SIMULIZI YA KUSISIMUA: JAMAA ALIPATA DEMU MAKABURINI USIKU.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • Kwa jina naitwa Hassan; Hassan Rahim. Ni mzaliwa wa Kijiji cha Lutindi kilichopo Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga. Maisha ya utoto pamoja na elimu ya msingi, nilivipata huko na hata ukubwa wangu kiasi niliujua nikiwa bado Lutindi.

Komentáře • 243