Full Show ya Mwanahela na Jux kwenye Jukwaa la Love Melodies and Lights
Vložit
- čas přidán 21. 02. 2017
- Usiku wa kuamkia Februari 19 ulikuwa ni usiku wa burudani mwanzo mwisho… shoo ya #LoveMelodiesAndLightsEvent imefanyika kwenye Uwanja wa Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo wasanii wakali watatu Juma Jux, Ben Pol na Barakah The Prince walikuwa wakikamua kwenye show hiyo.
Hapa kwenye hii video a dakika 9 nakukutanisha na legendary kutoka Bongo Flevani Saida Karoli ambaye kwa mara ya kwanza ndani ya miaka isiyopungua 10 alipanda jukwani na mkali wa melody za R&B Ben Pol na kutumbwiza LIVE on stage na kuimba nae wimbo wa SALOME.
Kilichofuata baada ya hapo ni shangwe na kelele za furaha kutoka kwa mashabiki wa Saida Karoli ambao hisia zao zilidhirisha wazi kuwa mkongwe huyo ameacha gepu kwenye muziki wetu wa Bongo Fleva ambao, muziki wenye ladha ya kipekee na muziki unaoweza kuimbwa na yeye tuu.
Itazame jinsi performance yake ilivyokuwa kwenye usiku wa LOVE MELODIES and LIGHTS.
Legend😍😘
mama kipenzi wa wengi penda xana nyimbo zako watching from Kenya toto la kipwani hapa
Loice Bushuti me also dada from 254
this show was classic👌
mashaallah tabaraQillah Mama mwanahela Mungu ampekilalakheir..Afya njema Inshaallah
Masha Allah bi mwanahela wimbo watoa nyoka pangoni mtamu alo nao anitumie plz.
MWANAHALIMA MWACHILI unazitaka nyimbo zake
Nice jux
Mmmhh bimwanahela weeee!!
Old is gold
acha kuiba hela sio vizuri
محمدmashaAllah Alhamdulilah احمد aa
mm nailimuona alirudisha duuuh wabongo I say noma
mwana umetisha umekomesha pesa za watu
Frank Kanyara hahahahahhaha
Jina lake halisi ni MWANAHELA SALUM, Mumewe ni MUSSA MAJENGO ambae wanafanya kazi pamoja GOLDEN STARS TAARAB YA TANGA BARABARA 14.
SIO MWANAHAWA ALLY
Yuko huyu mum jaman
heshima ya mama
Matchachari haya
Jux leo amekuwa mpwani
Salum
zaman kulikuwa na viumbe aisee!
Mwenye link ya wimbo huu tafadhari tusaidiane.
yani ninavyompenda bi mawanahera nishidaa
napozisikia nyimbo za huyu mama nafarijika sana
Jamani huyo kijana hanahata haya anachukuwa pesa akieka mfukoni tabia ozaa
JUX BILA AIBU UNAMUIBIA PESA MAMA WA WATU,, DAAAHHH DAKIKA 07:05 na 07:07. SIO VIZURI KABISA
kweli kabisa anahamisha mikono
Maashaalah umenikosha hadi basi
Anaitwa mwanahela salim sio mwanahawa ally
kwakweli bi Mwanahela si mchezo
jamani tuelewe huyu mama ni mlemavu so jux amechukua hiyo pesa kumuwekea akishuka jukwaani atampa
Aisha Swalleh atampa saa ngapi ndivyo alivyokwambia? mbona zengine yuwampa mwenyewe mkononi!pengine naeza unga mkono mwenye amesema hakuiba Bali alizochukua kaambiwa na waliompa ni zake
Aisha Swalleh 😂😂😂😂😂
jux hapo mbele veepe
hiyo veepe veeepeee
xawa wote mwana bt tafautxha kat ya hawa na hela ucbdlxhe majina apa
Jamani nauliza tu huyu mama nilimskia nikiwa mdogo kwani kabila gani maana hatari xana
Jux bhana
Kazi njema wapwa, tujitahidi kuzingatia maandishi kabla ya kupeleka Yyoutube. Huyo mama hapo anaitwa Mwanahela Salum. Ni kumkosea kuweka jina tofauti. rekebisheni hilo tafadhali
kulingana bi mkubwa mwenyewe kw stage hakuwa hata na clutch
Aisha Swalleh aisee wamtaftie wheelchair atleast akihidhuria sehem inamsupport
jux unaib Pesa za watu😂😂😂😂
umeona hee nilidhani macho yangu
ahhaha jux anatafuta kiki
Ni kweli jux ni kibaka hana hata aibu
hakuiba jmn kaambiwa ya kwake lool
yani kweli hana ata aibu kaeka ela mfukoni mtoto mroho sana uyo mshamba hafkrii kama aonekana dunia zima shame on you na mama kajua
Atampa jux hana njaa