Shekh wangu Allah akujaze yalo ya kheri .. Mafundisho yako shekh natamani niache masomo chuoni nije nijifunze elimu ya dini kwako nakuelewa sana shekh 😪😪😪....Allah akuongoze daima
Asalamu alaikum warahmatullahi wabarakatu. ustadh mm naomba elmu juu swala ya tarawehe kwasbb kuna mamb yananitatiza zana juu ya utekelezaji wake. kwa ilmu yangu niliokuwa nayo mimi ni kwamba mtume saw alikuwa akiswali rakaa 8 kwa juzuumoja na wala hakuwahi kuswali rakaa ishirini na moja kwa sura yeyot ile katika msahafu naomba unielezee hapo kwasbb kuna ni jmbo linalonicanganya kidog naomba ilmu juu ya huenda siku niliosom sikumuelewa ustadh
Assalaam Alaykum warahmatullah wabarakatuh.....vip hali Shekh othman michael....shekh usiku una thelusi tatu ni zipo hizo shekh wangu? Na ukiamka kiamu ukaanza kusal lakini mwishoni ukajikuta unasinzia kwenye ibada je hii nayo ikoje maalim wangu...🙏🙏
Jamani nawasihi sana waislam wenzangu dua za usiku hakika mungu anajibu haraka sana
Kweli_hata_mimi_nina_ushahidi_mzuri_tu
Wallah nikwelli kabisa unalo lisema ndug yang
alhamdulillah nmeshuhudia nguvu ya sala za usiku japo kama binadamu tunateleza tunaacha kutokana na dunia mwenyezi Mungu atufanyie wepesi Insha ALLAH
Allahuma Aamin YAARAB kwasote piya
Mashallah mashaaallahu takbir x 3
Ameen
Ameen kwa jamii Islam 🙏
@@sumaiahamimu6705 qr
Shekh wangu Allah akujaze yalo ya kheri .. Mafundisho yako shekh natamani niache masomo chuoni nije nijifunze elimu ya dini kwako nakuelewa sana shekh 😪😪😪....Allah akuongoze daima
AMEN 🙏
Mashaallah Mungu atuongoze sote tuwe miongon mwa wtu wa pepon inshaallah, Aamin
Amin yaa rabb
Aamiin ya rabb
Mashaallah ustadh cna chakukupa jazza yako utaikuta kwa Allah Jalal kwa ilmu unayo wapa waja wake
Maa shaa Allah
Shukran ya sheykh othman maalim mungu akuhifadhi na kwasadaqa hii unotuzawadia ndugi zako iwe ndio sababu yaipata jannat alfidaws amiin amiin
Shukran Allah akupe umri murefu mwalim wetu
Masha allah nakupenda kwa jili ya allah
Nimekukubali sana she he wangu hiyo ndo siri yamafanikio yangu nakuna kitu umeniongezea
Subhana LLah unavyozungumza nahisi mafanikio, in Sha Allah tutashika swala za usiku, shukran
جزاك الله خيرا 🌹
JAZZAKA ALLAHU KHEIR
Assalam alaykum waaalaykum vipi hali yako ndugu yangu shukran Wallah nnakupenda sanna kwa ajili ya Allah
Allah akulipe sheh
MashaAllah nakupenda sheikh Mungu atuongoze
Namimi pia nampenda maanshaallah tabarakaallah sheirh mung akujalie mwisho mwema. 🙏
Mashallah mashallah nakupenda kwajili yallah
ASALAAM ALAYKUM SHUKRAN SAANA KWA KUTUFAHAMISHA NA TUTAJITAHIDI INSHAALLAH
Jazak Allah khayran 💕
🎉
Axantee kwmaa lakn
Mashallah nakufatilia sana
Masha Allah sheikh Authuman mada safi sana..Shukrannnnnn Sheikh wetu...Ma Salam
Shukran ya.sheykh othman michael
Mashallah jazakallahu khayra
Jazzak Allah khayra sheikh
Shukran kwa ukumbusho allah akulipe kheir
Mashallah
Shukran Sheikh wetu mpendwa Othman nakupenda kwa ajili ya Allah
Barakallaah fiik akhy
MashaAllah mashaAllah mwenyez Mungu akupe maisha marefu zaidi ili utupe mafunzo ya Allah
MashaAllah Mungu akujalie maisha marefu utufundishe mambo ya Allah ameen ameen
Allahuumma aaamiin
MashaaAllah jazzak la kheri walah najifunza san Kutok kwak
Allah barik
Mashallah... sheikh it’s good daawa sheikh
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
Maashaallah jazakallahu kheri
MASHAALLAH
mashaAllah mungu akuzindishie Neem
Aslm alkm wtw.... Ma sha Allah!!!
Masha Allah
Mashallah mungu akupe heri nyingi
جزاك الله خيرا
Insha allah mungu tupe mwisho mwema amiin
MashaAllah shukran sana shekhe
Manshallah
Shukran sana
ماشاء الله
Tunazingojea siku za offer biiidhni llah
Shukrani sana mimi.nafatilia darsa zako nzuri
Mashaallah
سبحان الله
صل الله عليه وسلم
Mwamba unajua
الله اكبر كبيرا
Maashaallh
Ntaanza inshallah leo
...na Allah Akufanyie wepesi ndugu yangu kwa nia iliyo safi kabisa; na kwa waislamu wote pia in sha'Allah.
🤲🙏
شكرا
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh
shukran san shekhe wetu
ila nilikuwa naomba dua,a ya wakati mvua inanyesha
Naziluna 2555 allahuma swahiban nafia'
⁸
Asalamu alaikum warahmatullahi wabarakatu.
ustadh mm naomba elmu juu swala ya tarawehe kwasbb kuna mamb yananitatiza zana juu ya utekelezaji wake. kwa ilmu yangu niliokuwa nayo mimi ni kwamba mtume saw alikuwa akiswali rakaa 8 kwa juzuumoja na wala hakuwahi kuswali rakaa ishirini na moja kwa sura yeyot ile katika msahafu naomba unielezee hapo kwasbb kuna ni jmbo linalonicanganya kidog naomba ilmu juu ya huenda siku niliosom sikumuelewa ustadh
😲😭❤❤🙏🙏🤲🤲
Assalaam Alaykum warahmatullah wabarakatuh.....vip hali Shekh othman michael....shekh usiku una thelusi tatu ni zipo hizo shekh wangu? Na ukiamka kiamu ukaanza kusal lakini mwishoni ukajikuta unasinzia kwenye ibada je hii nayo ikoje maalim wangu...🙏🙏
@Msafiri Afraha asante ndugiangu katika imani
@Msafiri Afraha alla akujaalie kheri Inshaalla 🤲🤲
@Msafiri Afraha naam swadakta kabisa akhy
Maana yake unachelewa kulala mapema . lala mapema baada ya kusali ishaai tu.
Naomba namba
Waasaykumu salam warhmatuAllah wabarakata,ustadhi naomba namba yako ambayo naweza kukupata kwa watsapp tafadhali
A,leykum warahmatulah wabarakatuh shekh naomba number yako
😭😭🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Sisi wamoja hatujafahamu mubini
Kuanzia leo silari wanawake wapeponi ni laha
Naombeni number ya huyu Ustadh
Jamila Ibuma sihiyo hapo juu
@@fadhumoabdi7491 ahsant sana
ni hizo zilizoandikwa hapo kwenye hiyo video ndizo namba zake sheikh Othman.
Eee safo
Hhgg
Maashaallah
Masha Allah
Maashaallah
Maashaallah