Video není dostupné.
Omlouváme se.

ROUGH DREAD: JINSI YA KUANZA KUTENGENEZA ROUGH DREAD | How To Do Rough Dread.|| 📱+255712644008

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 10. 2021
  • #RoughDreadlocks #gwijilavpaji #gwijitv

Komentáře • 52

  • @gwijitv
    @gwijitv  Před 2 lety +1

    USISAHAU NI SUBSCRIBE CHANNEL HII ILI UWE WA KWANZA KUPATA TAARIFA JUU YA KILA VIDEO MPYA ITAKAPOKUWA INATOKA

  • @happyhappy3519
    @happyhappy3519 Před 2 lety +1

    HONGERA SANA GWIJI

  • @gwijilavpaji9920
    @gwijilavpaji9920 Před rokem

    such a beautiful work bro

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 Před 2 lety

    Safi sana

  • @yasintadallu820
    @yasintadallu820 Před rokem +1

    Unafanyaaa kwa Bei gani Gwiji hiyo style

  • @darleenibraheem628
    @darleenibraheem628 Před 2 lety +2

    Hi, nataka kujua ni sh.ngap na mnapatikana wapi?

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před 2 lety

      nicheck kwa namba hii 0712644008

  • @jescarerneus2621
    @jescarerneus2621 Před rokem

    Kazi nzuri sana Gwiji la vpaji, Kufanya hivyo ni sh ngapi

  • @user-dk4dz9xd3j
    @user-dk4dz9xd3j Před 4 měsíci +1

    Mupo wap

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před 4 měsíci

      Nicheki kwenye namba Hii 0712644008

  • @happymasawe4374
    @happymasawe4374 Před 2 lety +1

    Samahan kwan hiko unatumia ni kitu gani? Je kinapatkana maduka gani

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před 2 lety

      Hiyo ni sponge ukienda maduka ya vifaa vya urembo ulizia sponge ya Kutengenezea Rough Dread

  • @rashidmhagama7698
    @rashidmhagama7698 Před rokem +1

    Nataka nianze kufuga lasta nipo xongea nawapataje

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před rokem

      MM KWA SASA NIKO MBEYA BUT WIKI IJAYO NITAPATIKANA MTWARA

  • @bethwinfred4400
    @bethwinfred4400 Před rokem +1

    Hello sh gapi iyo

  • @joycegeorge4712
    @joycegeorge4712 Před 2 lety +1

    Unaosha kwa muda gani?

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před 2 lety +1

      Hakuna muda maarumu isipokuwa unaweza ukaosha pindi utakapoona nywele zimechafuka au zimeanza kupoteza muinekano wake

  • @RoseMbuli-hg3fl
    @RoseMbuli-hg3fl Před 10 měsíci +1

    Izi brush unauzaje

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před 10 měsíci

      Mimi siuzi, ila Bei zake zinaanziaga 15000 na kuendelea kulingana na Ukubwa, lakini na ubora,

  • @ynl5135
    @ynl5135 Před 2 lety

    Unapatikana wap na shi ngapi kutengezaa

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před 2 lety

      Nicheck kwa namba hii 0712644008 nikueleze

  • @floralove0998
    @floralove0998 Před 2 lety +1

    Jina la yo mafuta kaka

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před 2 lety

      yanaitwa Mouldin jell wax

  • @annegodwin451
    @annegodwin451 Před 2 lety

    Uko vizur san kk

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před 2 lety

      SHUKRANI sana dada angu. Ila nakuomba usiache ku subscribe channel yangu kisha utaona kikengele cheusi utabonyeza pia hii itakusaidia wewe use wa kwanza kupata taarifa juu ya kila Video mpya nitakayokua nimeipost, pia usiache ku share kwenye magroup yako ya WhatsApp Na Facebook ili Watu wengi waweze kuona video hii na nyingine nyingi.Asante sana Na Mungu akubariki.

    • @user-uy2cd4uu9r
      @user-uy2cd4uu9r Před 5 měsíci

      Bei gani Kama ivo

  • @annegodwin451
    @annegodwin451 Před 2 lety

    Na unatakiwa utumie mda gani au inategemean na nguvu ya mtu

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před 2 lety

      Aaa Hapa Hakuna muda maalum
      isipokuwa kinachotakiwa ni wewe kuangalia matokeo. Kwamba je nilichokitaka kionekane au ninacho kitaka nimekiona? Namaanisha je hiyo rough tayali imeshatokea? , au mteja amelidhika au anachokiona ndicho alichokuwa anakitaka?
      Kingine inategemea na nywele za mtu zikoje au zina hali gani?
      Kwa Mfano: Kipilipili, Laini sana au ngumu sana, Nyingi au chache, Za kuteleza au za kukakachaa Nk
      Kwasababu kutokana na hizo sababu ndizo zitakazofanya kazi yako Ile muda mrefu au Mfupi maana mtu mwenye nywele ya Kipilipili zitawahi kuonesha matokeo halaka zaidi kuliko mwenye nywele za kuteleza au aina ya shombeshombe. Natumai umenielewa

  • @annegodwin451
    @annegodwin451 Před 2 lety +1

    Samahani naomba kuuliza kabla ya yote unaziosh kwanza kush unapk mafuta nywele zikiwa na ubich au? Coz mim kila nikijaribu nafeli.

    • @alphatwaha3701
      @alphatwaha3701 Před 2 lety +1

      Unaosha kwanza

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před 2 lety

      Ndio kama nywele ni chafu lazima uoshe, zikiwa safi haina haja ya kuosha, ni vzr nywele iwe kavu ndipo upake mafuta

    • @HappyMshanga-xx1ob
      @HappyMshanga-xx1ob Před rokem

      😅.

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před rokem

      vp happy mbona unacheka

  • @rashidmhagama7698
    @rashidmhagama7698 Před rokem +1

    Tunawapataje?

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před rokem

      NICHECK KWA NAMBA HII 0712644008

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před rokem

      MM KWA SASA NIKO MBEYA BUT WIKI IJAYO NITAPATIKANA MTWARA

  • @shantelchebet1691
    @shantelchebet1691 Před 2 lety +1

    How much please iko smart

  • @user-yk4ee2dm7c
    @user-yk4ee2dm7c Před rokem +1

    Unaptikan wap

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před rokem

      nichek humu 0712644008

  • @graceamran326
    @graceamran326 Před rokem

    Upo wap nataka nije kutengeneza

    • @gwijitv
      @gwijitv  Před rokem

      nicheki humu 0712644008