KIMEUMANA!!! WAZIRI MKUU AKASIRIKA UFISADI MARA, "RPC AMCHUKUE MWEKA HAZINA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 43

  • @JamalySalehe
    @JamalySalehe Před 6 měsíci +3

    Ahsante mh.Majaliwa,mi huwa nakuelewaga sanaaa

  • @aizackkiteme9570
    @aizackkiteme9570 Před 6 měsíci +2

    Mimi nakupenda sana,nakushauli ifikapo mwaka kesho jiuzuru nafasi Yako utafute chama kingine ugonbee uraisi,lazima utapita ccm imetuchosha nimajizi watupu

  • @Johnmabikib
    @Johnmabikib Před 6 měsíci +2

    Mkuu safi Sana kwa kazi unayoifanya ya taaifa la tz

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 Před 6 měsíci +1

    My waziri mkuu,hongera kwa kazi nziri,nakushauri sasa fuatilia ile taarifa ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali,watanzania tu napigwa kupita kiasi.

    • @juliusmalunde9636
      @juliusmalunde9636 Před 6 měsíci

      Hiyo hawezi kuigusa maana mpaka apate ruhusa kutoka kwa mkuu wake

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 6 měsíci +2

    Hayati Magufuli alikuwa na msemo wake " msema kweli ni mpenzi wa Mungu" kwa hakika Tanzania 🇹🇿 Bara asili wizi ipo saana kwa Watumishi wa Umma, na ukimuona ambae ni muadilifu ujue hajapata fursa, PM anaijua Tamisemi Nje ndani na hiyo michezo anaijua kinagaubaga, kwahiyo Watumishi Muache hiyo michezo michafu bora muendelee kula za kwenye kisosi ( Masurufu, Per diem za Nje, na Extra duty) mana hizo at the of financial year Unacheza na Auditors General lakini hiyo Mipododo ya Juu kwa juu itawagharimu, Uzembe tu BOT ndio wana approval mipunga wakiona Kuna transaction hazielewi lazima wahoji na BoT karibu wote wanyama wakali, acheni hiyo michezo mtapotea

  • @IDDMWENDO
    @IDDMWENDO Před 6 měsíci

    Mkuu..Halmashauri nyingi sana zinamadudu mengi sana...ukifuatilia kila Almashauri..lazima ukute madudu

  • @BernardTembe-xe3bz
    @BernardTembe-xe3bz Před 5 měsíci

    Mh: waziri mkuu tunakuomba uje huku halmashauri ya wilaya kuna madudu, WATU wanahamishwa hawalipwi, hasa idara ya afya , vitisho vingi ukienda kudai unababikwa kesi ili mradi usiendelee kudai, ofisi imekuwa ni ya Dmo, na chmt tuu, WATU wanahamishwa hovyo hovyo bila utaratibu, huambiwi sababu ya kuhamishwa

  • @IDDMWENDO
    @IDDMWENDO Před 6 měsíci

    Tunahitaji viongozi wa namna hii wa kuwawajibisha watendaji wasio waaminifu kupelekea kudodrola kwa maendeleo ya taifa letu

  • @BernardTembe-xe3bz
    @BernardTembe-xe3bz Před 5 měsíci

    Idara ya afya ni kuna shida, upande halmashauri ya wilaya chalinze,, hata utubadilishie uongozi wa idara ya afya, kauli zinazotoka kwa huyu mkuu wa idara atatukomesha, paka tu
    Prpp

  • @juliusmalunde9636
    @juliusmalunde9636 Před 6 měsíci

    Wewe ni Rais wetu ajae hakika unafata nyayo za anko Magu

  • @PennySchool-nn5lu
    @PennySchool-nn5lu Před 6 měsíci

    Good job Sir help Serengeti

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk Před 6 měsíci

    Mh Majaliwa muwe wakali sana ktk kukemea wizi wa pesa za serikali. Mtu anaiba pesa atakavyo na hakuna anayejali! Watanzania wanapata tabu sana ktk suala la matibabu kwa kukosa pesa. Pesa ipo na wananchi wangeweza kupata unafuu wa matibabu ila wezi waliopo serikalini ndo wanaofanya watu kuteseka. Magufuli angekuwa hai huyo aloiba pesa angekuwa ndani haraka sana

  • @aizackkiteme9570
    @aizackkiteme9570 Před 6 měsíci +1

    Mbona akina mwigulu wameiba mabilioni mengi hamja wachukulia hatua, wamenunua mijengo Dubai Bado nimawaziri,wadogo mnawachukulia hatua

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 Před 6 měsíci

    Hii mhe ni tatizo kubwa la ndani kuna eakness kubwa kwenye vitengo vyenu vya ndani hakuna internal control ndiyo maana yote yanatokea, kwa serikali ni hasara kubwa kwanza wqnanchi wanakosa huduma kwa wakati,pia kuna weakness ya managerial kwenye level ya juu ,kama kungekywa na ufuatilia wa karibu kwanini hadi waziri mkuu aje ndiyo aweze kuona hiyo wala hayakuwa ya kuongea yanawapa wananchi hasira saaana, wakati mkoa una instruments zote financial conroller wa mkoa yupo wapi, kuna weaknesskubwa hapo

    • @gasperswai6963
      @gasperswai6963 Před 6 měsíci

      Sasa kama.kila tatizo hadi waziri mkuu afike ndiyo tuone viongozi wengine wanafanya nini?

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 Před 5 měsíci

    Mhe utachoka kugomba kwa huo wizi utazunguka mikoa mingapi kukamata hao wizi???kila FYI cag anatoa report anasema kuna wizi na upotevu wa.hela na hakuna a ayekamata, ofisi ya cag inatumia gharama kubwa saaaana lakini imekuwa kama kawaida,

  • @DeoMseti
    @DeoMseti Před 6 měsíci

    Asante waziri mkuu

  • @khalifanoti6974
    @khalifanoti6974 Před 6 měsíci

    Waziri mkuu Pole.sana.

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile Před 6 měsíci

    Point waziri,serikali hii ipendwe kwakuchukua hatua sio siokufichiana madudu.lakini kwanini tusielekee kwenye malizake alipe nakuachishwa kazi kulikomahakamani.afufu utafanya wengine wasikubali kilahisi kwani unawafunga badala yakuwafililisi na.

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Před 6 měsíci

    CCM wanafiki sanaa apo ni danganya toto wala hawafungwi wala kushtakiwi

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 6 měsíci

    Inaleta hasira sana sukari bei juu kila kitu mbei juu alafau wafanyakazi wa serikali ya ccm wanaiba tu

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Před 6 měsíci

    Safii mkuu kassim

  • @JoelyLucy
    @JoelyLucy Před 6 měsíci

    Huo ndo uongozi Bora kwenda na vitendo

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Před 6 měsíci +1

    Bora hata angekataa ili Kes iwe ngumu xaxa yeye amekubali amemaliza Kila k2 miaka inamuhusu!!

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Před 5 měsíci

      Watatoa rushwa mahakamani kesi itaisha, Kuna sheria ya plea bargain itatumiwa na DPP fisadi wataachiwa wote

  • @deusdeditknkunga6047
    @deusdeditknkunga6047 Před 6 měsíci

    Kesi hizi mara nyingi hao 'mafisadi' wanashinda, Sir. It's a wild goose chase!

    • @thomastemu3332
      @thomastemu3332 Před 6 měsíci

      Kumbe kikulacho ki nguoni mwako.. kumbe wezi wako tamisemi😮 puumbafuuu Sana

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 Před 6 měsíci

    Nyie wote mnaonekana mafala ndo mana kila cku watu wanawapiga tuu

  • @samweldenis1681
    @samweldenis1681 Před 6 měsíci

    Hii inadhihirisaha namna mfumo wa utawala ulivyokaa. Kiukweli kama mfumo wa kiutawala hautakaa sawa, haya hayawezi kuisha kamwe

  • @thomaspeter2540
    @thomaspeter2540 Před 6 měsíci

    Wala nchi 😂😂😂
    Bila shaka wote n ccm oyee

  • @serengetimara1352
    @serengetimara1352 Před 6 měsíci

    Hicho ndicho kikosi ccm bora

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Před 6 měsíci

    Na dodoma maji ni ya shida ww unahuruma na wananchi

  • @user-zw7xm2yp8g
    @user-zw7xm2yp8g Před 6 měsíci

    Sukuma ndani

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 Před 6 měsíci

    Magu ndio alikuwa anawawaeza hawa dadeki wangetapika

  • @BarakaMajaba-xk7bz
    @BarakaMajaba-xk7bz Před 6 měsíci

    Asantee sana mkuu

  • @deusdeditknkunga6047
    @deusdeditknkunga6047 Před 6 měsíci

    Hypocrisy!

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Před 6 měsíci

    Sasa mbona awachukuliwi atua ih hali mpaka lini

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 6 měsíci +2

    Hawa ccm wanatuzuga tu mbona hawafungwi embu iacheni nchi yetu

    • @khalifanoti6974
      @khalifanoti6974 Před 6 měsíci

      Jambo hili halina chama na usiongee wala kutaja chama.