#SUNBELLAKYANDO #SEMINAR #REALITYOFCHRISTY SEMINA MUBASHARA (FULL STOP) KUTOKA HUDUMA YA REALITY OF CHRIST MINISTRY INAYOONGOZWA NA MTUMISHI SUNBELLA KYANDO. +255 657 173 322
Mungu akubariki sana mtumishi niko ruvuma sijui hata nifanyaje màana nimefunga na kuomba kwa ajili ya familia yangu nimetumia hata vitabu mbalimbali kuvunja maana zote
Yaaan daaah mafindisho y ukweli kbs natamanije jmn ningelikuwa naishi huko Dar huku niliko mafundisho y jinc hiyo hakunaga kbs n Mungu anirehemu n aniteteee kwsbb nahitaji sn haya mafundisho kw ninayo yapitia n familia yangu
Asante sana sana mtumishi kupititia huu ujumbe kwa DAMU ya YESU ujumbe nimefunguliwa AMEN
Amina
Mungu akubariki sana mtumishi niko ruvuma sijui hata nifanyaje màana nimefunga na kuomba kwa ajili ya familia yangu nimetumia hata vitabu mbalimbali kuvunja maana zote
Ameeeen
Nabarikiwa sana na mafundishp haya kwa habari ya laana ,Roho mtakatifu anaendelea kunifunulia,barikiwa mtumishi
Yaaan daaah mafindisho y ukweli kbs natamanije jmn ningelikuwa naishi huko Dar huku niliko mafundisho y jinc hiyo hakunaga kbs n Mungu anirehemu n aniteteee kwsbb nahitaji sn haya mafundisho kw ninayo yapitia n familia yangu
Amen
najifunza sana na mafundisho yako sana. Mungu akubariki. from Denmark
Nafurahia mafunzo yako kutoka Kenya God bless you.
Yaani najuta kuchelewa kujua hii madhabahu maana ningekuwa nishavuka kitambo
Asante sana Baba, kweli nimebarikiwa
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu🙏
Oh YESU usinipite Leo mwokoz ya tar 3/6/2021 likatend kaz
Somo zuri
Limekuwa somo langu asubuhi hii ( baada ya mwaka kupita) lakini naamini ninachomoka. Asante Pastor ubarikiwe mifano inaelewesha vizuri
Asante mtumishi kwa mafundisho
Nabarikiwa sana na ROC Ministry
Kujua haya ni neema. Mungu akubariki mtumishi
Aminaaaa Pastor, ubarikiwe na Bwana yesu kwa mafundisho mazuri, nimebarikiwa
Amen Amen
Barikiwa sna
Amen mtumishi
Amen 🙏
kwa mafunzo Hayo hatutaangamizwa kamwe
Tunaoangalia 2021 Mungu atuguse pia
Ameen
Amen