MDOMO KUNUKA DAKTARI BINGWA ASHAURI MSWAKI UNAOTUMIKA UWEJE, KUWAFUATA WATU MKOANI SABABU YA KINYWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 03. 2020

Komentáře • 28

  • @keflentito8052
    @keflentito8052 Před 4 lety

    Hongera sana kaka yangu Mungu azidi kukubariki, tumepata elimu nzuri sana.

  • @theophildamfuruki6859
    @theophildamfuruki6859 Před 9 měsíci

    Asante kwa somo mm ninashida natokwa na vipeke vyeupe vinanuka sana adi nakosa amani

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570

    Pamoja

  • @gilbertvicent4229
    @gilbertvicent4229 Před 4 lety

    Jamani ,lini mnakuja hapa dar temeke?

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 Před 4 lety +1

    Mnakuja Arusha lini?

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 Před 4 lety

    Hivi ni kweli Mganga Hajigangi.!?

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570

    Majivu yana madhara kusugulia je ???

  • @gilbertvicent4229
    @gilbertvicent4229 Před 4 lety +1

    Bado tatizo hili ni kubwa na bado hamjajua tiba kwn tatizo hililinawasumbua san watu na haliishi jamani

  • @mwanamkasimwambeni8130

    Ss kama mmi nko Kenya naumwa yamekatika Matano sahii naumwa kweli

  • @ibrahimwerejuma4816
    @ibrahimwerejuma4816 Před 4 lety +1

    Na mtu akiwa na tatizo la kuvuja damu wakati anasugua meno anaweza kutibu aje hilo tatizo?

  • @cornwelltanzania
    @cornwelltanzania Před 4 lety +3

    Siyo kila kunuka mdomo ni sababu ya uchafu wa kinywa. Mara nyingine ni gallbladder au nyongo. Harufu ambayo huanzia tumboni. Asante

    • @Habiba-tb8iv
      @Habiba-tb8iv Před 3 lety

      Hapo nakukubali mm kila wakati mdomo mchungu si usiku si mchana muda wote mdomo mchungu

    • @veneminja3076
      @veneminja3076 Před 3 lety +2

      Dawa yake ni nn jamn kwa maana mm kuna vitu vinikereketa kwenye koo navilazimisha kuvitoa ninanuka sana na mm nasikia harufu inatokea kwenye koo huku mdomo unanuka nadhani ya kwangu inaanzia tumbon naomba dawa jamn

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před rokem

      @@veneminja3076 Ni gas inatokea tumboni ( stomach ) inapanda juu . na hiyo chungu ni yale maji yaliyomo kwenye stomach km ukicheuka vile yanakuja ( acidic gastric juice ) uwache kula vyakula vinavyotia magas km chps , maharage na pendelea kula tangawizi inatoa gas hata kutafuna na ukipika weka tangawizi .
      pia upunguze au uwache kula vitu vyenye ukali kwa sababu vinaengeza acid kwenye stomach .

  • @leilahmohamed2225
    @leilahmohamed2225 Před 3 lety

    Wabongo sie tutumie mswaki miezi miwil heee haujaisha naanzaje kutupa sasa

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570

    Dawa ya meno siyakubali ila majivu bomba

  • @dwiny7841
    @dwiny7841 Před 4 lety

    Mimi nikajwa wa Corona @bossholland

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 Před 4 lety

    Mmmh daktali unaongea fasta sana duuh

    • @patrickkenguru1380
      @patrickkenguru1380 Před 4 lety

      спасибо за информации, ты умница, у нас в Африке,особенно в Танзании есть много пациентов. они нужно ваши помощи. желаю вам успеха в город Катави

  • @zakabonifas2144
    @zakabonifas2144 Před rokem

    Huu ugonjwa hamjapata tiba yake hata usafishe vp bado ni vile vile, za kusukututua nishamaliza madukan

  • @BarnabaMwashalula
    @BarnabaMwashalula Před 11 měsíci

    Mnapatikan wap

  • @goaikamisa5367
    @goaikamisa5367 Před 3 lety

    😂😂😂😂

  • @SEMANKA97
    @SEMANKA97 Před 4 lety +1

    Kuna vituko, nilijua press conference ya COVID 19 kumbe kupiga siasa za mswaki

  • @keflentito8052
    @keflentito8052 Před 4 lety +1

    Hongera sana kaka yangu Mungu azidi kukubariki, tumepata elimu nzuri sana.