Kwa mara ya kwanza nilipata kipande cha video cha huu wimbo nikatokea kuupenda ikanibidi niutafute CZcams,hatimae nikaukuta lakini kadri nilivyo zidi kuusikiliza na kuhusianisha na maisha yangu licha ya kuwa na changamoto nyingi lakini mema ni mengi kuliko magumu,huu wimbo una nikumbusha kuwa nina kila sababu ya kumshukuru mungu kwa kuendelea kuwa mwema kwangu.
Kweli kabisa , mara nyingi shetani anazingira mawazo yetu kutufanya tuone mabaya na kusahau MEMA AMBAYO M/MUNGU anatenda kwetu . Maana kua hai tu ni WEMA WAKE KWETU . Pamoja na changamoto zote; mema yake bado ni makubwa ktk maisha yetu I am thankful 🙏🏿🙏🏿
This is what is known as koinonia. Authentic fellowship , gathered In oneness of spirit to give him praise due his name. This is how music was done in the 90s when I gave my life to Christ before today's modern way of music. Ain't nothing wrong with today's music. I believe in excellence and preparation expected in today's music, but I dont wanna lose the genuineness, passion and authenticity that's so evident in such a Koinonia moment, when a people gather in one heart, one purpose just to give him praise due his name. My heart delights in his presence where no dignity matters..let all the earth magnify His name. He is worthy of all praise. Yahweh is His name. Blessed be the name of the Lord God of Israel who gives us victory, and has done marvelous things in our lives. As long as I got breath in my lungs, I shall sing of His praises and declare of His faithfulness in all the earth. Ariiririiiiiiiiiii He is a warrior, Yahweh is His name..Exodus 15:3 (NLT) 👏👏👏🙏
Okey but you mistake saying their is no problem with modern singing my friend what you don't know never concluded or else you be wasting your thinking you right and not
Uimbaji huu yaani mbingu naiona hii hapa,watu wanaimba kwa hisia sana,hapa ndo unaiona injili kabisa Wabarikiwe sana Japo pameandikwa ukerewe cjui kama ni ukerewe kweli ila all in all wanasifu vizuri sana.
Ninahizi uwepo wa mungu mahali APA nazidi kubarikiwa Kwa hii. Wimbo Sana inanikumbusha miaka 2003 nikiwa. Primary tukiimba Kwa ppi yaani patrol God bless this song
Thanks our precious brother. What a comment. We really appreciate and through your prayers we are keeping the good work up ⬆️ God bless you brother and also pass our greetings to brothers and sisters that side.
This is too beautiful to be destroyed. What a wonderful church of CHRIST .Please keep the fire burning. Don't water this down by prosperity and modernisation.
God is a Spirit: and they that worship him must worship him in spirit and in truth. may Almight God bless you for this wonderful service! “Old is Gold”
Saw this clip on TikTok, imebidi nitafute wimbo wote, Raha ya yesu
Tupo wengi maana kwa namna alivyouimba unaupako wake imenibidi nitafute wimbo wote
Me too...
Haiya me too.
Beans awabariki sana MDU hi na dada 🎉❤
Tuko pamoja mkuu lovely song
Anyone here in 2022✋✋ asante Yesu kwakunitendea mema mengi sana ambayo siwezi kuyahesabu 🙏🙏🙏🙏
Barikiwen sana,kuna wakati katka ibada kama hizi unabarikiwa na kuhis uponywaji hata bila kuomba❤❤❤
Ni kweli kabisa brother.
2021...who is here feeling blessed with this song?...ubarikiwe sana
I'm blessed sana
Yaan Hadi anafumba macho kwa hisia kweli mungu yuuuu MWEMA
Bwana akubariki. Kweli ni wakati wa Waaminio wa kweli kumuabudu Bwana Katika roho na kweli
Kwa mara ya kwanza nilipata kipande cha video cha huu wimbo nikatokea kuupenda ikanibidi niutafute CZcams,hatimae nikaukuta lakini kadri nilivyo zidi kuusikiliza na kuhusianisha na maisha yangu licha ya kuwa na changamoto nyingi lakini mema ni mengi kuliko magumu,huu wimbo una nikumbusha kuwa nina kila sababu ya kumshukuru mungu kwa kuendelea kuwa mwema kwangu.
Kweli kabisa , mara nyingi shetani anazingira mawazo yetu kutufanya tuone mabaya na kusahau MEMA AMBAYO M/MUNGU anatenda kwetu . Maana kua hai tu ni WEMA WAKE KWETU . Pamoja na changamoto zote; mema yake bado ni makubwa ktk maisha yetu
I am thankful 🙏🏿🙏🏿
@@gloriousn6425 Hakika.
Amina
AMENITENDEA MEMA SANAAAA SANAAAA NAMPENDA YESU
Amen amen 🥰🙏
This is what is known as koinonia. Authentic fellowship , gathered In oneness of spirit to give him praise due his name. This is how music was done in the 90s when I gave my life to Christ before today's modern way of music. Ain't nothing wrong with today's music. I believe in excellence and preparation expected in today's music, but I dont wanna lose the genuineness, passion and authenticity that's so evident in such a Koinonia moment, when a people gather in one heart, one purpose just to give him praise due his name. My heart delights in his presence where no dignity matters..let all the earth magnify His name. He is worthy of all praise. Yahweh is His name. Blessed be the name of the Lord God of Israel who gives us victory, and has done marvelous things in our lives. As long as I got breath in my lungs, I shall sing of His praises and declare of His faithfulness in all the earth. Ariiririiiiiiiiiii He is a warrior, Yahweh is His name..Exodus 15:3 (NLT) 👏👏👏🙏
Amen
Okey but you mistake saying their is no problem with modern singing my friend what you don't know never concluded or else you be wasting your thinking you right and not
Amen
A powerful song at the right time.
i just love this singing.......i love rugged singing and everyone rejoicing in his style
So natural and real
Yani nimebidi niutafute tena. Legendary❤️🔥
Napenda vile vitu vya mungu havipotei tu.amen
Hadi raha. Powerful!
Ameni ni baraka saana hakika bwana ametundendea mema saana
This song can't let me watch tears-free....
This song reminds me of my church sundayschl days wen I was still young
Uimbaji huu yaani mbingu naiona hii hapa,watu wanaimba kwa hisia sana,hapa ndo unaiona injili kabisa
Wabarikiwe sana
Japo pameandikwa ukerewe cjui kama ni ukerewe kweli ila all in all wanasifu vizuri sana.
Tutakutana kule ng'ambo ya pili bibiharusi wa kristo haleluya
This blessed my heart my soul God let me live for you for the rest of my life
Here we are in 2022 ametundea mema 😁🙏 can’t stop loving this song 🎵
Who is still listening to this in 2022
Amen
I have repeated uncountable times, and always is a blessing.
May the Lord bless you
Glory to Almighty God
Ninahizi uwepo wa mungu mahali APA nazidi kubarikiwa Kwa hii. Wimbo Sana inanikumbusha miaka 2003 nikiwa. Primary tukiimba Kwa ppi yaani patrol God bless this song
Amen ndugu yangu Ni kweli hizi nyimbo zinaturudisha kwa kuabudu kwa kweli kutoka moyoni,
I'm from Kenya ....I'm blessed with the worship may God bless you
Amen brother. shalom
What God has done to me is amazing 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Shalom brother. God bless u richly for such testimony
Ameni nikweli kabisa Mungu ni mwema sana❤
From tiktok wacha like
Mubarikiwe mara dufu Wana wa Mungu
Sawa this clip on TikTok and i had to rush here....woow nice song
Ticktok has made me land here ❤❤
Nime barikiwa na huu wimbo
Such a blessing song really..have replayed it countless times God bless that congregation for this wonderful spiritual moment
This song is so emotional,wangapi tumelia after listening to it 🙈
Shalom sister. Indeed. We thank God for such humble worship 🥰
Best in the world 🌎
Thank u so much brother. God bless you🙏
I have listened the song many times it's blessings my heart
Nikiwa kilimanjaro hakika wimbo huu umenibariki sana ,mungu awatumie kwa viwango vingine muweze kitubariki
9 good years since this video was shared. Grace of God never fades. May our Lord Jesus Christ bless you guys for this work that you did in this year.
Thanks our precious brother. What a comment. We really appreciate and through your prayers we are keeping the good work up ⬆️ God bless you brother and also pass our greetings to brothers and sisters that side.
This is too beautiful to be destroyed. What a wonderful church of CHRIST .Please keep the fire burning. Don't water this down by prosperity and modernisation.
Hallelujah sema kubarikiwa waaa God bless u ndungu
Powerful song,God bless you brother
I saw a tiktik for this, the song and the guy leading is just spirit filled
Direct me to that tiktok acc
Good has done me GOOD that I can't explain
Amen amenikumbusha nyumbani
Simple song by powerfully 😍🎵
Amen brother Be blessed
Ameen, for ril uyu yesu amenitendea l have a testimony 🙏 be blessed
The song is so touching 👌🏻👌🏻👌🏻👌🏻😇😇😇😇🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾, ni kweli amenitendea mema Huyu Yesu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾,
The best song ever. I find it so touching and thus playing it repeatedly.
Oh I miss old church we use to worship , in unity ,peace and love
In didn't God has done lot to me hubarikiwe Sana kijana umepkwa upko wakuomba indeed
This kind of simple, deep praise to the Lord blesses my heart. Bwana Yesu asifiwe milele.
Nakumbuka uimbaji huu wa Roho zamani naokoka miaka ya 90 Naliendele Mtwara....Abarikiwe marehemu mchungaji wangu Hoza. 🙏
Amen ndugu. Nwana akubariki sana
Feel bleesed 😘hakika mi mwema siku zote😍
Very powerful song.🎵 👏 be blessed 🙌 all.
❤ the anointed ones in this end time.
Brother Dencel from Kenya. I love you
I love how we would sing this song kwanza huku Bomet. A very energetic and praising chorus.
Amenitendea mema huyu YESU nampenda🙏🙏
you got to love the congretation singing!!! simple but anointed!
Had been looking for this,,,nice brooo,,their voices wow♥️♥️ be blessed
Very toughing and blessing fell uplifted to another glory AMEN.
Thanks for listening
Wow I like the song❤️❤️❤️❤️
I bless bless the Lord this worship has given me hope for the life
Am blessed with this song may GOD bless you brother 🙏 ❤ 💙 🙌 ♥ acha mbingu zinene mema juu yako uinuliwa kiwango cha juuu
I just can't get over the song surely Jesus has done me well🥺😭😭♥️♥️👏👏👏👏
Amen amen my brother it's a real blessing from God for what He has done to Us
Just listening to more, may He continue doing the unthinkable, what no mind has ever thought... blessings to all in the name of Christ
So touching song 🙏🙏🙏🙏mnaleta yesu karibu na mimi sanaaaa
Mom knjnnjn mennjjnnnnnnnjjjnnjjkjnnnkikkk
Waoo....I'm so blessed
My favorite song..........keep up my brother for leading the mass 🙏🙏🙏
Amen wimbo unabariki ❤️🙏
Amen, nimebarikiwa Sana watumishi wa Mungu. Mbarikiwe sana
This one it reminds me of ppi in Mweiga primary school every Friday morning and I was pastoral program.
Amen
Amenitendea mema
Woow my mood light now God is always good🙏🙏
This praise is filling my soul and spirit.....I love God....He has shield me from the attacks of the devil
TikTok to CZcams I love the Song
Indeed God like simplicity of worship
Soooo good 🙏🙏... baraka tu
Amen Amen....Jesus all the way
God is a Spirit: and they that worship him must worship him in spirit and in truth.
may Almight God bless you for this wonderful service! “Old is Gold”
Amenitendea mema huyu Yesu
Wonderful spiritual energy
Yesu nimzuri
What a blessing let me share this on my social mefia platform this must go viral its a blessing to many 🙏
Tutafuka hadi 100k views
Sema kitu natural na makofi yake wachana na hizi photocopies
Am singing this song repeatedly, I believe amenitendea
Hakika amenitendea
Hadi nimepata..Amen
TikTok brought me here👏👏👏👏👏👏👏👏
Amen
A simple song sang in spirit....coming out powerfully...2021, can't stop watching this
Amen Amen 🙏 God bless you all
Very Original
Wooooww I love this song and how you people have sang it
It's amazing 😍😍😍
Kwa kweli amenitendea mema,mema sana
This song is a blessing to many infact nikiwatch nastukia majozi ,indeed God is so gracious to us
Wow 😊😇🎶I love it
from tik tok i love it and a new subscriber
2022 Blessed.
Just feeling the presence of the lord, God is good all time .........nice praise song
Singing in the spirit..
Indeed spiritual singing 🥰
Amen!!! God is good and faithful indeed. The hearty singing by the lead singer and congregation has blessed my heart.
Feeling greatful, thankful for the Lord's good deeds.
I love the song
Be blessed sister