Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Hongera sanaaa Fr.kwa uinjilishaji uliotukuka.Mungu akubariki saana tu
Mpaka raha nimefurahi sana moyoni,,Asante sana Baba
Hongera sana Fr Makoria kwa itume uliotukuka. 🙏
Congratulations padre for your great message message
Asante padri kwa Hilo funzo ya aekwensia
Asante Sana mapadre kwa uinjilishaji huu, sikuwa najua sakwensia mbili hizi za virgin Mary na hii ya eucharist us.Napenda kutambua uwepo wa for Aristadeus, from Himo parish,, God bless you all guys, proud myself to be RC
Hongera Sana padr kwa wimbo mzuri wa kulitukuza fumbo la Ekaristi Takatifu.Mungu azidi kukubariki ktk yote.🙏🙏
Hongera sana Fr Evarist Makoria. Utume kwa watoto ni karama yako, tangia nikufahamu ndivyo nionavyo.
Ongera sana 😍😍
Hongera sana baba kwa kazi nzuri, ubarikiwe
Padri Hongera sana kwa Utume na Majitoleo yako kwa watoto. Nawatakieni Sherehe Njema ya Mwili na Damu ya Yesu
Naipenda mno ajabu
Hongera sana Padre MAKORIA
Hakika Huu uinjilishaji uliotukuka.Hongeraaaa sana.Mungu Aendelee kutukuzwa katika hili
Nyimbo nzuri sana, Sauti nzuri sana Hongera Sana Baba Padre kwa Uinjilishaji. Mwenyezi Mungu Akubariki
Thanks Fr
Haleluya tutukuze Ekaristi ❤❤❤❤ hongera sana Fr kwa kuinjilisha juu ya wimbo huu mzuri wa Sekwensia ya Ekaristi 👏👏👏
👏👏💯
Hongera Padri na watoto warembo wa Yesu.
Asanteni sana kwa sekwenzia nzuri Mungu awabariki
Haleluya tutukuze Ekaristi
❤❤❤
Hongera sana Padre kwa kazi nzuri sana
👏🏿👏🏿🥰❤️
waoohhhh asante kwa mafundisho mataamu. Barikiwa saana Padre.
Hadi raha baba Mungu akubariki
Naomba tufudishwe huu wimbo kwani ni mzuri sana!!!
Safi Sana hongera Sana Baba Padre
Thanks fr
Safi sana. Hongera baba Pd. na watoto
Hongera sana baba namwona na padri Aristidi mungu awape nguvu na amani kwenye utume wenu baba
Amina bb leo nimeijua hii
Asante sanaaa Kwa somo Fr
Nzurii sanaaaaa hongeraaaa
Ogera sana baba Padre
Tunaomba basi sekwensia ya kusimama msalaba
Safi sana
🙏🙏🙏🙏👏👏👏
Sekwensia ni nini
Hongeren kwa wimbo mzur
Hongera sanaaa Fr.kwa uinjilishaji uliotukuka.Mungu akubariki saana tu
Mpaka raha nimefurahi sana moyoni,,Asante sana Baba
Hongera sana Fr Makoria kwa itume uliotukuka. 🙏
Congratulations padre for your great message message
Asante padri kwa Hilo funzo ya aekwensia
Asante Sana mapadre kwa uinjilishaji huu, sikuwa najua sakwensia mbili hizi za virgin Mary na hii ya eucharist us.
Napenda kutambua uwepo wa for Aristadeus, from Himo parish,, God bless you all guys, proud myself to be RC
Hongera Sana padr kwa wimbo mzuri wa kulitukuza fumbo la Ekaristi Takatifu.Mungu azidi kukubariki ktk yote.🙏🙏
Hongera sana Fr Evarist Makoria. Utume kwa watoto ni karama yako, tangia nikufahamu ndivyo nionavyo.
Ongera sana 😍😍
Hongera sana baba kwa kazi nzuri, ubarikiwe
Padri Hongera sana kwa Utume na Majitoleo yako kwa watoto. Nawatakieni Sherehe Njema ya Mwili na Damu ya Yesu
Naipenda mno ajabu
Hongera sana Padre MAKORIA
Hakika Huu uinjilishaji uliotukuka.Hongeraaaa sana.Mungu Aendelee kutukuzwa katika hili
Nyimbo nzuri sana, Sauti nzuri sana Hongera Sana Baba Padre kwa Uinjilishaji. Mwenyezi Mungu Akubariki
Thanks Fr
Haleluya tutukuze Ekaristi ❤❤❤❤ hongera sana Fr kwa kuinjilisha juu ya wimbo huu mzuri wa Sekwensia ya Ekaristi 👏👏👏
👏👏💯
Hongera Padri na watoto warembo wa Yesu.
Asanteni sana kwa sekwenzia nzuri Mungu awabariki
Haleluya tutukuze Ekaristi
❤❤❤
Hongera sana Padre kwa kazi nzuri sana
👏🏿👏🏿🥰❤️
waoohhhh asante kwa mafundisho mataamu. Barikiwa saana Padre.
Hadi raha baba Mungu akubariki
Naomba tufudishwe huu wimbo kwani ni mzuri sana!!!
Safi Sana hongera Sana Baba Padre
Thanks fr
Safi sana. Hongera baba Pd. na watoto
Hongera sana baba namwona na padri Aristidi mungu awape nguvu na amani kwenye utume wenu baba
Amina bb leo nimeijua hii
Asante sanaaa Kwa somo Fr
Nzurii sanaaaaa hongeraaaa
Ogera sana baba Padre
Tunaomba basi sekwensia ya kusimama msalaba
Safi sana
🙏🙏🙏🙏👏👏👏
Sekwensia ni nini
Hongeren kwa wimbo mzur