Hayati Magufuli alikuwa na msemo wake " msema kweli ni mpenzi wa Mungu" kwa hakika Tanzania 🇹🇿 Bara asili wizi ipo saana kwa Watumishi wa Umma, na ukimuona ambae ni muadilifu ujue hajapata fursa, PM anaijua Tamisemi Nje ndani na hiyo michezo anaijua kinagaubaga, kwahiyo Watumishi Muache hiyo michezo michafu bora muendelee kula za kwenye kisosi ( Masurufu, Per diem za Nje, na Extra duty) mana hizo at the of financial year Unacheza na Auditors General lakini hiyo Mipododo ya Juu kwa juu itawagharimu, Uzembe tu BOT ndio wana approval mipunga wakiona Kuna transaction hazielewi lazima wahoji na BoT karibu wote wanyama wakali, acheni hiyo michezo mtapotea
Mh: waziri mkuu tunakuomba uje huku halmashauri ya wilaya kuna madudu, WATU wanahamishwa hawalipwi, hasa idara ya afya , vitisho vingi ukienda kudai unababikwa kesi ili mradi usiendelee kudai, ofisi imekuwa ni ya Dmo, na chmt tuu, WATU wanahamishwa hovyo hovyo bila utaratibu, huambiwi sababu ya kuhamishwa
Idara ya afya ni kuna shida, upande halmashauri ya wilaya chalinze,, hata utubadilishie uongozi wa idara ya afya, kauli zinazotoka kwa huyu mkuu wa idara atatukomesha, paka tu Prpp
Mh Majaliwa muwe wakali sana ktk kukemea wizi wa pesa za serikali. Mtu anaiba pesa atakavyo na hakuna anayejali! Watanzania wanapata tabu sana ktk suala la matibabu kwa kukosa pesa. Pesa ipo na wananchi wangeweza kupata unafuu wa matibabu ila wezi waliopo serikalini ndo wanaofanya watu kuteseka. Magufuli angekuwa hai huyo aloiba pesa angekuwa ndani haraka sana
Hii mhe ni tatizo kubwa la ndani kuna eakness kubwa kwenye vitengo vyenu vya ndani hakuna internal control ndiyo maana yote yanatokea, kwa serikali ni hasara kubwa kwanza wqnanchi wanakosa huduma kwa wakati,pia kuna weakness ya managerial kwenye level ya juu ,kama kungekywa na ufuatilia wa karibu kwanini hadi waziri mkuu aje ndiyo aweze kuona hiyo wala hayakuwa ya kuongea yanawapa wananchi hasira saaana, wakati mkoa una instruments zote financial conroller wa mkoa yupo wapi, kuna weaknesskubwa hapo
Mhe utachoka kugomba kwa huo wizi utazunguka mikoa mingapi kukamata hao wizi???kila FYI cag anatoa report anasema kuna wizi na upotevu wa.hela na hakuna a ayekamata, ofisi ya cag inatumia gharama kubwa saaaana lakini imekuwa kama kawaida,
Ahsante mh.Majaliwa,mi huwa nakuelewaga sanaaa
Mimi nakupenda sana,nakushauli ifikapo mwaka kesho jiuzuru nafasi Yako utafute chama kingine ugonbee uraisi,lazima utapita ccm imetuchosha nimajizi watupu
Mkuu safi Sana kwa kazi unayoifanya ya taaifa la tz
My waziri mkuu,hongera kwa kazi nziri,nakushauri sasa fuatilia ile taarifa ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali,watanzania tu napigwa kupita kiasi.
Hiyo hawezi kuigusa maana mpaka apate ruhusa kutoka kwa mkuu wake
Hayati Magufuli alikuwa na msemo wake " msema kweli ni mpenzi wa Mungu" kwa hakika Tanzania 🇹🇿 Bara asili wizi ipo saana kwa Watumishi wa Umma, na ukimuona ambae ni muadilifu ujue hajapata fursa, PM anaijua Tamisemi Nje ndani na hiyo michezo anaijua kinagaubaga, kwahiyo Watumishi Muache hiyo michezo michafu bora muendelee kula za kwenye kisosi ( Masurufu, Per diem za Nje, na Extra duty) mana hizo at the of financial year Unacheza na Auditors General lakini hiyo Mipododo ya Juu kwa juu itawagharimu, Uzembe tu BOT ndio wana approval mipunga wakiona Kuna transaction hazielewi lazima wahoji na BoT karibu wote wanyama wakali, acheni hiyo michezo mtapotea
Mkuu..Halmashauri nyingi sana zinamadudu mengi sana...ukifuatilia kila Almashauri..lazima ukute madudu
Mh: waziri mkuu tunakuomba uje huku halmashauri ya wilaya kuna madudu, WATU wanahamishwa hawalipwi, hasa idara ya afya , vitisho vingi ukienda kudai unababikwa kesi ili mradi usiendelee kudai, ofisi imekuwa ni ya Dmo, na chmt tuu, WATU wanahamishwa hovyo hovyo bila utaratibu, huambiwi sababu ya kuhamishwa
Tunahitaji viongozi wa namna hii wa kuwawajibisha watendaji wasio waaminifu kupelekea kudodrola kwa maendeleo ya taifa letu
Idara ya afya ni kuna shida, upande halmashauri ya wilaya chalinze,, hata utubadilishie uongozi wa idara ya afya, kauli zinazotoka kwa huyu mkuu wa idara atatukomesha, paka tu
Prpp
Wewe ni Rais wetu ajae hakika unafata nyayo za anko Magu
Good job Sir help Serengeti
Mh Majaliwa muwe wakali sana ktk kukemea wizi wa pesa za serikali. Mtu anaiba pesa atakavyo na hakuna anayejali! Watanzania wanapata tabu sana ktk suala la matibabu kwa kukosa pesa. Pesa ipo na wananchi wangeweza kupata unafuu wa matibabu ila wezi waliopo serikalini ndo wanaofanya watu kuteseka. Magufuli angekuwa hai huyo aloiba pesa angekuwa ndani haraka sana
Mbona akina mwigulu wameiba mabilioni mengi hamja wachukulia hatua, wamenunua mijengo Dubai Bado nimawaziri,wadogo mnawachukulia hatua
Hii mhe ni tatizo kubwa la ndani kuna eakness kubwa kwenye vitengo vyenu vya ndani hakuna internal control ndiyo maana yote yanatokea, kwa serikali ni hasara kubwa kwanza wqnanchi wanakosa huduma kwa wakati,pia kuna weakness ya managerial kwenye level ya juu ,kama kungekywa na ufuatilia wa karibu kwanini hadi waziri mkuu aje ndiyo aweze kuona hiyo wala hayakuwa ya kuongea yanawapa wananchi hasira saaana, wakati mkoa una instruments zote financial conroller wa mkoa yupo wapi, kuna weaknesskubwa hapo
Sasa kama.kila tatizo hadi waziri mkuu afike ndiyo tuone viongozi wengine wanafanya nini?
Mhe utachoka kugomba kwa huo wizi utazunguka mikoa mingapi kukamata hao wizi???kila FYI cag anatoa report anasema kuna wizi na upotevu wa.hela na hakuna a ayekamata, ofisi ya cag inatumia gharama kubwa saaaana lakini imekuwa kama kawaida,
Asante waziri mkuu
Waziri mkuu Pole.sana.
Point waziri,serikali hii ipendwe kwakuchukua hatua sio siokufichiana madudu.lakini kwanini tusielekee kwenye malizake alipe nakuachishwa kazi kulikomahakamani.afufu utafanya wengine wasikubali kilahisi kwani unawafunga badala yakuwafililisi na.
CCM wanafiki sanaa apo ni danganya toto wala hawafungwi wala kushtakiwi
Inaleta hasira sana sukari bei juu kila kitu mbei juu alafau wafanyakazi wa serikali ya ccm wanaiba tu
Safii mkuu kassim
Huo ndo uongozi Bora kwenda na vitendo
Bora hata angekataa ili Kes iwe ngumu xaxa yeye amekubali amemaliza Kila k2 miaka inamuhusu!!
Watatoa rushwa mahakamani kesi itaisha, Kuna sheria ya plea bargain itatumiwa na DPP fisadi wataachiwa wote
Kesi hizi mara nyingi hao 'mafisadi' wanashinda, Sir. It's a wild goose chase!
Kumbe kikulacho ki nguoni mwako.. kumbe wezi wako tamisemi😮 puumbafuuu Sana
Nyie wote mnaonekana mafala ndo mana kila cku watu wanawapiga tuu
Hii inadhihirisaha namna mfumo wa utawala ulivyokaa. Kiukweli kama mfumo wa kiutawala hautakaa sawa, haya hayawezi kuisha kamwe
Wala nchi 😂😂😂
Bila shaka wote n ccm oyee
Hicho ndicho kikosi ccm bora
Na dodoma maji ni ya shida ww unahuruma na wananchi
Sukuma ndani
Magu ndio alikuwa anawawaeza hawa dadeki wangetapika
Asantee sana mkuu
Hypocrisy!
Sasa mbona awachukuliwi atua ih hali mpaka lini
Hatua zinachukuliwa na mamlaka ya utumishi
Kuna watu wapo gerezani tuna ushahidi
Hawa ccm wanatuzuga tu mbona hawafungwi embu iacheni nchi yetu
Jambo hili halina chama na usiongee wala kutaja chama.