Rais Kenyatta na Gavana Joho walumbana

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 01. 2017
  • Gavana wa Mombasa Hassan Ali Joho aligeuza jukwaa la Rais Uhuru Kenyatta kuwa la malumbano ya kisiasa, kwa kutofautiana vikali na rais kuhusu uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa daraja la Buxton pamoja na miradi mingine aliyozindua leo mijini humo. Joho anadai kuwa serikali ya Jubilee haijaanzisha mradi wowote Mombasa ila inaendeleza miradi iliyoanzishwa kitambo.
    Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
    This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
    Follow us:
    citizentv.co.ke
    / citizentvkenya
    / citizentvkenya
    plus.google.com/+CitizenTVKenya
    / citizentvkenya

Komentáře • 231

  • @lindsayyunah
    @lindsayyunah Před 7 lety +10

    footbridge ni maendeleo 😂 😂

  • @chalopaul1608
    @chalopaul1608 Před 7 lety +15

    joho ni simba kweli

  • @aminambarak5851
    @aminambarak5851 Před 7 lety +5

    JOHO tosha 2017 governor.

  • @ibrahimmaroa1894
    @ibrahimmaroa1894 Před 7 měsíci

    kubukubu zake president wetu Uhuru Kenyatta na maneno yake mungu akubaliki Sana ndena Sana Mr President Uhuru Kenyatta endelea na kazi yako 🙏🙏

  • @marodemadero6590
    @marodemadero6590 Před 7 lety +10

    joho tena 2017

  • @joshuakimathi1608
    @joshuakimathi1608 Před 3 lety +1

    A leader must be brave like there.

  • @jamilasalim6310
    @jamilasalim6310 Před 6 lety +1

    MWAAAAAH MR.PREZO
    WALK ALL KENYA NO ONE CN STOP U
    HATA AKIWA GOVERNOR WA HIYO PLCE
    # U R OUR LEADER WA DA WHOLE KENYA #UHURUTO

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 Před 7 lety +9

    wengine wanapiga makofi bure hata Uhuru akikohoa wanapiga makofi makwaajili ya interest zao poleni sana

  • @abdiosman2121
    @abdiosman2121 Před 7 lety +4

    2:25 I hope Duale is listening to that

  • @abdirahmanyaya3969
    @abdirahmanyaya3969 Před 7 lety +4

    simba joho kweli kbsa

  • @ahmedjamalwoche6029
    @ahmedjamalwoche6029 Před 7 lety +4

    Mr Presdent anachezea simba wetu joho

  • @alishaffi7715
    @alishaffi7715 Před 7 lety +14

    Mr president unacheza na vichwa vya wapwani. Emergine coming all the way to pwani kufungua foot bridge .hiyo sasa Kali. stop politicking.

  • @zabde-ezraayienga5353
    @zabde-ezraayienga5353 Před 7 lety +3

    I am not a voting Kenyan but I admire personalities such as Joho!
    In about 10 minutes Joho completely obliterated his political opponents by going straight for their most senior boss in their presence. All this on national television and all sorts of media houses. Let us not forget the live audience of voters. On that platform we have former ODM politicians turned Jubilee. We have Jubilee Cabinet ministers and other ‘hangers on” who all defer to one person -Uhuru Kenyatta- with a passion that borders on sycophancy. Rather than reaching the audience for Jubilee votes, they were instead, defending Kenyatta. The Jubilee politicians, were hoping to seize on all these “launches” by Kenyatta, as “maendeleo” brought to Coast from Nairobi and use that to undermine Joho in the upcoming elections. He beat them to that. This was a cool and calculated move…killing so many birds with one stone!

  • @mctimdr.3671
    @mctimdr.3671 Před 7 lety +15

    if a footbrigde is a major development according to Uhuru and company the we as a nation are totally doomed!! zero vision need for divine intervention ASAP!!

  • @leisankatininah2814
    @leisankatininah2814 Před 2 lety

    Great

  • @lin---rietta
    @lin---rietta Před rokem

    Who is watching this in 2022?

  • @mulwamuthoka3509
    @mulwamuthoka3509 Před 7 lety

    I'm for peaceful campaigns. At the tail end, Kenya is more bigger than an individual.

  • @BBZoneasembotop10
    @BBZoneasembotop10 Před 7 lety +14

    Simba wa pwani msema ukweli..

    • @moseschege7586
      @moseschege7586 Před 7 lety +4

      this. the problem of people of coast region you call somebody simba but what have he done to show in those 5year he was in power. look around u r u not ashamed of him. 4exsample likoni. the place is very dirty Joho is 1 of the gorvers who should go home n let those who r will to help kenyan do that work

    • @BBZoneasembotop10
      @BBZoneasembotop10 Před 7 lety +1

      Moses chege, what has uhuru done others than stealing and tribalism

  • @Tazansnerima
    @Tazansnerima Před 7 lety +1

    footbridge?!??!!!

  • @mecikaffein6206
    @mecikaffein6206 Před 7 lety +2

    Joho wajiona kama wewe ndiye kiongozi mteuliwa Kuliko rais huna heshma kamwe kwake mteuliwa
    Hiyo ndio maana cord haiwezi tawala kenya juu hamna heshima na hamtambui kwamba yule ndie kichwa na nyinyi ni magoti tu

  • @markongaya1588
    @markongaya1588 Před 7 lety +1

    Joho should be Kenyas president one day.

    • @fikshun1326
      @fikshun1326 Před 7 lety +1

      Mark ongaya it can never happen. Never

  • @tafari988
    @tafari988 Před 7 lety +37

    How is a footbridge a development 😂😂😂😂

    • @jK-zh1we
      @jK-zh1we Před 7 lety +5

      because it can save a lot a lives and time for less traffic due to pedestrians using the bride. Time is money, less traffic means more productivity

    • @BBZoneasembotop10
      @BBZoneasembotop10 Před 7 lety +1

      Kenya needs industries for jobs

    • @nehemiahbor6620
      @nehemiahbor6620 Před 7 lety +1

      Tafari 98 uko down kweli

    • @anonymme1062
      @anonymme1062 Před 7 lety +1

      "any event/idea/project constituting a new stage in a changing situation.....is a development"

    • @BBZoneasembotop10
      @BBZoneasembotop10 Před 7 lety

      Mary kagwe, a i think your more of abulshit and by the way Joho is not your stealing type you Uthamaki bitch

  • @anonymme1062
    @anonymme1062 Před 7 lety +2

    Just saying ,if this is true that this Project is a long year past project then there IS "Financial-Analytical" problem in Mombasa... particularly in matter of End-Year-Financial Reports specifically if that amount came from WorldBank.Mombasa ,we need to wake up and learn to appreciate even what's not on-the-go record.

  • @abdirahmanfoodcadde302

    duale ako unteachable he will evicts all kambas from garissa keep duale fire burning man of the people

  • @macdonaldbarasa5169
    @macdonaldbarasa5169 Před 7 lety

    WELL DONE

  • @wakwayawilson95
    @wakwayawilson95 Před 2 lety

    Watching 2022

  • @evansmunene4722
    @evansmunene4722 Před 7 lety +1

    let be our leaders be good example setters.
    let them respect our president.
    Joho wait for your turn to be the president.
    so heshima si utumwa.

  • @carolynendungu4455
    @carolynendungu4455 Před 7 lety +2

    joho pia wewe ungesema kitu umefanyia watu wa Mombasa wachana na prezo iyo ni ujinga tu

  • @jacklinenjeri221
    @jacklinenjeri221 Před 7 lety +2

    ukimkosea president hashima una kosea taifa lako heshima na una njikosea heshima mwenyewe

  • @danielnjuguna2395
    @danielnjuguna2395 Před 7 lety +3

    So Joho anasema because money came from world Bank.. Govt shld not take credit..how stupid is that...so if I take a loan from a bank to start a business, the bank owns my project? NKT

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 Před 7 lety +9

    huu ni mradi ama amekuja kutu enjoy anataka kura zetu kwa ki bridge hatumpi lete pesa mlizo iba tule urudi nrb tukutane August kwa BBM technology votes

    • @worriestrouble7137
      @worriestrouble7137 Před 4 lety

      Watch what u type keyboard warrior !!!!
      Still the prezoo yupo kaka... mpaka mka vuka mpaka (handshake ) lol !

    • @jumajay8496
      @jumajay8496 Před 4 lety

      @@worriestrouble7137 ok so just look how your vifaranga vya computer walivyo ifirs nnchi madeni mpaka watoto hawajazaliwa pia wanadaiwa corruption every where wakenya wanapika mawe wakenya wanavinjiwa manyumva wakenya wanashindwa hata kula one meal a day which is kind of the government wakenya wameshindwa even kuvumilia kua wakenya nimehamia kwa magufuli rais mwenye huruma and wisdom bakia wewe huko na serikali ya wembe ni ule ule, imagine election is 2022 kenya already started a campaigning even DP want to be a president while still there's a sitting president what is shameful country hoo haijawahi kutokea except in kenya.

    • @worriestrouble7137
      @worriestrouble7137 Před 4 lety

      @@jumajay8496 kweli kaka Pia Mie I traveled to Norway fortunately... what a waste uhunye has been... totally ruined the country and what's more annoying is raila joining him under the disguise of handshake....

  • @user-uh6oe6bq1j
    @user-uh6oe6bq1j Před 6 lety +1

    joho you must open your eyes please

  • @denniskithinji1405
    @denniskithinji1405 Před 7 lety +1

    kazi isipofanywa au ifanywe joho bado mdomo unakuwasha..jubilee na maendeleo joho na panganga

  • @abdulshizzle8919
    @abdulshizzle8919 Před 7 lety +2

    kama ni mradi ya kitambo, mbona hakukamilisha? Anafaa kujua rais sio wa level yake. Atafutane na magavana wenzake.

  • @d_xxa6748
    @d_xxa6748 Před 6 lety

    Wewe Joho respect the president

  • @samuelngigi2028
    @samuelngigi2028 Před 2 lety

    Congratulations president

  • @kirwamelly
    @kirwamelly Před 7 lety

    Our leaders should understand that anything you do has a foundation to complition. And as a government you must learn to complete what was left by your predecessor for the benefit of the country & its people to develop be4 you apply yours.

  • @mtsumi45
    @mtsumi45 Před 7 lety +2

    A whole president commissioning afootbridge....None sense. Hayo ndio maendeleo. I pity coasterians.

    • @kimnyamu7201
      @kimnyamu7201 Před 7 lety +2

      mtsumi45 u what have y done for ur country

  • @mutainehemiah398
    @mutainehemiah398 Před rokem

    Uhuru ata kama ulifungua mradhi mombasa bure hakuna kura

  • @nixonmungai5915
    @nixonmungai5915 Před 7 lety

    I miss the real Jomo Kenyatta....joho angetambua the real men and the boys...joho bure kabisa

  • @ibrahimgagasalim3152
    @ibrahimgagasalim3152 Před 7 lety +1

    Ukweli siku zote unauma, 001 Kiboko

  • @jacobndungu7757
    @jacobndungu7757 Před 7 lety

    yeah prezzo u have said nothing but the truth,, maendeleo ifai kulinganishwa na siasa

  • @brendalalaloushka5908
    @brendalalaloushka5908 Před 7 lety +3

    This time Hautapenya.kuibakura.Raila.Lazima awe Prezoo.

  • @flomrembowakenya5524
    @flomrembowakenya5524 Před 7 lety +4

    joho wacha ufala

    • @kapindeemwanaa3229
      @kapindeemwanaa3229 Před 7 lety +1

      Natasha Hamad
      ukweli umegeuka ufala tena

    • @yusufsheikh3056
      @yusufsheikh3056 Před 7 lety +1

      Natasha Hamad ufala umeanza wewe ulipo uza utu wako na kutetea wambali zuzu wewe ama nja

  • @ruthie388
    @ruthie388 Před 6 lety

    Joho you are right.

  • @mercymyrah8677
    @mercymyrah8677 Před 7 lety

    Go go Uhuru

  • @abuuqaasim4815
    @abuuqaasim4815 Před 3 lety

    Joho hajui SIASA wanajua ujinga tu

  • @ibrahimgagasalim3152
    @ibrahimgagasalim3152 Před 7 lety

    This Nyali Mp is very sick,

  • @justusmulaha243
    @justusmulaha243 Před 7 lety +1

    joho hata c matusi ni kumwambia ukweli

  • @mushken65
    @mushken65 Před 7 lety +1

    vitisho vya mashua havishutui bahari. Useless president trying to play na watu wa mombasa na uwongo. Uwongo wa "kiongozi" uhuru umegonga mwamba mombasa

  • @redemtamarion5293
    @redemtamarion5293 Před 7 lety

    is someone seeing hizo nyumba za matope uhuru is passing through, sometimes i wonder wat our priorities are.

  • @bonfaceowino4333
    @bonfaceowino4333 Před 7 lety +2

    acha Joho aitwe Joho

  • @immanuellekakeny8229
    @immanuellekakeny8229 Před 7 lety

    we will see who will be next president

  • @kassimmwamambeya4489
    @kassimmwamambeya4489 Před 7 lety +1

    Joho ni simbaaaa...hata museme anauza watu

  • @subashkundu2552
    @subashkundu2552 Před 7 lety

    truth hurts

  • @jyptian1
    @jyptian1 Před 7 lety +3

    UHURU UNATUBEBA UFALA.

  • @freyjandua3379
    @freyjandua3379 Před 7 lety +6

    joho heshma hanakabsaa.kaa mwanamke kwa ploti.

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 Před 7 lety +1

    Kwani Mombasa sio kenya

  • @khadijaomarkhadijaomar4822

    😂 ndiyo baba duh

  • @saumushabankhamis2801
    @saumushabankhamis2801 Před 7 lety

    unandeleza nn uhuru vijana wanatoroka KENYA hakukaliki uchumi umekua mgumu

  • @gideontuamu
    @gideontuamu Před 7 lety

    team joho apana tambua wengine

  • @peterwallacepeter8303
    @peterwallacepeter8303 Před 7 lety +1

    joho amegonga ndipo

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 Před 7 lety +1

    ndovu wakimenyana nyasi ndio huumia

  • @lloydboykins1157
    @lloydboykins1157 Před 4 lety

    just a bridge.

  • @imranhassan6727
    @imranhassan6727 Před 2 lety

    Kweli odm ni baba Lao.uhuru alikauka lips kabisa😂

  • @AbuAli172
    @AbuAli172 Před 7 lety

    maze hizo bridge zingewekewa ngazi..hivo zilivo ukipanda wafika pirates 😂😂😂

  • @wanjikucaroline5323
    @wanjikucaroline5323 Před 7 lety +2

    Bona joho hapendi maendeleo aki shame on him

  • @steventibigithura3727
    @steventibigithura3727 Před 7 lety

    Joho hajui raisi agepeleka huo mrandi mahali pengine they are luck

  • @bonniemomanyi3975
    @bonniemomanyi3975 Před 7 lety

    Joho for President

  • @beckykanja687
    @beckykanja687 Před 7 lety

    this thing will lead fools to killing each other again. hawa watu wanaongea kwa umati vibaya wakija kwa mkutano wasalimiane wale pamoja washenzi wabaki wakinoa mapanga... changamkeni wakenya

  • @josephmukundi7446
    @josephmukundi7446 Před 7 lety

    fanyieni watu maendeleo both cord n jubilee hatutakula matusi yenu

  • @danielmwangi9637
    @danielmwangi9637 Před 7 lety +2

    Joho kua na adabu na uwache ukabira my friend Fanya kampani pole pole

  • @happytimes9896
    @happytimes9896 Před 7 lety +1

    wewe Uhuru uache mchezo na watu wa pwani watu wanakufa njaa ganze wewe waenda fungua footbridge baada kufanya miradi itakayo patia vijana kazi. si ni bangi tupu hiyo nani atapanda footbridge akiwa na njaa?? vitisho vyako peleka mbali utaambiwa ukweli na hakuna apology kwani umetukanwa Joho hakutukana hapo kma hujui kiswahili arudie

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    alisharif umesema wasidanganye wapwani alikuawapi wakati wote amavike kura zimeiva wapwani wamechanuka tuko kwa O.D.M

  • @khadijaomarkhadijaomar4822

    😂😂😂😂kazi kwenu langu jicho

  • @niceabdi3250
    @niceabdi3250 Před 7 lety +3

    footbrigde ni development huko mbs 😂😂😂 kenya wake up

  • @mbarakali8799
    @mbarakali8799 Před 7 lety

    sio vizury

  • @jameswammwangi2971
    @jameswammwangi2971 Před 7 lety

    mbona rais afungue kitu kama hio huko mombasa na nairobi akifungua mabarabara ,,,,,,,thats not goood

  • @karishmary9904
    @karishmary9904 Před 6 lety

    Kwnn joho huwanga na kiherehere kaa ya raila nlidhani yeye ni mtu wa kuheshimika kuliko raila kipii kumbe wote sawa barathuli hawa

  • @paulomosson3346
    @paulomosson3346 Před 4 lety

    Jamani wana Kenya natoka Tanzania mm ushauri wangu ni bure kiukweli rais wenu huko makini kuna mtu anasema lianzishwa 2010 rais kama angekua awatakii maendeleo alipoingia madarakani angebomoa lakini ameendeleza yani rais anakuja jufungua daraja eti geverna ana ulizianzishwa kitambo na mnashangilia kiukweki siasa kwa sasa sio viongozi ni nyie wenyewe lakini samahanini kama nimewakera kwa ushauri wangu

  • @Mothermarlon
    @Mothermarlon Před 7 lety

    PREZO UHURU.. Njoo kisumu uone..Shenzhen wewe

  • @mikekakai3012
    @mikekakai3012 Před 7 lety +1

    viongozi waeshimiwe plz

  • @odaihellensharver9812
    @odaihellensharver9812 Před 7 lety

    Tano tena prezoo

  • @georgemaitho4794
    @georgemaitho4794 Před 7 lety +1

    project yaaanza 2010 na inaishi 2016 JOHO alikuwa wapi tangu achaguliwe

    • @jonesy2975
      @jonesy2975 Před 7 lety

      nimeskia watu hapa comments wakisema ati Joho anauza dawa za kulevya... we umewahi sikia hiyo mambo

  • @jafarali2372
    @jafarali2372 Před 2 lety

    Nlikua hapo hio siku na Rais alikunja mkia!

  • @nassorohamadi3365
    @nassorohamadi3365 Před 7 lety

    Awiti analipi lakesema mombasa!

  • @hadijakayaro2397
    @hadijakayaro2397 Před 7 lety

    aaaaahhh chungwa hoyeeeeeee,odm oyeeegh

  • @abudimuddy517
    @abudimuddy517 Před 6 lety

    Citizen tv rekebisheni sentesi hapo ni MBUNGE Si Munge!!!!

  • @coolzomz8
    @coolzomz8 Před 4 lety

    Maendelea gani.kenyans hudanganywa kitu kidogo

  • @collinskachiku5531
    @collinskachiku5531 Před 7 lety +9

    Joho for president 2022

    • @vasvlogs9371
      @vasvlogs9371 Před 7 lety +3

      Collins Kachiku wewe mjinga...joho Hana heshima name nimuuzaji madawa ya kulevya

    • @marimare6302
      @marimare6302 Před 7 lety +1

      Collins Kachiku NEVER EVER, SIT AND WAIT

    • @johnmaina4195
      @johnmaina4195 Před 6 lety

      Collins Kachiku hahahah fuck you bichs

  • @hanuni2356
    @hanuni2356 Před 7 lety

    600million daraja hlo munachezea pesa nyinyi

  • @simonwambugu7579
    @simonwambugu7579 Před 2 lety

    And now your dining with those who fought you.....????

  • @mwanaidisaidi1748
    @mwanaidisaidi1748 Před 6 lety

    Wanasiasa msituinjoy ebu wananchi funfuen macho ebu tuone wangapi waliuwa wanatafuta mapato yao

  • @habasifisi1140
    @habasifisi1140 Před 7 lety

    Again,in this video we note with great displeasure and concern that the community spokesmam Hon . Peter Shehe (Ganze Mp) enjoys and shares the company of Jubilee. He has been silent when Governers "JOHO & KING`s security teams were withdrawn . He never comments, advice, or distance himself at any occasion concerning the same. I give credit to Mr. Joseph K. Mwarandu( aprominent trusted Lawyer of MADCA MLINDI) who recently drove the point home that" Hon. Shehe has recently proved to be of little value of the MIJIKENDA COMMUNITY. We need radicaly reforms in this community.Never ever should this post be reserved for politicians. Any Mijikenda (Male) from Lunga Lunga to Kiunga Lamu must be allowed to contest. He should be vetted not only by the " KAYA SAINTS" but also from a jurry of ordinary people. This hand picking and arm twisting method should´nt be allowed to continue, One must take the famous& fierce oath of the " FISI" and swear to defend and protect the interests of the community. ( UKWAPEHO KISHA)

  • @tafari988
    @tafari988 Před 7 lety

    Nehemiah Bor a footbridge is not a development buddy u need to travel more! 😊

  • @lauraduncan9371
    @lauraduncan9371 Před 7 lety

    joho nakupa kongole sana .

  • @mushken65
    @mushken65 Před 7 lety +1

    Vitisho vya chura

  • @mosesmemusi6923
    @mosesmemusi6923 Před 7 lety

    Kenyan politics...

  • @flomrembowakenya5524
    @flomrembowakenya5524 Před 7 lety +14

    joho hapendi maendeleo mdomo nyingi..go uhuru jubilee for life