@@christine4072 Enda episode yake yenye anapeleka watoi shule hapo Kwa Bata akimaliza kuvalisha watoi viatu aka call dem mwingine beb uko I was shocked Sio Sauti ya dwf alijibu,hapo ndio nilijuwa,heartbreak nikajuwa Ni kipindi kweli nafatilia Na umbea nitaacha naona nikikonda bure,Ni Kaa Ile ya awinja Na bwanake
Ringtone ameamua sasa 😂😂😂
Huyu ni mkisii ameona dem wa fb nyota imeanza kung'aa kwa umbaaali😂 dem wa fb shikilia obinna kabisaa apende asipende huu ni mwaka wa kuforce.
Where was he when obina was washing Dem wa Facebook
Wacha wivuu huoni Oga vile amemwosha anaanza kungara
Apoko kuja polepole dem wa Facebook ni wa Obii
Hapo umeongea vyema kabisa barikiwa sana
hapa hatutaki kamati ya roho chafu 😂😂😂😂
Wamengojea ameoshwo ndio wameanza kukuja na bado
Noma😂😂😂
Ati Cassipool ako 37 na hiyo kipara yote😂😂😂
Hii ni kali😂😂
Obina asiponunua harrier mapema ya dwfb apoko atanunua na huyo demu ataenda hivo
Hawezi msaliti
Ringtone wed na dem wa fb Obinna ni comedy wanaplay ata brake our girl heart
Uongooo
@@christine4072 Enda episode yake yenye anapeleka watoi shule hapo Kwa Bata akimaliza kuvalisha watoi viatu aka call dem mwingine beb uko I was shocked Sio Sauti ya dwf alijibu,hapo ndio nilijuwa,heartbreak nikajuwa Ni kipindi kweli nafatilia Na umbea nitaacha naona nikikonda bure,Ni Kaa Ile ya awinja Na bwanake
Vile ameokoa hiyo mschana