JOTI KAZUNGUMZA: Ni kweli Rais Magufuli kamsaidia nyumba yake isivunjwe.?
Vložit
- čas přidán 11. 05. 2018
- Mchekeshaji Joti amezungumza na Ayo Tv na moja ya suala alilozungumzia ni pamoja na ishu ya kuvunjwa nyumba yake pamoja na kutaniana mitandaoni na mchekeshaji mwenzake Masanja je walishawhai kugombana..? Yote amezungumza hapa.
Aliyegundua kuwa Joti hapend kuhojiwa na kuweka mambo yake Katka media tujuane hapa😆😆
huyu ndo mtangazaji big up sana.. sio yule wa Global aliyemhoji Mkali wenu😎😎😎😎😎kama zezeta vile
Nakukubali Sana Joti Mzee Govinda Best Commedian In East Africa
Yaani kama si joti vile ninayemwona na vituko vyake nakupenda sana kaka angu nakubali kazi zako Mungu aendelee kukuweka juu juu zaida.
Waoooooooo mi wa kwanza kukomentiiiiiiiiii, Joti Na Millard, I appreciate you meen
sMajid Frolian
Joti is amazing ....penda xana what u are doing in the industry...frm 254
Why mombasa 😆😆😆😆joti shkamooo
Presenter yupo flexible...nice
Good job.You are real comedian
Joty yuko vizur sana
Nakupendaga we kaka kaz zako uko nice
Said Kaoneka , you sound like a gay
Jamani napend sana jot
Ndio Mara ya kwanza kukuona unaongea wewe kama wewe not as a comedian
I love Joti kwanza aki act ubabu
Ishi miaka mingi uendelee kutuongezea cku za kuishi,😂😂😂😂 why mombasa
naenda njiapanda nyinginee😀😀😀😀😀😀 da kibogaaa nakuheart sanaaaa
Mtangazaji unakaza hutaki ujinga
Woooooh joti umrembo yani handsome mashallah 👌👌👌👌🔥🔥
Jamani mwanaume anakuwa mrembo 😂😂
Umemhaibisha ndg
@@yumna128 kwani hujui
@@julietbeka7331 mwana ume aitwi mrembo
joti ze don
Wapi mishati yako jotiii😂😂😂😂😂
hahaaaaaaaaaa why mombasa nakupnda bure kiboga wang🤣🤣🤣🤣🤣
But why not Tanzania 😂😂😂why mombasa
by the way nakukubali mzee baba vidox.. una tricks nyingi za kuuliza maswali! big up..
😎😎
Daa bro aki we we mwisho yani kwanzia nilipokuwa mdogo adi sasa unazidi kunipa rahaa aki mola akuzidishe mazuri na akulinde na. Maasidi wasiopenda kukuona ukinawiri tupe rahaa mola amukujalia kipaji hunafakukitumia.
hee out of job sijawahi kumuona kumbeee better tuu nimuone kazini....
Sio wote maarufu na Wana access ya kupata special favours kama hizo
hahaha tisha jot unamjibu kisomi anii huyoo jamaa kakutoa nje ya reli
😀😀😀😀😀😀😀Ckuiz mbn uxh2i kjot
Dah afadhali,niliumia kweli maana mwenyewe anajitahidi kuchekesha ili ajipatie kipato.
Why mombasa
God anakung'oa fasta
Jot jot jotiiiiiiiiiiiiiii......
Hie....joti
Joti bn😂😂😂😂😂 eti Sir God Atakung'oa fasta
Neema Mpanuka 😂😂😂😂😂😂😂😂
Jot umenichekesha sana ujue, bomu akamvishe nani et? Kwi kwi kwi kwii uwii, mbavu zang mm
Haha Mungu kutuweka duniani tucheka cheke ukinuna anakung'oa fasita
😃😁
Ukikunja kunja uso. God anakung'owa fasta
Maemba Mwita 😂😂😂😂😂😂
Maemba Mwita 🤣🤣🤣nilifikiri nime sikia peke yangu
Wazushiiii
😁😁😁😁😁😁
Hahahahaaaaa jot bhaana
Akuna kinachoshindikana kama kumuweka mungu mbele
Utaachwa mapengo siku moja zoweya tu
Huyo mtangazaji ana akili sana
kumbe jamaa in reality yuko serious hiv
😃😃😃
JOMONI!!!!! huyu na KIBOGA mbona hawafanani kabisaa
Kibaja daniel 😅😅😅😅NDIE KIBOGA MWENYEW HUYO JAMANI
Nakumbuka jot na mpok kusu kuti kasemaunipe mkewangu humpe kitambo muvi iyoo joti nakuku bari
Nilivyo mzoea joti yule hapa utazani sio yeye
vidox hili jina litakusumbua badae trust me
Kwanini limsumbue?
Mbona masanja ni Simba lakini
Ina x ya kijani hahahaa
Ukitaka kumuua nyani usiuangalie using😀😀😀👍MZEE baba
jotiii
Jot why Mombasa nimecheka halal!!!
huyu mtangazaj kazidiw na akili
Wapi mishati yako jotiii😂😂😂😂😂