KUKURU KAKARA MASWALI NA MAJIBU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 9

  • @josemu870
    @josemu870 Před měsícem

    Barikiweni sana sana kwa mafundisho yenye utaratibu yani mawaidha ya Koran mwenyezi Mungu amulide ampe afya dawa iendelee Allahamdhullah

  • @user-te3ir8yh6k
    @user-te3ir8yh6k Před měsícem

    Assalam aleikum,subra InshaAllah

  • @nayef3903
    @nayef3903 Před měsícem

    Sawt ipo chini

  • @hafsakirao398
    @hafsakirao398 Před měsícem +1

    Allah awepe wepesi katika kutangaza dini yake, Allah awajalie Janatul Firdaus kesho akhera ❤

    • @sulealim6325
      @sulealim6325 Před měsícem

      Kazi kubwa sana kuhubir dini khasa ikiwa unawahubiria walio na misimamo yao

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před měsícem

    Allah ampe afya elimu na hekma Ili watu waone haki nakufuata

  • @faridbashuu
    @faridbashuu Před měsícem

    Quran 47:34 Kwa Makafiri.
    Quran 47:35 Allah Awahifadhi na Malipo yenu ni kwake Allah.
    Barakallahu Feekum

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 Před měsícem

    Hao wakristo wanapiga makelele tu wanadhani wanaongea kanisani na hao mambumbumbu wao, wanabutua maandiko wanavyotaka wao, hawana elimu yakuijua Quran lakini naomba mashekh wetu msichoke kwa sababu hutumia staili hio kuwapoteza waislam walio na ufahamu mdogo. Allah akupeni afya njema mutangaze daawa na naomba kwake akupeni pepo ya FIRDAUS. Aamiin