LULU DIVA: AMSHUSHUA MWIJAKU / NIMEUZA SAMAKI/ NACHATI NA BEN PAUL
Vložit
- čas přidán 7. 05. 2021
- #makorokochotv
Soudy Brown CZcams ni Nyumbani kwa Rais wa Wambea Na Popular Radio and Tv Personality “Soudy Brown” Kazi yangu ni moja tu kukupa kukuletea kila kinachoendelea kwa undani
Kama kuna Tukio umelishuhudia Mtaani au Mtandaoni na ungependa mimi na Team yangu Tulichimbe kwa Undani usisite kucheki nasi kupitia Namba ya simu +255 714 108 600 Email: makorokochostudio1@gmail.com
Je Unataka Kuona Zaidi Vipindi Vyetu? SUBSCRIBE @soudybrown
Please LIKE + SHARE with all your friends + loved ones
Soudy Brown
Whatsapp: +255 714 108 600
Instagram: / soudybrown
Facebook: / soudybrowntanzania
Twitter: / soudybrown
Tiktok: www.tiktok.com/soudybrown - Zábava
Hongera dear kwakumlea Mama yako Mungu Akujalie Uzima na riziki nyingi my upate kumtunza Mama yako katika jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu Ameeen 🙏
Amiin yarabi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mwinyi jaku wewe ni muislam haifai kuwashishika wanawake unaenda kushika shika sio vzr bro
Lulu nakupenda bure mtanga mwenzangu😘❤
Lulu diva honger kwa kumtunza mama
Wewe mwijaku mpaka ushike wanawake kwenye kuhoji sio poa
Mwijaku yaani mmbeaaaa... kama mimi
Hongera diva kwakupambana Ila kuhusu mjukuu Mimi nipo nanipo tayari kukupa na kukuoa
Nachompendaga Lulu anavyompenda mzazi wake Ndiomana Mungu at azidi kumteremshia Baraka tele
yan hawa ni wambea kweli kweli nawapenda bure jaman
Nampenda lulu diva. I wish nipate penz lake
Mbavu zangu mm 😁😁😁 mmedata kweli nyinyi
Tatizo hamjistiriiiiiii tena mwezi mtukufu mnakosea jamani,mwanamke jisiri nywele zifiche🇰🇪
Huyu mrembo TID alishindwaga nae vipi...TID makali yake hayakati nini.....mrembo mwenyewe yupo vizuri now a days
🤣🤣🤣🤣🤣wajinga hawa
Mashaallah lulu
Ninavyowependa nazid kuenjoy kila ijumaa😂😂nawapenda❤❤❤❤❤❤❤❤
Hawa vichaa saana, nawaloveve pia😂
Kaka mwinjaku asanteni sana kwa Kazi zenu niko sawa ila watu wanawaona wembea but nibonge la aidia ila na uyo dada Lulu Diva Yuko sawa Kweli Yani nampenda sana Tokea alipokuja Zanzibar kufanya Video Ya Nyimbo Yake
Mwijaku kweli mbeya eti au utanga unasumbua 🤣🤣🤣
Daaaah hawa wambea aisee
Nampenda Lulu jamani
Mwijaku kazi ya journalist hawezi kabisa...aendeleya na kazi yake ya umbeya wa Instagram..Soudy Brown naku advice utumike mwenyewe acana na Mwijaku hajuwi kuuliza swali
Na mimi Niko Tayari Kujitolea Katika Kumshuhulikia mama ake kama House Boy wake
Mhhhh ilo swala la mtoto kaka mwinjaku mimi nitampa amuangalie mwenziwe wolper sasa ana Tumbo kubwa
Mwijaku lakini we mzima?safi sana nakupenda sana.
Mhh huyu lulu mwenyewe sura nzito kidogo
Lulu ako poa in interview,,
love sud and mwikwajo hi lulu
This two guys 😁😁😁😁
Huyu Walinazi anapenda kushika shika watu especially wanawake sijui ana nia gani
Ni kweli ajue inatukera hata sisi watazamaji
Huu ni unyanyasaji
Lazima ukemewe
HIVI SUDY NA MWIJAKU MMNAFANYAGA MAPENZI SAA NGAPI NA WAKE ZENU KUTWA UMBEA
Hahaha
Mwez wa Ramadan kichwa waz
Mwijaku na umbea
Ivo vingoma vya nini 😂😂😂
mwijaku anaopa mbwa kuliko umbea
Haki nimecheka hapo mwisho tuu' khaa
Haki ubea mwingine wijako lakini hata hupendezi limwili lako la oficini
Soudy jmn 🤣🤣🤣ety hadi macho ben paul ben paul😂😂😂
Umbea
🤣🤣🤣 wazee wa mbangaa
Sema nini mwijaku una sura mbaya kama dada yake shetani😂😂😂
😆😆😆😆wambea mume nishinda tabia wallah😂😂😂😂
Nyie kiboko mmmh atarii
Nendeni kwa Hamissa pia 😄✋
Wanateteana 😂😂😂
Mnamuogopa manunu😛😛😛
🤣🤣🤣🤣🤣Mwijaku unaiogopa mqnunu jamani
Hahaha 😀😀😂Eti wanaume wakifika hapo wana nasa
😂😂 moyoni anasema..."hapa ndo mtakujaa,gusa unase"
MWIJAKU HACHA KUWASHIKA SHIKA UNAOWAHOJI.
Utashika udhu upya na nguo ubadilishe maana mbwa hao wawashika shika hao wanaume umewakumbatia ,
nanunu
ila mwijaku umezid umbea yan mh mbavu zangu mie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwijaku na Sudi
Lulu diva napenda unavyoongea xanaaa
Kasura kazuli ka luludiva
yan hawa wambea hadi wanapiga magotiii hahahaha
Yani nyiye wawaache tu
Watu wa Fala hawa
😃😂😁😀
Mnadai mmefunga huku mnamshikashika
Ila nyie wambea mpaka munapiga goti kisa umbea mungu awasame🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Nachekeshwa nahii nyimbo
waze wa banga mnajua ku 4c
😥😥😥😥😥😥😭😭😭😭ila mwijaku na sudi msiwe mnachungulia bhn kwenye nyumba za watu mtakuja kutolewa macho nyie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Weee mwijaku unajikimbiza hivyooo Hadi unaboa
Kwakweli kazi mnayo na huo umbea mnasomea wapi nyie mpki mnapiga magoti🤔🤔🤔
Haha
Unasema unaenda kuswali kwenye hali hiyo muislamu wa kweli hakai uchi hivyo hasa mwezi wa ramadhani
Mwijaku unanichekesha unajua 😂😂😂😂😂
ahhhhhh au ni mapenzi ya tanga yan mwijaku
Aisee Hawa jamaa walibuni kitu
bila makeup dada ni mrembo huyu
Wakwanza leo kukomnt mwijaku anaogopa mbwa
🤣🤣🤣
Ila nyie niwambea kweli kuchungulia magetini mwa watu mtakuja kupigwa mwijaku na soud brown
🤣🤣🤣🤣😥😥😥😥🤣🤣🤣🤣🤣watakuja kutolewa macho hawa.