Matangazo ya Dira ya Dunia TV Ijumaa 19/07/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Komentáře • 15

  • @abumutwaira4892
    @abumutwaira4892 Před měsícem

    Bbc mtangao mkubwa lakin Taarifa mbovu...

  • @MursalLusinde
    @MursalLusinde Před měsícem +1

    Kuongoza binadam sio kazi nyepesi ni kazi ngumu mno.. na kitendo cha kufuta baraza lote la mawazi na kisha kuwarejesha baadhi yao maana yake ni kwamba alifanya kazi kwa muhemko mkubwa na baada ya kutulia akaliona kosa alilo fanya ndo mana kawaresha.... na nyie wakenya mkae kwa kutulia hamuwezi kumpangia rais afanye kipi na aache kipi mpeni muda wa kufanya kazi... amefanya yote yale mliyokua mnataka lakin bado mnaandamana.. msiteegemee kwa maandamano yenu ety anaweza kujiuzulu haiwezekani... muungeni mkono na mumpe muda ili afanye kazi sio kuandamna

  • @user-xc5vf6tt9z
    @user-xc5vf6tt9z Před měsícem

    Kuongoza Inchi ni ngumu ila Kuongoza Kenya umejitafutia matatizo....duuu ..

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati4933 Před měsícem

    Mdomo koma usije kuniponza

  • @peterlekanet5459
    @peterlekanet5459 Před měsícem

    Wehu kabisa hawa Alitaka kiongozi Afanye nini

  • @user-ms2kf3mf3q
    @user-ms2kf3mf3q Před měsícem

    Nipo Pemba waiziraili waliteseka miaka 400 ila badae waliabudu ng'ombe kwaiyo rutu biga kazi mungu anasem rafiki wa kweli ni yeye tu hata mama akiwa mchawi anakula nyama humu anacheka

    • @Raphaeldaudi-q7m
      @Raphaeldaudi-q7m Před měsícem

      Umesema mungu kwa herufi ndogo mungu wako😢 hauko makini navitu vidogo kama hvi unaongea ujinga pia

  • @peterlekanet5459
    @peterlekanet5459 Před měsícem

    Akiondoka ruto hata aje malaika wakenya ni sikio la kufa

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati4933 Před měsícem

    Wewe piga mdomo to me wacha nikae kimya

  • @EzbonKashaga
    @EzbonKashaga Před měsícem

    Raisi asikilize vijana awape kazi,sio upinzani,vijana hawataki..Rais Ruto uko wapi?

  • @user-xc5vf6tt9z
    @user-xc5vf6tt9z Před měsícem

    Akuna mtu anaweza mridhisha binadamu Ata Ruto akitoka madarakani anae Kuja hawezi waridhisha hivyo Wakenya,wajaribu kumpa Raisi muda ...

  • @ThomasErro
    @ThomasErro Před měsícem

    wakenya wale waliokufa ni wajinga wajanja ndo wako wanaishi

  • @ndiiyolazaro1125
    @ndiiyolazaro1125 Před měsícem

    🫶