Mungu ikabarikiye kazi ya mikono yangu ,mungu ukanipe kile ninachohitaji kwa kadri ya utajiri Mungu ukanipe neema niongezeke katika enjoy la Maisha yangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen 🙏🙏🙏 najiungamanisha na madhabau haya kutoka Saudi Arabia napokea upenyoo wa kifedha kiroho mpenyo wa kizazi changu katika mitihani wakue kiloho kimasomo na akili🙏🙏🙏🙏😭😭 Amen 🙏🙌🙏
Yesu wangu mzuri, Yesu mwaminifu Jina lako linanguvu, linauweza , linaponya , linapasua miamba linabomoa ngome za maadui , Nakupenda Yesu Nakupenda Yesu Mwingi wa Rehema Umejaa huruma Nakupenda Yesu Nakupenda Yesu wewe Ni mwema Sana KWANGU umeninunua kwa gharama kubwa umenikomboa na mauti, Wewe Yesu Ni pumnzi yangu, Wewe Ni uhai wangu, Asante kaa kila kitu maishani mwangu Asante kwa hizi nilivyo Asante kwa kunipendelea Asante Yesu Asante Yesu Asante Yesu
Wee bwana yesu naomba mpenyo wa kifedha ili nilipe madeni biashara yangu ifunguliwe.yesu nimechoka naaya mateso kila siku nimtu wa kesi yesu nimekuja mbele zako mchana uu waleo naomba mpenyo wakifedha yesu naomba nisaidie
Yesu mwema baba wa rehema naja mbele zako,naomba mpenyo wa kifedha ktk shughuli zangu za kutafuta riziki,nisaidie bwana Yesu giza kuu lipo mbele yangu nisaidie bwana Yesu, mateso yangu ni mengi, naamini kwa kupitia kwako nimepona, pia niokoe na nguvu za giza sinazonitesa zaidi ya miaka 20 pia ndoto mbaya sinanitesa 20 Yesu nisaidie na unipinye mfalme wa amani.
Amina mtumishi ubarikiwe sana na mm nimepona kuanzia Leonimefumguliwa kwa jina la yesu nimeteseka sana ,kuanzia Leo neema ya Kuta zote hazipo mbele yangu amina
Mungu wAngu ninakuomba nipate mpenyo wapesa nabaraka, kwenye maisha yangu 🙏🙏🙏
Ameen
Amen biashara naomba nipate upenyo
Ameen
Mtumishi nimempokea yesu moyoni mwangu
Naomba mpenyo wa kifedha nimalize madeni niliyo nayo nilipe kodi ya nyumba ,nipokee upenyo wa fedha katika kazi In Jesus Name.🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mungu wangu naomba unipe mpenyo wa kifedha ktk Jina la Yesu
Nimepokea kwa nguvu za damu ya yesu kristo nimepokea mipenyo yote ya kifedha ndani ya maisha yangu , nikiomba na kuamini imekua
Mungu nimwaminifu kila ukuta unaoziba mungu abariki kazi ta mikono yake
Ameen
Naomba Mungu anipe mpenyo wa kifedha katika biashara yangu
Mungu naomba nifingue biashara ya kifedha nikopeshe na nikuwe kibiashala mungu nipe upenyo wa kifedha naomba ongezeko
Mungu naomba nipe mpenyo wa kifedha,wateja waone biashara yangu
Mungu naomba mpenyo wakifedha kwenye biashara yangu ikue
Mungu anipe mpenyo wa kifedha kwa jina la yesu
Mungu naomba unipe upenyo wa kifedha ili uchimi wangu ukue niwe na biashara zuri yenye kipato kikubwa kwa jina la yesu
Mungu naomba nipe mpenyo wa kifedha kwenye biashara yangu mpaka nishangae.......
AMEN NAPOKEA MPENYO KWENYE BIASHARA YANGU
Naomba mungu unipe mpenyo wa mambo mawili nikafanikiwe kazi au biashara
Nimeani Nitapenya katika jina la yesu mutumishi wa Mungu umbalikiwe
Mungu ikabarikiye kazi ya mikono yangu ,mungu ukanipe kile ninachohitaji kwa kadri ya utajiri Mungu ukanipe neema niongezeke katika enjoy la Maisha yangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mungu achilia neema juu ya maisha yangu.
Amen 🙏🙏🙏 najiungamanisha na madhabau haya kutoka Saudi Arabia napokea upenyoo wa kifedha kiroho mpenyo wa kizazi changu katika mitihani wakue kiloho kimasomo na akili🙏🙏🙏🙏😭😭 Amen 🙏🙌🙏
Naomba mpenyo wa fedha nimalize madeni nakodi yanyumba yangu amen and amen
Naomba mpenyo wa kifedha maana mungu.ananijua mapito haya mungu añipe
Nimepokea kwa nguvu za yesu kirsito natagaza nimepokea mpenyo was fedha kuanziaa sasa ameen
Ameen ameeen
Ameni nimepokea upenyo wa kifedha kwa jina la yesu
Ameni naomba milango yangu ya fedha na biashara. Ifunguke kwa jina la yesu
Mungu akupe umr mrefu baba hili ni zaid ya darasa kwangu
amina napokea upenyo katika ka za mikoni yangu kifeza kiuchumi kila kitu
Yesu wangu mzuri, Yesu mwaminifu Jina lako linanguvu, linauweza , linaponya , linapasua miamba linabomoa ngome za maadui , Nakupenda Yesu Nakupenda Yesu Mwingi wa Rehema Umejaa huruma Nakupenda Yesu Nakupenda Yesu wewe Ni mwema Sana KWANGU umeninunua kwa gharama kubwa umenikomboa na mauti, Wewe Yesu Ni pumnzi yangu, Wewe Ni uhai wangu, Asante kaa kila kitu maishani mwangu Asante kwa hizi nilivyo Asante kwa kunipendelea Asante Yesu Asante Yesu Asante Yesu
ameen mungu ni mwema
Wakati wote ni mwema sana
Wee bwana yesu naomba mpenyo wa kifedha ili nilipe madeni biashara yangu ifunguliwe.yesu nimechoka naaya mateso kila siku nimtu wa kesi yesu nimekuja mbele zako mchana uu waleo naomba mpenyo wakifedha yesu naomba nisaidie
Yesu mwema baba wa rehema naja mbele zako,naomba mpenyo wa kifedha ktk shughuli zangu za kutafuta riziki,nisaidie bwana Yesu giza kuu lipo mbele yangu nisaidie bwana Yesu, mateso yangu ni mengi, naamini kwa kupitia kwako nimepona, pia niokoe na nguvu za giza sinazonitesa zaidi ya miaka 20 pia ndoto mbaya sinanitesa 20 Yesu nisaidie na unipinye mfalme wa amani.
Ameni ubarikiwe mtumishi
Mungu akubaliki papa
Ooo thankyou lord, nakupenda yesu
Mungu akuzidishie mia moja amina
Ameen
Amina mtumishi imekuwa
Kweli iyo maombi ni ya mtu binafsi ❤
mungu nakushuku na kuomba unipe mpenyo wa kifedha na uniinulie uchumi ktk biashara zangu
Ameen
Naomba upenyo wa kifetha in Jesus name
Ameen
Naomba mpenyo wa kifedha katika biashara zangu,uchumi wangu..Ameen!
nimepokea yesu leo
Mungu wangu naomba financial breakthrough
Eeeh Yesu nisaidie mpenyo wa kifedha ndani ya wiki hii katika biashara yangu Amen
Amina kubwa 🙏
Ameen
Nakushuru Bwana Yesu kwa Maombi haya🙏
Asante Bwana Yesu
Naomba Mungu anipe mpenyo nijenge nyumba ya block
Mungu naomba mwanangu Joel afanikiwe na kupata upevyo wa kifedha afanye biashara na ajira kwa njia nyepesi kwa jina la yesu
Amen 🙏🙏🙏 thank god for all
Bwana yesu, naomba mpenyo wa kifedha kwa uchumi wangu na uniongeze uzao wangu.
Asante Mungu kwa mpenyo wa kifedha ktk maisha yangu kwa jina la Yesu.
Amina mtumishi ubarikiwe sana na mm nimepona kuanzia Leonimefumguliwa kwa jina la yesu nimeteseka sana ,kuanzia Leo neema ya Kuta zote hazipo mbele yangu amina
Baba na mupokeya bwana yesu kuwa mwaba na mokozi kwa maisha yangu aksanti ameneeeé
Eh baba nipe mpenyo ndani yavyangu vyote.. angusha kobambazi inayo zuiya mafanikiyo ndaniya kaziyangu nakazi ya mumewangu
Mtumishi nimepokea yesu ndani ya maisha yangu
Ameen ameeen
Hongera sana sana
Amen amen
🙏🙏🙏
Ameen na naamin imekua katika jina la yesu
Asante Yesu ilikuwa siku yangu nzuri ya Yesu kunihudumia Nimehudumiwa na Yesu
Mungu akatupe upenyo Mimi na Mume wangu katika biashara zetu Ameeen
Ubarikiwe mtumishi kwa maombi haya mazuri ameni
Amen napokea mpenyo wa kifedha imenikataa kabisa nimeanza Ku give up
Ameen
Mungu atakusaidia. Nitakuombea
@@holyspiritconnect Asante mutumishi wa mungu
Ameen..napokea mpenyo wa kiuchumi Bwana Yesu
Amen Bwana Yesu naomba mpenyo wa kifedha katika jina la YESU
Mtumishi mimi naomba mpenyo wafedha kuna viwanja vyangu naviuza sipati wateja na vilevile nina kesi mahakamani ya alidhi
Ameeen
Amen.
🙏🙏🙏
AMEN🙏
🙏🙏🙏
AMEN nimepokea kwa jina la YESU 🙏
Amen I agree and receive in the mighty name of Jesus Christ
Amen and amen 🙏 🙌 👏🏽 ❤
Ameen
Amen and thank you fur praying for me
Thanks Lord. Pray for my son Athur to get a Job
Ameen
I will pray for him
Amen Amen nimepokea mpenyo
Napokea Mungu niinue
AMEN 🙏🙏🙏 tunakushkulu kwa kutuongoza kwa maombi
Amen ❤
I gree with you the man of God and be blessed
Amen Amen in Jesus name i believe
hi a servant of God you blessed me with prayers. Our creator have a good plans to our future through strong nice prayers may the holy spirit help me
Aminaa
🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
AMEN and AMEN man of God am blessed so so blessed in Jesus Christ
Yusu nimwaminifu
Ameeeen
Ameen barkiwa
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen
Ahsante MUNGU 🙏
Amen 🙏Thank you Jesus 🙏
Ame
I am blessed with your prayers
Amen amen 🙏🏾
@@peninahAlphonce17 1qqqq1qqqqqq
Stay blessed holyspirit connect
Amen in Jesus name 🙏
Thanks you lord
🙏🙏🙏
Ameen
Ameen be blessed 🙌
Amen mtumishi ubarikiwe
Thank you God 🙏🙏
Mungu ni mwema siku zote za maisha yang ahsante Yesu ubarikiwe Baba angu Muumba Mbingu na nchi
Amina
neema ya promotion
amen
Mungu. Atende. Miujiza. Mikubwa. Emen
Asante kwa maombi nimebarikiwa.
Katika JINA LIPITALO MAJINA YOTE NAPOKEA MPENYO WA KIFEDHA MAISHANI MWANGU.
Amen mtumishi ubarikiwe
Amen Amen
Amen🙏🙏🙏
Thank you Lord
Amen and amen