Yani kma vile imetolewa na beka na kibz jamani hii nyimbo mahasidi kma hamtakoma subirini jambo Zito liko njiani lanja 😂😂😂 jililie mama kibz nyimbo yako hio❤❤❤💃
After be back from Qatar inshaAllah nitakuita blaza jay rasta hpa ukunda a k.a Uk unipgie specialist (MAMA LA MAMA 😂😂😂😂)..I SAY ONE LOVE BRO BRAVO BRAVO❤❤
Wakisema wako na Bango yao na cc wana 002 tuko na Yamoto yetu kama ww ni mwana Kwale nipe likes
Tuko hapa mpenzi mambo ni🔥🔥🔥💃💃🥰🥰👌👌👌kwale hoyeeee💃❤👍
Umeona utamu kama wote❤🥰🥰
❤❤❤❤Tena moto wa kuotea mbali 👌
Kwale tamu bhanaaaaaa asikuambie mtu....
Wajuwa chilibasi sound wewe
wachana na wadingo wako juuu jey wetu mungu akuee mia mia moja
Very soon kwa wedding yngu inshaallah nikihome from Qatar day and night.
😂😂❤
Nakuburidika nikiwa ndani y Qatar yamoto haipoi big up jey rasta
Baba hapa umewachamba maadui wa ndoa .... salute daddy
Niko hapa nimeletwa na BEKA RUGE😂😂❤❤
Timing umeifanya kweli❤❤❤1st tuna shughuliiiii this one will play on repeat 💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼
Hili goma kali sana
Yani kma vile imetolewa na beka na kibz jamani hii nyimbo mahasidi kma hamtakoma subirini jambo Zito liko njiani lanja 😂😂😂 jililie mama kibz nyimbo yako hio❤❤❤💃
Kabsa😂😂😂
Naenjoy ndani ya saud walisema atufiki mbali na hapa ni wap jaman nyimbi ni km umenitungia mm na ndugu zangu 🌹🌹🌹🌹pamoja sana j rasta
Hapa ni wapi. Ndani ya Australia
002 mpango mzima
Shabiki mgeni jimama la ritamu uko juu sikwamchezo nimependa sana ❤❤
NOMA SANA
Hatareeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ 0:34
Hapa Ni wapii jaman....mi Nae fi Duniya Wal akhiraa❤❤
Big up bro hapewe maua yake 👊🎉
Mbwa koko wakalale hongera bro❤
Mitendeni twafura vichwa na yamooootoooo🎉🎉🌹🌹🌹🌹🌹🌹
nakubali jey kumtaja Gaza kutoka apo waa nisalimie sana
Huwa anapiga na pesa ngapi uyu j rasta kama Kuna mtu anajua anijibu plz
Umesema Jay bana hapo sawa
Mama la mama weweee💪
Hatariiii 💃💃💃no ku comment munifollow
Mashaallah bro umenimaliza
Tsolatsola yenu iyo😂😂😂😂
Umegonga ndipo jey rasta
Ijust cant wait for my weeding inshallah nikirud from oman hapo 2026aaaaah haka kawimbo nyie nikatam
❤❤❤❤❤❤❤
Kama na wewe umeletwa na BEKA ruge Acha like hapa🎉🎉🎉🎉
Tuko juu ndani Saudia Arabia 😅😅😅
Kama jina mwariga da watoka muhaka
Twainjoi jey rasta
AM HERE COZ OF BEKA NA KIBZ
Ngoma zote za Bustani topic ni Mapenzi, badilisheni ladha tupunguze usherati pia, Beats na sauti iko sawa....tatizo ni hapo kwa message.
After be back from Qatar inshaAllah nitakuita blaza jay rasta hpa ukunda a k.a Uk unipgie specialist (MAMA LA MAMA 😂😂😂😂)..I SAY ONE LOVE BRO BRAVO BRAVO❤❤
Tupambana ba hali zetu uku🎉😂
Noma sna
❤🎉🔥🤗👌💃🏾 namumunya tu utamu wa Ngoma na strong msg yake.💖
Hongera san watu wa 002🎉🎉
Bado ssi twazidi kumbembea 😂😂😂😂 weeweee hapa ni wapi nakubli kaka jay nyimbo tamu jamaniii 🎉❤❤❤😂
Tuko juu sana watu wa 002
Hii kali sana nakukubali upo juu 😂
Hatari sana tell them
💯👌Baba yao jay rasta ❤
Nakubali jay hakuna mwengine zaidi yako wanaiga😊😊😊😊
Moja safi bro
Hoyeeeeee🎉
Fanya mambo ❤❤
Mambo ya pwani
Najaribu kuziangalia Kwa tubid haziji Bana
I🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Woyooooh apoooh ❤❤❤❤❤❤❤❤
Oyoooooo💃💃🥰
Umchetu waniiiii!!!😂😂😂
🔥🔥🔥🔥
Hadi raha naburudika nikiwa dubai
Nikubaya
Anikatira Andasi shenzi sana anache a viphanga, wira ka niuno pho Magutu mara Dimuuuh! Viphanga Rikodi ichikatwa kanhi! kanhi! Haha 😂😂😂😂
😂
😂😂😂😂
🎉🎉🎉❤❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Nimengoja hii miezi miwili😅😅😅😅
😂😂😂😂🤸♀️🤸♀️
Helllooo. ..!..hapa ni wapi? 🤸🤸🤸
Kona ya musa😂😂😂
Ndani ya majoreni😂😂
Asantenii..Asallam Alykum🤝🤣🤣🤣
🤣😂🤣
Mama la mama weweee💪