TUNDU LISSU AMSHUGHULIKIA MBUNGE EMMANUEL KINGU JIMBONI KWAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 47

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 2 měsíci +3

    BRAVO KOMREDI LISSU....WATANZANIA WANAKUELEWA.

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg Před 2 měsíci

    Up sawa mkuu tumechoka na ccm wababaishaji

  • @user-ef3ku6sw8k
    @user-ef3ku6sw8k Před 2 měsíci

    Pongeze kwake 🎉😅🎊 8:50 🇹🇿 huyu ndio kiongozi mzuri sana 😁😁

  • @user-ef3ku6sw8k
    @user-ef3ku6sw8k Před 2 měsíci

    Huyu mama ni mtu WA ovyo sana anatakiwa ashitakiwa kabisa🇹🇿🇹🇿🤝🙌😱

  • @user-mf7xy3sf6q
    @user-mf7xy3sf6q Před 2 měsíci +1

    Baba tuko pamoja sana

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 2 měsíci +2

    Uhuru. Wa mtu kuongea anatoa mungu siyo mafisiemu

  • @user-xl8op1cl1f
    @user-xl8op1cl1f Před 2 měsíci

    Jamani mm nilikua nawasjauri chadema,kama hakuna mabadiliko yoyote,ni bora kutokushiriki uchaguzi,hao watu hamuwezi kuwashinda, wanakila kitu

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 Před 2 měsíci

    Mkakati mzuri, sema hili dubwana lina mbinu nyingi.

  • @ErenestiPhilipo
    @ErenestiPhilipo Před 2 měsíci

    Sema baba

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 Před 2 měsíci

    Mama lawowo atuondokeeee

  • @emasonyngoya3800
    @emasonyngoya3800 Před 2 měsíci +1

    Kijiamini.nakuwapamoja

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Před 2 měsíci

    Kichaaa kabisa .Sera wapi.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 2 měsíci +2

    Tupiganie tume. Iwe huru maandamano yaendelee magogoni na chamwino

  • @deogratiusmaila676
    @deogratiusmaila676 Před 2 měsíci

    Itabidi mheshimiwa uwaabie wote kupitia vyombo vya habari vyote nchini

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365 Před 2 měsíci

    CDM hamasisheni watu kujiandikisha kupigakuru, ngazi zote za chama kiwajibike

  • @Samweli-ij3im
    @Samweli-ij3im Před 2 měsíci

    Inabidi tuwe na kikosi cha ulinzi na usalama ili wakituvamia owe juno kwa jino

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365 Před 2 měsíci

    mjiandae kucheza ngoma itakavyopigwa

  • @haroldgabriel8767
    @haroldgabriel8767 Před 2 měsíci

    Huu ujimbe uchapishwe na kusambazwa kwenye vijiji vyote nchini. Utawafungua macho watu wengi.

  • @MawazoJosso
    @MawazoJosso Před 2 měsíci

    Elimisha mweshimiwa wajinga ni wengi mungu yu nawe amina

  • @user-xl8op1cl1f
    @user-xl8op1cl1f Před 2 měsíci

    Serikali yote yakwao,majeshi,mapollisi,usalama wa tafa vyote wanatumia ndio

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 měsíci

    👊👍✌️.

  • @fatmajafar8275
    @fatmajafar8275 Před 2 měsíci

    Tusiingiie kwenye uchaguzi paka time iwehuru

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 Před 2 měsíci

    🎉

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 2 měsíci

    Lissu unapenda kusema
    Kwa nn kila kitu unakijuwa wewe

  • @HassanShamakala-xf5cs
    @HassanShamakala-xf5cs Před 2 měsíci

    Sasa mhe ile nguvu Kubwa ya Dola ya 2019 tutawezaje kuishinda safari hii kama watu ni walewale?

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 Před 2 měsíci

    Thanks Lissu

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Před 2 měsíci

    hivi tumelogwa na nani mpaka tujidhalilishe hivi kwa kuwachagua CCM na ubadhilifu wote huu

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Před 2 měsíci

    Nondo za Kufa mtu

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Před 2 měsíci

    tuachane na kukubali hongo za kijinga kama hizo , maana mtu anasema fedha za kutoa ajira hakuna ila kuna pesa za mabilioni yakununulia mapikipiki yaje yatuvunje miguu

  • @paulnsabi3779
    @paulnsabi3779 Před 2 měsíci

    elimu ya kujiandikisha uhalali wa kupiga kura tumia simu za mkononi ujumbe mara kwa mara,mabango,media zote/mbalimbali za TZ yote

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 2 měsíci

    Mshughulikie huyo zerezeru simpendadi ana mdomo sana

  • @emasonyngoya3800
    @emasonyngoya3800 Před 2 měsíci

    Wanatumia.fetha.pokea.chuku.uamuzi

  • @user-id7ws5hl5p
    @user-id7ws5hl5p Před 2 měsíci

    Mbaguzi huyo hana sera

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 Před 2 měsíci

      mbaguzi mama yako aliyekuzaa wewe peke yako

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Před 2 měsíci

      We una mjua mbaguzii au we mwizii nn angalia usijee ukaangukia kwa wai Waka kufutuluu

  • @HassanShamakala-xf5cs
    @HassanShamakala-xf5cs Před 2 měsíci

    Hao wana silaha mhe wala hawamwogopi mtu

  • @daviddeus84
    @daviddeus84 Před 2 měsíci

    Naelewa wewe n mwanasheria ila wakiniweka mimi na wewe walau mimi ndo master law make ata iyo elimu yangu naona haikusaidi kitu kama bado kama mimi msomi unakuja na hoja ya kupigwa risasi na kukejeli chama ambacho kinakupa ulinzi na kimekupa uhuru wa kuongea ila unapitiliza mimi n mdogo wako ila mimi bado siasa yako ipo chini nakukaribisha ccm make naona uko unatafuta ugali na kuchangisha gari mpya njoo tutakupa pikipiki

    • @sammykateregga6238
      @sammykateregga6238 Před 2 měsíci +2

      Nakushangaa kujilinganisha na Mh Lissu. Lugha anayotumia ndiyo nanyi mnayotumia kwa matendo ya kugawa Tshirts na sahani za pilau. Mnaona Sasa wananchi wanamuelewa wewe umeanza kupata wasi wasi.

    • @madenge731
      @madenge731 Před 2 měsíci +1

      Acha ufala wewe, au mkundu unakuwasha njoo nikukune na kidole cha kati 🖕

    • @rogathesarwatt
      @rogathesarwatt Před 2 měsíci +1

      Kachukue basi 30,000we huna lolote Sina hakika hata kama unaweza KUWA 0.001 ya Lisu But keep it up

    • @davidchihimba9489
      @davidchihimba9489 Před 2 měsíci

      Ushaanza kuwashwa huo mduara na badooo