LULU DIVA: AMSHUSHUA MWIJAKU / NIMEUZA SAMAKI/ NACHATI NA BEN PAUL

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2021
  • #makorokochotv
    Soudy Brown CZcams ni Nyumbani kwa Rais wa Wambea Na Popular Radio and Tv Personality “Soudy Brown” Kazi yangu ni moja tu kukupa kukuletea kila kinachoendelea kwa undani
    Kama kuna Tukio umelishuhudia Mtaani au Mtandaoni na ungependa mimi na Team yangu Tulichimbe kwa Undani usisite kucheki nasi kupitia Namba ya simu +255 714 108 600 Email: makorokochostudio1@gmail.com
    Je Unataka Kuona Zaidi Vipindi Vyetu? SUBSCRIBE @soudybrown
    Please LIKE + SHARE with all your friends + loved ones
    Soudy Brown
    Whatsapp: +255 714 108 600
    Instagram: / soudybrown
    Facebook: / soudybrowntanzania
    Twitter: / soudybrown
    Tiktok: www.tiktok.com/soudybrown
  • Zábava

Komentáře • 81

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 Před 3 lety +10

    Hongera dear kwakumlea Mama yako Mungu Akujalie Uzima na riziki nyingi my upate kumtunza Mama yako katika jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu Ameeen 🙏

    • @tatuhongeranurushaus485
      @tatuhongeranurushaus485 Před 3 lety +2

      Amiin yarabi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @alikhamis7138
      @alikhamis7138 Před 3 lety

      Mwinyi jaku wewe ni muislam haifai kuwashishika wanawake unaenda kushika shika sio vzr bro

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před 3 lety +4

    Lulu nakupenda bure mtanga mwenzangu😘❤

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 Před 3 lety +3

    Lulu diva honger kwa kumtunza mama

  • @saidalzakwani8402
    @saidalzakwani8402 Před 3 lety +3

    Wewe mwijaku mpaka ushike wanawake kwenye kuhoji sio poa

  • @malapakipochi3317
    @malapakipochi3317 Před 2 lety

    Mwijaku yaani mmbeaaaa... kama mimi

  • @leeeangonlee6094
    @leeeangonlee6094 Před 3 lety +1

    Hongera diva kwakupambana Ila kuhusu mjukuu Mimi nipo nanipo tayari kukupa na kukuoa

  • @asyaasya3766
    @asyaasya3766 Před 3 lety +1

    Nachompendaga Lulu anavyompenda mzazi wake Ndiomana Mungu at azidi kumteremshia Baraka tele

  • @thebosslady4597
    @thebosslady4597 Před 3 lety +2

    yan hawa ni wambea kweli kweli nawapenda bure jaman

  • @billnassnenga6926
    @billnassnenga6926 Před 2 lety

    Nampenda lulu diva. I wish nipate penz lake

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib940 Před 3 lety +3

    Mbavu zangu mm 😁😁😁 mmedata kweli nyinyi

  • @maimunaabdalla7146
    @maimunaabdalla7146 Před 3 lety +2

    Tatizo hamjistiriiiiiii tena mwezi mtukufu mnakosea jamani,mwanamke jisiri nywele zifiche🇰🇪

  • @abdallahmwanyende2208
    @abdallahmwanyende2208 Před 3 lety +2

    Huyu mrembo TID alishindwaga nae vipi...TID makali yake hayakati nini.....mrembo mwenyewe yupo vizuri now a days

  • @Aishyun6554
    @Aishyun6554 Před 3 lety +1

    🤣🤣🤣🤣🤣wajinga hawa

  • @fatumamnyenze7489
    @fatumamnyenze7489 Před 3 lety +1

    Mashaallah lulu

  • @Neyller996
    @Neyller996 Před 2 lety

    Ninavyowependa nazid kuenjoy kila ijumaa😂😂nawapenda❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @bilalbizimana980
    @bilalbizimana980 Před 3 lety +2

    Hawa vichaa saana, nawaloveve pia😂

  • @ahmedamar1329
    @ahmedamar1329 Před 3 lety +1

    Kaka mwinjaku asanteni sana kwa Kazi zenu niko sawa ila watu wanawaona wembea but nibonge la aidia ila na uyo dada Lulu Diva Yuko sawa Kweli Yani nampenda sana Tokea alipokuja Zanzibar kufanya Video Ya Nyimbo Yake

  • @fredychaki7203
    @fredychaki7203 Před 3 lety +2

    Mwijaku kweli mbeya eti au utanga unasumbua 🤣🤣🤣

  • @abdillahiali4170
    @abdillahiali4170 Před 2 lety

    Daaaah hawa wambea aisee

  • @upendomapile1234
    @upendomapile1234 Před 3 lety

    Nampenda Lulu jamani

  • @nkzenest4748
    @nkzenest4748 Před 3 lety

    Mwijaku kazi ya journalist hawezi kabisa...aendeleya na kazi yake ya umbeya wa Instagram..Soudy Brown naku advice utumike mwenyewe acana na Mwijaku hajuwi kuuliza swali

  • @ahmedamar1329
    @ahmedamar1329 Před 3 lety +1

    Na mimi Niko Tayari Kujitolea Katika Kumshuhulikia mama ake kama House Boy wake

  • @ahmedamar1329
    @ahmedamar1329 Před 3 lety +1

    Mhhhh ilo swala la mtoto kaka mwinjaku mimi nitampa amuangalie mwenziwe wolper sasa ana Tumbo kubwa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 lety

    Mwijaku lakini we mzima?safi sana nakupenda sana.

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 Před 3 lety

    Mhh huyu lulu mwenyewe sura nzito kidogo

  • @kelvinchacha5557
    @kelvinchacha5557 Před 3 lety +1

    Lulu ako poa in interview,,

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Před 3 lety

    love sud and mwikwajo hi lulu

  • @mustafaaden8774
    @mustafaaden8774 Před 3 lety

    This two guys 😁😁😁😁

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 3 lety +2

    Huyu Walinazi anapenda kushika shika watu especially wanawake sijui ana nia gani

    • @nivicaspect3597
      @nivicaspect3597 Před 3 lety

      Ni kweli ajue inatukera hata sisi watazamaji
      Huu ni unyanyasaji
      Lazima ukemewe

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 Před 3 lety +3

    HIVI SUDY NA MWIJAKU MMNAFANYAGA MAPENZI SAA NGAPI NA WAKE ZENU KUTWA UMBEA

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Před 2 lety

    Mwez wa Ramadan kichwa waz

  • @malapakipochi3317
    @malapakipochi3317 Před 2 lety

    Mwijaku na umbea

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 Před 3 lety +2

    Ivo vingoma vya nini 😂😂😂

  • @pelesmwaipopo4382
    @pelesmwaipopo4382 Před 3 lety +2

    mwijaku anaopa mbwa kuliko umbea

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 3 lety +2

    Haki nimecheka hapo mwisho tuu' khaa

  • @rukiasalum5671
    @rukiasalum5671 Před 3 lety +1

    Haki ubea mwingine wijako lakini hata hupendezi limwili lako la oficini

  • @Neyller996
    @Neyller996 Před 2 lety

    Soudy jmn 🤣🤣🤣ety hadi macho ben paul ben paul😂😂😂

  • @saidimoshi1276
    @saidimoshi1276 Před 3 lety

    Umbea

  • @fatmaabeid9668
    @fatmaabeid9668 Před 3 lety +1

    🤣🤣🤣 wazee wa mbangaa

  • @user-hk9ch4ru8z
    @user-hk9ch4ru8z Před 9 měsíci

    Sema nini mwijaku una sura mbaya kama dada yake shetani😂😂😂

  • @iradukundamike5370
    @iradukundamike5370 Před 3 lety

    😆😆😆😆wambea mume nishinda tabia wallah😂😂😂😂

  • @safiyatheonlything7848

    Nyie kiboko mmmh atarii

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 Před 3 lety

    Nendeni kwa Hamissa pia 😄✋

  • @hadijahassan5587
    @hadijahassan5587 Před 3 lety +1

    Wanateteana 😂😂😂

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 Před 3 lety +1

    Mnamuogopa manunu😛😛😛

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 Před 3 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣Mwijaku unaiogopa mqnunu jamani

  • @msalikemedia
    @msalikemedia Před 3 lety +1

    Hahaha 😀😀😂Eti wanaume wakifika hapo wana nasa

    • @omarsirleem7105
      @omarsirleem7105 Před 2 lety

      😂😂 moyoni anasema..."hapa ndo mtakujaa,gusa unase"

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Před 2 lety

    MWIJAKU HACHA KUWASHIKA SHIKA UNAOWAHOJI.

  • @shantellemwanakombo3703

    Utashika udhu upya na nguo ubadilishe maana mbwa hao wawashika shika hao wanaume umewakumbatia ,

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Před 3 lety

    nanunu

  • @swaifasaid1742
    @swaifasaid1742 Před 3 lety +1

    ila mwijaku umezid umbea yan mh mbavu zangu mie

  • @nobertmulesi3387
    @nobertmulesi3387 Před 3 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwijaku na Sudi

  • @jeshigidawejr457
    @jeshigidawejr457 Před 2 lety

    Lulu diva napenda unavyoongea xanaaa

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Před 3 lety

    Kasura kazuli ka luludiva

  • @thebosslady4597
    @thebosslady4597 Před 3 lety

    yan hawa wambea hadi wanapiga magotiii hahahaha

  • @glorianikiza92
    @glorianikiza92 Před 3 lety

    Yani nyiye wawaache tu

  • @hellenmagiri6109
    @hellenmagiri6109 Před 3 lety

    Watu wa Fala hawa

  • @swaifasaid1742
    @swaifasaid1742 Před 3 lety

    😃😂😁😀

  • @saidimoshi1276
    @saidimoshi1276 Před 3 lety

    Mnadai mmefunga huku mnamshikashika

  • @zou7470
    @zou7470 Před 3 lety +1

    Ila nyie wambea mpaka munapiga goti kisa umbea mungu awasame🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 Před 3 lety

    Nachekeshwa nahii nyimbo

  • @abdulsalaammtipa5309
    @abdulsalaammtipa5309 Před 3 lety

    waze wa banga mnajua ku 4c

  • @tatuhongeranurushaus485

    😥😥😥😥😥😥😭😭😭😭ila mwijaku na sudi msiwe mnachungulia bhn kwenye nyumba za watu mtakuja kutolewa macho nyie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @newahomwashiuya8858
    @newahomwashiuya8858 Před 3 lety

    Weee mwijaku unajikimbiza hivyooo Hadi unaboa

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 Před 3 lety +1

    Kwakweli kazi mnayo na huo umbea mnasomea wapi nyie mpki mnapiga magoti🤔🤔🤔

  • @selemanwaziri7653
    @selemanwaziri7653 Před 3 lety

    Haha

    • @ghalibali9430
      @ghalibali9430 Před 2 lety

      Unasema unaenda kuswali kwenye hali hiyo muislamu wa kweli hakai uchi hivyo hasa mwezi wa ramadhani

  • @thebosslady4597
    @thebosslady4597 Před 3 lety

    Mwijaku unanichekesha unajua 😂😂😂😂😂

  • @majoritytoursafrica
    @majoritytoursafrica Před 3 lety

    ahhhhhh au ni mapenzi ya tanga yan mwijaku

  • @jacksonlaurentfrancis884
    @jacksonlaurentfrancis884 Před 3 lety +1

    Aisee Hawa jamaa walibuni kitu

  • @irenematari6218
    @irenematari6218 Před 3 lety

    bila makeup dada ni mrembo huyu

  • @tonnypoppin6590
    @tonnypoppin6590 Před 3 lety +3

    Wakwanza leo kukomnt mwijaku anaogopa mbwa

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 Před 3 lety

    Ila nyie niwambea kweli kuchungulia magetini mwa watu mtakuja kupigwa mwijaku na soud brown

    • @tatuhongeranurushaus485
      @tatuhongeranurushaus485 Před 3 lety +1

      🤣🤣🤣🤣😥😥😥😥🤣🤣🤣🤣🤣watakuja kutolewa macho hawa.