Makosa kumzuia kuolewa uenda mwanaume alikua yuampenda yeye kikweli…huyo mwenye kutiwa mimba alitakiwa ajue nafasi yake mapema tu,rafiki mtu nae alikua yuamuonea Shebe kijicho,huyo shogaake saumu alopiga simu alimuonea saumu wivu kuolewa…kuna makubwa ya kujifunza hapo.Wanawake tujifunze kuwaachia wanaume majukumu yao ndipo utajua ukweli wao .Asante movie nzuri
Mr mayuga Fred hongeraaa sanaaa bro mi kassim from magutu nkiwa Qatar I say naenjoy sanaaa and big up to our ex councillor Mr shomali. I say umetishaaaaaaaaaaaaa mheshimiwaaa salute sanaaaaaaaaaa
Machoz yamenitoka hapo kwa Saum alivyokaribishwa nyumban na mama Nataman na mm angekua hai wangu nkishuka akanikumbatia ALLAH awarehem wazaz wetu waliotangulia AMIIN
Waooh kazi safi sana my country people
Naangalia nikiwa gulf
Wapi likes za team hammam
❤❤❤
❤❤❤❤❤
Hapo magaidi wakukutana hatar san😂
Mbona hamna sauti nani mgonjwa
Mashagala Tujuaneni Jameni Form Qatar 🇶🇦Ongereni Sanaa Kwa Kazi Neyu Mungu Awazidishie Apo Na Pengine Msonge Mbele Insha Allah ❤❤❤❤❤❤
Nyoanaweza si ushindwedze mkaweza..pia Ina mafunzo mno..Love 💕 kayaa💯✍️🔥
En am watching from saudi arabia 😂😂😂😂😂 team shaghala nimeipendaaaa❤❤❤❤❤
Makosa kumzuia kuolewa uenda mwanaume alikua yuampenda yeye kikweli…huyo mwenye kutiwa mimba alitakiwa ajue nafasi yake mapema tu,rafiki mtu nae alikua yuamuonea Shebe kijicho,huyo shogaake saumu alopiga simu alimuonea saumu wivu kuolewa…kuna makubwa ya kujifunza hapo.Wanawake tujifunze kuwaachia wanaume majukumu yao ndipo utajua ukweli wao .Asante movie nzuri
Nlidhani ni bongo movie kumbe ni kenya yetu wah hingereni proud to be a kenyan father land🇰🇪
😂😂😂 ata mimi nilidhani ni bongo daah sikutarajia
Waaaah very nice nimeipenda
Mr mayuga Fred hongeraaa sanaaa bro mi kassim from magutu nkiwa Qatar I say naenjoy sanaaa and big up to our ex councillor Mr shomali. I say umetishaaaaaaaaaaaaa mheshimiwaaa salute sanaaaaaaaaaa
Mambo
😂😂😂😂😂😂😂 dada zangu wa gulf I love youuuuuuuue😂❤❤
Hahaha nmependa hiyo arabuni 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 umependea nn
Mashaa Allah kazi nzuri sana, nawapenda nyote kwa ajl y allah
Mimi ni 🇹🇿 lakini nimependa sana inafundisha kwa kweli
Kazi nzuri sana hii nafurahia kuona watu wa nyumbani wakijitahidi kiasi hiki🤝🥰❤
Mashaallah movie nzuri sana nimeipenda account ya kwale iko juu alhamdulillah ❤️❤️❤️
Ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote ❤️❤️❤️❤️❤️🤣🤣🤣🤣 ongereni sana kwa mafunzo mema
Am watching from saudia congratulations
Thanks for watching
Hahahahah ati tonge la mwisho Hilo baba haki Asante sana Niko huku nafurahi haki
Hii ni funzio kwa team strong....mashallah kazi nzuri watu wetsuu❤❤❤
Big up watu wangu am watching from Saudi sebe jamani shida zote zako
Mashallah movie nzuri sana, hongereni wahusika muko vizuri.
Mashalla inamafunzo tumejifunza mengi hasa sisi kina dada ambao tuko uku
MashaAllah 😘😘Allah hawazidishie mufike mbali movie nzur
Congratulation big up
kazi safiiii 002 to the world
Maa shaa Allah kazi nzuri
Waaah hii movie noma 🎥ongera kwa maactorz nawatch nikiwa Dubai🇦🇪
Mashallah kazi nzur sanaaa😁😁😁
Mashaallah movie nzuri sana mumeweza kinoma👏👏👏👏👏❤️
Hongera zenu mmeweza na mtaweza zaidi in shaa Allah👏👏👏🤝
Hongereni Sana filamu nzuri kutoka kwale ina mafumbo
Asante sana
Mashaallah wallah nimependa 🎉🎉
Mafunzo tele kwa sisi akina dada Mashaalah
Mashallah kazi nzuri shaghala
Mashallah kazi nzuri sana naiangalia nikiwa saudia rabia 😊😊😊002 more fire 🔥
Big up jamaa congratulations 🇨🇭🇨🇭🇰🇪🇰🇪
Nimeona mskiti wa kiungoni watu wa Zaire wamebeba viti waenda mpirani yani kumbe hii movie imeactiwa home kabisa am proud
Yes ya nyumbani
Mmetoa mafunzo kwa weng big up😍😍😍
Leo naona mamboz zetu za gulf wow kazi nzuri🤣🤣🤣🤣🤣
Congratulations 🎉 mambo mbayaaaa 😅😅😅👌👌👌👌 mko chonjoo sana
I say mmeweza ndugu congratulations to Mr Fred am kassim from magutu kona ya msa area ila nawapongeza sanaaaaa nikiwa Qatar....
Congratulation, kazi nzuri🤝🤝🤝
InshaAllah tutafikia malengo..kazi swaaaafi🙏 #jimboonline #eightyandeight #mayugacomedy
Wadigo tumejitaidi kazi nzur sana..tatizo lugha🤣🤣🤣kakaaetu kidogo tu aseme umetuma na ya kutuluzira🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
@@assfzainab912 tulia hivyohivyo kama moja....mmi mshar wacha niongeeeeee
@@assfzainab912 kabsaa
😂😂
Made in home 💞💞watu kwale county oyooooo 😂😂😂😂mkaenda atu akaya digo
Nakuamba wee mwabungo chiuzini tse
Inasiradze phaali phamtswano🤣 congratulations 👏👏👏 guys tamuuu sana
Mashallah iko poa sana..watching from Burkinafaso
MashaAllah Bujra Allah akuongoze kwa kazi yako
Wanawake jameniiii fanyenikazi mtatumiwasana namwanaume njoni muoshe vyombo warabuni 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Eight and eight production bila kumsahau Hassan kaingu as a camera man na producer mmeweza sana na watch nikiwa saudia kazi nzuri broo big up
Best Movie in Kwale County 🔥🔥🔥
Ushasema kaka
Kazi nzuri sana 🤝♥️
Wow mashallah mashallah mashallah mmeweza watu wangu mungu awatangulie inshaallah mfike mbali
Mashaallah, nzuri sanaa
😂😂😂😂waaaah mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Naipenda sn tena sn
Good stuff content pia safi keep it up guys
Mashallah tabarakallah…kazi nzur sna..nko vzr sna congratulations… shuqran jazzilah khery funzo zuri sna..mnawez nyote…Mpk mafish nkupa salute n somali
Bujura Nataka uyu mapenzi mwambie nko hapa madina
Shukran sana ndugizangu
JIMBO MEDIA |Kazi kubwa, kisha nzuri..kongole ndugu zanguni, ‘Wa min shaarin HAASIDHI’IN idha’ HASSAD..’🙏
#Sinema_itaambe🎞️
Mashallah babaake mwinyi nakuona 🥰🥰🥰🥰
Kazi safi jirani mayuga❤️❤️🔥🔥🔥 salimie watu wa konamusa hapo ukunda
Sijachelewa saaana good job 😍😍
Mashallah Baba hii nmependa! ❤️👏👏👏✔️ Congratulations
Mumeuwa team strong kujeni huku
Mashallhhh muvi nzuri nimependa ushauri wa mayayuga
Wow nimefurahia ak
Kazi nzuri
Dzipicha..dzipichaaa...!!! waah bonge la movie Baba Congratulations! 🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏✔️
Asante baba
Imenifunza kitu hii hongera sana
Mashallah kaz safi sana ela sebe siku zengine usifikirie kumsaliti Bijuma 🤣🤣🤣🙏
Movie Kali sana🌹hongera beb bujra
Asante 🥰🥰🥰
Kazinzury wakwale wenzangu naaminia broo bujra
Hahahaha mashallah mashallah movie nzuri sanaaaaaaa nmeipendaa
Ila mwayuga🤣🤣mnafiki kinomaaaa😃😃
Ma Sha Allah 🥰🥰🥰🥰
Big Up to mzee shomali he is a real actor, na part ya mzazi yamfaa
Kazi safi
Hhahahahah sebe jomba yuwakuambia upunguze tonge hahahahahahahah
Smart movie Kenya inawenza nangalia nkiwac Saudi .wanikumbusha nyumbani
MashaAllh jmaa wa tiktok...nimemuona
Congra mchiyo yienda nzuri tsona ndzuri sana mungu aibariki
MashaAllah kazi nzuri ❤❤ . ndowa ikashinda😂😂😂
Sebe matonge hayo😊 watching from LEBANON
Kazi safi 🥳🥳🥳🥳🥳Allahu Barik😊💕
Dah kumbe munaweza story ipo sawa
Machoz yamenitoka hapo kwa Saum alivyokaribishwa nyumban na mama
Nataman na mm angekua hai wangu nkishuka akanikumbatia
ALLAH awarehem wazaz wetu waliotangulia
AMIIN
Amiiiin thumma Amiiiin, pole ni mipango ya Mungu.
amin
Mashaallahu mmeweza
Hahaha jamani hiyo niukweli wajiposa wenyewe Waite tusha 🤣🤣
Mmmh nayo c maisha ya xax vynye watu watfta pesa kwa shda her nbak kwet nsiolew🤔🤔
Movie iko sawa.
Congrats guys, Mayuga na Bujra nawakubali sana. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kidigo kitamu sana ety sembe anadzina mwenga avi ncibakuli hHHahaha
Kaya mwabungo kuraaa❤❤bujra wenhu yuyaaa❤
Bujra n mwasalaba.pole polen msibishe chidigo🤣🤣mnke dub
Mshaallah.lkn mbn mumeimaliz pazuri hivi?twaomba muendelezo🥰🥰🥰
In-Sha-Allah tutawajuza
Team gulf msijifanye hamjaona hapa😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Safi sana move mubasharah
Jumbo media mambo ni mm moto huku ndio tunamalizia stress za mwarabu❤
kali ya mwaka
I enjoy alot in this movie🔥🔥🔥God bless you all🙏🥰
Be blessed too brother
Uwezo wa hali ya juu🔥🔥🔥002 is proud of you guys big up 🙌
Asante sana home boy
Vp