuri sana . Bwana awabariki
Wamenibwriku Hawa waimbaji
Mungu ametupa vipaji na maisha yetu wanadamu ni kama umande liwakapo jua umande hutoweka,tujiweka tayari mda wote tuitwapo tusiwe na Shaka na Ufalme wa mungu mbinguni.20/4/2021
Bwana awabariki sana wanajangwani
Mbalkiwe
Beautiful word's
bwana awajalie
Kutoka Nairobi Kenya nafurahia wimbo mzuri kweli kweli.
Jamani naomba wimbowa Daniel tunduni mwa simba,wimbo Stefano nk tafadhari 🤔📖🙏🇹🇿
safiiii
Amen
Good songs and with slot of teachings
Love this choir
Be blessed
Mbona Musa anaonekana ni mzungu wakati alikuwa Misri
Mbarkiwe
Mbalikiwe sana
Hongere
Mungu wabark jangwan ameen
Good choir
L
Bwana anatubariki wanadamu na kuongoa roho zetu kwa namna mbalimbali, hawa waimbaji wapo vizuri... Mwenye nyimbo zao zifuatazo anitumie kwa njia ya what's app~0684156572(audio zake tu); kila siku ipitayo, Bwana leta usikivu, elimu ya dunia, nyota ya asubuhi..nitashukuru mno
Amina
Kwaya nzuri sana hongeleni na mungu aeabariki