SHUKRANI sana dada angu. Ila nakuomba usiache ku subscribe channel yangu kisha utaona kikengele cheusi utabonyeza pia hii itakusaidia wewe use wa kwanza kupata taarifa juu ya kila Video mpya nitakayokua nimeipost, pia usiache ku share kwenye magroup yako ya WhatsApp Na Facebook ili Watu wengi waweze kuona video hii na nyingine nyingi.Asante sana Na Mungu akubariki.
Aaa Hapa Hakuna muda maalum isipokuwa kinachotakiwa ni wewe kuangalia matokeo. Kwamba je nilichokitaka kionekane au ninacho kitaka nimekiona? Namaanisha je hiyo rough tayali imeshatokea? , au mteja amelidhika au anachokiona ndicho alichokuwa anakitaka? Kingine inategemea na nywele za mtu zikoje au zina hali gani? Kwa Mfano: Kipilipili, Laini sana au ngumu sana, Nyingi au chache, Za kuteleza au za kukakachaa Nk Kwasababu kutokana na hizo sababu ndizo zitakazofanya kazi yako Ile muda mrefu au Mfupi maana mtu mwenye nywele ya Kipilipili zitawahi kuonesha matokeo halaka zaidi kuliko mwenye nywele za kuteleza au aina ya shombeshombe. Natumai umenielewa
USISAHAU NI SUBSCRIBE CHANNEL HII ILI UWE WA KWANZA KUPATA TAARIFA JUU YA KILA VIDEO MPYA ITAKAPOKUWA INATOKA
HONGERA SANA GWIJI
such a beautiful work bro
🙏🙏
Safi sana
ASANTE SANA
Unafanyaaa kwa Bei gani Gwiji hiyo style
Piga simu 0712644008
Hi, nataka kujua ni sh.ngap na mnapatikana wapi?
nicheck kwa namba hii 0712644008
Kazi nzuri sana Gwiji la vpaji, Kufanya hivyo ni sh ngapi
nicheki 0712644008
Hellow@@gwijitv
@@LovenessMtewele-jn5ch Naam
Mupo wap
Nicheki kwenye namba Hii 0712644008
Samahan kwan hiko unatumia ni kitu gani? Je kinapatkana maduka gani
Hiyo ni sponge ukienda maduka ya vifaa vya urembo ulizia sponge ya Kutengenezea Rough Dread
Nataka nianze kufuga lasta nipo xongea nawapataje
MM KWA SASA NIKO MBEYA BUT WIKI IJAYO NITAPATIKANA MTWARA
Hello sh gapi iyo
nicheck kwa namba hii 0712644008
@@gwijitv hello gwiji
@@yasintadallu820 yes
Unaosha kwa muda gani?
Hakuna muda maarumu isipokuwa unaweza ukaosha pindi utakapoona nywele zimechafuka au zimeanza kupoteza muinekano wake
Izi brush unauzaje
Mimi siuzi, ila Bei zake zinaanziaga 15000 na kuendelea kulingana na Ukubwa, lakini na ubora,
Unapatikana wap na shi ngapi kutengezaa
Nicheck kwa namba hii 0712644008 nikueleze
Jina la yo mafuta kaka
yanaitwa Mouldin jell wax
Uko vizur san kk
SHUKRANI sana dada angu. Ila nakuomba usiache ku subscribe channel yangu kisha utaona kikengele cheusi utabonyeza pia hii itakusaidia wewe use wa kwanza kupata taarifa juu ya kila Video mpya nitakayokua nimeipost, pia usiache ku share kwenye magroup yako ya WhatsApp Na Facebook ili Watu wengi waweze kuona video hii na nyingine nyingi.Asante sana Na Mungu akubariki.
Bei gani Kama ivo
Na unatakiwa utumie mda gani au inategemean na nguvu ya mtu
Aaa Hapa Hakuna muda maalum
isipokuwa kinachotakiwa ni wewe kuangalia matokeo. Kwamba je nilichokitaka kionekane au ninacho kitaka nimekiona? Namaanisha je hiyo rough tayali imeshatokea? , au mteja amelidhika au anachokiona ndicho alichokuwa anakitaka?
Kingine inategemea na nywele za mtu zikoje au zina hali gani?
Kwa Mfano: Kipilipili, Laini sana au ngumu sana, Nyingi au chache, Za kuteleza au za kukakachaa Nk
Kwasababu kutokana na hizo sababu ndizo zitakazofanya kazi yako Ile muda mrefu au Mfupi maana mtu mwenye nywele ya Kipilipili zitawahi kuonesha matokeo halaka zaidi kuliko mwenye nywele za kuteleza au aina ya shombeshombe. Natumai umenielewa
Samahani naomba kuuliza kabla ya yote unaziosh kwanza kush unapk mafuta nywele zikiwa na ubich au? Coz mim kila nikijaribu nafeli.
Unaosha kwanza
Ndio kama nywele ni chafu lazima uoshe, zikiwa safi haina haja ya kuosha, ni vzr nywele iwe kavu ndipo upake mafuta
😅.
vp happy mbona unacheka
Tunawapataje?
NICHECK KWA NAMBA HII 0712644008
MM KWA SASA NIKO MBEYA BUT WIKI IJAYO NITAPATIKANA MTWARA
How much please iko smart
Nichek kwa Namba hii 0712644008
Thanx
Unaptikan wap
nichek humu 0712644008
Upo wap nataka nije kutengeneza
nicheki humu 0712644008