Poleni sana,ila huo ugomvi wa familia ndugu jamaa marafiki ,hasa majirani wawe walinzi.Majirani wakishaona jirani zao wanagombana na kupigana wamsaidie anayenyanyaswa.Kama majirani hawatasaidia ,dhambi inayotokea kwa jirani yao nao ni wahusika
Mjifunze kitu jmn ukiona limwanaume halina ujirani na watu toroka nenda kwenu" jitu limeona chakula kimeiva badala mle linaanza ukorofi likenikera sana jmn 😭 pumzika kwa aman mwanangu 😭🙏
Poleni sana,ila huo ugomvi wa familia ndugu jamaa marafiki ,hasa majirani wawe walinzi.Majirani wakishaona jirani zao wanagombana na kupigana wamsaidie anayenyanyaswa.Kama majirani hawatasaidia ,dhambi inayotokea kwa jirani yao nao ni wahusika
Mjifunze kitu jmn ukiona limwanaume halina ujirani na watu toroka nenda kwenu" jitu limeona chakula kimeiva badala mle linaanza ukorofi likenikera sana jmn 😭 pumzika kwa aman mwanangu 😭🙏
😭😭😭
Naye labda a😮nyongwe tuu
Duuu hii mibaba ya kifikia Nayo mijinga sana ..pole dada
Acha matusi wewe,tabia ya mtu ni tabia yake mwenyewe.Kuwa na heshima wewe.Ebo.