Hello mm ni mpya nauliza je nikiwa nahitaj kutumia hii dawa lkn nimemaliza mzunguko kama week 2 zilizopita je naweza kuanz kuutumia hii dawa pls naomba majibu dada
Aky mm nko Saudi mahali kwenye niko uyu mama ako na uo ugonjwa tunatumia choo moja kma tuko down stairs wallai iliniaffect na sikusema aky najuta sai vle nunu angu iko imearibika hadi nikishuka sidhan kma ntaenda kwenye ndoa aky.😢😢😢😢😢😢😢😢
Nilitumia sikunmbili TU hii kitu ikaleta matokeo nimepona Hadi vile nilikuwa sijuibkm ni Ugonjwa... Sasahivi sivimbibtena maziwa nikikaribia period Yani nilikuwa navimba week 2 kabla ya period Sahi navimba Leo kesho hiyo😊🙌🙏
asante sana dada nimetumia hii njia hatimae nimama k👏👏
Asante sana kwa somo zuri mamie
Shukran Kipenzi
Asante Kwa SoMo madam ivi ni kweri karafuu inaweza kuua sumu ya kijiti na ukapata mimba
Somo zuri sana Masha'Allah 🔥
Assalam alaykum Asante San kwa somo
Asante waja nijaribu
Asantee
Thanks
Shukran sana
Asante dada
Dada ubarikiwe sana
Somo zuri,nauliza hiyo iliobaki ukitaka kuinywa unaipasha moto?
Good
Hello mm ni mpya nauliza je nikiwa nahitaj kutumia hii dawa lkn nimemaliza mzunguko kama week 2 zilizopita je naweza kuanz kuutumia hii dawa pls naomba majibu dada
Asante
Assalam aleikum habbity,,vp nimeona video mpya jana kwa titok mbona siioni ??ya majani ya mpera
samhn, mjamzito anaweza kutumia?
Asante sana vp mjamzito anaweza kutumia
Mbona ajibu
SoMo nzuri
Samahn dada ang wanasema kama ukitibia ne vzr ukabadilisha nguo za ndan ukanunua mpya au ata ukiwa ynazinyoosha so mbaya
Pid sugu je inatibu
asante ngoja nianze leo
Hello,vip ukiwa mjamzito unaweza tumiya hii
Aky mm nko Saudi mahali kwenye niko uyu mama ako na uo ugonjwa tunatumia choo moja kma tuko down stairs wallai iliniaffect na sikusema aky najuta sai vle nunu angu iko imearibika hadi nikishuka sidhan kma ntaenda kwenye ndoa aky.😢😢😢😢😢😢😢😢
Ukitaka kunywa jion lazima uipashe tena ili iwe vuguvugu
Jaman mm ninatumia ila bado ninaumwa sana chini ya kitovi
Asante dada na je hiyokitu inaambikiza Kwa mwanaume au
Mim nikitumia karafuu na asali mbichi tumbo linauma
Me nawashwa sana
Dawa ya tumbo mama nisaidie
Somo zuri
Asant san kwasomozuri na ushauri mzuri haswkwamwanamke usafi
Shukran my bestie
Nimekuelewa
Huweki asali
Vipi kwa mjamzito??? Haina tatizo
Hi karafuu na saumu unaweza kutumia kama mjamzito
Samahani mm naomba kuliza mtu awezi weka kwa fridge
Je waweza kumpa mtoto mdogo wa mwaka 1 ?
Mamy mimi nisumbuliwa nakuwashwa sana ukeni sina raha
Hellow mammy nimeanza kutumia hizo bidhaa jana lkn nakunywa maji mingi sana na siko joi sana ni kwanin naomba unisaidie
Nilitumia sikunmbili TU hii kitu ikaleta matokeo nimepona Hadi vile nilikuwa sijuibkm ni Ugonjwa... Sasahivi sivimbibtena maziwa nikikaribia period Yani nilikuwa navimba week 2 kabla ya period Sahi navimba Leo kesho hiyo😊🙌🙏
Mweee hata Mimi hii Hali inanikuta
Wow Namimi napitiya changamoto izo zakuvimba maziwa wakati nikitaka kufika kwa period I hope iyi itanisahidia kwa uwezo wa mungu .
.shuklan madam
Shukurani
Kama hauna karafuu
Kwa mjamzto haina ttzo
Uti sugu ni nini plz
Frequent infection in your virgina
Kitungu kiwe cha kizungu tu au naweza kutumia chochote
Sasa km mtu yuko mimba je ana ruhusiwa kutumia?
Unatumia mda gani asubuhi au jioni
Asalm Alaykum kpenz samahani mbn mm nimetumiy ila ulitoka uchafu mwengi sana nilkua na tatizo la T,ti ikiwa ivo haina shida maana niliogopa 😢😢😢
Hapana we tumia mpaka utakapo kaa Sawa bora hutumii family planning
Daaah ngoja nianze tuu kesho maana nna hali mbaya
Mambo ,, naomba kuuliza iyo dawa ilikusaidia??
Mambo ,, naomba kuuliza iyo dawa ilikusaidia??
@@bahatielias522 mambo dada nilitaka kuhuliza kama iyo dawa imekusahidia
Jaman karafuu ni motooo nmetumia sku tatu.nilikuwa sijaona period miez kumi nilivokunywa sku 3 nmeanza period jaman hii kitu kibokoooo
Sema kweli my dear?😢😢😢😢😢😢
Mimi ishanivushia siku Sasa jamn au ndió inapangilia upya? Maana dahhh 😢
Naweza tumia hata nikiwa niko piriod
Mashallah mashallah mashallah
Daa as lm alekum mm nilikuwa nauliza naeza pta dwa Figo km imearibika naambiwa lazima nifanyiwe oparesheni naomba🙏
❤❤❤❤
Mjamzito inamfaa
Nawatoto wanaeez tumia wachanga
Mamy kwasikugap
3
Asante mupenzi,je na mwanaume anaweza tumiya ?
Dada ukiwa na vitunguu swaumi vya unga unaweza kutumia au
Asante sana mamy kwamasomo yako kwakweri ira ninaombi dutafutiye dawa asili yagukuza makariyo yani mauno pls mimi naitaji
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ridhika na ulivoumbwa kuna wagonjwa na wanashukuru
😂😂😂😂😂😂
Asante dada tupo pamoja
Dawa ya kwapa lpze nakutoa weusi
Shabu
Asant San
Sasa nifanya nini nimekua mkavusana kiasi ambacho nakosaraha
jitaidi kula bamia
Ulisema Uko wapi
Nrb
Dada naomba dawa ya uke kutoka maji sana ,uke kuregea baada yankujifunguwa na uke kutoka upepo naomba dada angu
@@KhadijaKhadija-vs4ti my dia fanya sibath kwa wiki mara tatu
Uke kutoka upepo baada ya kujifungua nitafute nikuelekeze
Hello 👋 sister
Hello 😊
Nasuliza hio Dawa watumia asubuhi au jioni
Naweza nikachanganya na asali
Yes
Good