Aposto wewe ni kijana mdogo ambae Mungu anakutumia kwa kiwango kikubwa kupita ujana wako.hapo ndipo ninapoongezeka imani kumbe Yesu anaweza kuongea na dunia hata kupitia mtoto mdogo tu.lakini mesage sent.powerful Mungu akuzidishe baraka
Nilijua mitume na manabii wetu niwaongo kutokana na Mambo tunayoyaona mitandaoni tukisikia Jina Apostle/Au Nabii tunaogopa Mungu anisamehe kwako nimebarikiwa Sana ndugu mtanzania Mwenzangu Let Jesus lift your voice
Hakika umebarikiwa na bwana azidi kukutumia kadri inavyo mpendeza, ili nasi tuponywe. Nalitukuza jina la bwana kwa ajiri ya huduma yako na maisha yako. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai.
Kwakweli nampenda Sana huyu mutumishi wa Mungu, kiasi yakwamba, natamani kufanya huduma naye, yeyote aliena uwezo wa kunisaidia nimufikie please, nisaidie, Niko Eldoret Kenya.
I love you Apostle Mtalemwa, Yani uwa nakuelewa sana unapofundisha maana una biblical references... MUNGU akubariki sana Chief, Endelea kutufundisha maana kwenye mafundisho kuna Uponyaji zaidi hata ya kuombewa....
Mungu akuinue zaidi mlezi wetu,umekuwa ukinilea vyema sana kupitia mafundisho yako napia katika ndoto. Unafundisha kweli kabisa ya Mungu, ndomana siachagi kukupenda na nafundishika vizuri saana,nanimambo halisi
GLORY to God! Namshukuru sana Mungu kwa mafundisho yako mazuri na yaliyo ya kweli, ni Watumishi wa Mungu wachache sana walio tayari kuisema kweli yote ya Mungu. Mimi binafsi nakubaliana sana na wewe katika hicho unakisema, ni kweli kabisa wapo watu wengi hivi sasa wanajiita au wamejiita Watumishi wa Mungu na kijipeleka kuhubiri injili kwa nguvu ya njaa zao, na wala hawana hata baba zao wa kiroho maana hawataki kuwa chini ya (kuongozwa)
Hiii nimeitafuta baada ya kusikia Mbarikiwa Mwakipesile akikutaja kuwa alisafiri na wewe kutoka Mbeya kuja Dar ukiwa umempa lifti kwenye Gari ulilo kodi. Huu ujumbe ni halisi katika kipindi chetu hiki Barikiwa sana
God bless you so MOG, many have kept this away from the church which leads many astray. Very important and key for a successful future in all aspects of life. Glory to God
It's second I'm listening to THIS video . ... ACTUALLY it's taught perfectly how I should behave in this world. Follow procedure and harry not! Seek advice from your superiors. And learn to repent your wrongs
HALELUYAAA. Hakika ni lazima kila mtu kuna mahali alipita AMA kwa kupewa hiki AMA kile. Tunajivuna bure tu tukishafanikiwa. RUDI ulikotoka kaombe ridhaa.
Aposto wewe ni kijana mdogo ambae Mungu anakutumia kwa kiwango kikubwa kupita ujana wako.hapo ndipo ninapoongezeka imani kumbe Yesu anaweza kuongea na dunia hata kupitia mtoto mdogo tu.lakini mesage sent.powerful Mungu akuzidishe baraka
Nilijua mitume na manabii wetu niwaongo kutokana na Mambo tunayoyaona mitandaoni tukisikia Jina Apostle/Au Nabii tunaogopa Mungu anisamehe kwako nimebarikiwa Sana ndugu mtanzania Mwenzangu Let Jesus lift your voice
ubarikiwe mtumishi wa Mungu apostle mtalemwa
Hapo ulipo malizia huwa tunajibu Sifa kwake Ee Yesu Kristo 👏 thank you so much Apostle nimepata faida za maisha ya kiroho ...
MUNGU akulinde sana mtumishi maubiri yako yananipa ujasiri🙏
Mtumishi ili somo ni msingi kwa watumishi. Kuliko chuo Cha BIBLIA
Mungu akubariki Sana
Hakika umebarikiwa na bwana azidi kukutumia kadri inavyo mpendeza, ili nasi tuponywe. Nalitukuza jina la bwana kwa ajiri ya huduma yako na maisha yako. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai.
MUNGU akubariki sana Chief Apostle, umekuwa msaada mkubwa sana kwetu kupitia neno la MUNGU unalotufundisha hapa kila mara.
Ameen Aposto.huu ni ufunuo wa ajabu sana sana.
Ubarikiwe sana Mtume wa Kristo nimeguswa sana naitaji niende nilifanyie kazi.
Nimepata mwalimu APOSTLE. And I will testify MIRACULOUSLY
Kwakweli nampenda Sana huyu mutumishi wa Mungu, kiasi yakwamba, natamani kufanya huduma naye, yeyote aliena uwezo wa kunisaidia nimufikie please, nisaidie, Niko Eldoret Kenya.
Too much wisdom and knowledge from the Prophet of God.. I love the Spiritual teaching about the ministry protocols. Much love from Kenya 💖🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante kwa mafunzo apostle nmeelewa zawaidi.E Mungu nisaidie nisiharakishe maishani mwangu
I love you Apostle Mtalemwa, Yani uwa nakuelewa sana unapofundisha maana una biblical references... MUNGU akubariki sana Chief, Endelea kutufundisha maana kwenye mafundisho kuna Uponyaji zaidi hata ya kuombewa....
Yaani mtumishi nakuelewaga mnooo! Mungu akubariki sanaaa
Wakati wa Mungu ni sahihi nimekuelewa sana Baba Mungu akutunze tuzidi kubarikiwa na kukua kiroho.
Amen baba yangu tunajifunza kwa somo hili.
Nimebarikiwa sana Mungu azidi kukurinda na upako mupya
Nimeelewa apostle mafundisho mema nitaenda kurekebisha nilikoharibu kwaajili ya usalama wangu ee mungu nihurumie Ubarikiwe zaidi 🙏🙏🙏
Mungu ni mwema akutunze Chief .....
Mungu akuinue zaidi mlezi wetu,umekuwa ukinilea vyema sana kupitia mafundisho yako napia katika ndoto.
Unafundisha kweli kabisa ya Mungu, ndomana siachagi kukupenda na nafundishika vizuri saana,nanimambo halisi
GLORY to God!
Namshukuru sana Mungu kwa mafundisho yako mazuri na yaliyo ya kweli, ni Watumishi wa Mungu wachache sana walio tayari kuisema kweli yote ya Mungu.
Mimi binafsi nakubaliana sana na wewe katika hicho unakisema, ni kweli kabisa wapo watu wengi hivi sasa wanajiita au wamejiita Watumishi wa Mungu na kijipeleka kuhubiri injili kwa nguvu ya njaa zao, na wala hawana hata baba zao wa kiroho maana hawataki kuwa chini ya (kuongozwa)
Yesu hakutoka mbuguni arusha!!! Mbuguni ndio nyumbani jamani kumbe mtume mtalemwa unapajua mbuguni!!!!!
Mungu akutunze na kukustawisha zaidi na zaidi kwa Utukufu wake!
Amen jina la bwana yesu litukuzwe, barikiwa sana apostle
Nimekubali man of God 🙏
Mimi Niko Congo RDC 🇨🇩 uyu baba ni wa muzuri sana tena ana Mungu wa kweli n'a mupenda sana😘😘😘😘
Asante mtu wa Mungu kwa mafundisho ya msingi mzuri wa Mungu.
Mungu Akubariki sana Apostle
Asante kwa neno hili la msingi
Nimekuelewa Sana Apostle mtalemwa na hii imekuwa changamoto kubwa sanaaaa kwa leooo
Ninamshukuru Mungu kwa ajili ya mafundisho haya yenye uzima
Huwa nakuelewa saaana,Iam proud to be under your leadership.
Amen Amen Apostle nakupenda Sana Mungu akutunze
Amen apostle your preaching always change my life.tuned in from Nairobi kenya.
Amen 🙏🏾 nimebarikiwa na mungu anisaidie siwez kwa uwezo wangu
My genius apostle 🤝
Hiii nimeitafuta baada ya kusikia Mbarikiwa Mwakipesile akikutaja kuwa alisafiri na wewe kutoka Mbeya kuja Dar ukiwa umempa lifti kwenye Gari ulilo kodi. Huu ujumbe ni halisi katika kipindi chetu hiki Barikiwa sana
Amen Lazima niangalie nilko toka nikaanguka thanks APSTL CONNECTING FROM LEBANON .NITARUDI
Mungu anakutumua sana Mtumishi wa Mungu nakukubali sana Mungu awe nawe siku zote
God bless you Apostle,ninakufuatilia mahubiri yako nabarikiwa sana nikiwa Europe
Ubarikiwe zaidi Apostle nakuelewa sana
Asante Mungu kwa mafundisho haya kupitia mtumishi wako Mutalemwa.
Asante baba kwa maarifa haya mema🙏 Mungu aendelee kukutunza
Unafundisha ukwel kabisa apostle nakufuatilia sana 🙏
APOSTLE. You are my mentor. Ihave LEARNED a lot from your preaching. May good God enlarge your preaching in JESUS CHRIST Amen 🇰🇪🇰🇪9
Amen Amen mtumishi Mungu akubariki sana
Apostle unajenga watu katika misingi ya Imani barikiwa sn
Apostle mtalemwa umeongeaa vitu vikubwaa Sanaa mungu atupe uvumilivu katika wito
I am always blessed by your teachings. Be blessed 🙌man of God. Mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele kwa vizazi vijavyo kwa utukufu wa Mungu
Mungu azidi kukutamia na kukutunza, Ndio Maana sichoki kukusililiza.Napenda Sana mahubili yako
Praise the Lord
The Most High,
hallelujah🕊🕊🕊
God bless you so MOG, many have kept this away from the church which leads many astray. Very important and key for a successful future in all aspects of life. Glory to God
AMEN AMEN ,TANGIA NIMEANZA KUKUFUATILIA NIMEBADILIKA SANA.BWANA YESU AKUTUNZE
Nashukuru Mungu Kwan kupata channel hii.. Am really blessed preaching /teaching that are moulding me.. Be blessed apostle /teacher
Hili somo langu kabisa. Be blessed Mtume.
Hallelujah bless you pastor, Thanks for the world,we love you 🙏 Amen
It's second I'm listening to THIS video . ... ACTUALLY it's taught perfectly how I should behave in this world. Follow procedure and harry not! Seek advice from your superiors. And learn to repent your wrongs
Asante Apostle
Amen
Am sharpened man of God, You are ablessing in this kingdom
Hahahahahahahahahah awesome kaah? Wee moto asantee Yesu kummtumia mtumishi wako nimepona God blesse aspostle nimependa nimebarikiwa nimebadirishwa akili yanguu aiseee
HALELUYAAA. Hakika ni lazima kila mtu kuna mahali alipita AMA kwa kupewa hiki AMA kile. Tunajivuna bure tu tukishafanikiwa. RUDI ulikotoka kaombe ridhaa.
Powerfull massege God bless Apostal
Waooo duu
Bring it chief
Amen Amen 🙏Amen respect where you come from
🔥 🔥 🔥
God bless you pastor 👏👏👏🙏
UBARIKIWE SANA APÔTRE DE DIEU
Glory to the highest God is wonderful! Napona kila Mara naskia Neno. Baraka.
Nabarikiwa Sana.
Amen hallelujah glory be to God
God Bless You Apostle 🙏🏿
Asante Apostle. Ninakuelewa sana.
Ameen apostle mtalemwa
Amen 🙏 amen 🙏 amen 🙏
Ubarikiwe
Amen glory to Jesus
GOD BLESS YOU MY APOSTLE MTALEMWA
Amina amina
Pr umesharud pole na safirii
be blessed Apostle
Sasa tuliotoka kwenye ukatoliki tutaagaje huko? Maana ni imani tofauti na huku kwenye makanisa ya kiroho
True man of God
Glory to God almighty
I feel blessed after seeing Chief Appostle liked my comment,I wish one day to meet with you Appostle or even talk to phone with you,I wish that indeed
Da Leo nondo🔥
Mimi nimejifuza kukataa' 'kufuta na kugeuza giza makati umetamkiua ma baya. Na jina la yesu litukuzue
Amen and Amen 🙏
Sikuaga wala si kupewa ruhusa....na nina some private explanation. Can you allow me to explain then you advice me sir?
🙏🙏🙏
True
Wa kwanza kuview
Amina Nimebarikiwa mnooo,
Amina Mungu aenderee kukutunza zaidii
Mhhhh jamani
Amen apostle nanabarikiwa Sana kutoka arusha karatu
Asante nimeelewa na mungu akubaliki sana sana
Kwakweli apostle unaongea ukweli kabsa
Nina kuelewa baba hukunamanga tunakusikia
Asante Bwana kwa kunionyesha sehem salama na kile ambacho kipo ndani yangu kitakuwa salama
Waeleze ukweli APOSTLE MUTALEMWA. Watu ni wanafika tu. Mwambie ukweli. Ruhusa ni lazima.
amina mtumishi asante kwa ujumbe mzuri nimeelewa kabisa kabisa
Ok
Mmhhh!