BALAA! WAMAASAI WATAKA HAKI, OLOIROBI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro bado wanaendelea kupiga kambi katika kijiji cha Oloirobi ikiwa ni mwendelezo wa kudai haki zao. Wananchi hao hapo jana walizungumza na uongozi wa mkoa ambapo waliahidiwa siku 4 ili kushughulikia madai yao
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 20

  • @Jeremiahlukumay
    @Jeremiahlukumay Před 22 dny

    Poleni sana ndugu zangu mwenyenzi Mungu yupo pamoja nasi tusifathaike,isitoshe,hatuombi haki zetu,tunadai haki zetu,sisi ni wanainchi kama alivyo rais Samia.

  • @MeryMelubo
    @MeryMelubo Před 22 dny

    Mungu awatangulie sanaa hakika Mungu akisema ndy hakuna atayepinga hv bc atatusaidia tujipe moyo ndugu zangu

  • @MeryMelubo
    @MeryMelubo Před 22 dny

    Never give up ndugu zangu

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před 23 dny

    Safi sana Masai Mungu yupo pamoja nanyi nguvu ya uma ni kubwa kuliko serikali,mfano Kenya Ruto alilazimika kuwapigia magoti wananchi chondechonde ccm msikalili maisha enzi zinabadilika kwa kasi muno

  • @DominicaShio
    @DominicaShio Před 23 dny

    Samia hoyeeeee mama we piga kazi wasitake kukuchanganya walipanda mabasi kwa hiyari Yao hawakutolewa nagreda piga kazik

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Před 23 dny

    Inatisha sana

  • @davideliahu4814
    @davideliahu4814 Před 23 dny +2

    Samia sio mama yenu nyinyi pumbafu Watanzania. Amkeni nyinyi. Duniani nzima sijawahi kuona watu wajinga na waoga kama Watanzani.

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 Před 23 dny

    Dah naumia sana mwl nyerere aliomba Uhuru tuwe huru kwenye nchi yetu leo tufukuzwa hili wakae wagen

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 23 dny

    Pita kule na makonda wako bana

  • @joshuakasemelo1675
    @joshuakasemelo1675 Před 23 dny

    Safi sana

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh Před 23 dny

    Nchi lpo pabaya sijui watu nafasi wanazipataje za kumsaidia rais utaona .atatizo mengine yanatulika bila hata kuwepo rais lakini wasaidizi wanashindwa kutatua

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před 23 dny

    Msikubali ndugu zangu ngorongoro ni haki yenu huyu mama sondoke hao waarabu waondoke

  • @Landisy
    @Landisy Před 23 dny

    C muombe jamani Ni haki enu jamani.

  • @paulowilly7864
    @paulowilly7864 Před 23 dny

    Makonda Yuko wapi mtetezi wa watu msigwa Yuko wapi nchimbi CCM uko wapi Masai komaeni

    • @charlesmwambinga4355
      @charlesmwambinga4355 Před 23 dny

      Wewe si unaitwa Paul au we Snitch mpwaa kama nimekusoma maana yako😂😂😂😂😂

  • @DominicaShio
    @DominicaShio Před 23 dny

    Hivi nyie mnawajua wamasai tabia Yale be magari walipanda ya Nini kwanini wasidai haki zao kipindi kile msitake kumchanganya rais mama we piga kazi Hawa ni wahuni kama wahuni wengine Samia hoyeeeee

  • @juliusjuliuskalunjulaipu-ik7kq

    Kitii tenebo oondae

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před 23 dny

    Makonda huu si mkoa wako!!,?

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 Před 23 dny

      Makonda ndiyo nani? Tuliwambia Makonda huwa anatafuta kiki kwa masikini na wajinga hana jambo la maana analotatua na ndiyo maana washabiki wa Makonda ni darasa la saba na single mother,

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 Před 23 dny

      ILO makonda aliwez sio Rais Makonda,