Full Show ya Mwanahela na Jux kwenye Jukwaa la Love Melodies and Lights

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 02. 2017
  • Usiku wa kuamkia Februari 19 ulikuwa ni usiku wa burudani mwanzo mwisho… shoo ya #LoveMelodiesAndLightsEvent imefanyika kwenye Uwanja wa Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo wasanii wakali watatu Juma Jux, Ben Pol na Barakah The Prince walikuwa wakikamua kwenye show hiyo.
    Hapa kwenye hii video a dakika 9 nakukutanisha na legendary kutoka Bongo Flevani Saida Karoli ambaye kwa mara ya kwanza ndani ya miaka isiyopungua 10 alipanda jukwani na mkali wa melody za R&B Ben Pol na kutumbwiza LIVE on stage na kuimba nae wimbo wa SALOME.
    Kilichofuata baada ya hapo ni shangwe na kelele za furaha kutoka kwa mashabiki wa Saida Karoli ambao hisia zao zilidhirisha wazi kuwa mkongwe huyo ameacha gepu kwenye muziki wetu wa Bongo Fleva ambao, muziki wenye ladha ya kipekee na muziki unaoweza kuimbwa na yeye tuu.
    Itazame jinsi performance yake ilivyokuwa kwenye usiku wa LOVE MELODIES and LIGHTS.

Komentáře • 49