Muhelelwe manga 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉barikiwa wapendwa afrika jamanii kushirikiana kwa kila njia ni vema sote tu rangi moja kudumisha uwafrika wetu ni furaha kwa Mungu
Management yenu Ina Feli sana binafsi nawaandikia Sijaona yeyote yule akinijibu. Kura zinapigwa kwa njia 2 moja wapo ni mtandaoni Via link na nyingine ni kwa njia ya sms kwa waliopo Tanzania. Ndugu zetu wa Tanzania wangehamasishwa kutuma sms ya zile namba zilizo wekwa na wengine mtandaoni Ili tupate Ushindi kwa kishindo. Ila wote mmejibase kwa njia ya mtandaoni. Sadi baba mwenyewe Sijaona akifanya lolote lolote kama uhamasishaji muda ni mchache sana ulio baki. Nina mengi kama nitapewa nafasi. Mwandja from Virginia USA.
Link ya kupiga kura ndo iyo apo chini dada yetu🙏🏻 Bonyeza apo utafika mara moja seemu ya kuchaguwa 👇🏻👇🏻👇🏻 tanzaniamusicawards.info/#/dash?category=BST300
Sote kwa pamoja tutaweza ndugu zangu 🙏🏻
Tup pamoj nanyi lazm tunzo hiyo ifike nyumban 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mmbembe ni mmoja tu brother sadi BABA lazima achukuwe
Courage kwa sadi baba...
Nawaona mbali sana Vijana wakazi za mahana, kwapa1 Tutaweza 💪💪
Kitoko,Hasa Walioko Huko MAULAYA Wajitokeze❤❤❤❤
Tupo nayeo bega kwa bega Ku support msani wetu ebembe to the world ✌️
Ongea kibembe 😂😂😂
Nabo voté alè
🎉🎉🎉
Tupambanie tuzo iyo jamani
Sadi Baba on the Top
Muhelelwe manga 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉barikiwa wapendwa afrika jamanii kushirikiana kwa kila njia ni vema sote tu rangi moja kudumisha uwafrika wetu ni furaha kwa Mungu
Sote kwa pamoja tutaweza 🙏🏻
Nice
Kazi iko. Vijana mnafanya kazi nzuri sana na mtazidi kwenda mbali sana.
Wetu mwana iko kwenye chat toka day 1
Sadi Baba, the number moja. Wetu mwana by Sadi Baba
Nime mchangua Sadi baba
Courage kwa wote wanafanya Vinzuri kwa sasa wao tu 👌🫶
Management yenu Ina Feli sana binafsi nawaandikia Sijaona yeyote yule akinijibu. Kura zinapigwa kwa njia 2 moja wapo ni mtandaoni Via link na nyingine ni kwa njia ya sms kwa waliopo Tanzania.
Ndugu zetu wa Tanzania wangehamasishwa kutuma sms ya zile namba zilizo wekwa na wengine mtandaoni Ili tupate Ushindi kwa kishindo.
Ila wote mmejibase kwa njia ya mtandaoni.
Sadi baba mwenyewe Sijaona akifanya lolote lolote kama uhamasishaji muda ni mchache sana ulio baki.
Nina mengi kama nitapewa nafasi.
Mwandja from Virginia USA.
Na tusaidiyane kusambaza hii kwa wenzetu wangine
Tembeya na upepo Sadi baba on top tuchaguwe wote
Tuko pamoja
Pamoja sana
Nice job
🥰🥰🥰❤❤
❤❤❤❤❤
Jambo naomba muandike hiyo jina ambayo munasema sababu ni mesha tafuta basata hapa sijaona iyo Bernhard anasema.
Link ya kupiga kura ndo iyo apo chini dada yetu🙏🏻
Bonyeza apo utafika mara moja seemu ya kuchaguwa
👇🏻👇🏻👇🏻
tanzaniamusicawards.info/#/dash?category=BST300
Lazima
❤❤❤❤
Tuna pata vp link
Link iko wapi Mimi sijaona plz uwezi vuma kama auko mubembe
Link iyo ndugu
Bonyeza apo tu👇🏻👇🏻👇🏻
tanzaniamusicawards.info/#/dash?category=BST300
Mngrlitowa link hapa
Jamani tu share link sasa ya Sadi Baba hili tujuwe ku vote
Link ndo iyo apo ndugu 👇🏻
tanzaniamusicawards.info/#/dash?category=BST300
Túye babondo, tuko pamoja na nyiye bega kwa bega
Pmj