Ju ni zaravoo....my comment is...mungu yuko ndani yako ata nyimbo zako zmejaa upako..na umejawa na neno..naeshimu kilicho ndani yako sana..upwakwa mafuta yani...barkiwa broo from Kenya 🇰🇪. ..leteni likes za zaravoo plus Paul clement
I'm praying God to give me grace tukuje tumtukuze Mungu Kwa kuimba pamoja na Zoravo na Kina Paul Clement,Joel lwaga,kavishe,Calvin john,josh cleop na wengine wengi Kwa kundi lao wananibariki sana😊😊
Unapokuwa mtumishi wa Mungu,muonekano wako Ni muhimu Sana.Unamfundisha Nini mwimbaji mchanga,je aweke nywele Kama zako.Acheni kuingiza udunia Kanisani,kwa kigezo,eti mtawaleta watu wa duniani Kanisani.Acha hizo Haruni,acha kabisa.Nasikitika Pastor Carlos hajaliona
What a blessing song🙌🏾🙌🏾🙌🏾 ooh my God, upo kila mahali🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Ju ni zaravoo....my comment is...mungu yuko ndani yako ata nyimbo zako zmejaa upako..na umejawa na neno..naeshimu kilicho ndani yako sana..upwakwa mafuta yani...barkiwa broo from Kenya 🇰🇪. ..leteni likes za zaravoo plus Paul clement
I'm praying God to give me grace tukuje tumtukuze Mungu Kwa kuimba pamoja na Zoravo na Kina Paul Clement,Joel lwaga,kavishe,Calvin john,josh cleop na wengine wengi Kwa kundi lao wananibariki sana😊😊
Unapokuwa mtumishi wa Mungu,muonekano wako Ni muhimu Sana.Unamfundisha Nini mwimbaji mchanga,je aweke nywele Kama zako.Acheni kuingiza udunia Kanisani,kwa kigezo,eti mtawaleta watu wa duniani Kanisani.Acha hizo Haruni,acha kabisa.Nasikitika Pastor Carlos hajaliona
Aibu sana kijana huna tofauti na waimba miziki za Dunia usirufie minyole yako ya Pinga kristo
Najivuniya wewe baba mungu wako akubebe juuu upo baraka kwetu Congo Drc
Upooooo Kila mahaliii Munguuuu!!!!!!!🎉🎉🎉🎉🎉
Simply amazing.May this song minister to many souls
Duh!! What an amazing piece. Wanamziki wako vyema kabisa 😀 Harmonies pia 💯
I ❤❤zoravo
Bendera chuma mlingoti cjhuma umetisha mkuu
Was waiting for this 🇰🇪
Apo kila mahali
A blessing man of GOD 🙌🙌🙌
AMEN
That's great Brother, God bless You!! Amazing lyrics+Perfect music everything on point.
Aseee noma noma
Hauonekani lakini Matendo yako kila mahali 🙏🏾
Duuh, wale wanaosema wameokoka wamevutwa na dunia. Hii haina Mungu hata tone hata kama watu watafurahia.
Aisee we jamaa kwa sauti uko the best in Africa nimekuelewa mtumishi Mungu akuongeze zaidi