Dawa yake ni nn jamn kwa maana mm kuna vitu vinikereketa kwenye koo navilazimisha kuvitoa ninanuka sana na mm nasikia harufu inatokea kwenye koo huku mdomo unanuka nadhani ya kwangu inaanzia tumbon naomba dawa jamn
@@veneminja3076 Ni gas inatokea tumboni ( stomach ) inapanda juu . na hiyo chungu ni yale maji yaliyomo kwenye stomach km ukicheuka vile yanakuja ( acidic gastric juice ) uwache kula vyakula vinavyotia magas km chps , maharage na pendelea kula tangawizi inatoa gas hata kutafuna na ukipika weka tangawizi . pia upunguze au uwache kula vitu vyenye ukali kwa sababu vinaengeza acid kwenye stomach .
Hongera sana kaka yangu Mungu azidi kukubariki, tumepata elimu nzuri sana.
Asante kwa somo mm ninashida natokwa na vipeke vyeupe vinanuka sana adi nakosa amani
Pamoja
Jamani ,lini mnakuja hapa dar temeke?
Mnakuja Arusha lini?
Hivi ni kweli Mganga Hajigangi.!?
Majivu yana madhara kusugulia je ???
Bado tatizo hili ni kubwa na bado hamjajua tiba kwn tatizo hililinawasumbua san watu na haliishi jamani
Ss kama mmi nko Kenya naumwa yamekatika Matano sahii naumwa kweli
Na mtu akiwa na tatizo la kuvuja damu wakati anasugua meno anaweza kutibu aje hilo tatizo?
Ss ntawapata vp
Siyo kila kunuka mdomo ni sababu ya uchafu wa kinywa. Mara nyingine ni gallbladder au nyongo. Harufu ambayo huanzia tumboni. Asante
Hapo nakukubali mm kila wakati mdomo mchungu si usiku si mchana muda wote mdomo mchungu
Dawa yake ni nn jamn kwa maana mm kuna vitu vinikereketa kwenye koo navilazimisha kuvitoa ninanuka sana na mm nasikia harufu inatokea kwenye koo huku mdomo unanuka nadhani ya kwangu inaanzia tumbon naomba dawa jamn
@@veneminja3076 Ni gas inatokea tumboni ( stomach ) inapanda juu . na hiyo chungu ni yale maji yaliyomo kwenye stomach km ukicheuka vile yanakuja ( acidic gastric juice ) uwache kula vyakula vinavyotia magas km chps , maharage na pendelea kula tangawizi inatoa gas hata kutafuna na ukipika weka tangawizi .
pia upunguze au uwache kula vitu vyenye ukali kwa sababu vinaengeza acid kwenye stomach .
Wabongo sie tutumie mswaki miezi miwil heee haujaisha naanzaje kutupa sasa
Dawa ya meno siyakubali ila majivu bomba
Michael tuingilege wa ubaridin hahahaha
Mimi nikajwa wa Corona @bossholland
Mmmh daktali unaongea fasta sana duuh
спасибо за информации, ты умница, у нас в Африке,особенно в Танзании есть много пациентов. они нужно ваши помощи. желаю вам успеха в город Катави
Huu ugonjwa hamjapata tiba yake hata usafishe vp bado ni vile vile, za kusukututua nishamaliza madukan
Mnapatikan wap
😂😂😂😂
Kuna vituko, nilijua press conference ya COVID 19 kumbe kupiga siasa za mswaki
Hongera sana kaka yangu Mungu azidi kukubariki, tumepata elimu nzuri sana.