Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Haki hii movie nimeipigia salute Muko juu Tena sana laiti ingekua ni mm ndio natoa majibu ningewapa 100%
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Gen z apa Doko hamjui kizungu 😂😂😂😂😂😂😂😂Mbavu zangu mm zauma
Du jamaa anazidi kuvunja masharti anamdisia mvuvi mwenzake tena
Wa kenya 🇰🇪 wata commente kama wa Tanzania 🇹🇿 awajui kingereza 😂😂😂 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kwani sisi watanzania ni waingereza??
Sio siri hawajui kweli
Hhh😂😂😂😂
Kwani n urongo si n kweli angalia comment ameiandikaje😂😂
😂😂😂😂😂 wakenya tupo ju na English ❤
From KENYA🇰🇪🇰🇪🇰🇪 icho kizungu kikosawa
kwenye papuchi 😢😢😢😢 umepigaje apo bwana doko uwiiiiii
Kazi nzuri kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Much love from Kenya 🇰🇪
From 🇰🇪🇰🇪wenye vipara Huwa hatuchekeshiiii lakini Doko kazivanga jamanii
Haha watanzania achaneni na kizungu kabisaa 😂😂😂 Doko lazima tu comment ..love you guys ..from 🇰🇪 kenya ❤❤
Doko mwamba amefeli 😂😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
doko kingereza achana nayo futa tu sigeret yako😅🤣😂
Huyo mama mfinanga mhh loho.mbaya
Kazi nzuri wenye vipara hatuchekeshi😅
❤😂😂😂WaWajuwa wa Kenya watasema hatujuwi kingereza😂😂 tujuwane wakenya❤
I thought mfinanga has got her mama burrying his toy bby😂😂😂😂
Kikulacho kwa nguo kwel maana bii chaka si kwa ubaya huo 😂😂😂😂alafu kamote na doko nyie washenzi sana etiii kwenye papuchi❤❤👏👏👏👏
Ila kazi nzuri sana mnajitaidi mungu awasimamie kwekweri
What a you speak English Duuj doko kaua aisee Much love from the capital city of Africa 🇰🇪🇰🇪 kenya
Waiting for 9 ❤❤❤❤ nawapenda
Iyo nyimbo mimba kichuguu naipataje
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Wah Huyo maungo musimtwae Tena kwenye tiba hafai huyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🇰🇪🇰🇪hatujawai waangusha ngongole ndugu zetu tulisubiri sana❤
Duh! Sio powa hili tamthilia pole sana Mfinanga na Sonia kwa changamoto mnopitia.
😂😂😂dogo baba 😂😂 inglizi taabu kubabazenge😂😂
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu leo nimekuwa wa kwanza❤
From Kenya 🇰🇪
😂😂😂 Uyu Kaka mtu mshenzi sanaa... Yani Kimbele mbele kazi yake kufelisha tu
Yani kamote uezi kufunyamazisha uo mdomo wako 😂😂😂😂
😂
mtu anaweza pea like moja au mbili kweli
Kazi nzuri bro doko Big up sana
Camera HD... Movie thriller 🎉🎉🎉
Duh doko bana ❤❤❤❤❤❤
Kamote cool down 😅😅😅
😂😂😂😂😂 Anasemaje ety ,hicho kidude imekitoa wp jibu ni😂😂😂😂nimekitoa kwa papuchi😅😅😅😅😅😂😂
@@user-tq4nf4tk7l hiyo part nimecheka yangu yote 😂😂😂😂 na reaction yke so funny 🤣😅
Ongera saana kwa kazi doko tf mfinanga naomba msi cheleweshe namba 9 tuna isubiri kwa amu kubwa saana 🇱🇷
Doko nakubali Kazi zako
Natokea Kenya nawapenda sana Huyu jamaa wa longi kubwa huniua haki 😂😂 mlimtoa wapii Alafu kizungu nyie hamkijui 😂😂
Sema doko unakawia sana mtu wangu 😮
Doko uyo 🎉
Namkubali xna Doko🎉🎉🎉🎉
Doko am here from Kenya 🇰🇪 18..😂😂
From Kenya .......unapamba sana Doko
Wajua huyu kipara namshuku sana kma anahusika na kutojifungua sonia
doko your creativity is on another level, congratulations
Msicheleweshe sana move mzur ❤
Katika waigizaji bora Doko unaongoza🎉🎉🎉
Wakenya watanzania hawajui kiingereza 😂😂😂
Jamani kazi yenu mzuri sana ila mnacheliweza kutowa 😂😊
Doko nakubali kazi zako
Doko the best 💪🏻🙏
Endeleeni kujianya brand mtatupotezaa move sikuu ngap zimepita bhn
Move pendwa ❤
Bon courage a vous doko 🎉🎉🇨🇩🇨🇩
🎉🎉 good job 👏👏
Kazi nzuri
❤❤❤ leo nime wahi nipeni like hata kumi tu
Mbona mnakawia Sana jam kuachia movie
Mishen is feld baba 😅😅
From Kenya Doko aka kioaraingwe na Mfinanga nawakubaki kinoma yaani❤❤❤❤❤
Macho from 🇿🇦 please msiicheleweshe inayokuja maana sio poa
Kaz nzur
Safi Sana ❤❤
Mganga unaniuwaaa😂😂😂❤❤❤❤❤
Huyo shemegi ya mfinanga🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣amenifanya Nika comment
❤
Mtanzania 🇹🇿 pekee naeeeishi lusaka zambia 🇿🇲 nipeni like zangu leooo😊
Mfinanga wewe hunyamazi tseee😢😢😢😢watangaza kila mahali
Jamani kando na kiingereza mwisho umenimaliza 😂😂😂😂
Wakenya wata comment hatujui kingereza. Mwenye kipara amechekesha leo 😅
Hahaha 🤣🤣🤣 ni kweli hamujui kizungu 😂😂😂
Ni kwel hamjui kingireza
Kamote ww😂😂😂😂😂😂 ety hicho kibuyu umetoa wapi😂😂😂😂😂 nisiwe mnafki maua ynyu hyo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Aloooo nimecheka 😂😂😂😂et kwenye papuch😂😂😂
😂😂😂maungo kweli ,unaharibu tiba😮
From Dubai, nawapenda sana 🥰🤗
Mm mkenya lakini mume ni chekesha na kingereza chenu😂😂😂
Wakumi na moja duh nmelala lakn nko pia mnisuport team doko mm nimuimbaji toka Kenya
Muimbaji ama muimbi
Waimba nini
@@Mr-lovebite254 nimchokora watu
Doko kama umejua kama mm nilikuwa nataka kusema hivyo wakenye hoyeeeee 😂😂😂 😂😂😂
Mie leo nakuja hapa kwaajil ya huyu msanii anajua sana aisee sijui ngoma zake zinapatikana vp
Kazi nzuri sana ongereni Sana
KubabazengeMission failed
Daah bala kweli🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Leo nimewai
I AM KAMOTE FROM DUBAI NAWAKUBALI SANA NDUGU ZANGU.
Kamote wewe ulisema hutawahi nyamaza kabisa co😂haya kibuyu kishatoka kaka 😊tunawalenda Sana huku pande za Kenya
@@MercelineWawudatunawapenda pia family yetu
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Dubai gani😂ya Tanzania ama
@@joelnyaga1985 Tanzania kuna dubai
Wakenya tumetajwa kwa kichwa ududu sikutegemea 😅😅😅🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kibuyu kimetoka kwenye papuchi😂😂😂
From Kenya sijachelewa mnipe zang
Kumbe doko unajuwa amujuwi kingereza 😂😂😂😂😂😂
Wakenya watafanyaje uku 😂😂😂😂😂 Doko Tumehusika tupo rada
Kamote unazingua au utaki dada yako hapone😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mapema2
Nakubali
Doko jamn kwenye papuchi ni nn alafu somen hata kizungu hamjuwi😅😅
Doko ulisahau kama unashot ukasema wakenya watacomment hamjui kingereza 😂😂 am from Kenya 🇰🇪 i love you guys 😂😂
Kweny papuchi😂😂😂😂
Tatizo maungo unakihelehele sana jaman
Jamani nimecheka paka pavu zauma 😂😂😂😂
Wazingu wameingia sasa aya twende nalo😂😂😂
Apoo kwenye papuchi 😂😂😂😂
Amazing 🎉🎉
Kukosa kujua mungu ni baya
Wajua wakenya watacoment hatujui kiengera 😅😅😅😅😅😅 Doko umeuwa Leo
Hamjui
Doko umemjibu kamote vizuri "hakuna dawa ya mapenzi bali kutongoza,maneno mazuri wala sio nguvu au uganga na cha zaidi helaaaaa"😂😂😂😂
Haki hii movie nimeipigia salute Muko juu Tena sana laiti ingekua ni mm ndio natoa majibu ningewapa 100%
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Gen z apa Doko hamjui kizungu 😂😂😂😂😂😂😂😂Mbavu zangu mm zauma
Du jamaa anazidi kuvunja masharti anamdisia mvuvi mwenzake tena
Wa kenya 🇰🇪 wata commente kama wa Tanzania 🇹🇿 awajui kingereza 😂😂😂 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kwani sisi watanzania ni waingereza??
Sio siri hawajui kweli
Hhh😂😂😂😂
Kwani n urongo si n kweli angalia comment ameiandikaje😂😂
😂😂😂😂😂 wakenya tupo ju na English ❤
From KENYA🇰🇪🇰🇪🇰🇪 icho kizungu kikosawa
kwenye papuchi 😢😢😢😢 umepigaje apo bwana doko uwiiiiii
Kazi nzuri kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Much love from Kenya 🇰🇪
From 🇰🇪🇰🇪wenye vipara Huwa hatuchekeshiiii lakini Doko kazivanga jamanii
Haha watanzania achaneni na kizungu kabisaa 😂😂😂 Doko lazima tu comment ..love you guys ..from 🇰🇪 kenya ❤❤
Doko mwamba amefeli 😂😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
doko kingereza achana nayo futa tu sigeret yako😅🤣😂
Huyo mama mfinanga mhh loho.mbaya
Kazi nzuri wenye vipara hatuchekeshi😅
❤😂😂😂WaWajuwa wa Kenya watasema hatujuwi kingereza😂😂 tujuwane wakenya❤
I thought mfinanga has got her mama burrying his toy bby😂😂😂😂
Kikulacho kwa nguo kwel maana bii chaka si kwa ubaya huo 😂😂😂😂alafu kamote na doko nyie washenzi sana etiii kwenye papuchi❤❤👏👏👏👏
Ila kazi nzuri sana mnajitaidi mungu awasimamie kwekweri
What a you speak English
Duuj doko kaua aisee
Much love from the capital city of Africa 🇰🇪🇰🇪 kenya
Waiting for 9 ❤❤❤❤ nawapenda
Iyo nyimbo mimba kichuguu naipataje
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Wah Huyo maungo musimtwae Tena kwenye tiba hafai huyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🇰🇪🇰🇪hatujawai waangusha ngongole ndugu zetu tulisubiri sana❤
Duh! Sio powa hili tamthilia pole sana Mfinanga na Sonia kwa changamoto mnopitia.
😂😂😂dogo baba 😂😂 inglizi taabu kubabazenge😂😂
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu leo nimekuwa wa kwanza❤
From Kenya 🇰🇪
😂😂😂 Uyu Kaka mtu mshenzi sanaa... Yani Kimbele mbele kazi yake kufelisha tu
Yani kamote uezi kufunyamazisha uo mdomo wako 😂😂😂😂
😂
mtu anaweza pea like moja au mbili kweli
Kazi nzuri bro doko Big up sana
Camera HD... Movie thriller 🎉🎉🎉
Duh doko bana ❤❤❤❤❤❤
Kamote cool down 😅😅😅
😂
😂😂😂😂😂 Anasemaje ety ,hicho kidude imekitoa wp jibu ni😂😂😂😂nimekitoa kwa papuchi😅😅😅😅😅😂😂
@@user-tq4nf4tk7l hiyo part nimecheka yangu yote 😂😂😂😂 na reaction yke so funny 🤣😅
Ongera saana kwa kazi doko tf mfinanga naomba msi cheleweshe namba 9 tuna isubiri kwa amu kubwa saana 🇱🇷
Doko nakubali Kazi zako
Natokea Kenya nawapenda sana
Huyu jamaa wa longi kubwa huniua haki 😂😂 mlimtoa wapii
Alafu kizungu nyie hamkijui 😂😂
Sema doko unakawia sana mtu wangu 😮
Doko uyo 🎉
Namkubali xna Doko🎉🎉🎉🎉
Doko am here from Kenya 🇰🇪 18..😂😂
From Kenya .......unapamba sana Doko
Wajua huyu kipara namshuku sana kma anahusika na kutojifungua sonia
doko your creativity is on another level, congratulations
Msicheleweshe sana move mzur ❤
Katika waigizaji bora Doko unaongoza🎉🎉🎉
Wakenya watanzania hawajui kiingereza 😂😂😂
Jamani kazi yenu mzuri sana ila mnacheliweza kutowa 😂😊
Doko nakubali kazi zako
Doko the best 💪🏻🙏
Endeleeni kujianya brand mtatupotezaa move sikuu ngap zimepita bhn
Move pendwa ❤
Bon courage a vous doko 🎉🎉🇨🇩🇨🇩
🎉🎉 good job 👏👏
Kazi nzuri
❤❤❤ leo nime wahi nipeni like hata kumi tu
Mbona mnakawia Sana jam kuachia movie
Mishen is feld baba 😅😅
From Kenya Doko aka kioaraingwe na Mfinanga nawakubaki kinoma yaani❤❤❤❤❤
Macho from 🇿🇦 please msiicheleweshe inayokuja maana sio poa
Kaz nzur
Safi Sana ❤❤
Mganga unaniuwaaa😂😂😂❤❤❤❤❤
Huyo shemegi ya mfinanga🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣amenifanya Nika comment
❤
Mtanzania 🇹🇿 pekee naeeeishi lusaka zambia 🇿🇲 nipeni like zangu leooo😊
Mfinanga wewe hunyamazi tseee😢😢😢😢watangaza kila mahali
Jamani kando na kiingereza mwisho umenimaliza 😂😂😂😂
Wakenya wata comment hatujui kingereza. Mwenye kipara amechekesha leo 😅
Hahaha 🤣🤣🤣 ni kweli hamujui kizungu 😂😂😂
Ni kwel hamjui kingireza
Kamote ww😂😂😂😂😂😂 ety hicho kibuyu umetoa wapi😂😂😂😂😂 nisiwe mnafki maua ynyu hyo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Aloooo nimecheka 😂😂😂😂et kwenye papuch😂😂😂
😂😂😂maungo kweli ,unaharibu tiba😮
From Dubai, nawapenda sana 🥰🤗
Mm mkenya lakini mume ni chekesha na kingereza chenu😂😂😂
Wakumi na moja duh nmelala lakn nko pia mnisuport team doko mm nimuimbaji toka Kenya
Muimbaji ama muimbi
Waimba nini
@@Mr-lovebite254 nimchokora watu
Doko kama umejua kama mm nilikuwa nataka kusema hivyo wakenye hoyeeeee 😂😂😂 😂😂😂
Mie leo nakuja hapa kwaajil ya huyu msanii anajua sana aisee sijui ngoma zake zinapatikana vp
Kazi nzuri sana ongereni Sana
Kubabazenge
Mission failed
Daah bala kweli🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Leo nimewai
I AM KAMOTE FROM DUBAI NAWAKUBALI SANA NDUGU ZANGU.
Kamote wewe ulisema hutawahi nyamaza kabisa co😂haya kibuyu kishatoka kaka 😊tunawalenda Sana huku pande za Kenya
@@MercelineWawudatunawapenda pia family yetu
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Dubai gani😂ya Tanzania ama
@@joelnyaga1985 Tanzania kuna dubai
Wakenya tumetajwa kwa kichwa ududu sikutegemea 😅😅😅🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kibuyu kimetoka kwenye papuchi😂😂😂
From Kenya sijachelewa mnipe zang
Kumbe doko unajuwa amujuwi kingereza 😂😂😂😂😂😂
Wakenya watafanyaje uku 😂😂😂😂😂 Doko Tumehusika tupo rada
Kamote unazingua au utaki dada yako hapone😂😂
😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mapema2
Nakubali
Doko jamn kwenye papuchi ni nn alafu somen hata kizungu hamjuwi😅😅
😂
Doko ulisahau kama unashot ukasema wakenya watacomment hamjui kingereza 😂😂 am from Kenya 🇰🇪 i love you guys 😂😂
Kweny papuchi😂😂😂😂
Tatizo maungo unakihelehele sana jaman
Jamani nimecheka paka pavu zauma 😂😂😂😂
Wazingu wameingia sasa aya twende nalo😂😂😂
Apoo kwenye papuchi 😂😂😂😂
Amazing 🎉🎉
Kukosa kujua mungu ni baya
Wajua wakenya watacoment hatujui kiengera 😅😅😅😅😅😅 Doko umeuwa Leo
Hamjui
Doko umemjibu kamote vizuri "hakuna dawa ya mapenzi bali kutongoza,maneno mazuri wala sio nguvu au uganga na cha zaidi helaaaaa"😂😂😂😂