JOTI KAZUNGUMZA: Ni kweli Rais Magufuli kamsaidia nyumba yake isivunjwe.?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 05. 2018
  • Mchekeshaji Joti amezungumza na Ayo Tv na moja ya suala alilozungumzia ni pamoja na ishu ya kuvunjwa nyumba yake pamoja na kutaniana mitandaoni na mchekeshaji mwenzake Masanja je walishawhai kugombana..? Yote amezungumza hapa.

Komentáře • 69

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 Před 4 lety +7

    Aliyegundua kuwa Joti hapend kuhojiwa na kuweka mambo yake Katka media tujuane hapa😆😆

  • @HightechTz
    @HightechTz Před 6 lety +5

    huyu ndo mtangazaji big up sana.. sio yule wa Global aliyemhoji Mkali wenu😎😎😎😎😎kama zezeta vile

  • @charlesmabena954
    @charlesmabena954 Před 3 lety +1

    Nakukubali Sana Joti Mzee Govinda Best Commedian In East Africa

  • @nayrinekakuni9046
    @nayrinekakuni9046 Před 6 lety +1

    Yaani kama si joti vile ninayemwona na vituko vyake nakupenda sana kaka angu nakubali kazi zako Mungu aendelee kukuweka juu juu zaida.

  • @majidfrolian4905
    @majidfrolian4905 Před 6 lety +17

    Waoooooooo mi wa kwanza kukomentiiiiiiiiii, Joti Na Millard, I appreciate you meen

  • @edinahjoseph4051
    @edinahjoseph4051 Před 4 lety

    Joti is amazing ....penda xana what u are doing in the industry...frm 254

  • @neemayamwenyezihawaafetlis1782

    Why mombasa 😆😆😆😆joti shkamooo

  • @alexpatrick537
    @alexpatrick537 Před 6 lety +3

    Presenter yupo flexible...nice

  • @barakahaule2433
    @barakahaule2433 Před 4 lety

    Good job.You are real comedian

  • @yusuphbihemo442
    @yusuphbihemo442 Před 5 lety +1

    Joty yuko vizur sana

  • @saidkaoneka2648
    @saidkaoneka2648 Před 6 lety +3

    Nakupendaga we kaka kaz zako uko nice

  • @aishaaly2489
    @aishaaly2489 Před 6 lety +1

    Jamani napend sana jot

  • @lottereube8144
    @lottereube8144 Před 6 lety +8

    Ndio Mara ya kwanza kukuona unaongea wewe kama wewe not as a comedian

  • @mako331
    @mako331 Před 2 lety

    I love Joti kwanza aki act ubabu

  • @angelakasogota4619
    @angelakasogota4619 Před 6 lety +1

    Ishi miaka mingi uendelee kutuongezea cku za kuishi,😂😂😂😂 why mombasa

  • @marthaallen1164
    @marthaallen1164 Před 6 lety

    naenda njiapanda nyinginee😀😀😀😀😀😀 da kibogaaa nakuheart sanaaaa

  • @lucasneema2531
    @lucasneema2531 Před 6 lety +4

    Mtangazaji unakaza hutaki ujinga

  • @julietbeka7331
    @julietbeka7331 Před 4 lety +2

    Woooooh joti umrembo yani handsome mashallah 👌👌👌👌🔥🔥

  • @barakabahati4315
    @barakabahati4315 Před 6 lety +1

    joti ze don

  • @saudahamad7481
    @saudahamad7481 Před 3 lety

    Wapi mishati yako jotiii😂😂😂😂😂

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 Před 6 lety +1

    hahaaaaaaaaaa why mombasa nakupnda bure kiboga wang🤣🤣🤣🤣🤣

  • @roseafrael6842
    @roseafrael6842 Před 6 lety +2

    But why not Tanzania 😂😂😂why mombasa

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Před 6 lety

    by the way nakukubali mzee baba vidox.. una tricks nyingi za kuuliza maswali! big up..

  • @peterjaphet4227
    @peterjaphet4227 Před 6 lety +1

    😎😎

  • @mohammedbanda3178
    @mohammedbanda3178 Před 5 lety

    Daa bro aki we we mwisho yani kwanzia nilipokuwa mdogo adi sasa unazidi kunipa rahaa aki mola akuzidishe mazuri na akulinde na. Maasidi wasiopenda kukuona ukinawiri tupe rahaa mola amukujalia kipaji hunafakukitumia.

  • @jonaselias7729
    @jonaselias7729 Před 6 lety +4

    hee out of job sijawahi kumuona kumbeee better tuu nimuone kazini....

  • @mtolomi
    @mtolomi Před 6 lety +1

    Sio wote maarufu na Wana access ya kupata special favours kama hizo

  • @hajuboy2882
    @hajuboy2882 Před 6 lety

    hahaha tisha jot unamjibu kisomi anii huyoo jamaa kakutoa nje ya reli

  • @guccij3549
    @guccij3549 Před 6 lety +1

    😀😀😀😀😀😀😀Ckuiz mbn uxh2i kjot

  • @samiratwalib2981
    @samiratwalib2981 Před 6 lety

    Dah afadhali,niliumia kweli maana mwenyewe anajitahidi kuchekesha ili ajipatie kipato.

  • @yagwishaheke5433
    @yagwishaheke5433 Před 6 lety

    Why mombasa

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 Před 3 lety

    God anakung'oa fasta

  • @mohamedsadiki9846
    @mohamedsadiki9846 Před 6 lety

    Jot jot jotiiiiiiiiiiiiiii......

  • @brigidmua9558
    @brigidmua9558 Před 6 lety

    Hie....joti

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi Před 6 lety +3

    Joti bn😂😂😂😂😂 eti Sir God Atakung'oa fasta

    • @HightechTz
      @HightechTz Před 6 lety +1

      Neema Mpanuka 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @latifamtanda6312
    @latifamtanda6312 Před 6 lety

    Jot umenichekesha sana ujue, bomu akamvishe nani et? Kwi kwi kwi kwii uwii, mbavu zang mm

  • @mickboyedwin426
    @mickboyedwin426 Před 6 lety +3

    Haha Mungu kutuweka duniani tucheka cheke ukinuna anakung'oa fasita

  • @maembamwita5874
    @maembamwita5874 Před 6 lety +5

    Ukikunja kunja uso. God anakung'owa fasta

    • @HightechTz
      @HightechTz Před 6 lety

      Maemba Mwita 😂😂😂😂😂😂

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 Před 4 lety

      Maemba Mwita 🤣🤣🤣nilifikiri nime sikia peke yangu

  • @husseinmfaume7711
    @husseinmfaume7711 Před 6 lety

    Wazushiiii

  • @mathayomatondo4024
    @mathayomatondo4024 Před 6 lety

    😁😁😁😁😁😁

  • @zainabufeka5723
    @zainabufeka5723 Před 6 lety

    Hahahahaaaaa jot bhaana

  • @benjaminpaschalkayombo2394

    Akuna kinachoshindikana kama kumuweka mungu mbele

  • @blacknature7637
    @blacknature7637 Před 6 lety

    Utaachwa mapengo siku moja zoweya tu

  • @tyma23
    @tyma23 Před 6 lety +1

    Huyo mtangazaji ana akili sana

  • @roi2554
    @roi2554 Před 4 lety +1

    kumbe jamaa in reality yuko serious hiv

  • @kibajadaniel9887
    @kibajadaniel9887 Před 6 lety +1

    JOMONI!!!!! huyu na KIBOGA mbona hawafanani kabisaa

  • @allymkamba1115
    @allymkamba1115 Před 6 lety

    Nakumbuka jot na mpok kusu kuti kasemaunipe mkewangu humpe kitambo muvi iyoo joti nakuku bari

  • @sheluizonola6890
    @sheluizonola6890 Před 6 lety

    Nilivyo mzoea joti yule hapa utazani sio yeye

  • @muktartz7314
    @muktartz7314 Před 6 lety +4

    vidox hili jina litakusumbua badae trust me

  • @mahamudnguluko8864
    @mahamudnguluko8864 Před 4 lety

    Mbona masanja ni Simba lakini

  • @iddiaman6418
    @iddiaman6418 Před 6 lety

    Ina x ya kijani hahahaa

  • @marcoa.nachan86
    @marcoa.nachan86 Před 5 lety

    jotiii

  • @saidkaoneka2648
    @saidkaoneka2648 Před 6 lety

    Jot why Mombasa nimecheka halal!!!

  • @richmanminja9246
    @richmanminja9246 Před 6 lety

    huyu mtangazaj kazidiw na akili

  • @saudahamad7481
    @saudahamad7481 Před 3 lety

    Wapi mishati yako jotiii😂😂😂😂😂