JE HUYU MUHABI ALOYASEMA NI KWELI?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • #je #huyu #muhabi #aloyasema #nikweli ‪@KHALIFAMPYA-TV‬
    • Maulid (Goma) - MAULID...

Komentáře • 13

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven Před 10 měsíci +4

    Ahsante mzee wetu Allah akujaalie Umri Mrefu na Afya Njema

  • @badrudiniabdulkarim1059
    @badrudiniabdulkarim1059 Před 10 měsíci +3

    Khalifa Mussa unatufaa sana Allah akupe umri mrefu na ilimu nyingi

  • @NocNocbss-qm9zc
    @NocNocbss-qm9zc Před 10 měsíci +1

    Ahsante sana sheikh wetu Allah akujaze kheri

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven Před 10 měsíci +2

    Tunaomba muendelezo wa Kisa cha Miiraji Sehemu ya 08

  • @KHALIFAMPYA-TV
    @KHALIFAMPYA-TV  Před 10 měsíci

    MSIKILIZE HAPA HUYO MUHABI
    czcams.com/video/MUxnIAKwO-A/video.htmlsi=ln0t3E3ybRC1jszr

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven Před 10 měsíci

      Kisa cha Miiraji Sehemu ya 08 hamjaweka mpaka sasa

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 10 měsíci +1

    Kwa mtazamo wangu mashiha ni waislamu pili msiba uliyo tukumba ss waislamu ni kundi la wahabi kwa kuwa kufurisha wasiyo fwata mismamo yao tu.

    • @karimuchande3659
      @karimuchande3659 Před 10 měsíci

      Unajua itikadi ya mashia (raafidhwa) juu ya Qur'an? Juu ya maswahaba? Ndoa ya muta'a? Kupaka maji juu ya khofu mbili? Maadui wakubwa wa uislamu unawafahamu? Kaa chini usome ili ujue yote hayo then uje na conclusion je ni waislamu ama laa na c kwa akili zako tu. Allah atuongoze katika haqqi 🤲

    • @sajumahege4903
      @sajumahege4903 Před 4 měsíci

      Mtamzamo wako wewe kama nani ni ahlul ilmu? Au mtamzamo wa hawaa za nafsi yako tu? Soma ndugu mashia wanamatusi makubwa kuanzia kuongea uongo hadi matusi kwa mtume na maswahaba

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Před 10 měsíci

    Mbona na mashia huwasemi?
    Au ndio wafadhili wenu?
    Wanatukana maswahaba na wake wa mtume?

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 Před 10 měsíci

      Kawasema mbna ipo video

    • @banihashim5347
      @banihashim5347 Před 10 měsíci

      @@abdulazizmwipi9295 Alaaa kumbe ya kutafuta????

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 7 měsíci +1

      Uliza kwanza, usiuruhusu ujinga wako uwe ni hoja kwa jambo usilolijua uhakika wake