Rais Kenyatta na Gavana Joho walumbana
Vložit
- čas přidán 4. 01. 2017
- Gavana wa Mombasa Hassan Ali Joho aligeuza jukwaa la Rais Uhuru Kenyatta kuwa la malumbano ya kisiasa, kwa kutofautiana vikali na rais kuhusu uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa daraja la Buxton pamoja na miradi mingine aliyozindua leo mijini humo. Joho anadai kuwa serikali ya Jubilee haijaanzisha mradi wowote Mombasa ila inaendeleza miradi iliyoanzishwa kitambo.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya
footbridge ni maendeleo 😂 😂
joho ni simba kweli
JOHO tosha 2017 governor.
kubukubu zake president wetu Uhuru Kenyatta na maneno yake mungu akubaliki Sana ndena Sana Mr President Uhuru Kenyatta endelea na kazi yako 🙏🙏
joho tena 2017
A leader must be brave like there.
MWAAAAAH MR.PREZO
WALK ALL KENYA NO ONE CN STOP U
HATA AKIWA GOVERNOR WA HIYO PLCE
# U R OUR LEADER WA DA WHOLE KENYA #UHURUTO
wengine wanapiga makofi bure hata Uhuru akikohoa wanapiga makofi makwaajili ya interest zao poleni sana
Juma ponography
2:25 I hope Duale is listening to that
simba joho kweli kbsa
Mr Presdent anachezea simba wetu joho
Mr president unacheza na vichwa vya wapwani. Emergine coming all the way to pwani kufungua foot bridge .hiyo sasa Kali. stop politicking.
Ali Shaffi Sante Sana Bro mwenye macho haambiwi tazama
Saudahmed Saudahmed
hahahahahha
I am not a voting Kenyan but I admire personalities such as Joho!
In about 10 minutes Joho completely obliterated his political opponents by going straight for their most senior boss in their presence. All this on national television and all sorts of media houses. Let us not forget the live audience of voters. On that platform we have former ODM politicians turned Jubilee. We have Jubilee Cabinet ministers and other ‘hangers on” who all defer to one person -Uhuru Kenyatta- with a passion that borders on sycophancy. Rather than reaching the audience for Jubilee votes, they were instead, defending Kenyatta. The Jubilee politicians, were hoping to seize on all these “launches” by Kenyatta, as “maendeleo” brought to Coast from Nairobi and use that to undermine Joho in the upcoming elections. He beat them to that. This was a cool and calculated move…killing so many birds with one stone!
if a footbrigde is a major development according to Uhuru and company the we as a nation are totally doomed!! zero vision need for divine intervention ASAP!!
Great
Who is watching this in 2022?
I'm for peaceful campaigns. At the tail end, Kenya is more bigger than an individual.
Simba wa pwani msema ukweli..
this. the problem of people of coast region you call somebody simba but what have he done to show in those 5year he was in power. look around u r u not ashamed of him. 4exsample likoni. the place is very dirty Joho is 1 of the gorvers who should go home n let those who r will to help kenyan do that work
Moses chege, what has uhuru done others than stealing and tribalism
footbridge?!??!!!
Joho wajiona kama wewe ndiye kiongozi mteuliwa Kuliko rais huna heshma kamwe kwake mteuliwa
Hiyo ndio maana cord haiwezi tawala kenya juu hamna heshima na hamtambui kwamba yule ndie kichwa na nyinyi ni magoti tu
Joho should be Kenyas president one day.
Mark ongaya it can never happen. Never
How is a footbridge a development 😂😂😂😂
because it can save a lot a lives and time for less traffic due to pedestrians using the bride. Time is money, less traffic means more productivity
Kenya needs industries for jobs
Tafari 98 uko down kweli
"any event/idea/project constituting a new stage in a changing situation.....is a development"
Mary kagwe, a i think your more of abulshit and by the way Joho is not your stealing type you Uthamaki bitch
Just saying ,if this is true that this Project is a long year past project then there IS "Financial-Analytical" problem in Mombasa... particularly in matter of End-Year-Financial Reports specifically if that amount came from WorldBank.Mombasa ,we need to wake up and learn to appreciate even what's not on-the-go record.
duale ako unteachable he will evicts all kambas from garissa keep duale fire burning man of the people
it's "untouchable".... not unteachable !!
WELL DONE
Watching 2022
let be our leaders be good example setters.
let them respect our president.
Joho wait for your turn to be the president.
so heshima si utumwa.
joho pia wewe ungesema kitu umefanyia watu wa Mombasa wachana na prezo iyo ni ujinga tu
ukimkosea president hashima una kosea taifa lako heshima na una njikosea heshima mwenyewe
So Joho anasema because money came from world Bank.. Govt shld not take credit..how stupid is that...so if I take a loan from a bank to start a business, the bank owns my project? NKT
huu ni mradi ama amekuja kutu enjoy anataka kura zetu kwa ki bridge hatumpi lete pesa mlizo iba tule urudi nrb tukutane August kwa BBM technology votes
Watch what u type keyboard warrior !!!!
Still the prezoo yupo kaka... mpaka mka vuka mpaka (handshake ) lol !
@@worriestrouble7137 ok so just look how your vifaranga vya computer walivyo ifirs nnchi madeni mpaka watoto hawajazaliwa pia wanadaiwa corruption every where wakenya wanapika mawe wakenya wanavinjiwa manyumva wakenya wanashindwa hata kula one meal a day which is kind of the government wakenya wameshindwa even kuvumilia kua wakenya nimehamia kwa magufuli rais mwenye huruma and wisdom bakia wewe huko na serikali ya wembe ni ule ule, imagine election is 2022 kenya already started a campaigning even DP want to be a president while still there's a sitting president what is shameful country hoo haijawahi kutokea except in kenya.
@@jumajay8496 kweli kaka Pia Mie I traveled to Norway fortunately... what a waste uhunye has been... totally ruined the country and what's more annoying is raila joining him under the disguise of handshake....
joho you must open your eyes please
kazi isipofanywa au ifanywe joho bado mdomo unakuwasha..jubilee na maendeleo joho na panganga
kama ni mradi ya kitambo, mbona hakukamilisha? Anafaa kujua rais sio wa level yake. Atafutane na magavana wenzake.
Wewe Joho respect the president
Congratulations president
Our leaders should understand that anything you do has a foundation to complition. And as a government you must learn to complete what was left by your predecessor for the benefit of the country & its people to develop be4 you apply yours.
A whole president commissioning afootbridge....None sense. Hayo ndio maendeleo. I pity coasterians.
mtsumi45 u what have y done for ur country
Uhuru ata kama ulifungua mradhi mombasa bure hakuna kura
I miss the real Jomo Kenyatta....joho angetambua the real men and the boys...joho bure kabisa
Ukweli siku zote unauma, 001 Kiboko
yeah prezzo u have said nothing but the truth,, maendeleo ifai kulinganishwa na siasa
This time Hautapenya.kuibakura.Raila.Lazima awe Prezoo.
joho wacha ufala
Natasha Hamad
ukweli umegeuka ufala tena
Natasha Hamad ufala umeanza wewe ulipo uza utu wako na kutetea wambali zuzu wewe ama nja
Joho you are right.
Go go Uhuru
Joho hajui SIASA wanajua ujinga tu
This Nyali Mp is very sick,
joho hata c matusi ni kumwambia ukweli
vitisho vya mashua havishutui bahari. Useless president trying to play na watu wa mombasa na uwongo. Uwongo wa "kiongozi" uhuru umegonga mwamba mombasa
is someone seeing hizo nyumba za matope uhuru is passing through, sometimes i wonder wat our priorities are.
acha Joho aitwe Joho
we will see who will be next president
Joho ni simbaaaa...hata museme anauza watu
truth hurts
OI
UHURU UNATUBEBA UFALA.
joho heshma hanakabsaa.kaa mwanamke kwa ploti.
Kwani Mombasa sio kenya
Caroline Talam maswali ya kliniki pelekea ouru
Samsung Android hakuna siku mtaona mazuri chuki na u kabila ndio zenu
😂 ndiyo baba duh
unandeleza nn uhuru vijana wanatoroka KENYA hakukaliki uchumi umekua mgumu
team joho apana tambua wengine
joho amegonga ndipo
ndovu wakimenyana nyasi ndio huumia
just a bridge.
Kweli odm ni baba Lao.uhuru alikauka lips kabisa😂
maze hizo bridge zingewekewa ngazi..hivo zilivo ukipanda wafika pirates 😂😂😂
work together both are elected
Bona joho hapendi maendeleo aki shame on him
habbil H.O napenda mm sio kama nyinyi
Joho hajui raisi agepeleka huo mrandi mahali pengine they are luck
Joho for President
bonnie momanyi DREAMING
this thing will lead fools to killing each other again. hawa watu wanaongea kwa umati vibaya wakija kwa mkutano wasalimiane wale pamoja washenzi wabaki wakinoa mapanga... changamkeni wakenya
fanyieni watu maendeleo both cord n jubilee hatutakula matusi yenu
Joho kua na adabu na uwache ukabira my friend Fanya kampani pole pole
woi hata umeshema!
Tatua shida yako ya matamshi kwanza
Daniel Njoki joho is just a piece of shit..aennde na pesa zake chagu
wewe Uhuru uache mchezo na watu wa pwani watu wanakufa njaa ganze wewe waenda fungua footbridge baada kufanya miradi itakayo patia vijana kazi. si ni bangi tupu hiyo nani atapanda footbridge akiwa na njaa?? vitisho vyako peleka mbali utaambiwa ukweli na hakuna apology kwani umetukanwa Joho hakutukana hapo kma hujui kiswahili arudie
alisharif umesema wasidanganye wapwani alikuawapi wakati wote amavike kura zimeiva wapwani wamechanuka tuko kwa O.D.M
😂😂😂😂kazi kwenu langu jicho
..
khadija Omar khadija omar letu jicho mrembo!
footbrigde ni development huko mbs 😂😂😂 kenya wake up
sio vizury
mbona rais afungue kitu kama hio huko mombasa na nairobi akifungua mabarabara ,,,,,,,thats not goood
Kwnn joho huwanga na kiherehere kaa ya raila nlidhani yeye ni mtu wa kuheshimika kuliko raila kipii kumbe wote sawa barathuli hawa
Jamani wana Kenya natoka Tanzania mm ushauri wangu ni bure kiukweli rais wenu huko makini kuna mtu anasema lianzishwa 2010 rais kama angekua awatakii maendeleo alipoingia madarakani angebomoa lakini ameendeleza yani rais anakuja jufungua daraja eti geverna ana ulizianzishwa kitambo na mnashangilia kiukweki siasa kwa sasa sio viongozi ni nyie wenyewe lakini samahanini kama nimewakera kwa ushauri wangu
PREZO UHURU.. Njoo kisumu uone..Shenzhen wewe
viongozi waeshimiwe plz
kabisa mike Kakai
Tano tena prezoo
project yaaanza 2010 na inaishi 2016 JOHO alikuwa wapi tangu achaguliwe
nimeskia watu hapa comments wakisema ati Joho anauza dawa za kulevya... we umewahi sikia hiyo mambo
Nlikua hapo hio siku na Rais alikunja mkia!
Awiti analipi lakesema mombasa!
aaaaahhh chungwa hoyeeeeeee,odm oyeeegh
Citizen tv rekebisheni sentesi hapo ni MBUNGE Si Munge!!!!
Maendelea gani.kenyans hudanganywa kitu kidogo
Joho for president 2022
Collins Kachiku wewe mjinga...joho Hana heshima name nimuuzaji madawa ya kulevya
Collins Kachiku NEVER EVER, SIT AND WAIT
Collins Kachiku hahahah fuck you bichs
600million daraja hlo munachezea pesa nyinyi
And now your dining with those who fought you.....????
Wanasiasa msituinjoy ebu wananchi funfuen macho ebu tuone wangapi waliuwa wanatafuta mapato yao
Again,in this video we note with great displeasure and concern that the community spokesmam Hon . Peter Shehe (Ganze Mp) enjoys and shares the company of Jubilee. He has been silent when Governers "JOHO & KING`s security teams were withdrawn . He never comments, advice, or distance himself at any occasion concerning the same. I give credit to Mr. Joseph K. Mwarandu( aprominent trusted Lawyer of MADCA MLINDI) who recently drove the point home that" Hon. Shehe has recently proved to be of little value of the MIJIKENDA COMMUNITY. We need radicaly reforms in this community.Never ever should this post be reserved for politicians. Any Mijikenda (Male) from Lunga Lunga to Kiunga Lamu must be allowed to contest. He should be vetted not only by the " KAYA SAINTS" but also from a jurry of ordinary people. This hand picking and arm twisting method should´nt be allowed to continue, One must take the famous& fierce oath of the " FISI" and swear to defend and protect the interests of the community. ( UKWAPEHO KISHA)
Nehemiah Bor a footbridge is not a development buddy u need to travel more! 😊
joho nakupa kongole sana .
Vitisho vya chura
Kenyan politics...
joho hapendi maendeleo mdomo nyingi..go uhuru jubilee for life
.